Umeogea ukeli kaa mimi baba mtoto wangu alikataa mtoto wangu nikiwa na miba.sasa hivi ajitokeze siwezi kubali na hiyo May God bless you
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Xaxa xikaja kukusaidia kulea au nawew mtoto kaixhakua star
@lalyilaoman5800
Жыл бұрын
Tena huyo mzee chizi, haupati laana yoyote mm mtt wang hajawai hata kumuona baba yake mm ndio kila kitu anasubir kesho na kesho kutwa waje walalamike mm baba wafulan nawachukia mababa suruali
Mjifunz sasa dad zetu msipend kutegeshea wat mimba kila kitu ni makubalian ya wawil uko sik zako za hatr tumia soksi atak sepa mtakuw masing parent wa kutosh kam hamjitambui..
@dianamsangawale9925
Жыл бұрын
Ommy muombee baba yako aishi maisha marefu ili azidi kuona mafanikio yako na iwe fundisho kwa wengine
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Ndio maana kasema ana muheshimu sana
@sauda1236
Жыл бұрын
Pole Kaka
@HellenRanny
Жыл бұрын
Kwa yeyote anaeona kama OMMY anakosea, trust me hajavaa viatu vyake pindi alipokua anapitia ugumu wa maisha..cz am sure if u do sidhan km kuna mtu angekaa upande wa baba mtu!!!🥺🥺🥺 🙏🏾Tusiwe wepesi kuJUDGE na kumkandamiza mtt kusamehe au kumuhudumia mzaz wake cz nobody knows a story behind maisha ya kutelekezwa!! 🙇🏽♀️I can relate ndomana namuelewa Dimpoz.. “THE STRUGGLE IS REAL!!!!🙌🏿” Acheni tu..🤦🏽♀️
@biggysantos4903
Жыл бұрын
Especially siku alimppoteza mamake alafu hakupata hata pole kutoka kwa baba!!! you feel like dunia imeisha!
@restitutorcharles4253
Жыл бұрын
Ni kweli kbx jmn unakuta baba anaombwa tu ht kumhudumia mtt anakujibu anavyojua
@lgdnce8309
Жыл бұрын
upo saiii hata mm iyo imenitokea
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
Msamaha ni kila kitu kwa maisha yake
@kelvinmasele9008
Жыл бұрын
P
@ladyr.hamsini2311
Жыл бұрын
Wa llahi 😭 dimpozy tupo pamoja 🤝 Sana kakangu,na nimekupenda buree 🥰wa nataka waume hii iwe dawa kwa waume wote
@makoledukani6425
Жыл бұрын
Nikwel
@husnasamdia4176
Жыл бұрын
Alhamdulilla, Mimi nimelea mtoto wangu ,ikiwa na mimba aliambiwa ukinitaja nitakuwa,basi nimelea mtoto wangu, kwakweli nashukuru mwenyenzi Mungu,Leo hii mwanangu ananipenda
@Baby-ps3xk
Жыл бұрын
Story yako ommy ni kama ya mwanangu mungu akusimamie kwa kila japo mkatae saba mara sabini
@deboraadolfu4011
Жыл бұрын
Najiulizaga kila siku mzazi mwenzangu aliniambia hataki mtoto wa kike kwa mdomo wake na kwa vitendo hajawahi kumhudumia Toka mimba mpaka Leo hajui anaitwa nani hajui anaishi wapi miakq kumi na mitano sasa namwomba Mungu tu anikuzie asome amche Mwenyezi Mungu awe na maisha mazur na mwisho akifanikiwa kumwona baba yake amuulize kwa nini alisema hataki mtoto wa kike kwa nn hakumtunza kwa nn hakua anajua hata jina lake na kwa nn sasa amwite baba ?
@nurukiwia93
Жыл бұрын
pole tupo wengi mama
@mamananga2849
Жыл бұрын
Khaaaaa mawazo yake tasa kweli
@reganshao
Жыл бұрын
Dah ! Natamani nikufaham zaid lakin basi tu dada yangu ,pole sana , mtumaini Mungu kila wakati na usiongee chochote kuhusu huyo mwanaume nyamaza tu ,kuna siri kubwa katika kunyamaza ,hakika inaumiza ila we nyamaza tu
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Utasikia na yeye analalamika mtoto kamkataa
@raphaelnkwabi9676
Жыл бұрын
itakusaidia nini ?
@somji_tz5389
Жыл бұрын
Mungu Anizidishie Kipato.. Kamwe Siji Kutelekeza Watoto Wangu.. Watoto Ndiyo Ndugu Wa Ukweli... Ommy Amkazie Huyo Dingi Mpaka Mwisho..
@katetejoseph7290
Жыл бұрын
Safi sanaaaa Ommy, kila mtu apambane n hali yake...
@evajoseph2491
Жыл бұрын
Mwijaku anatabia za hovyo sana
@elizabethmwalukomo9949
Жыл бұрын
Wazazi upande wa wanaume mjifunze hapa jamani,, Wazazi kama hawa wapo wengi sana,, ukijua kuzaa jua na kulea watoto bila kubagua,FUNZO HILO. Pole sana Ommy I wish angekuwepo mama yako aenjoy maisha😪
@samwelizetii4479
Жыл бұрын
Nimekubali Sana broo tumetelekezwa wengi saivi maisha safi hata Mimi natamani Sana babayangu anitafute
@hamadsuleiman5177
Жыл бұрын
Duh...hiii ni fact tupu I say...wababa tunafeli wapi kushindwa kuwashughulikia watoto zetu na wakati tumekula raha na mama zao kitanda kimoja then tunawaachia wamama wanateseka maskini na kudhalilika mitaani....Ila pia kijana OMY umeongea point kwny uislamu mtoto wa nje ya ndoa sio wa baba na hawarithiani hawa..So hili la kukutupa na kuzaa nje ya ndoa inatosha kumuwacha na yeye akala nyota ya jiwe....Imeisha hiyo iwe funzo kwa mababa wengine...I swear ya kwamba ntakula, kuvaa, kuishi na kulala na wanangu mpaka roho yangu itapochukuliwa...Love u my children.
@rehemarwanda6039
Жыл бұрын
Pole sana Ommy Dimpoz wahenga walisema Fainali Uzeeni.....alidhani atakufa mapema Mungu kataka ayaone Matunda yako...Relax Happy birthday to U darling.
@sherryeverest2522
Жыл бұрын
Ommy pole sana watoto wengi mnoo wanapitia hayo maisha wanaume wengi awapendi majukumu wanapenda ule muda wa kustaregeshana baada hapo wanasubiri wasikie mtoto wako ni mtu flan anaingiza mkwanja hapo ndipo anapotaka kuwa baba Wanaume tambuen ile mimba unayoikataa au yule mtoto unamtelekeza na kumkimbia ipo siku utatamani utambulike kupitia jina lake
@itNeza
Жыл бұрын
Ommy Big Up Mafunzo Haya tena yanatufunza Sisi Vijana. ( Nipo na Wewe 100% ) ❤️✅☑️
Well said jamani 🥺 Mungu anipe umri mrefu nimlee mwanangu Imani♥️🙏
@mufamozmufash166
Жыл бұрын
Amiin sote ln Sha Allahu
@dinnahsamwel9607
Жыл бұрын
🙏🙏
@mwalimumasoudy4699
Жыл бұрын
Ameen
@yukundapeter8200
Жыл бұрын
Safi sana Ommy! Ungekuwa maskini acngekutafuta.
@eugeniaevarist1697
Жыл бұрын
Kuwa baba sio kuwa na watoto, kuwa baba ni kuwajibika kwa wototo. Ommy D big up brother. Hakuna laana yeyote itakayokupata kutoka kwa mtu ambaye hakuwajibika
@paskaziasholla7471
Жыл бұрын
Anatakiwa kusamehe
@ahz6907
Жыл бұрын
Kwanza anayetoa laana ni mungu si binadamu
@aishajuma18
Жыл бұрын
Yana watu banah wanaona rahisi sana kusamehe sijui wao wangeweza kusamehe gafra gafra tu
@lailaoman3856
Жыл бұрын
Sana,na baba ana zambi itakompata kumtenga omi,maana siwa alali yake,zambi itabakia kwenye uzinifutu
@lailaoman3856
Жыл бұрын
@@ahz6907 nakwanza amusu kwasababu si baba yake,yani omi kapatikana nnje yandoa uslam,ndounavyo sema mtoto wannje yandoa ni wamama, siwa baba duniani mbaka fil akhera
@nurukidakule9468
Жыл бұрын
Barikiwa kaka sana, Mungu akutunze tu, Mungu HUWA ni wa huruma, hatuchukulii kama wanadamu wanavyotuchukulia, ukionekana ni wa nini leo, kesho thamani YAKO itaonekana
@mtausi6995
Жыл бұрын
Kukosea kupo na kusamehe kupo,Achana na mitandao Omary msamehe baba yako alijikwaa na huna mzazi mwengine ebu rudisha upendo huyo ndio mzazi wako aliebaki mpendw maisha yaendelee .Hivi ndivyo pepo inavyotafutwa maneno ya watu yasikuvuruge. Nakushauri msamehe baba alafu utaona maisha yako yatavyonyooka zaidi
Ommy uko sawa kabisa ❤️❤️❤️wanajitokeza wakati watoto wako sawa
@jamilalucas5274
Жыл бұрын
Yani umenitonesha ommy umenitonesha kidonda changu nakuombea kwa mw/mungu uwe baba Bora kwenye kizazi chako ♥️♥️🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@petersimba3663
Жыл бұрын
Pole sana ommy dimpoz mungu alikunyanyua wewe kwasb baba yak alimsaliti vibay sana mama yak we usijl hakuna laana itakupat mungu yuko na ww ndo mana uko juu
@erickjmgema3923
Жыл бұрын
Mwijaku siku zote uwa ni mnafiki..sasa kama alikuwa ana jua hayo yote ali yaonyesha ya nini..ni kweli ata mimi baba yangu alini chukia ivyo ivyo ommy kama wewe..we piga kazi mungu ata kusimamia..
@sadamramadhan9887
Жыл бұрын
Mujaku katusaidia hadi tukajuwa stori hiyo
@kadilamore802
Жыл бұрын
Mwijaku mjinga..mnafiki mnafiki mnafiki tena
@bigdad1816
Жыл бұрын
Well said Brother msamehe mzee wako sisi wote hapana duniani sisi wote ni wapita njia mimi mwenyewe Baba yangu Mungu hamrehemu alinitupa lakini nilipofanikiwa nikamsamehe na mpaka mauti yanamkuta nilimuuguza bila kuwa na chuki moyoni wala hasira wewe endelea kupigana lakini mzee msamehe wazee wetu wa zamani wengi uelewa wao ulikuwa mdogo na mazingila waliyokulia sio kama Leo our generation ni tofauti. Pls toa hasira chuki uchungu moyoni naona wewe ni mcha Mungu so forgive him and let it go na pia epuka kujibishana kwenye mitandao. Talk to him try to educated him.
@lalyilaoman5800
Жыл бұрын
Hakuna kusamehewa ale raha yy kwa msaada upi alioutoa kwake
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
Si babaake ndo mana kidini hawana uhusiano Wa baba na mtoto
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Huyo Mzee hautaji msamaha anachotaka ni msaada angekuwa anataka msamaha angekuja wakati hajafanikiwa
@bobjulieoneheartband
Жыл бұрын
Exactly hii dunia tunapitaaa amsamehe
@bobjulieoneheartband
Жыл бұрын
Ilaaa Mwijako has a very shallow Mind
@goldengordian6835
Жыл бұрын
Pole sn Bro... ua not alone! Tupo wengi! Kubwa ni Kusamehe na Kumtanguliza Mungu.
@queenmollel6739
Жыл бұрын
Ila Ommy samehe mtendee wema japo kidogo, Mungu mwenyewe atakubariki
Uko vizuri ommy,wababa kama hawa wanastahiki na kupigwa na bastla kabisa,enzi anakula bataaa alijiona maisha yotee kayapitia fainali sasa ndio anaiona uzeeni shenzi kabisa.
@zaitungosbert9495
Жыл бұрын
Dah inauma.sanaaa MUNGU nisaidie nimlee mwanangu awe na moyo kama wako nakupendaaa
@charlesmatesorehani5012
Жыл бұрын
Uko sahihi kaka Mungu akubariki kwa kauri nzuri umetowa
@tifahhamiar8739
Жыл бұрын
Umeongea point Sana ommy..na hio iwafikie wababa kama Hao wenye roho za ubinafsi....na adhabu kwa juu Sana...yaani siwapendi na sio Sawa hata Kwa mwenyezi Mungu....sisi wote ni binadamu tunaitaji faraja na upendo niwe wa nje au wa ndani kwani mi mtoto kosa langu...hana aibu huyo mzee na wazee wote wenye tabia kama hizo
@mussangali1694
Жыл бұрын
Namuunga mkono ommy dimpoz maana yaliyonikuta yanafanana na situation ya maisha niliyopitia kabisa yani wazee wetu mfumo wa hovyo sana bila kujua anayepanga maisha ni mungu na sio mwanadamu maana nakumbuka hata me toka nimezaliwa sikuwahi kupata malezi wala huduma yoyote kutoka upande wa mzazi wangu wa kiume sasa je nitakuwaje na upendo zaidi kwao
@fatmachambo1188
Жыл бұрын
Pole sn kua n msimamu huo huo mungu azidi kukupigania inshallah kakangu
@natashakindamba4351
Жыл бұрын
Watu wambezi tujuwane hapa omy kasema atakula nasisi ,💞💞
@blandiblandiblandi.blandi3063
Жыл бұрын
Ujakosea.kaka..baba.asiye.leya.mtt.ana.mana
@einsteinmboje4730
Жыл бұрын
Mwijaku Ana Mambo Ya Kitoto Sana .. Anyways Utoto Ni Wa Kwake.... But ommy Yuko Sawa ,Mm Binafsi Nampenda Baba Yangu Coz Amenilea Na Kunipenda Na Mama Yangu The Same ... But Wasingefanya Hvyo Nisingekuwa Na Mapenz Nao .. Fullstop
@saraphinasahani5104
Жыл бұрын
Kama mie
@sergiopauloagostinho7322
Жыл бұрын
Ommy a djakoseia amioguea visury alikua na mama bila o pendo WA Baba Sasa leu mungu ka mbariki a me pata rizik ,Sasa uyo baba anataka kudjisogueza kwa Ommy sio visury aendelee na maicha yake,Samany mimi ni Moçambicano sidjui kwandica viry lugayeno.
@fredrickallan5437
Жыл бұрын
Umeongea ukweli kaka na mwijaku anakosea sana hasitumie njia ya kutafuta ugali wake kwa kuwatumia wazazi wa aina hiyo.
@audreyirakoze7807
Жыл бұрын
🤝🤝 pole sana Ommy Allah akupe umri mrefu 😘🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@aishafahdi8355
Жыл бұрын
Safi Sanaa nakuelewa Ommy na mim nakusii simama na msimamo wako huo huo!❤️❤️👍. Wengine watajifunza
@hidayyahharoonsulhi8911
Жыл бұрын
Thnx bro for narrating such an inspirational story luv udea
@sanurahaji5194
Жыл бұрын
Mwijaku mnafiki sana na mchonganishi baba mtu mzima Hana hekma
@gracemrope6198
Жыл бұрын
Ommy umenikumbusha mbaaali sana..umenipa mawazo sàana.ila pia umenitoa machozi🤲🤲🤲 🙏🙏🙏🙏
@onetoanotherglory2024
Жыл бұрын
Ommy Baba ni Baba analo la kukupa ,hata kama sio tajiri Amin nakuambia
@zaydelabay9776
Жыл бұрын
SAFI SANA, WABABA NDIO WALIVYO KUKIMBIA WATOTO. IVYOIVYO
@harmonymattondo4042
Жыл бұрын
Mm Mama alinikibia na hajawahi kufanya chochote ktk maisha yangu.Hata aliposikia baba angu amefariki hakuja msibani wala hajawahi kuja kunijulia hali....
@zaydelabay9776
Жыл бұрын
@@harmonymattondo4042 pole sana lakini wababa ndio wanaongoza. Pole ulipata mama mbaya
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
Naomba mungu watoto wangu wajekuwa na maisha mazuri baba yao ajeaumbuke kama huyu Mzee ninavyoteseka hivi mungu Ndo anajua
@dotnatajoseph2620
Жыл бұрын
Inshallah mungu yu pamoja nawe
@salumally926
Жыл бұрын
Ommy hakuna kitu kinauma kama kuishi na mzee mmoja alafu mtu anakukimbia anakuja kujileta piga chini kula Bata tu dogo.
@ameenaameena1224
Жыл бұрын
@@dotnatajoseph2620 Ameen🤲🤲
@fridamusa8152
Жыл бұрын
Inshallah mungu atamuumbua zaidi ya huyu
@aflahabdula4084
Жыл бұрын
Ameen Ameen atakufanyia wepesi mmungu
@annababuya233
Жыл бұрын
Uko sahihi kabisa omy, maana wanaume wanachukulia pow sana kuwatelekeza watoto, haya ndo yanayotokea baadae, mungu akupe maisha zaidi ya hapo! Mungu pekee ndo anaratiba ya maisha ya Kila mtu
@karibunyumbani3824
Жыл бұрын
Yaani ommy unetumia hekima Sana MUNGU akusimamie tu upo sahihi kabisa
@zainabujuma7870
Жыл бұрын
Nakuelewa sana dimpozi anaekulaumu hajajuauchungu wakulelewa namam pekeyake wakati baba yupo hataki kujua majukumiyake halafu leo anajitokeza baba fulani inauma Sana napole Sana nimeumia Sana wababa wanatakiwa wajifunze kutekeleza majukumu yawatoto hata kamaunamaisha magumu kiasigani hataupendo tu wamtoto muonyeshe lakini wapi mtu unakuta tangu azaliwe hamjui baba nababa yupo kweli hivi kweli mtoto akikua wataka akutambue Kama baba
@djkayumba
Жыл бұрын
Mwijaku hanaga akili timamu huyo jamaa ni chizi mi nawambia
@mkadammkadam
Жыл бұрын
Pole sana Ommy Dimpose pia hongera kwa ufafanuzi wako mzuri. Ni mtihani mkubwa lakini Mwenyezi Mungu Muumba atakuongoza.
@zipporahogembo142
Жыл бұрын
Is a touching story but.. you have to forgive him manaake mahali ulipo ni kwa neema yake mwenyezi Mungu
@allysimon2800
Жыл бұрын
Hakuna aliyesahihi katika haya maisha msamehe baba yako amejifunza.
@kadilamore802
Жыл бұрын
Nyamaza wewe hayajakufika
@kilengagasper3924
Жыл бұрын
Kweli pengine angelelewa na baba now angekuwa mtu wa kawaida tu
@African511
Жыл бұрын
Wazee wa sasa wanafer sana,hii situation inatokea sana kwenye hii life ikiwagonga hawa wazee,ndio wanaanza kufuatilia vijana wao,wakiwa wako safi kwa uchumi,wababa badilikeni acheni mambo hizi ninyi wazee.
@khadijashabaninimba7890
Жыл бұрын
Hakika kaka
@michaelmotika5250
Жыл бұрын
Mwijaku hajitambui mnafiki Sana na yeye amuo yeshe baba yake!
@pujimontanapachino4958
Жыл бұрын
Ommy hupo sahii sana mpe mtaa tu huyo mzee ana mpango bro hata ukitazama maojiano ya yule mzee unatambua tu mzee yupo duniani kwaji yakuongeza idadi ya watu
@mariamone2406
Жыл бұрын
Msiterekeze watoto hata Kama humpendi mama wa toto mtumie hata matumizi kidogo
@mtanzaniahalisimungunimwem673
Жыл бұрын
Baba yako amekosea Sana.Lkn jukumu lako kumsamehe tyu bure na kushea nae baraka alizokupa Mungu. Usihesabu makosa maana Mungu angetuhesabia makosa Yetu, kweli tusingelikuwepo Leo.Shetani alimpotosha Baba yako akakukimbia,chunga shetani huyo huyo asikupotoshe na wewe umkimbue baba yako, ,maana mbele za Mungu mtakuwa na makosa yaliyo fanana wewe na baba pia
@ibrahimmakasi4690
Жыл бұрын
Usirahisishe hakuna shetani hapo.... Acha mzee nae asote kama alivyosota jamaa na hata laana haipo hapo
@lailaasked3570
Жыл бұрын
Da inauzunisha sana Pole sana huyu mwijaku ifike mahali ajiheshimu bwana kula raha zako kaja ommy achana nae
@juliusdonard933
Жыл бұрын
Pole ommy wazaz wa hvii weng sanaa ,hata mm nkiwa na jina baba angu aitokeza anadaim mm mwanae ,duuu ntachukua mdaa kumsameheee,ila msamehee tuu kaka
@salmaadil7122
Жыл бұрын
Kwa dini yetu yakiislam huyo sio baba yako nawala humrithi wala hakurithi chochote kama ww umezaliwa nje ya ndoa...so upo sahihi tu wala huna dhambi broo ishi maisha yako...na jitahid umfanyie sadaka mamaako zitamfikia huko aliko nakumueka pahala pazuri.ammin
@bintik2311
Жыл бұрын
Salma nimependa ushauri wk.Safi.Allah akulipe
@Sheba4651
Жыл бұрын
Bila shaka yupo sahihi. Si babake.
@dancun217
Жыл бұрын
Clouds maboya,,,,mwijaku mnafki
@marthakimia4075
Жыл бұрын
Pole sana na Hongera sana umewafundisha wa baba wengi wanaotelekeza watoto
@anastaziajoseph7682
Жыл бұрын
Huyu mwijaku ni kichaa.hajuagi hata kuwa kuna mapito katika maisha ya watu wengine
@aishaaisha4082
Жыл бұрын
Ommy, i must commend you for having the courage to tell off that man how life goes. What makes you a man is not the ability to make a child, it is the courage to raise it. Ommy this man could be your biological father but he was not in your journey. Dont let him trap you na sarakasi zake
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
Acha wenge wewe bila baba yake angekuwepo?? Msipende kuropokaropoka!! Heshima kwa baba lazima iwepo haijalishi ni baba wa dhambi gani!! Au unaongea kwa sababu ushabiki kuwa halisi
@gracekabuje4183
Жыл бұрын
Ommy uko sahihi kibisa nakuunga mkono bat wengi tumebitia hayo maisha mungu yuko pamoja nawewe sawa na ndomana Kuna maisha mengine baada ya maisha mengine
@truthmediatz861
Жыл бұрын
@@kallandoshija5121 huyo sio baba yake na dimpoz ni mzee aliyesaidia kurutubisha yai la mama dimpoz mataCall wewe
@kallandoshija5121
Жыл бұрын
@@truthmediatz861 kitanda hakizai haramu upo tena awe na heshima na adabu kwa legend wake!!
@truthmediatz861
Жыл бұрын
@@kallandoshija5121 kitanda cha nyoko !! ndo alishindwa ata kumzika mzaz mwenzie ! Oky hakua mkewe hamhusu , ata kumpa pole mwanae hakueza !! akala bati mazima ! uyo mzee ni kuma tu hakuna cha Legend ni kuma !!
@sanaayetu4615
Жыл бұрын
Omyy dimpoz brother,!! Nakubali ulichokiongea nifact na ni point sana !! Wew pekeeako ndiye unayejua maisha uliyo yapitia kaka lakini ikumbukwe tuuh!! Hata kwenye kitabu cha Allah inajulikana kuwa ndie baba alie kutaa kiunoni mwake, haina budi kumweshu nakusamehe yote fadhila zitatoka kwa Mungu kakaangu mfanyie kheri baba ako kwakumshukuru kwanamna ya kukuleta duniani broo Nakuomba mpe fadhila ata kidogo coz ni baba mzazi uyo kula nae meza moja mwonyeshe upendo nayeye ndiye alie mpa furaha marehem mamaako kabula ya yote ayo huwez jua season behind ila muone ni mzazi roho ya kisasi kwenye damu yako usithubutu kurehemu Ndo ibaada kuu utamwambia nin Allah ikiwa kwa baba umesema Nooh!! 🙏🙏🙏 Naomba huu ujumbe umfikie ommy kwanamna yeyote please@mirady Ayotv
@fortunataangelo5575
Жыл бұрын
Mh! Mungu anisamehe
@abdallahathman8306
Жыл бұрын
Sio rahis kam unavodhan alaf ksheria mtoto wa nje ya ndoa hatambulk kidin yaan:baba hawez kumrth mtoto wala mtoto hawez kumrth baba kwahyo ksheria ya din hatambulk mtoto ni wamama kam ni wa nje yand0a
@user-rv2zz2wh3k
8 ай бұрын
Pole sana mpenz allhah aendelee kukusapot inshallhah❤
@sophierseyyd1162
Жыл бұрын
Achana nae asikuumize kichwa kula maisha alijua utakuja kuwa mwiz au alijua utkua mtu ambae haelewek Mungu anajua kuwaumbuwa watu km hao kajua utateseka ndo Kwanza Mungu anazid kukunyooshea Mm hap mjmzt mwanaume kanikataa akinambia nitoe au nitafute mwanaume mwingine sina mama Sina baba nailea mimb yang kwa tabu Sana Nina iman ipo siku CZ Allah hulipa hapahapa dunian shd ninazopitia kesh uje useme Nina mtt Wang ooh MTT Wang Aiseee 🙌🏼🙌🏼🙌🏼 Allah anipe nguvu nielee MTT Wang vyema InshaAllah 🙏🏼
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Asee nitafute wewe Dada, please,
@sophierseyyd1162
Жыл бұрын
@@sheckycobb5240 nakutafutaje
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Itambilike hiyi Mtoto wa nje ya ndoa sio wa Haramu Haram nikile kitendo walicho fanya wazazi Hamna Mtoto Anae tambua twaja kujuwa ukubwani Mungu Atusameh pole sana kweli Inaumaa wazazi wanao telekeza watoto sio poa hakki teseka na mwanao hujuwi ya kesho 🙏😥
@eyabdimaha3698
Жыл бұрын
Ni kweli
@naomymbuyu3058
Жыл бұрын
Kweli umefunza kitu
@zubeirkhamisabdallah8090
Жыл бұрын
Ila dini inakuruhusu kama ulkuwa mtoto wa nnje ya ndoa sio babako huyo mama ndio kila kitu achana nae.
@stevenlugojeremia2323
Жыл бұрын
Zabeir Khamis Abdallah...Ni Dini Gani hiyo inayo elemea upande mmoja?? kuwa ukiwa mtoto wa nje ya ndoa kuwa huna baba?? na kwanini usiseme mama yake pia sio mama yake??
@mwajumayassir2251
Жыл бұрын
Dini inakataza mtoto ila zinaa inaruhusu
@abdallahally1309
Жыл бұрын
Umesha ommy una baya sio ww wazee Kam hao wapo wengi tu usjar
@isackmichael1571
Жыл бұрын
mwijaku unamamboo ya kishoga mbog
@jumakapilima7295
Жыл бұрын
@@mwajumayassir2251 unakufuru,,,
@tahiyasaeed
Жыл бұрын
NAKU-SUPPORT 100% OMMY DIMPOZ HUYO MZEE ACHANA NAE KABISA KM ULIVOSEMA KIDINI KWANZA SIO HATA BABA YAKO. HUMRITHI WALA YY HAKURITHI ACHANA NAE…….
@dotnatajoseph2620
Жыл бұрын
Wababa wanajisahau Sana wanaona ya leo ya kesho hawayaon mungu akutie nguvu ommy
@machachehardware5975
Жыл бұрын
Hapana mzee kwa jinsi alivyo si kwamba anashida sana. Mahitaji yake anakidhi mbona yuko vizuri anavyoonekana cha msingi amsamehe mzee wake maisha yaendelee kuna mengi katika ndoa
@sheckycobb5240
Жыл бұрын
Huyo Mzee mpenda kitonga, Mzee wa mjini
@latifaalsh5421
Жыл бұрын
Yani ommiy wewe hiyo story yako ni Mimi kabisa kinaga ubanga hata mimi baba angu Sina mapenzi naye hata chembe Maan nimeteseka na mama angu hadi leo bado mungu ni mwema na dua la kuku halimpati mwewe dayma acha atangaze Lakin Allah ndo kinga yetu
@victorbugobola2276
Жыл бұрын
Sahau kuhusu hayo, kijana samehe na maisha yaendelee
@michaeljohn9070
Жыл бұрын
kazi ya kumuadhibu baba ako ,,sio yako ommy,,niya Mungu mwenyewe,,kumbuka pepo yako ipo chini yake,,, sisi watoto tunapaswa kuwa samehe wazazi wetu,,hatakama walitukosea sana,,lakini wao ndio chanzo cha uhai wetu,,wana daraja kubwa sana kwenye maisha yetu,,msamehe ,na muishi mazuri,,Mungu anapendezwa na maisha ya mapatano sio ugomvi,,mna mpa shetani nguvu na kuwa vuruga familia nzima ,,nakusihi sana ommy,,msamehe baba ako
@fralex_1276
Жыл бұрын
Mwinjaku kayataka yote haya...SALUTE kwa dimpozi...
@mdta8161
Жыл бұрын
Mwijaku mie naona yupo sawa Sasa tungepata wapi ubuyu
@mubarakatwaha7776
Жыл бұрын
Hayo maisha tunayo wengi lkn tulisamehe kwa sababu mama zetu walituasa kusamehe, halafu ktk maisha yako Kama umeweza kutengeneza watu na wakakuthamini, na niwengi kuliko baba yako basi wanatosha kuwa baba zako, acha kisasi binaadamu tunakasoro nyingi sana, na uisilamu hauna deni ktk watoto wa aina zetu.
@selestinemchome7154
Жыл бұрын
Mambo ni mengi kwa ground,sema tu maza katangulia mbele za haki so hatujui ukweli,unawezakuta hata mama alimwambiaga huyu sio mwanao..ndio dingii akala kona
@suleimanjuma4443
Жыл бұрын
Broo nmekulewa cn huakika wazee huwa wanazingua sn kutekeleza wtto halfu maisha ykiwa sw hujileta na kupakaza ubaya halfu ndo ukiwa muslamu unahiyar yko kumpa au kutompa maana hta yy hajatenda haki kukuzaa njee ya ndoa Broo achana nae na bora ungekaa kmy ukamucha afanye anavo taka big up
@najmathiney65
Жыл бұрын
on point kaka uko sawa nakupenda sana bro
@leiratykisura6718
Жыл бұрын
Wanaume wa kibongo wengi waho wanaroho mbaya wakisha gombana na mama watto wao wanaweka chuki mbaka kwa watto wanawasusa sio vzr mjue mtto unaemtelekeza kesho mungu anamuinua kuriko hao watto hunaowapenda kwa muda huo,sisi wa mama turiochiwa watto tunaptia mengi sana wababa wengi wapo ivyo wanakimbia majukum kwa kigezo atanitafuta tu sasa bola mnavyo wakomesha ivyo ivyo my bro nimefurai sana urivyo toa ushauri kwa waze wanaokimbia majukum mtto akikuwa hanajifanya ndio vidume na.ndio baba?
@aishaarusha894
Жыл бұрын
We hao sio wa bongo wakigoma
@bahatikyusa8864
Жыл бұрын
Story yako ni kama ya mwanangu babaake arimkataa tangia yupo tumboni mpaka kazariwa bado anamkataa sasa anaumri wa miaka kumi na 2 napambana nae mwenyewe mungu yupo na hajawahi kutuacha
@simbaboymawe435
Жыл бұрын
Umalay wenu pia nao unachangia akuna chiz akatae mtot kama hamkua na migogoro ya fumaniz kweny mahusian
@allyrashid3732
Жыл бұрын
@@simbaboymawe435 yaan sababu za mtoto kukataliwa hawasemagi,kazi yao kulalamika tu ht ukweli wa jambo kasababisha yeye
@Sheba4651
Жыл бұрын
@Bahati Kyusa Huyo mwanaume alikuowa ama mlikutana guest tu. Sisi wanaume watoto wa short time huwa tunajua wana mababa hata mia, ukiwa uliolewa tena unatekelezwa hapo nakupa pole.
@roi2554
Жыл бұрын
Omary Kama ni kweli basi upo sahihi mzee baba
@fatmashija5637
Жыл бұрын
Nakupa big up bravo Asante sana hakuna raana yoyote utaipata wapi? Aende zako
@rehemamshiko6753
Жыл бұрын
Umeongea vizuri sana ommy kwakweri
@clementbulabo7771
Жыл бұрын
Kizazi hiki Mungu atusaidie mzazi ni mzazi tuu hatakama hakutoa hata mia kwako hizo ni bengu zake umetoka kiunoni mwake ujajileta duniani nawala usihisi kama unamukomoa kusema asiwe ukaribu nawewe mari tutaziacha hapa hapa duniani hatukuja na vitu hivyo nivitu vya kupita ila mzazi hapiti samahani ya mzazi iko pare pare hatakama alitaka kukua ukapona ila itabaki kuwa mzazi wako tuu nawaote mnao sapot mtu kutengana na baba yake fikirini kwa mara nyingine mzazi ni mzazi tuu
@winny973
Жыл бұрын
Ni kweli namjua huyo mzee tena huwa anajitangaza kabisa yeye ni baba wa ommy dimpoz, anajisifu balaa na bajaji yake pale sumbawanga mjini
@zainabumsafir1182
Жыл бұрын
Swadakta maneno mzuri kbs heshima kwa mama wote duniani
@patrickmwambuji8284
Жыл бұрын
Acha maisha yapite lia baba ni baba Hakuna mubadala wake USIPO shukuru kwa kwa maisha uliyo pita Basi shukulu kwakuwa chanzo cha kuwepo wewe hapa duniani Maana kuja kwako hapa duniani ndio njia pekee uliyo pitia hilo nalo je utasahau Usivune maumivu ya hapa duniani Vuna UPENDO uliyo kujanao Ili uwepo sababu ya wewe kuwepo hapa ❤️❤️❤️❤️💘💘💘💘
@suleymanally1465
Жыл бұрын
Mwijaku uchale umezidi mpaka unakuwa bwege, hicho unachokifanya sio sfa Bali unamtia unyonge dimpoz kwa kutaka kwako misifa, na wote wenye akili timamu tumekudharau mnoo
@unjuinkuganda1991
Жыл бұрын
STORY Yako na Yangu hazitofautiani sana.
@omarymakota8252
Жыл бұрын
Yaan na me
@lipulifreightforwarders1054
Жыл бұрын
tofaut ye kapga pcha na ronaldo
@maryaika9645
Жыл бұрын
Ommy dimples you late me down my dearest brother. Do good and leave the rest to go I have a worst situation than yours You should not be judge GOD position your occupying. Bro you don’t need to explain to no one but what Dr Mwijaku did is correct You have let me down so much
@restitutorcharles4253
Жыл бұрын
Nimejikuta natoa machozi😭 bro nisiongee sana Mungu awatunze wamama wote
@marckione5100
Жыл бұрын
Uko sahihi ila msamehe maana hata Mungu atajitukuza juu wema wako
@zamdakimaro8040
Жыл бұрын
UMEONGEA POINT
@mammam4701
Жыл бұрын
Kabsa
@angelraphael8754
Жыл бұрын
Hamna kumsamehe,ili wengine wajifunze siku hizi wengi wanakimbia majukum ilighali wanajua watasamehewa.
@realscholarships-bolde.2344
Жыл бұрын
Kusamehe kasemehe...kunatofauti kubwa ya kusamehe na kujifunza. Kusamehe ni kuponya jeraha ila kujifunza hakuna hisia za mapenzi yeyote.
@saralema4589
Жыл бұрын
Naona hujamuelewa keshakwambia kua dini yke inasema mtt wa nje ya ndoa ni mtt wa mama Sasa wewe unasema amsamehe amsamehe hyo vpi lbda?
@fathimamct232
Жыл бұрын
Halafu mzee yupo vizuri tu na Wala hajalalamika kama mwanae hamuhidumii na Wala hajasema kama kakataliwa na mwanae hajasema hayo Leo Omy umepatikana mana Huwa unapenda kuyavalia njuga mambo ya wenzio.
@yasodishonest9792
Жыл бұрын
Nakuelewa sana omi .na umesema kweli mtoto wa nnje ya ndoa ni wa mama baba ausiki akiamua baba kulea aya kama ajataka pia aya japo inauma kwaiyo uko sawa omi mzee atulize tu ashuo lake uko simbawanga🤝
@ayubuomondi4911
Жыл бұрын
Sijui nikupe soda ya baridi sijui nikupe hongera kiasi gani big up ommy I trust u
@joharsuleiman2123
Жыл бұрын
Yaani mwanangu Ommy Dimpos usisikilize lolote na wala usitetereke simamia hapohapo au clouds waache waendelee na tabia zao, na huyo mzee achana nae, yaani nakupenda mtoto wangu nimefurahi kuachana na huyo mzee, yaani natamani nikuone nikupe zawadi baba na mimi huyo nyoka ninae mwanangu, usiogope mimi shahidi yako leo duniani na kesho akhera, huharibikiwi wala, hupati lana wala nini, baki na hayohayo mwijaku yatakusaidia, mwache asote ili iwe fundisho kwa wazee wengine
@tumainmaseta8826
Жыл бұрын
Upo sahihi omy,,hakuna wakukulaumu
@zuwenaissa8628
Жыл бұрын
Ommy pole sana kwahayo uliyo pitia kweli mm sikulaumu upo sahihi na ndio fundisho kwa wanaume wote wanao telekeza watt wao wakizani hawakui haya yapo kwangu kweli wamama tunateseka sana na watt wetu lkn hatuwezi kutupa watt wetu na uliona mwanamke anamtelekeza mwanae huyo akili zake hazipo sawa
@elianaevarsty2325
Жыл бұрын
Tunajua unaumwa baba turia wasikusumbue
@fatimamv2723
Жыл бұрын
We are the same mm pia simjui babayng alinikataaa inauma sn 🥲
@hamed_nassoro
Жыл бұрын
Pole sana fatima
@fatimamv2723
Жыл бұрын
@@hamed_nassoro Asante ndo hivyo nmeshakuwa unajua watoto w kukataliwa ndo wengi wao ufanikiwa mm sai hata babangu atokee nitamwambia cjui
@floramlowe7078
Жыл бұрын
Mungu atusaidie tu kina baba mjifunze na ndo mnaongoza kwa kutelekeza watoto
Пікірлер: 949