KUTANA NA FARAJA MICHAEL: MHITIMU WA FANI YA UUNGAJI VYUMA ANAYEJIVUNIA MAFUNZO YA VETA BAADA YA KUHITIMU NA KUJIAJIRI.
Faraja Beatus Michael (Katavi) Mhitimu wa Fani ya Uungaji Vyuma kutoka Chuo cha Ufundi Stadi na Huduma cha Mkoa wa Dodoma, VETA Dodoma. Faraja ni miongoni mwa vijana waliofanikiwa kujiajiri baada ya kuhitimu fani hiyo na hatimaye kuajiri vijana wenzake karibu tumsikilize.
Негізгі бет KUTANA NA FARAJA MICHAEL: MHITIMU WA FANI YA UUNGAJI VYUMA ANAYEJIVUNIA MAFUNZO YA VETA
Пікірлер