ndio maana mm naamini biblia pekee yake ndicho kitabu cha Mungu!
@messageofthetimeministry5129
3 ай бұрын
Amina mtumishi,,, naam tukiujua wakati kwamba saa ya kuamka kutoka usingizi maana wokovu wetu u karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini Romans 13:11
@michaelsyuma3860
3 ай бұрын
Amen teacher good teaching
@Thruthministry
3 ай бұрын
Mwalimu kazi inafika sana... Jambo kuwa ni ngumu kiasi cha kuchosha lakini tutashinda na zaidi ya kushinda,, kwa maana MUNGU aliye mshindi ametangulia mbele,, Barikiwaa sana mjoli tupo pamoja kusapoti kazi ya MUNGU ili waokolewe wengi maana kuhubiri sio mpka ushike microphone au uwe kwa mtandao,, wapendwa tuzidi kujitoa kuchangia kwa kazi ya MUNGU
@user-wh5ln6qh5d
3 ай бұрын
Barikiwa mtumishi tuombeane mtumishi, niombeeni nina mawazo mengi
@warningoflastdays254
3 ай бұрын
Sawa MUNGU yupo pamoja nasi usife moyo
@user-wh5ln6qh5d
3 ай бұрын
@@warningoflastdays254 Amina
@Thruthministry
3 ай бұрын
BWANA asifiwe mpendwaa
@Thruthministry
3 ай бұрын
Upo una mawazo ganiii
@bettygesare5948
2 ай бұрын
wacha dhambi or sin and all will be well
@ambiagoodluck4349
3 ай бұрын
Waaaah 🤔🤔🤔 Nimejua kumbe inafaa tumrudie Mungu 🖐🏿🖐🏿 kzitem.info/news/bejne/sqqqvGxjjnthg5wsi=Tdtt9hD9oKvKNwwa
Пікірлер: 14