Amen Amen Amen Ubarikiwe sana Mtume wa BWANA hakika shuhuda zimekuwa nyingi za kutuchanganya shetani anatafuta kila siku mbinu yakutupoteza wana wa Mungu Mungu atusaidie sana.
@dorcasWawira-k4r
Ай бұрын
Amina kubwa mtume nakupenda Sana kwa kusema ukweli,ushuuda ni Yesu Kristo kufa msalabani na kufufuka ,kwanza kama hakufufuka hatungekuwa wakiristo na maisha haingekuwa na maana kwa sababu tungekufa na basi.Hatungekuwa na tumaini kuu kwamba nasi tutafufiriwa na pia tumaini kuu la uzima wa milele.
@doricemrema2177
Ай бұрын
Amen Amen
@SamweliMushi-xl9ui
29 күн бұрын
AmenAmen
@KizaJacqueline-dw8eh
Ай бұрын
Amen 🙌
@EstherChadi-xe7se
26 күн бұрын
Amen
@dadafrida9202
Ай бұрын
Amina kubwa mtumishi wa Bwana alie teuliwa na Bwana
@leticiamakoye4871
Ай бұрын
AMINA
@LidyaPeter-nl9bt
Ай бұрын
amen
@pastormalitiushuhuda9965
Ай бұрын
Hahaha sema watu wapone, iyo ndiyo kweli, Yesu ndiyo USHUHUDA, utasikia nimeenda mbinguni nakuzimu, Yesu akasema hivi enyi watu muwe makini shetani ana nguvu ya upotevu sana, Mpendeni Mungu sana, penda neno sana kuliko maono maono mtaukumiwa kwa kusema Yesu kasema Mungu kasema, Mungu asemi semi hovyo hivyo, nafunga 40 na Mungu asemi nami ovyo hivyo, utakuta mtu ana kula kila siku alafu kila siku Mungu kasema, jipimeni hizo roho, asante mtume Mali ya Bwana kwa ujumbe huu
@roselynnauma6438
Ай бұрын
Nakubaliana na wewe sana sana. Wakristo tupende Mungu sana tena tupende neno na kusoma neno kila siku. Moano za mapepo mara maono za kwenda mbinguni kwa sasa ni too much. Jichunge. Linda imani yako Sawa sawa.
@everlynemorillo133
Ай бұрын
Very true mtumishi, barikiwa
@Hellen-gw5cb
Ай бұрын
Hubiri kabisaaa
@Hellen-gw5cb
Ай бұрын
Kuanzia Leo ntabeba ushuhuda wa Yesu
@marthanyagabona3422
Ай бұрын
Amen, Amen Amen semaa Baba tuponeeee
@mmm4199
Ай бұрын
Mariam musa AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
@AdellaSanga
Ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@Mamas-06k
Ай бұрын
Mpaka tumechanganyikiwa kabisaa, hadi tunajiona tunajitahidi bure tu,
@HadasaGallant
Ай бұрын
Jamani hii ni injili kama ya Moses Kulola asee
@MamaNyabogi
Ай бұрын
Amen amen.
@Hellen-gw5cb
Ай бұрын
Hahahahahaaaaaa!!! Waambie Mtume
@Blessings-q7t
29 күн бұрын
HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO LAZIMA TUWE MAKINI HATA KWA POSITION ZA TENDO LA NDOA, MAVAZI NA HATA VYAKULA. BWANA ANATUMIA WATUMISHI WAKE KWA NEEMA TOFAUTI. SASA HIVI DOG STYLE INAKUBALIKA KWa mkristo? Ni vizuri nile nyama ya nguruwe? Ni vizuri nifanane na ulimwengu? Neno linasema haki yetu na izidi haki ya mafarisayo. Romans 12:2
@inviolathaathanas7989
29 күн бұрын
☝🏾 I agree
@Blessings-q7t
27 күн бұрын
@@inviolathaathanas7989 roho mtakatifu hawezi funulia mtu mmoja siri za mbinguni lazima tushuke chini pia tukubali maujumbe za wengine. Hivi utakuwa UNAMTUMIKIA Mungu na shetani. Lazima msimamo dhabiti.
Пікірлер: 33