Asante mama kwa somo zuri utumika kama ROHO MTAKATIFU alivyokuongoza. "Be Blessed Mama."
@speditomwenda991
2 жыл бұрын
Amina mtumishi
@joycemleli1696
5 ай бұрын
Kwakweli umenibariki mungu akupe maisha marefu mama ndoa zetu zitabadilika jmn
@kulehakabilampya5781
2 жыл бұрын
Asante sana mamangu kwa somo zuri sana la maisha binafsi mm kama kijana hili somo limenibadilisha kimawazo na kimtazamo nimejifunza mambo yapi ya kujihusha nayo na yapi ya kuyaacha (mimi ni kijana wa miaka 25 ndo tu nimehitimu masomo yangu ya chuo kikuu sijaoa na bado sijapata mtoto kwa hili somo naaamini nitakuja kuwa baba bora aneyeepuka mazingira hatarishi kwa afya yake)
@apendaloshabani7134
2 жыл бұрын
Mama umetisha Sana yaan mahubiri mazuri Sana hakika umeyafikisha salama Kama ulivyo agizwa na Mungu. Ubarikiwe milele amen
@romastasenterprises4447
2 жыл бұрын
Hongera sana Mchungaji kwa mafunzo (Mada) nzuri. Hata hivyo ikikupendeza ni muhimu sana jamii na hasa vijana kueleweshwa kua kuitii amri ya 4 ya Mungu ni jukumu lao na wasidanganyike na mapenzi ya mzazi mmojawapo. Ili wabarikiwe ni lazima kuwapenda wote bila kujali yatokanayo. Na wamama wanavyofanya kama ulivyoeleza ni moja ya hatua za kuvunja nyumba kwa mikono yao wenyewe.
@florencenshimi9353
2 жыл бұрын
Nimejifunza vyingi tu. Barikiwa Mama
@sifunimsangi6673
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu, kuna vitu vingi vizuri umevisema nilikuwa nipate mawasiliano nipate ufahamu lkn niweze pia kuuliza.
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Nipigie
@mwakamtungirehi6433
2 жыл бұрын
Mama umejua kunifurahisha Mungu akubariki sana
@elirehemarobertstayon8630
2 жыл бұрын
ni kweli sana mama mahubiri yako yana fundisha sana ubarikiwe sana
@marionstallon3462
2 жыл бұрын
Ubarikiwe, sasa basi wanaume wanahitaji mwanamke mwenye busara sana ili awe tiba kamili kwa mumewe. Amfariji muda mwingi bika kumkati tmaa hata kama mume mkali wkati mwingine ni mapmbano ya kimaisha tu. Amuonyeshe mapenzi muda wote
@Dradenmpangile-bh4hp
3 ай бұрын
Ubarikiwe na some Zuri mama
@nsabimanaerneste245
2 жыл бұрын
Kwakweli mungu akubariki
@MuyisaBalengeka
3 ай бұрын
Mwalimu ubarikiwe sana
@julesngama2508
2 жыл бұрын
Ubarikwe sana mutumishi , tuna shukuru sana kwa msg nzuri sana.
@hellenmcharo6495
2 жыл бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu kwa kutujaza maarifa. Mungu akubariki sana
@lucaschunga2626
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Mwalimu kwa somo zuri
@happinessmacha4584
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Mtumishi.
@NeemaSitta-i2b
10 ай бұрын
Wao
@euphrasiantawatawa1510
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana dada Debora kwa utume mwema,Mungu azidi kukutumia
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Asante dear wangu!
@danfordunafaakuwaraiswadun4147
2 жыл бұрын
Napo bado we we ndo kilakitu kimaisha utamdekea nani hata kichwa kikiuma utaombwa bajeti
@tavoskatsuva954
2 жыл бұрын
Ubarikiwa Mama. Mimi ni Tavos kutoka DRC/ Butembo Town
@innocentbugobola2234
2 жыл бұрын
Nkweli...dah Lovely sana ❤️❤️❤️❤️
@masoudalriyamy6298
2 жыл бұрын
Mbona watoto wanakufa na hawana dhambi kila mtu ataishi alivopangiwa na mola wake
@khaldn7409
2 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mafundisho haya mbarikiwe Muhubiri TV
@godlovekamuntu973
2 жыл бұрын
Ahaaa,...! Uzee ushindwe kwa jina la Yesu. Nmeipenda hiyo..!
@davidkawesa3594
2 жыл бұрын
Nyie mnahusika sana wengi wenu uwafundisha watoto kumchukia baba hiyo tunafadhaika sana ukiangalia nimetoka kumbambana alafu wewe huoni moyo unaliwa na mawazo kuna doctor rafiki yangu ile anastafu tu akafa alikuwa mcha mungu shida ipo kwenu
@siajarimlengela4116
2 жыл бұрын
Mama mungu akubari uenderee kutufundisha
@michaelnzunda4902
2 жыл бұрын
Safi unatisha mama yetu,mmh mafundisho mazuri Hakika!
@marthakemunto7513
9 ай бұрын
Abarikiwe sana mama
@safigeorgine8132
2 жыл бұрын
Asante sana kwa mahubiri mazuri
@norbertlilungulu5018
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana! Nimesikiliza mwanzo hadi mwisho nimependa
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Amina
@rubbydorrie8827
2 жыл бұрын
Haya ni MAFUNDISHO MAZURI SANA, Barikiwa sana Dadangu.
@edwardgafachu8932
2 жыл бұрын
Mchungaji mwanamke mwenye hekima
@gracekagoma3231
2 жыл бұрын
Ahsante sana mhubiri
@williamsville3493
2 жыл бұрын
Umeongea kweli mtumishi wa Mungu.
@bigmandubesamuelndetsa268
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa na hili neno Mungu aibariki huduma , na pia aongeze neno kwa wa hubiri. Napia aibariki Tanzania
@mwajumaibrahimu1159
2 жыл бұрын
Aminaa , nimebarikiwa
@bwirenelson4045
2 жыл бұрын
Amen dada mungu abarik
@petromwakyalabag9484
2 жыл бұрын
Umesema vema lakini hiyo miaka 70 au 80 ni miaka ya daud alisema kwasababu ya uovu lakini miaka ya MUNGU ipo mwanzo 6:3 anasema sitashindana na mwanadam kwakua nae ni mnyama siku zake zitakua miaka 120 basi hajasema pengine
@MuyisaBalengeka
3 ай бұрын
Zaburi ya 90 siyo ya Daudi ni ya Musa
@dannyabs8983
2 жыл бұрын
Nimejifunza mengi sana mama...barikiwa sana
@stevenmwanisawa5611
2 жыл бұрын
Asante sana dada yetu kwa kutupa elimu ya kuishi maisha marefu kwa mapenzi mema ya mwenyezi mungu
@nicoletimizo2455
2 жыл бұрын
Shalom!!
@mpokimwakaje8178
2 жыл бұрын
Nikweli uovu unapunguza siku za mtu lakini nimechunguza Tena wachawi mbona wengi wanishi miaka mingi
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Neno liko wazi ili watubu maana" Bwana hapendi mtu yeyote apotee"
@petromwakyalabag9484
2 жыл бұрын
Umesoma mandiko gani yanayosema mchawi ataishi siku nyingi acha kuwaogopa wachawi mwogope MUNGU
@blandinamwarabu5025
2 жыл бұрын
Mama Mchungajiongeza na akina mama waache kutwisha mizigo wanaume kwamba kila kitu majukumu yote ni ya mwanaume na wanawake tafuteni pesa
Hilo nalo ni kosa mahtaji wa watoto anatoa baba lakini anayekabidhi ni mama
@leonardcharles9654
2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana , umenena dada
@brightonngerere5588
2 жыл бұрын
Uko vzur mama mungu akubarki
@zakayonziku7859
2 жыл бұрын
Exactly
@victoriajames6190
2 жыл бұрын
Nikwel kabisa MUNGU Atusaidie tuenende sawasawa namapenzi yake, atupe hekima namaarifa, MUNGU AKUBARIKI mamaangu kipenz
@freydeogratius6518
2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@kakakakabeka624
2 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana.
@AllyMwambilinge-ro3cz
2 ай бұрын
Mama upo vizur
@fredydominic2847
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana umesoma mafungu ambayo hayasomwi kila mara
@amiwitu1445
2 жыл бұрын
Miaka ya Mungu ni 120 (MWANZO 6:3. Hiyo miaka 70-80 ni ya DAUDI alisema kwa mtu ambae amepitia shida nyingi mapito mengi, magonjwa mengi, umasikini mwingi majaribu mengi NK ■maana hivi vitu vinaua mapema. ■sasa ukiwa mcha Mungu mtu unaejiepusha na uovu, ndipo Mungu aliahidi kukuongezea siku. Na ndio maana leo tunaona watu wana miaka zaidi ya 80, 90,100, 130.
@elizabethkavishe4811
2 жыл бұрын
Amina mama unatufungua macho
@kizitomedia6041
2 жыл бұрын
Bibilia ni mkusanyiko wa vitabu, iliandikwa na watu tofauti, mda, madhumuni na kadhalika.
@matildamushi1741
2 жыл бұрын
Nimefurahi sana
@stanlychishimba2729
2 жыл бұрын
Okay
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
BWANA ANIWEZESHE KUMCHA YEYE!
@jescajulius8023
2 жыл бұрын
Mama Mimi nilifanya yote kwenye ndoa yangu lkn ilikufa na siitaki tena
@blandinamwarabu5025
2 жыл бұрын
Mpunguzie majukumu mume mengine nanyi fanyeni kazi na mnapopata pesa wanamke anaweka mabega juu
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Kutoka 22: 22- 24 Ukimtesa mjane.....KUMTESA MJANE PIA NI SABABU MOJAWAPO YA MWANAUME KUFA MAPEMA!
@margaretoyugi7137
2 жыл бұрын
Kweli kabisa dadangu😭
@ndamayapemwanzalima6293
2 жыл бұрын
Balikiwa
@sylverjosiasy8536
2 жыл бұрын
Kuna wanawake wengine wanamsemo kuwa!!!! Ukishazaa na mme wako basi mme Hana faida Tena, hivyo wanawake Hawa was namna hii huamua kuwaua waume zao, ili mradi tuu wabaki na Mali za marehem Kama mirathi Kama magar, biashara, majumba na viwanjaa.
@glorydenis5111
2 жыл бұрын
Nani aliyetupatia miaka 70 /80 Ni Mungu au Daudi
@rhinakiza
2 жыл бұрын
Mungu anisaindia sana kumucha yeye na pia na mshukuru Mungu kwa mafundisho haya kabla sijaolewa sana mommy Mungu akuinuwe sana 🙏🏼
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Bwana akupe haja ya moyo wako; Amina!
@rhinakiza
2 жыл бұрын
@@mrsdeborahurio Amina 🙏🏼🙏🏼
@aloycesilwela3485
2 жыл бұрын
Hilo la kumi kidogo Lina ukakasi labda kwa asilimia fulani sio kwa viwango hivyo,kwa mfano mm huwa nawaadhibu watoto wangu lkn kabla huwa tunasoma neno la Mungu kwa pamoja ili waone upendo nilionao juu yao kisha nawachapa ,na wananipenda kweli kweli,hata ukiwauliza kwa nini baba yenu anawachapa wanakujibu kwa sababu anatupenda,
@magrethmandago2290
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana kwa somo zuri
@williammarete3970
2 жыл бұрын
ASANTE SANA MCHUNGAJI. MUNGU AKUBARIKI SANA KWA MAFUNDISHO YAKO. YAMENIGUSA SANNA.
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Amina
@salomemchewa5187
2 жыл бұрын
Nchi za kiafrica , ndo wanaume wakakufa mapema labda, mimi naona hata wanawake, mbona wengine wanakufa mapema sana, mi naona huchunguzi hauko sawa, ulaya mi naona watu wote wakufa sawa, inategemea tu, naeema tu mungu, imeangukia kwa mke au mume,
@user-dg8cv4hy3n
9 ай бұрын
Hujambo. Tuko pamoja
@suleimanseif3290
2 жыл бұрын
Kwa sababu ya buguza zenu wanawake kwa wanaume
@georgedaniel4962
2 жыл бұрын
Mi nachotaka kuuliza ni kweri hiyo miaka na wao walihesabu kama sisi au kuna namna siku zilivokuwa zinahesabiwa.
@ernestmhina7399
9 ай бұрын
mama axant unapatikan wp
@petermwanyondo5370
2 жыл бұрын
Mimi sielewi iyo miaka nikweli au stili two
@alfredmapile4341
2 жыл бұрын
Sawa
@hajihassan5433
2 жыл бұрын
Mimi hapo kubaniwa uchi pananiumiza sana, nahisi hata mwanamke mmoja hanitoshi.
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Atakutosha tu kama utapata mwanamke anayejua mume anataka nini!
@zakayonziku7859
2 жыл бұрын
7
@michaelkubai7787
2 жыл бұрын
Mwanaume huwa anafikiri kuliko mwana mke
@lukongajumamussa8849
2 жыл бұрын
Lukonga Juma Mussa
@lucynyigana2801
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mama nimefurahi sana!!!
@martinakalonga3071
2 жыл бұрын
Bwana nipe hekima na kunionyesha njia
@SEMANKA97
2 жыл бұрын
Hapo simo kabsaa. Nilishituka toka mapema
@safiaalimohd7222
2 жыл бұрын
Kila kiumbe kitaonja mauti ikifika siku yake aliopangiwa na MUUMBA hakuna kufa mapema wala kuchelewa si mwanamme wala mwana mke
@stanlychishimba2729
2 жыл бұрын
Akija dada
@King_Of_Everything
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@margarethpolepole7438
2 жыл бұрын
Wewe ni mchungaji au ni nabii
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Sio Mchungaji wala Nabii; Bali ni Muinjilisti na Mwalimu!
@elitabumosses5192
2 жыл бұрын
Kwa Dada yangu umeona wanawawake ni wema kiasi hicho? chambua kwa utoaji Wa mimba wanaume wamenyanyaswa na kupunguziwa maisha wake zao na tuna ushhidi wazi. Hili tumuavhie Bwana.
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Isikilize mpaka mwisho ,na pia hapo nazungumza na wanaume!
@philipstanley7108
2 жыл бұрын
Somo lako zuri sana nimefurahi kusikia umeongea ukweli kuhusu wake zetu. Wakiamua kukunyanyasa utatafuta njia ya kutokea uikose.
Пікірлер: 108