Ninakukumbuka kama mwazirishi was mashirika mengi ya umma kwa vitendo kama vile TASAFU TAKUKURU MKURABITA na kudumiaha diplomasia Africa na ushiruhishi wa inchi za maziwa makuu asante mkapa kwa kutambua uwepo wa magulif kumuamini katik serikal yak km naibu wazir wa ujenzi mwaka 1995 hongera mkp pumzika
@nyandajr
2 ай бұрын
Baba niliumia huyu mbaya zaidi walikua sambamba na jpm 😢😢 walikua wanapambania sana sisi watu wa chini sema 😢😢😢
@asmahiha6815
4 жыл бұрын
Innalillah wainna illahi rajiun umedumisha amani na upendo africa ni nani atavaa viatu aliokuwa navyo mkapa nenda upumzike mahali unapo sitahili shujaa
@ericmbago3216
2 ай бұрын
Walipenda watu tujitume
@SurprisedShades-ph1lg
10 ай бұрын
Nenda shujaa nenda mwamba nenda nguli wa siasa na mwanadiplomasia mahiri
@sologojr6877
2 ай бұрын
*#4YearsDown**💔☹️* Big BEN🇹🇿 24.07.2020🕊️
@obillaezra6205
2 жыл бұрын
Very sad song” Many will remember you as a hero”
@riziksj4336
4 жыл бұрын
Lala salamaa baba mkapa
@mwajabumnyamisi9057
3 жыл бұрын
Tutawakumbuka magufuli na mkapa mungu awalaze mahala pema peponi
@atlastz2263
Жыл бұрын
Dah hakuna jambo zito kama kifo
@herrylupaso9548
4 жыл бұрын
R.I.P Benny
@cosmasmpwage2576
3 жыл бұрын
Sasa tunalia na Magufuli ametutoka 😭😭😭
@mcmedea9336
4 жыл бұрын
Nenda baba mkapa.....
@mdzainb3722
4 жыл бұрын
😭😭 kama utani umetutoka baba
@jonathankadovela515
4 жыл бұрын
Nendaa baba mkapa
@gomwamohammedy1944
3 жыл бұрын
Mkapa
@kumekuchaafricatourandsafa8612
4 жыл бұрын
Hatuta kuona tena umemaliza mwendo tutayakumbuka yote ww ni shujaa
Пікірлер: 19