Mungu azidi kukutumia Pr Leo Nimejifunza kitu kipya namshkuru Mungu kwa hili
@DIANAMAGEMBE-dy9um
8 ай бұрын
Pastor, Ahsante sana kwa masomo unaendelea kutoa yananisaidia sana katika maisha yangu, ni mengi nilikuwa sijui lakini Leo Mungu amejifunua kupitia wewe, kiukwel nabarikiwa sana muda mwingi natamani kusikiliza mahubiri yako. Jina la Bwana litunzwe milele zote Amina.
@azaransari7307
2 жыл бұрын
Nimejifunza kitu kipya leo kwa swala la kufunga maono. Asante kwa ufunuo huu mkubwa Glory to God. Salamu kutoka Germany.
@fredyomarimnkeni2427
2 жыл бұрын
Amina,umenibariki sana Pastor. Zidi Kubarikiwa Mtumishi!
@avelinageorge9449
2 жыл бұрын
Amina pastor unagusa maisha yangu kwa.mafundisho yalo
@juharazanzi997
2 жыл бұрын
Amina mchungaj hakika umenifungua macho kuona mbali. Ubarikiwe sanaa
@ferdinandlutate8979
3 ай бұрын
Ubarikiwe, mtumishi. Haya ni mafunzo ktk maisha ya kondoo wa Mungu ya leo hii. Nimeyatuma kwa vijana wetu na makundi nilimo na ninayoyapenda sana. Tumebarikiwa waumini tutakaokusikiliza na kujitahidi kutenda unavyoshauri..kujiuliza maswali au kuwa tunduizi (critical thinkers) tupitapo ktk mikhtadha anuwai kimaisha. Kuamka na kutenda malengo yetu ya kujiendeleza , badala ya kupanga hewani na kuishi kwa kutumaini. Wahenga waliasa kwamba kesho haiji...ila LEO ndiyo tunayoiishi.
@christinaandrealunyilija8420
2 жыл бұрын
Amina pastor nawapata vizuri sana nikiwa mwanza magu
@beatricesabi2371
2 жыл бұрын
Barikiwwa paster you are a blessing to this generation
@mariammussa7654
8 ай бұрын
Mungu wako akutuzee
@Alina-sl6hj
2 жыл бұрын
Pastor ubarikiwe sana,umenifundisha mmbo ya muhimu sana katika maisha yng ss nakwenda kufanikiwa Amen
@saramss7262
2 жыл бұрын
God bless 🙏 you Man of God 🙏🙏🙏 bless
@DeboraMwita-s1u
11 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu pasta mafundisho Yakoyamenibariki mno nimejufunza Kwa yesu niraha tu
@HouseYoutube-z1x
11 ай бұрын
Pastor Mungu akulinde kwa njia zote🙏🙏
@YohanaLazaro-rj7cp
Жыл бұрын
Yes nakubali san
@juliusmidodo195
2 жыл бұрын
You are a true messenger of God. We are blessed to have u in this generation. (From Kenya)
@manrasiel8054
2 жыл бұрын
Asante Pastor umenijaza fikra mpya kwenye ubongo wangu.🙏
@teddyndaki5137
2 жыл бұрын
Thank you sooooooo much Pastor Leo nimepats kitu kikubwa sana cha kubadili maisha yangu,Mungu anisaidie kutimiza haya,na nina yafunika kwa damu ya Yesu
@EmmanuelBomani
3 ай бұрын
Asante Sana MUNGU aku akubariki
@wasengaswillah8607
2 жыл бұрын
Amina pastor, maana kufanya kazi bila malengo ni sawa na kuendesha gari bila kufuata mwelekeo hivyo safari huishia njiani.
@mesh7315
2 жыл бұрын
Pastor leo umenielimisha kweli kweli just know that you inspire so many of us and our life changes alot. May you be blessed even more Glory be to God
@dottolucas4504
Жыл бұрын
Pr Mungu akuzidishie uelewa wa vitu vingi
@zabronemmanuel-eo1om
4 ай бұрын
Asante sana kwa mahubili yako pr mbaga
@charitebass3857
2 жыл бұрын
Amen Amen wewe ni Pastor mwalimu ten mkombozi wa Vijana Africa...but vijana wakristo tuwe makini🙏
@fatemajohn3195
Жыл бұрын
Ameen pasteur ubarikiwe sana 🙏🙏
@amnamax8676
2 жыл бұрын
Amina,hii niyakwangu pastor,barikiwa sana
@saumhamisi7320
2 жыл бұрын
Ameeeeen pastor
@asooraaasooraa4816
2 жыл бұрын
Amina Amen mtumishi wa Mungu somo zuri sana
@HuldaMadulu
4 ай бұрын
Mungu akubariki sana umegusa maisha yangu umenisaidia mambo mengi sikuyaelewa kabisa
@hboy1526
2 жыл бұрын
Amin my pasteur
@vicentndiholeye1067
Жыл бұрын
pasita nashukulu sana kwakunielimiasha mungu akubaliki sana sana
@eugenianaftali2706
2 жыл бұрын
Barikiwa mchungaji nauende mbali tunakusoma vizuri hapa Serena hotel karibu serengeti
@sebastianlucian5916
10 ай бұрын
Ameen nashukuru mungu kwasababu kila siku naingiza ktu kipya
@dianambwambo9991
2 жыл бұрын
Barikiwa,mtumishi,munguakubariki
@elizabethgodfreytondo3052
2 жыл бұрын
Amen,nimebarikiwa masomo yako Pastor
@hellenngwilla550
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu somo hili ni nzuri sana kuna mengi nimejifuza
@andjelanikandolo6046
2 жыл бұрын
Asante sana kwa kazi hiyo nzuri
@margrethkaserikali1458
2 жыл бұрын
Amen Pastor 😌🙏
@esthermboje8959
2 жыл бұрын
Amina mungu aendelee kukubariki nimejifuza vitu vipya kabisa ambavyo nilikuwa sivijui
@estherkusaga9181
2 жыл бұрын
Dah nakupenda bure Mlefi,tusaidie cc vijana wengi tunavaa vizr lakini hatuna hela na inatufanya wakati mwingine tunafanya mambo yasiyo mpwndeza Mungu hususani wadada kuwa na mahusiono ya kingino na wasiyo mcha Mungu wakati mwingine kuolewa kabisa na kumuacha Mungu asante kwa elimu hii
@theopisterbulamu9497
2 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishicwa Mungu, unaakili sana Mungu Akusimamie
@shimwekagwiza1099
2 жыл бұрын
Amina pastor, MUNGU akutunze kwa ajili yetu 🙏🙏
@bensonjohn5400
2 жыл бұрын
Ahsante,, Barikiwa Pastor
@rehemaburton2962
2 жыл бұрын
Amina ubarikiwe sana endelea kutubariki
@fathiasaed9718
2 жыл бұрын
ameeen God bless you
@JumaJesik
7 ай бұрын
Amine 🙏
@abelmwilapwa1111
2 жыл бұрын
Uko tofauti sana mchungaji natamn kama ungekaa na wachungaji wapate semina kwan naona km ndio msingi mkubwa wa kuinua wengi kiuchumi
@kidaushadrack5239
2 жыл бұрын
AMEN
@ismailkatanga6611
2 жыл бұрын
Asante kwa somo lako mwalimu 🙏🙏🙏🙏
@hbdina
Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Mchungaji wa Mungu Baba Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen🙏🙏🙏🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@HyrineBochere
Жыл бұрын
😮😮😅😅😮😅
@HyrineBochere
Жыл бұрын
😮😅😊😅😅😮😢😢😢😅😅😅😅😅😅😮😅😊😅😢🎉🎉🎉
@HyrineBochere
Жыл бұрын
38:52
@sikuzanibusanya7352
2 жыл бұрын
Amina Amina ubarikiwe
@Pendomabula
2 жыл бұрын
Amina Pr.
@erickmuema2393
2 жыл бұрын
Barikiwa pastor
@RoseIbrahim-rr1xo
6 ай бұрын
Ameeen
@mkorinthotz7449
Жыл бұрын
Amina
@hellenratemo2813
2 жыл бұрын
Amen , nice nd powerful message I ave learned alot let us do according to it in God's Grace 🙏 , God 🙏 bless u pastor
@santosanto6377
2 жыл бұрын
MUNGU akubariki pastor
@morisanoint8635
2 жыл бұрын
@1
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Baba kaka yangu mutumishi Wa mungu a salamaleykum wewe umenisaidia maisha yangu yote mpka kuingia mbinguni île somo umetufichulia siri ya maandiko somolako umesema unabii kwa dunia nzima wa 2022 nimekufata kutoka Oman wewe ni yoane wetu kwa kizazi hiki sauti ya mutu aliae jangwani yowane wetu wewe umetusaidia ku tengeneza imani kwa ku subiri mu nyama n'a unyakuo wa bwana wetu yesu kristo wewe n'a tamani sikumoja tukutane mbinguni tucheke tu furahi pamoja wewe n'a sisi wa sikiliza ji wako kwani mimi n'a tamani unyakuo naokopa moto wa millele 🙏🙏🙏🙏
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Mungu akubariki saaana
@evalineodira8680
2 жыл бұрын
Pray for me
@cesarmilumbu6463
2 жыл бұрын
Vrmt nivizuri sana mungu atubariki kwa mitazamo wetu amen
@aleroalero277
2 жыл бұрын
Amen
@jimmalosha2049
2 жыл бұрын
Very powerful message
@moonfmoontv
2 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu
@rizikimakupe
Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe na itwa Riziki niko Saudia mbona niki jaribu namba yako haikubali ama nivile nikombali
@hamismashauri4956
2 жыл бұрын
Nakupenda Sana pastor
@brunomirambi8792
2 жыл бұрын
#MSHAHARA NI MADAWA YA KULEVYA UNAYOPEWA NA MWAJILI WAKO ILI KUKUSAHALISHA NDOTO ZAKO # hii hii hii hii inanitesa nimeona nifunguke tu MUNGU INGILIA KATI.
@josephlwago5950
2 жыл бұрын
Barikiwa sana, najifunza jambo la muhimu sana
@robartmwangomalecharnel7860
2 жыл бұрын
Hongera sana mch mafundisho yako yananibariki sana
@mshigilakarume4425
2 жыл бұрын
Barikiwa sana pasta
@kamaratsalimsafari8838
2 жыл бұрын
Nice talk 👌
@esterdaniel5177
2 жыл бұрын
God bless v
@corazonokinyo6324
2 жыл бұрын
Usiseme nita ,Sema nina
@farajmanuar3589
2 жыл бұрын
Amen..
@ishatvonline.213
11 ай бұрын
🙏🏼🙏🏼
@humphreylukoyeopwapo4777
2 жыл бұрын
Blessed
@giftmoses396
2 жыл бұрын
Ninapomsikiliza Pr. Mbaga ninamuona mtu mmoja anaitwa Dr. Myles Munroe. Ikiwa mtu ataweza amtafute huyoo jamaa youtube nenda ukasearch Munroe Global
@johnmnason983
2 жыл бұрын
Kweli kabsa. Yani wanafanana vitu vingi..!!
@EuniceOlumbe
Жыл бұрын
Pr. Kama mimi maono tangu sikujuakufunika na imepigwa Sana konokono ndoto ya kurudi sule primary mkono kuganda nifanyeaja nisaidie
@saramss7262
2 жыл бұрын
Barikiwaa SANA mtumishii
@lizabigirimana5004
2 жыл бұрын
Amina Pasta lakini ninaswali umesema mukristu nivizuri kufanya kazi nikweli lakini nyinyi tena mapasta munatufunza eti kuna wito tafauti . Kunawale wameitwa kuudumia tuu washirika yaani yeye ni kanisani tuu akisha anakula sadaka na moja ya kumi ...nawengine nimapasta lakini wanaweza tumuka kazi zingine ... ssasa iyo unaisema eko nini?????? Naitaji kujuwa kweli asante
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
Kila mtu afanye kazi
@BlackBoyOfficials23
2 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga KUFANYA KAZI TU HAKUMFANYI MTU KUFANIKIWA TU BALI AWE NA ELIMU YA FEDHA,NA KAMA UKIWAFUNDISHA WATU KUFANYA KAZI TU BILA KUWA NA FINANCIL EDUCATION UTAFANYA WATU WAFANYE KAZI HADI UZEENI NA HAWATAACHA URITHI KWA WATOTO
@amonpeter3378
2 жыл бұрын
Amen,
@fridayuda9577
2 жыл бұрын
BABA WEWE MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KUTUPA CHAKULA CHA ROHO NA MWILI, UMENIFUNGUA UFAHAM WANGU NA MILANGO YANGU YA FAHAM IPOKEE ELIM HII NA IKAZAE WATOTO NA VITUKUU Aamina 🙏🙏
@valenakomba7686
9 ай бұрын
yaani mnakuwa mapastor ili kufundisha somo la uchumi?.
@tajimtera2518
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@alfredadogo712
2 жыл бұрын
Habari
@telaamtauta2227
2 жыл бұрын
Sahihi kabisaa mkuu watu tumeangamia kwa kukosa maalifa
@MN-hi8ll
2 жыл бұрын
Amina… ni yangu hiyo
@elizabethgodfreytondo3052
2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kwenye maono ya vitu kupitia somo hili nimejua jinsi ya kuvifuungia vitu vyangu.
@bostonogoti1460
2 жыл бұрын
Ukitumia tablet ama lab top sasa sii washiriki wako watatumia simu kuwa simu, na bibilia itakuwa wapi????
@BlackBoyOfficials23
2 жыл бұрын
Kinachowafanya wengine wafanikiwe wengine wasifanikiwe ni elimu walizonazo kuhusu mafanikio na pesa na baadhi ya wahubiri wamefanya most wasifanikiwe
@jolemerci2155
2 жыл бұрын
Mungu asikuache akushike mukono akufunulie n'a mwengine tupone
@crealmarwa
2 жыл бұрын
Kupenda fedha ni vibaya Lakin kuwa na kipato ni vizuri hahaha 😂😂😂
@avelinageorge9449
2 жыл бұрын
Mch.natamani kubadilika
@SarahBetrayal
Жыл бұрын
Kweli pastor naomba unisaidie tu coz ninapoomba najipata nalala😢 naomba unisaidie tu
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Mungu akutendee muujiza
@SarahBetrayal
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga amen coz nipo gulf na ambaye ameniajiri anakuja Hadi anasali kwa mlango ya room yangu Sasa nikimaliza tu kazi hivi ety naingia kwenye room yangu nikijaribu kuomba tu ninalala na hii ni mara ya pili bossy wangu kufanya hivyo
@DeboraMchunga
6 ай бұрын
Barikiwa mchungaj tunazidi kunemeka San kwa hayo mahubir yako
@victaeliud948
2 жыл бұрын
barikiwa
@elienew3788
Жыл бұрын
Mungu anisaidie na mimi ili nibadilishe fikra
@jonisiambifile7150
2 жыл бұрын
Nimeelewa
@theheraldbroadcastingnetwo4836
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana Ninafuatilia
@bahatijohn1958
2 жыл бұрын
Ameina mchungaji
@rinaldaoman7892
2 жыл бұрын
KWELI kabisa KTK kumtafuta MWENZI wa MAISHA sikulijua hili
@azizyannelly5199
2 жыл бұрын
Ata serikali yetu nayo iwe makini kuhusu hizi chanjo wanazopewa watoto wadogo mimi nahisi nazo zinaweza kua na ujanja ujanja wa kudumaza akili za Waafrika..🙏🙏
@elizabethgodfreytondo3052
2 жыл бұрын
Nimecheka kwa vijana hapo umewapiga na kitu kizito kichwani ni kweli kabisa
Пікірлер: 128