Pamoja na hayo,nafikiri Jeshi la polisi mngekuwa mnakamata mafisadi wa nchi hii mkishirikiana na Takukuru, inchi ingenyooka.
@noorbazaar9063
2 ай бұрын
Watakuŵa wanaingilia kazi za wengine.
@RaymondZindah-ow7wr
2 ай бұрын
Polisi mnatengeneza mabo ya uongo Ili kumzuga president. Mme jaa unafki sana.
@AllyHassan-e2m
2 ай бұрын
Siku jeshi letu la police likitia mafisadi wanchi yetu ambao wanapoteza mabiloni ya fedha nitafurahi sana
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
Kazi nzuri saana jeshi la Polisi, wanatumia mitandao vibaya saaana na kuleta fitna na taharuki
@IsmailLugenge
2 ай бұрын
Ni vizuri sana kwà jeshi la polisi lakini ombi langu taharifa hizi tupate majibu yake pia na kuhusu makosa ya mtandaoni Kuna hitajika namba inayo husiana na tatizo hili namba ambayo ni ya moja kwa moja na kitengo mahalumu Cha makosa ya mtandaoni na sio kama tcra wao namba Yao inafanana na ya mitandao ya simu ya 100 asa hii aisahjdii kitu
@MichaelNdelema
2 ай бұрын
❤JPM✋
@fadhilimoshi5754
2 ай бұрын
Shida kubwa ni kwamba mapolisi mmekuwa wanasiasa mnaacha majukumu yenu na kulinda viongozi mafisadi ni hivyo tu.
@MaxCharles-wj5dg
2 ай бұрын
duh tz yangu
@Worldunite
2 ай бұрын
Makamba hatumpi kura
@herie16m
2 ай бұрын
Sioni titles zikiendana na simulizi Anyway Sioni tija
@rogerabdallah439
2 ай бұрын
Amna kazi za kufanya
@johandavid7389
2 ай бұрын
iv ana kisikia anachokisoma au ameandikiwa tu
@philemonmagesa5548
2 ай бұрын
Namm nimemuona kama wewe
@MjumbeAgano
2 ай бұрын
Wanahitaji Neno la wakati kwa mjumbe wa agano duniani ili waikolewe na mambo mabaya.
@MonicaKaskaz
2 ай бұрын
Kumbe yule mtabiri ni wa kweli jamani
@MathayoMulumbi
2 ай бұрын
Mtabili yupi huyo
@SmilingCityMap-xb9md
2 ай бұрын
Hivi huwa najiuliza mafisadi walishatubu hawaibi tena wametubu kabisa sasa tumebaki na dhambi moja tu ya kuwasema waheshimiwa na naona hiyo ndio dhambi pekee iliobaki naona tuelekeze nguvu zetu zote kupambana maana wezi wote wa mali ya umma mafisadi wameshatubu
@loner_wolf
2 ай бұрын
Aliyemsaliti mwenzio unamuamini vip ? Wote problem wache wasalitiane .
@HanifaOman-oo4pl
2 ай бұрын
Kumbe mnajiweza polic kukamata watu je nawale wanoitwa wasiyojulikana vipi msiwakamate maana.wanateka watu watoto nawakubwa. Au hawatumii sim kwa kaxihizi nalaazimatu wanapigiana sim katikakutekeleza uharamia nao wakamateni tuwajue nawahukumiwe kishelia. . Inshaallah. Allah awapenguvu polic wetu mtende haki
@jaydon3361
2 ай бұрын
Ila serikal bana, kamateni watu wenye makosa nyeti, sasa kwel vijana wadogo tu ambao hata chanel Yao ya KZitem Haina wafuatiliji wengi ndo mnna deal nao
@AyubuHeshima
2 ай бұрын
Hamna lolote Kuna mafisadi wanapiga mabilioni mnajifanya hamuwaoni ila vibaka kama hao munawaona halaka. Labda kwakuwa wanakula pekeyao
@MwazoaMwazoa
2 ай бұрын
January Alipotaka urais Aligombea live kila mtu Akamuona.Nakua Ameshakua mwanasiasa mkubwa hakuna Anaepinga.Ila namuona haya mambo yanamkataa ni bora Aelekee kwenye mrengo mwengine wa maisha Aachane na Siasa.Maana mwishowe Atajikuta kubaya ima kwa makosa yake ya kweli.Au kwa kuchomekewa na mahasimu wake.
@deniccgabriel6153
2 ай бұрын
Mnashindwa kukamata wanaoiujumu nchi hiii mnakimbilia kumg'oa rais wakati Kuna watu wanaitwa wasiojulikana nao mlikamata wangapi😮😮😮
@gidongailo7174
2 ай бұрын
Sasa kuna ubaya gani mtu kujipanga ili kugombea Urais. Mbona 2025 wanasisiem wanatakiwa kugombea wengiiiii kama 2015 walipogombea 40+. Tunataka kuona Demokrasia ndani ya CCM inaruhusiwa ili tupate watia nia wengiiii. Wakati sis tukiandaa vichinjio, tunataka kuona watia nia watakaokatwa kwenye michujo ya sisiemu. Ujue raha sana kusikia Nape kakatwa awamu ya kwanza. Makamba kakatwa sasa kabaki Samia😂
@onesmothimos2635
2 ай бұрын
Una nikumbusha rock city Mwanza kamanda jumanne pigakazi bila kuchoka
@MasterOil-qm6vw
2 ай бұрын
Polisi mumeshindwa kudhibiti utekwaji wa watoto kweli? Mpaka mnatupa jukumu hilo sisi wazazi wakati sisi tunatimiza jukumu letu la kualinda wanapo kua maeneo ya nyumbani wanapotoka nje ya nyumba zao linakua ni jukumu lenu polisi kama mnavyosema kazi ya polisi ni kulinda watu na mali zao sasa inakuaje watoto kila siku wanatekwa na kuchinjwa ?
@twalibulomy-cd4zd
2 ай бұрын
Mkundu wako. Acha ufala. Police wapo sawa
@handenitakuru6696
2 ай бұрын
@@twalibulomy-cd4zd acha usenge we jamaa kafilwe na baba yako huyo jamaa kaongea ukweli
@twalibulomy-cd4zd
2 ай бұрын
@@handenitakuru6696 ukweli ni Mkundu wako Tafuta kazi.
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
@@twalibulomy-cd4zd Tanzania nchi ngumu sana😅😅😅😅😂😂😂😅
@SmilingCityMap-xb9md
2 ай бұрын
@@twalibulomy-cd4zdkwa mitusi hiyo huifai dunia wala kuzimu sijui uitwe nani maana upo duniani kwa hasala huna faida
@mmarandu2417
2 ай бұрын
Mgeamua kuthibiti rushwa kikamilifu taifa lingekuwa tajiri. Uwezo mnao.
@soka-fx1xp
2 ай бұрын
POLISI MNAONEA SANA WATU, KILA KONA HABARI NI JANUARY MAKAMBA KWELI ANAUTAKA URAIS , SASA KWANINI MNAWAKAMATA WATU WAKATI HILO LINAJULIKANA WAZI. UNAFIKILI KWANIN RAIS SAMIA KAMTUMBUA JANUARY MAKAMBA?? ACHENI KUONEA WATU BADALA YA KUCHUNGUZA KAMA TAARIFA NIYA KWELI.
@verdianabanabi2205
2 ай бұрын
Tena kweli
@JosefuSwai
2 ай бұрын
Kweli kaka kitu Kiko wazi halafu wanatesa watu bure
@BraxedaDomina-xn4zc
2 ай бұрын
Acheni kuzuga bhana kamateni mafisadi
@kulewamziray9068
2 ай бұрын
Wacha mvua imyeshe tuone wapi panavija
@JamaliAlly-zy1ff
2 ай бұрын
Hamna maana kabisa msitufanye wajinga jueni tunawachora 2
Mkundu WA bibi yako. Toka magetoni Mkundu wako Tafuta kazi.
@suleimanissa2089
2 ай бұрын
Kamanda piga kazi, big brain, wewe ndio polisi wa kweli
@SamuelKivuyo-t4r
2 ай бұрын
Police ni waongo sana. Wanabandika wtu makesi ya kijinga hku wakiacha mafizadi wa mabilioni wa inchi ytu ,
@deohaule8161
2 ай бұрын
Acheni uhuni nyie, acheni kukamata wanyonge badala yake kamateni watu wanao hujumu uchumi wa nchi kwa mabilioni ya fedha na kusababisha umaskini kwa watu walio wengi.
@Kahasija
2 ай бұрын
7:06 Ww Matatizo acha ujinga hakuna Tanganÿika kuna Tanzania mjinga we😊
@jackisonmlaari4556
2 ай бұрын
Endeleeni kukamata sindio kazi zenu.na msiangqoie nyuma
@HonestMchau
2 ай бұрын
Hapa hata sijaelewa
@RajabuMkonje
2 ай бұрын
Hawa polisi ni chawa wa ccm mshaanza uoga wa uchaguzi
Пікірлер: 65