Kuna changamoto za Baadhi yao kutojua Ndoa ni Nini (KKK1601-1666), Wengine, kupenda mno fedha siyo Mtu (1Tim6:8-12), wengine, Kutojua kama Maisha ya Ndoa ni kuwa Askari mstari wa mbele kwenye vita ya Kiroho kuelekea Mbingu (Efe6:10-18) Kuwa na Familia Bora ni kukubali kuwajibika kuifanya Famiia iwe Chuo cha Upendo, Imani, Sala, Huruma ua Mungu na Uvumilivu (KKK1656).
- Күн бұрын
KWA NINI baadhi ya WANAUME Hutelekeza FAMILIA na KUKIMBIA MIJI yao ???
- Рет қаралды 161
Пікірлер