Nashukur mungu 🙏 kua neno lake kupitia mtumshi paschal Cassian nmejua njia iletayo madhara ndani yangu nmebarkiwa nkiwa busia Kenya
@martinahlighare6495
9 ай бұрын
Kama nilivyo hapa, nimekua nikishiriki na aliyekua mume wangu ambaye alilala milele. 😢😢😢😢. Hili lilitokana na kutongozwa au kushiriki tendo na mume wa mtu, ndipo ananijia au ananionya kwa ndoto kuachana na huyo mume wa mahusiano. Ila nashukuru Mungu ni miaka tatu sioti tena nikishiriki naye na vyombo vya uzuri sio vya kwangu.
@etomlondani
9 ай бұрын
Hallelujah 🙌🙌🙌🙌
@Helen-uh1ww
9 ай бұрын
Am watching u from uganda my God bless u and those who talk over you bad words may they be cursed in the name of jesus our lord
@MhuguAmani
9 ай бұрын
Ameen ameen MUNGU akulinde mtumishi wa MUNGU..
@joannekesa1835
9 ай бұрын
Amen amen ubarikiwe mtumishi wa MUNGU 🇰🇪
@aireenmicheli2580
9 ай бұрын
Amen may God continue to protect you mtumishi much love from Nairobi Kenya ❤❤❤ for sure am blessed
@aireenmicheli2580
9 ай бұрын
Amen 🙏 Asante kwa kunielimisha mutumishi Mimi ni mmoja wa wale waliokuwa wakiota ndoto❤❤
@dicksonmbuvi2756
8 ай бұрын
Uyu mtumishi hakika ametumwa na mungu
@mengindegeya2780
9 ай бұрын
Mungu akubariki injili yako sisi ambao tumo ndani ya kanisa tukiongea tunapigwa vita kuanzia mchungaji hadi washirika tunaambiwa tunabomoa kanisa
@MaaDii-iz3ur
8 ай бұрын
Nlikua kila mara nashiriki hilo tendo la ndoa usingiz na mume wangu na tuko sote kwa kitanda jambo hili lilikua halinipi furaha kabisa,lakin sahi sion tena sjui kama nvile nko mbali nae au😢
@EliasBakari-ew4xf
9 ай бұрын
Balikiwa pastor cassian Bwana akulinde na waovu wanao tupoteza katika njia ya kweri
@jacksonsamwel2808
9 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa mungu bwana akutie nguvu hiyo ni injiri adim katika nyakati hizi tulizo nazo Kwan hilo nitatizo la wengi
@Estherm309
9 ай бұрын
Mtumishi Na wale atuna Na inatupata kama Mimi Sina but nilitoboa masikio Na nikiwa Karibu Kwa siku zangu najipata nikiwa Na hisia Kali oh Yesu Kristo uniokoe
@salimaechessa8933
9 ай бұрын
Mungu akubariki a abariki neno lake
@WolfugangiNgongi
9 ай бұрын
Ameni endelea kufanya kazi ya MUNGU kwa ujasiri bila kuogopa we sema kile abachokuambia MUNGU
@neemamarko176
9 ай бұрын
Asante, Barikiwa Mtumishi wa Mungu
@enockchengula-r1t
9 ай бұрын
Ni sahihi Kwa mkristo kuuza urembo
@addamsuleiman8667
9 ай бұрын
Amina mtumishi MUNGU akubariki
@user-yw4ws4bm2v
9 ай бұрын
Asante san mtumishi wa mungu
@DAVIDMAGHANGA
9 ай бұрын
Na wanaume wanaootawakifanya mapenzi ni nini kinasababisha
@peteroderobarasa5205
9 ай бұрын
Mungu akutia nguvu sana
@violetnyondo8055
9 ай бұрын
Mungu akutunze
@KulekatsengeHaruni-sb6qc
9 ай бұрын
Amen
@enockchengula-r1t
9 ай бұрын
Jeee anaye uza urembo Fungu akitowa linapokelewa na mungu??????
@FestoJemsi-lr8pw
9 ай бұрын
SHAROM SAMAHANI HIVI MVA CHENI NA MUUZAJI NISAWA UTAKUTA UNAUZA AFU HUVAAGI INA KUWAJE HAPO MANA NAJIURIZAGA SANA MIMI NIMUA JILIWA INAKUWAJE MTUMISHI
@WolfugangiNgongi
9 ай бұрын
Anayeuza bangi,anayelima, anayesafirisha na hata anayevuta bangi wore wanawekwa kwenye kapu Moja. kama kuna mtu anauza cheni ba mapambo mengine basi na aache na kujitakasa pia
@Charlesmwinamila
Ай бұрын
Kwa mwanaume nini kinasababisha kuota ndoto za mapenzi???
@Charlesmwinamila
Ай бұрын
Je movie na season hazichangii mtu kuota ndoto za mapenzi???
@OyengelaMariam-wk6qm
9 ай бұрын
Mtumishi mm naomba nisaport huduma lakn namba haingi pengine uweke till number
@GuillaumeLumande-j3d
9 ай бұрын
😍🤔
@Pendopasilika
9 ай бұрын
Ee MUNGU tukumbuke shetani aliona udhaifu kwa wanawake mm nilishaonywa na MUNGU nilipenda kupaka rangi kucha na kutinda nyusi kucha moja ilibakia rangi katikati umechorwa msalaba na kutinda nyusi nilisikia sauti ikiniuliza unataka kuwa kama jini? Sijarudia Tena naogopa sana ubarikiwe mtumishi wa MUNGU kuliweka wazi hili Jambo wanawake wanatekwa sana
@enockchengula-r1t
9 ай бұрын
Mfano mtu ni mkristi na anaduka la kuza urembo wa wa mama nawa dada fungus la kumi anatoa kanisani yupo sahihi ??? Nasadaka yeke itapokelewa??????
Пікірлер: 36