Hata saizi mh. Wanasema kuwa huyu anajitafutia jina. Lakini mungu akulinde nasi tunakuombea
@menelus911mene5
2 ай бұрын
Mhe Makonda mkuu wa Mkoa Wa Arusha wafundishe hao kazihawajui wamekalia yulee huyuuu hawatoshi mungu awaone haooo piga kazi wewe nikiongozi wawanyonge wateteeee mpaka mwisho ❤🎉🎉🎉
@kastorkidumu6579
2 ай бұрын
Nakuona mbali sana rais ajae
@fransismsaki303
2 ай бұрын
Piga Kaz mkuu mwenyezi mungu akulinde
@JacksonMbites
2 ай бұрын
Huyu Makonda namuona Akiwa Rais wa Tanzania
@gladistaemanueliy6336
2 ай бұрын
Amen mh hayo maombi kiboko watandikee sawasawa na sisi tunakuombea
@DottoMussa-ro6rw
2 ай бұрын
pambana kama,, wazalendo wa kweli vita huwa ni Kali sana
@DafiMohamed-dz8xk
2 ай бұрын
Kiongozi wa kweli mungu akulinde
@eliyalaiza6768
2 ай бұрын
Tatizo tukiwapata watu kama hawa ambao mda wote wanamtukuza mungu huwa hawakaagi sana sjui kwanini
@geey7893
2 ай бұрын
Wanalishwa sumu wanakufa
@stephenkilalacharles1981
3 ай бұрын
Fact man of God.
@ShekySwai
2 ай бұрын
Makonda mungu akulinde uingiapo na utokapo
@ScopionScopion-zj9cd
3 ай бұрын
makonda Nakuona mbali mno
@eliasthomas1547
2 ай бұрын
Wewe piga kazi Mungu anakupigania.
@Micaelamerico8699
2 ай бұрын
Makonda ni president ujae kaza buti
@Teddy-k9o3v
2 ай бұрын
Makonda mkoa wa Mara uko hovyo sanaaaaa hasa ktk huduma za Afya...watu wanakufa wakiwa wanasubiri huduma...madactari na wauguzi wamkoa huu wengi niwababe sanaaa..tunataman ungekuwa kwenye mkoa wetu utusaidie ktk hili Ndgu zetu wanapoteza maisha kwa uzembe kbs wa watoa huduma..yani inasikitisha sanaaa Tunaye mkuu wetu wa mkoa lkn nikama Simba aliyekufa ni afadhali ya mbwa aliye hai Watu niwazembe Sana mahospitalini..Juzi nilikuwa nyasho hospital nikasikia mama mmoja analia kwa uchungu akisema HIVI NININI KILICHOMUUWA MAGUFULII...INASIKITISHA SANA BAADHI YA WAUGUZI NA MADACTARI WA HOVYO HAWA KUENDELEA KUWEPO
@geey7893
2 ай бұрын
Huo Mkoa wetu umeshindikana kaka. Sjui tulilaaniwa na Nyerere
@eng.lazarongoro
2 ай бұрын
Liandike kwenye page ya waziri wa afya na umtagi samia huku kwa makonda hakuna kitu mi nakaa nyakato nimesikitishwa sana
@jasirimjasirimedia7940
3 ай бұрын
My leader
@JosephineAlex-d8f
2 ай бұрын
Pole sana
@MathewNathan-yb2bz
2 ай бұрын
Makonda uko sahihi
@brunotemu8069
2 ай бұрын
Good broo pambana na Jiji la East Africa ❤
@YusuphNdakama
2 ай бұрын
Makonda Hongeraaa sanaaa kaka!hakika unajua pande mbili uongozi na maisha harisia ya mwananchi
@bitutuatemba2164
2 ай бұрын
Keep on my brother @ Hon Paul Makonda
@amourmunga8356
2 ай бұрын
Makonda nskupenda sana bro
@SaidKudavada
2 ай бұрын
Pole
@JOSEPHPETERMACHOTA
2 ай бұрын
Safi sana
@Optionxll_Playz1
2 ай бұрын
Watu Wana Roho mbaya tu
@paulmaganga9700
2 ай бұрын
Makonda soon unakuja kuwa Rais
@davidnyambuche352
2 ай бұрын
Maombi ya kusambaratisha vikao vya sirini😅😅😅
@MilamboMarco
2 ай бұрын
Uko sahihi lakini sio la kukumbuka sababu aliokua waziri wa fedha ni boss wako😅
@salumjabir813
2 ай бұрын
Siasa za bongoo😂😂
@BakariMapua-t9u
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kweli
@JamesSichimata-w1u
2 ай бұрын
Makonda MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea ujasiri
@emmanuelaloyce932
2 ай бұрын
Huyu jamaa,awe president wa Tz,,🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@exaverysimon1064
2 ай бұрын
❤❤❤
@hamidabarraball3162
2 ай бұрын
Muongo wewe na nyumba uliyotaka kumtapeli GSM Nayo Utasemaje? Mshahara wa mkuu wa Mkoa amepata wapi hela ya kununua nyumba eneo hilo??
@nuhhumwakanyamale4771
2 ай бұрын
Go up📤 God bless you bro
@IbrahimHajiDini
2 ай бұрын
🎉
@ibrahimjoseph3221
2 ай бұрын
Kama makonda yule aliweza aliweza kufanyiwa yooote hayo vp mpinzani au mwananchi wa kawaida kuna watu wanarudishwa nyuma wanafilisiwa kwa mambo ambaya awajayatenda
@nimrodsigulu6249
2 ай бұрын
Mtasema tu ..😂😂
@CharlesKalisa-p1g
2 ай бұрын
Mr. Makonda mwanzoni sikukuelewa pindi uko Dar maana nilipenda kusikia habar za vijiweni na sikuwahi kukufuatlia ila kwa sasa nimekuelewa vzr , pepea kama iwekanavyo tunakuunga mkono
@silasmarandu1485
2 ай бұрын
Makonda tunamuomba Kilimanjaro aje afanye jambo!
@karyori69
2 ай бұрын
Transparency sio Transparent!
@josephmussa0625
2 ай бұрын
Ila umeelewa😂
@gregory6165
2 ай бұрын
wajinga kama nyie mnaangaliaga spelling mnaacha content
@georgemhalla8853
2 ай бұрын
Sawa mwalimu, ulichokiona ndo hicho tu??😢😢,
@dennisngonyani1795
2 ай бұрын
POLE MATATIZO HAYO YAPO SEHEMU NYINGI NCHINI
@bny3595
3 ай бұрын
Wewe ndo ulizingua ....hukufata utaratibu wa kuleta vitu kutoka nje
@denisyohana8104
2 ай бұрын
au wewe naye ulikuwa mmoja wao🧐
@paulsibu5770
2 ай бұрын
Makonda ni kiongozi mzuri bro
@bny3595
2 ай бұрын
Mimi sikatai kwamba anafanya vizurri....lakini kwenye hio issue yeye ndo alizingua ...hivo vitu alikua anahitaji apate msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi....yeye hakufanya communication nzurri na raisi....sasaivi anazungumza...hata kama ni kweli Kuna hayo mambo yalitokea sijui kupigwa vita na watu....ila kwa upande mwengine alizingua alitakiwa amshirikishe raisi kuanzia mwanzo ....sasa anakuja mwishoni alafu anataka msamaha wa kodi....na mwenye mamlaka hayo ni raisi kwa mujibu wa katiba
@ndetitave466
2 ай бұрын
Ndo wale wale
@JosephineDeus-tb5tr
2 ай бұрын
Muongo
@JosephineDeus-tb5tr
2 ай бұрын
Na magu alikupiga vita?Muongo
@kefamwakipesile275
2 ай бұрын
Hajasema magu!! Amesema watu walimpelekea Rais magu taarifa ambayo sio sahihi
@jenyyusuph4973
2 ай бұрын
Daddy alimpenda mako da kwa kazi nzuri kushinda kiongozi yoyote Ila wale kwenye wivu ndio walimchanganya daddy
@kwisa4899
2 ай бұрын
unaagizaje vitu pasipo kuwasiliana na mamlaka ?
@nicasissa
2 ай бұрын
Shida ukishawasiliana nao, wanaanzisha choko, mara oooh ooh ooh
@Nijuzetzdigital
2 ай бұрын
ofisi ya mkoa ni mamlaka vilevile halaf msaada ni siyo taarifa ni unaweza hakuna anayeukataa
@kwisa4899
2 ай бұрын
@@Nijuzetzdigitalhakuna alie juu ya sheria ndugu yangu Mkuu wa mkoa anausikakaje Kwene ofc za TRA na Bandari tumia akili kidogo
@LameckZakaria-qg9vv
2 ай бұрын
Alichelewa kumwambia magu
@MjuniLaulian
2 ай бұрын
We mwongo ilikua mpigaji magum ataperiwi
@DavidKagulu
2 ай бұрын
Mccm bhana hayana hata akili, Sasa Hilo jambo mbona lilikuwa dogo tu
@hoseastephen4508
2 ай бұрын
Tapeli
@BabaZuu-fq8zj
2 ай бұрын
Taperi nani sasa kuma ww ungekua kenya ushakufa mbwa wew
@hoseastephen4508
2 ай бұрын
@@BabaZuu-fq8zj Na atawapiga sana pumbu watu msokuwa na akili kama wewe
Пікірлер: 76