Wapendwa Mshukuruni Mungu kwa neema ya Uimbaji mliyonayo. Mshikeni sana Kristo. Songeni mbele. Huwezi kujua kazi hiyo ilivyo njema na wengi tunabarikiwa. JONAS ALFRED.
@JonasMcharo-v8q
Ай бұрын
Nmshukuru Mungu sana kuniza hapo Duluti. Bado mnaendelea kunipa malezi ya kiroho popote nilipo. Machozi ya furaha yamenitoka kukumbuka nyakati nzuri tulizokuwa nazo hapo Tengeru.
@loisalicemakala9406
3 ай бұрын
Wapendwa katika Bwana wetu Yesu aliye Hai Hongereni sana kwa kazi nzuri iliyotukuka ya kuimba.
Пікірлер: 8