This guy is very intellectual, you need deep concetration to understand what he is saying! Big up dr
@epimackmkunde2264
3 жыл бұрын
Am happy I found this Man here . Happy enough I met him also at KKKT buguruni last Sunday and He shared a word on that special Mass of our deceased brother Masue. It was the best speech ever met in a funeral Mass.
@kihanda2554
2 жыл бұрын
Yaani Hakuna Mwanafalsafa Anamafundisho Mazuri km Waminiani. Mungu akutunze uendelee kutupa Madini
@pendosoa9632
Жыл бұрын
Rahisi kuelewa Ila ni ngumu kupembua😌namsikilizia afu nastopisha kufikiria amesema hivi anamaanisha nn dooh nmechelewa kumaliza hii interview 😊
@kingungeii6520
2 жыл бұрын
Moja kati ya binaadamu wenye akili nyingi sana ni huyu Doctor
@ahz6907
2 жыл бұрын
Hana akili nyingi tofauti yake nawewe ni kwamba yeye amesomea hayo mambo na kukutana na cases ambazo zimempa experience.
@babyhamisi1437
2 жыл бұрын
@@ahz6907 yap
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
@@ahz6907 ana akili sana, wengi wamesoma hawana uwezo wa kudeliver hayo madini ishu sio kusoma tu bro. Nenda ukasome tuone madini yako, kuna watu wamesoma kuzid hata yy lakini hawana kitu.
@ahz6907
2 жыл бұрын
@@timothmwakakusyu4563 nimesemea akili yake plus experience ndo utofauti ulipo.sio kwamba ni special sana.hata wewe ukisoma na ukakutana na cases zikakupa experience ya mambo meengi katika maish huwezi kuwa sawa na yule aliyesoma tu. Kumbuka kila binadamu anazaliwa genius.
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
@@ahz6907 si kweli ndugu, sio kila binadamu anazaliwa genius ila kila binadamu ana karama yake. Hivi unajua maana ya neno Genius? Ukijua maana ya neno genius ndo utaelewa mambo, na ujue pia kutofautisha kati ya IQ na EQ, binadamu tuna utofauti sana. Huyu ni special sana kwa eneo lake, tuna wanatheolojia na wanasaikolojia kibao ila usitegemee kwamba uwezo wao wa kudeliver kile ulichokisoma uko sawa. Unaweza ukawa umesoma sana lakini Mungu hajakujalia uwezo wa kutoa kwa wengine wakakuelewa na kukufurahia, kuna wengine wanaposoma inakuwa faida kwao pekee. This is hard talk bro huwezi kuelewa kirahisi kama mambo ya delivarance huyaelewi kiundani
@edgarcruzee5223
Жыл бұрын
Dkt Mungu akuweke kwa mafunzo Muhimu Uzembe ni mkubwa
@silverman6930
2 жыл бұрын
The genius, incredible man , humble and very intellectual, I’m happy you got this man on the show .. ❤️❤️❤️🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@cosmaslunyembeleka251
2 жыл бұрын
Very interesting You heal by talking transparently God bless you
@geoffreyluvanda7801
2 жыл бұрын
Mmmmh hapa wazazi walizaaa kichwa kweri this Man is genius
@catherinekiwipa7551
2 жыл бұрын
👊kabisa
@johnkuma6867
2 жыл бұрын
Wangu anafika kila wakati. Namsifia kitumbua chake ndiyo the best under the sun na simuangushi🇰🇪
@patrickbatenga2645
6 ай бұрын
May be you haven't searched enough
@moseshandsam1865
2 жыл бұрын
Thanks for the Good questions my sister lilian mwasha may God keep on using you guys doc and lilian best combination hardtalk on top
@thevibe6427
2 жыл бұрын
Doc kaongea lugha ngumu sana Ukielewa anachoongea huyu mzee.. 🔥 🔥
@ninacamara6835
Жыл бұрын
Fact you’re very intelligent docter be blessed
@silverman6930
2 жыл бұрын
This guy is too much I swear .. I love you Dr 🇬🇧🇬🇧❤️❤️❤️
@hawampate5029
2 жыл бұрын
Kumuelewa huyu Dr you must understand his philosophy sio rahisi. Nimejifunza mda mrefu kumuelewa kupitia talk zake kwakweli
@moseshandsam1865
2 жыл бұрын
Thanks so much doc
@stanslausbereghe3819
2 жыл бұрын
Nice Hard Talk Mwasha, l like it mama...
@husseinmwita9642
2 жыл бұрын
Thanks Dr
@hasankasam5576
Жыл бұрын
Dctr yuko vizuri nimemkubali ila alivomtaja mungu nimempitisha...
@trecyangelo1112
2 жыл бұрын
d.r nimekuelewa vizuri sana
@kingungeii6520
2 жыл бұрын
Hii ni brain kutoka sayari ya mbali sana
@wilsonkomago627
2 жыл бұрын
DOCTOR NI HATARI SANA ANAJIBU MASWLI KISOMI KAMA HUJASOMA HUWEZI ELEWA AISEEEEE
Dk akili nyingi sana, big up sana. Nakuelewa sana.
@dikodikson559
2 жыл бұрын
Lilian kacheka kidogo baada ya Doctor kusema kuwa mtoto haji kumtegemea mtu😄😂😛
@Muka_26
2 жыл бұрын
Akili kubwa sana hii Asante kutuletea huyu
@sifajacky7779
2 жыл бұрын
I am always telling Weman that we are the managers of the love's feelings. because we are the receivers and produces of our relationship's love 💞💗💗💞 thank very much for your explanation doctor. you are the best 💋💋💋
@navinhasting3194
2 жыл бұрын
Aiseee Lilian hii interview ni bonge moja la interview kuwahi kufanya big up my sister keep it up you doing great watu hawajui mambo mengi sana ktk hii dunia ila hatujui kama hatujui mpk tujuzwe
@enoceruganga5435
2 жыл бұрын
Well doct
@sammushi1512
2 жыл бұрын
Hahhaaha nimependaa iiioooh
@augustpavelnahayo5009
2 жыл бұрын
Asante sana doctor, napenda sana hard tolk
@omarshakur9183
3 жыл бұрын
This guy is genius
@fikirilubida6178
Жыл бұрын
True
@mainaenock8972
2 жыл бұрын
Daktari wapitia sana vichakani, " beating around the push" .
@ahz6907
2 жыл бұрын
Anakuwa kama mwanasiasa 😁
@dostovan5142
2 жыл бұрын
Maneno mengi, kama mwanamke ni ardhi, mwanaume ni anga
@linahsabaspaul4729
2 жыл бұрын
😂😂
@kailalimited3640
2 жыл бұрын
Uyu docta ajenvwe sanam pale singida kwa Warang.....
@amourmtungo623
2 жыл бұрын
🤔Fore play, fore play, fore play and different techniques may help. Tuache uvivu tuwe wabunifu kwa kujaribu mbinu mbali mbali kitandani zinasaidia🤔. Mapenzi ni mashirikiano ya watu wawili lakini mkifanya kwa dhati kwa kujaribu mitindo tafauti lazima mtatoshelezana tu🤔.
@stellabaraka1334
2 жыл бұрын
Nimekupata saana Dr
@lawrencekamete2404
2 жыл бұрын
Dada lili nimependa sana hadtolk duu hiyo Dr yuko poa katika kujibu maswali ya msingi kutoka kwako. Safiii
Nani mwengine ana watch hii interview. Again after a year na ana enjoy kuitazama tena?tujuaneee 🎉 doctor hongera na ahsante sana kwa wisdom
@nurumigeyo4625
2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana Dr, ila inahtaji akili ya ziada mtu kukuelewa, asiwe mbumbumbu, my God bless and protect you
@viviankuzilwa3556
2 жыл бұрын
😁
@catherinecharles932
2 жыл бұрын
KWAKWELI NAJIKUTA NAPATA NGUVU MPYA NAWAPENDA SANASANA❤
@bornifacecharles9555
2 жыл бұрын
Kiukweli na enjoy
@hildakayun6445
Жыл бұрын
Daah mpo vizur lkn kingereza king bhna
@NashonyMagwi
3 ай бұрын
❤
@jimmysichalwe3586
2 жыл бұрын
Aisee,upo vizur Doctor
@edgarcruzee5223
Жыл бұрын
Dkt punguza Ktk viumbe hao ni shida dada kula tu basi awawezi
@azizawadh5973
2 жыл бұрын
Wanawake wagonjwa wengi mno
@collkidstar7040
2 жыл бұрын
This man he does not know how to strike point , he is passing around the point which is not acceptable
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
This is hard talk, hapa ni swala la uelawa. Fuatilia koment nyingi ndo utajua tatizo ni ww. Philosophical conversation doesnt need what u need bro
@edgarcruzee5223
Жыл бұрын
Huyo Dada akuerewi ni mbwembwe tu ana jipya
@iviejustified8109
2 жыл бұрын
Natumaini tunamuelewa Dr hapa... Wengi tunashida kwa namna nyingi
@tobiusjtz7607
2 жыл бұрын
Kwl
@mujuniflavian1088
2 жыл бұрын
👍
@ecologuideaceae.2178
2 жыл бұрын
Full name of this man..! Plz
@salumdavid2128
2 жыл бұрын
Ungefunguka wazwaz doctor kuliko kimafumbo ingependez zaid
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Manake mimi nimewachwa pembeni..... sielewi...
@fatmazullu4933
2 жыл бұрын
Hamjui kuna watoto?
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
@@fatmazullu4933 kweli madam, ila wewe mzuri...una mshikaji...
@muhammadmuhammad5043
2 жыл бұрын
Dr.Umenitisha Maana Mimi Nikiwambia Kwenye Hizi Vidio Zao Humu ???? Raha Yakula Nikutafuna Ndio Wawahili Wamesema Nyege Kunyegeshana ???? Wao Wanakuja Kutaka Kufikishwa Hajuwa Kuwa Nikufikishana
@petronilamtei7470
2 жыл бұрын
kazi kweli kweli through kufika kileleni
@natafutamatatizo4382
2 жыл бұрын
Womens they sleep like mattresses and they don't work to come😂😂😂
@kamutua6376
2 жыл бұрын
🤦🤦🤦😁
@emanuelsimpa6438
2 жыл бұрын
Doctor Asante umefanya vyema kutukumbusha
@bahatiedward8866
2 жыл бұрын
Aisee kumbe Haina haha ya kuteseka utamu tunao wenyewe
@amourmtungo623
2 жыл бұрын
🤔Hii cheating kuna msemo wa Kiingereza unasema “forbidden fruit is the sweetest”. Yaani tunda lililokatazwa ndio tamu lao. Hii ndio maana mtu akitoka nje ya ndoa na kufanya mapenzi nje hupata shauku na mvuto mkubwa kimapenzi. Lakini pia harufu mpya na mapigo mapya pia huongeza michapuko ya kufika kileleni kimapenzi🤔.
@jennifermlyakalam5000
2 жыл бұрын
Natamani nije kumuona huyu baba jamani sijawahi choka kumsikiliza
@tegemeawilliammsewa1950
2 жыл бұрын
Asante.
@allymtungunyu2425
2 жыл бұрын
Nimemuelewa sana doctor. Inamaana asitokee mmoja wapo kati ya mke na mume akasema hanifikishi kileleni. inatakiwa aseme sifiki kileleni. Ndio maana akasema hakuna mtoto anaezaliwa haji duniani kukutegemea ww au kumtegemea mtu. Kila mmoja afanye juhudi ya kutafuta anachokitaka ili akipate. Kweli mkiwa mnanyanyua mzigo mzito watu wawili ukizembea kiunua ule mzigo utainamia kwako na utakuangukia utaumia wewe uliezembea kunyanyua.
@chachamwita9759
2 жыл бұрын
Point upo vizuri
@jeconiajosia1999
2 жыл бұрын
Huyu dr ni hatari sana yafaa kumsikiliza ana mambo mazuri mno
@eliaoleshengea5711
Жыл бұрын
Kama nakuelewa
@allymtungunyu2425
Жыл бұрын
@@eliaoleshengea5711 sawa
@Boaz22
Жыл бұрын
Dada lilian, jitaidi sana kupunguza background music, hatusikii vizuri
@ngonajacob2895
2 жыл бұрын
Mbona imeishia njian dada
@ahmadmuhammadnguri1770
2 жыл бұрын
We dada una udhi na kiengereza chako kifupi kifupi, ongea2 kiswahili
@user-qc4lb4rc7b
2 жыл бұрын
Hana akijuacho ni unuwaji mwingi tuu kasome dada weeeeee na upunguze bichwa kavu
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@maryephrem7819
2 жыл бұрын
Tunasubiri mwendelezo mpk leo hujatoa
@eliasnyangato8930
2 жыл бұрын
Huyu mwamba anafundisha San lkn bado hajajibu swali. Kuna contact zipo za kumfikisha mwanamke killelen hajazitaja, mwanamke hata Kama anamsongo wa mawazo lazma atafika kilele tu, labda atachelewa tu lkn lazma afike. Kikubwa umjue yy na contents zake. Very very easy.
@timothmwakakusyu4563
2 жыл бұрын
Wajanja washajua bro, hujasikia maandalizi ndani ya mazungumzo kwamba lazima umwandae vya kutosha ili umshtue uwepo wake? Mengine haya ni elimu ya ziada itakusaidia, usiwe mgumu wa kuelewa 😆😆😆😆😆😆😆
@greenermichael2057
Жыл бұрын
Hutakiwi kufikishwa unatakiwa kufika wewe
@hamidubakary
Жыл бұрын
Pia uwepowanguvu unahitajika kikubwazaidi kwanza mwanaume inatakiwa achelewe kufikakilele nahilowengilinawaangusha wanaume kutokana na vyakula mwingine Huwa anashusha Kwa dakika 2 huuni udhaifumkubwa namwanaume akiwahisana kufikakilele mwanamke atakuchukiasana nakukudharau kamawasipobadilika nakuachakula mikukuyakisasa tatizohilohalitaisha by op hamidu mkomwa
@dennislihepa2247
3 ай бұрын
Dr yuko sawa sana wanawake wengu wanamatatizo ya fikra zao
@senseisafari1355
Жыл бұрын
Wewe nisarute donkita
@saudmohammed3390
2 жыл бұрын
Maneno bambam tunatoka kwa baba mamillioni mmoja anaweza kushinda kuwahi kuingia kwenye yai.
@tegemeawilliammsewa1950
2 жыл бұрын
Sichokagi kukusikilza. Kila siku nikama, nasikiliza upya.
@munuoisaack418
2 жыл бұрын
Huyu jamaa ni nondo ya hatari
@ramadhankisila452
2 жыл бұрын
Ufasaha wa lugha uliopo hapo sio mchezo
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Aisee mimi kama mkenya, nime sambaratika....
@salhiayasri4246
2 жыл бұрын
Haswaa
@teddygabriel5662
2 жыл бұрын
Yn unaweza achwa njia panda🤔
@melvinnakhungu2504
2 жыл бұрын
😄
@markomushi1465
2 жыл бұрын
hi dada lillina Abella mwasha natumaini uko salama kbs nina ombi nina wezaje kupata mawasiliano na docter
@user-eo7ug2tg9r
2 жыл бұрын
😊😊😊
@eteniashola1729
2 жыл бұрын
Hbr mbona sehemu ya pili sioni?
@estermassawe1687
2 жыл бұрын
Hii kicha kwekweli hapana
@calvoh9715
2 жыл бұрын
what is he saying exactly.
@natsach5849
2 жыл бұрын
Mwendelezo wake upo wapi jamani
@kiazikitamu3985
2 жыл бұрын
Lillian in front of every successful man there is a woman not behind my dear
@aishaabdallah8916
2 жыл бұрын
Dr pongezi ila ameongea kiswahili Cha ndan sana
@mashamborashidi1178
2 жыл бұрын
Vinnie bite Kana flow lkn!
@madukurumwanileles7909
2 жыл бұрын
Mhh
@mybrain8940
2 жыл бұрын
Kiumbe cha kale katika maumbile madogo sasa nimekuelewa
@happinessngole9081
2 жыл бұрын
Yaani nimeelewa mmno
@lawalogomaker9376
3 жыл бұрын
Mwasha anataka majibu ya mmoja kwa moja dk anazunguka mbuyu
@yusraally6732
2 жыл бұрын
Kumbe umeona
@kurwapauloukovizurisana.go7861
2 жыл бұрын
Pamoja na maelezo mazuri NAPENDA sana kiingereza chako Dr. Barikiwa sana you are speaking a very good English.
Пікірлер: 184