Fungua link hii ebmscholars.com/tanzania/ kama wewe ni MTANZANIA, au hii ebmscholars.com/kenya/ kama wewe ni MKENYA ili uone fomu ilivyo, na jinsi ya kupiga picha na kuzituma. Malipo yanafanyikwa kwa MPESA. Hapo utapata msaada wa photo editing na application. Hakikisha unapiga picha zaidi ya 3 hadi 5 hivi ili tuchague nzuri na kuifanyia marekebisho. Kama picha itakuwa inahitaji kurudiwa tutakujulisha.
@MatesoCorette
19 сағат бұрын
Kwa sisi warundi tutasaidiwaje???
@damaskinkela2265
8 сағат бұрын
Burundi na Congo 🇨🇩 tusaidie na Sisi link yetu tutalipia kwa iyo Mpesa zinajaa uku
@damaskinkela2265
8 сағат бұрын
@@MatesoCorettekabisa
@celestinmutula
7 сағат бұрын
Jeeee kwa aliye kuwa inje ya Kenya ?? Kama Watu WA burundi na WA Congo tufanye jeee?????
@officialfadhilomar5249
Күн бұрын
Somo zuri sana...mfano wa kapu umeekeweka zaid
@CarolineLema-fu8jp
Күн бұрын
Asante sana
@nicksonjk8479
Күн бұрын
Sababu nyingine kwabwa ambayo hujaitaja, ni kwamba watanzania wako very comfortable nanchi yao, hawana pressure iliyo ndani yakutoka kwenda kutafuta. Pia watanzania wengi hawana exposure and udadisi, sababu ya mfumo waelimu na vyombo vya habari vyingi ambavyo haviko hurukuriport kwa umma hali halisi ilivyo mfono. Kunawezakuwaka na janga la njaa lakini vyombo vya habari vitatangaza kivyume chake au robo ya hali ilivyo tu.
@stn4873
Күн бұрын
WELL NOTED BRO.
@gracekagoma3231
Күн бұрын
Ahsante bro🎉
@hamissiali4121
Күн бұрын
Asante sana kaka yangu
@issambela8279
Күн бұрын
Nimeshare info lakini chaa ajabu ninao wambia hawanipi sapoti kbsa bongo jau sana wallah nimejithibitishia 😢😢
@jumawaziri8501
Күн бұрын
watanzania hauma uthubutu kabisa bado waoga sana wa kuafuta fursa tofaut na wakenya ambao wako agreesive sana sana
@ChoroTesla
10 сағат бұрын
Tuna ile mentality eti nina shida gani wakati nakula nalala hawajui kwamba ukiwa unafanya kazi huko unatuma hela home pia serikali inapata fedha za kigeni hatuwez wote tukauza maji barabarani
@ChoroTesla
10 сағат бұрын
Sure mtu anakwambia niende ulaya alafu mke wangu wanito**** ee yani tunawaza us3ng3 tu
@gracekagoma3231
Күн бұрын
Kiingereza c❤❤hetu hafifu hatujiamini.Wakenya kisomo chao kiboko.Nimesoma na Wakenya.Ninawaheshimu.wako serious .Wakenya Hongera sana kwa elimu yenu.❤🎉
@christinewomanoffaith5479
13 сағат бұрын
Kingereza sio issue watu sahivi wanajifunza tu After all sio wazungu wote wanaongea kingereza Umwambie watu hawana exposure,waoga nitaelewa
@jumawaziri8501
Күн бұрын
EBM endelea kuhamasisha wtanzania tuombe wengi nakuomba pita kweye vhuo vikuu vyote na taasisi zote ili watu waombe wengi
@priscusgodwin
Күн бұрын
Sawa bwana EBM. Ila kuna swala umelisahau la sababu za kwa nini wanaoapply hawashindi, kuongeza probability ya kujaza application zao kwa usahihi ili waweze kushinda..
@abubakarjumaally3366
Күн бұрын
Ipo Siku kaka itakuwa ni Bahati yangu Nakufatilia kila leo Nothing Impossible under the sun
@issambela8279
Күн бұрын
Jana tu Nimemwambia rafiki yangu tumamaliza nae bachelor ila kaniambia hawezi kwasababu huko kuna ubaguz , hakuna ndugu na je akipata changamoto ataludije home...😢😢😢😢 Dah iliniuma sana Aisee Ila watanzania bado tupo nyuma sana
@dorislema2465
Күн бұрын
Ata mim pia nikiwaambia wanasema uko wanapigwa risasi ovyo alafu anasema nikifika nitaenda kufanya kaz gani sasa
@tunauzapweza3501
Күн бұрын
Elimu inahitajika sana
@dorislema2465
21 сағат бұрын
@@tunauzapweza3501 yeah
@dorislema2465
21 сағат бұрын
@@tunauzapweza3501 yeah
@Noelarichard
9 сағат бұрын
True 🙌🏽🙌🏽
@KibwayaMsouth
Күн бұрын
EBM Naomba unisaidie na mimi kuomba DV loter jinsi yakuomba
@ShabaniSudi-d1x
Күн бұрын
I am above 50 age can i apply this green card lotary? Am from Tanzania 🇹🇿 Arushal
@KesslyTravelZanzibar
Күн бұрын
Yes
@upendogreutert199
Күн бұрын
Hallo Bro EBM , Nina swali , je Switzerland 🇨🇭 nao wanatoaga DV Lottery?
@Haki946
12 сағат бұрын
Sisi watanzania ni WACHAWI in nature,ni wew tu kujitoa kwenye huo UCHAWI na ULOZI
@stevetinajewell8385
Күн бұрын
Hata wadogo zangu ukiwashauri kuja hapa Canada 🇨🇦 hawakuamini nafikiri wanaona hawawezi kuishi uku. Hata ninashangaa kuna tatizo TZ
@ChoroTesla
10 сағат бұрын
Mentality mwingine anakwambia niende ulaaya au amerika demu wangu namwachia nani yani mtu yuko radhi apambane bongo ambako ela yote inaishai kwa wanawake na kula bata miaka yote wakati angejichanganya miaka kadhaa tu yuko mbali
@sylvesterfrancis6826
16 сағат бұрын
Ukitaka kuomba lazima uwe na paspoti ya kusafiria? Au unaweza kuomba kisha baadae ndo ufanye mpango wa pasi
@gracekagoma3231
Күн бұрын
Watz kisomo chetu hafifu hatujiamini😮😮.
@ahmedalfan8075
Күн бұрын
Watanzania kamati ya roo mbaya kaka bora sasahiv broo unajitolea sana na wengine ndio wakufuata kufafanua . Wengi ni kwamba hatusanuani ktk madili kama hayo
@masterhptv4065
Күн бұрын
Mimi nimecheza Sana ila wengi wanadadisi Sana hela niliyonayo kwa sasa na wanataka nizidi kutuma hela kwenye namba zao
@Its_Goodluck
3 сағат бұрын
Yani ukimwambia mtanzania kuhusu Dv anahisi unataka umtapeli,mimi nishaacha kuumiza kichwa changu,ikitokea mtu akaniuliza huwa namtumia link ya EBM wala sisemi kitu kingine😂😂😂😂😂
@SamwelMisungwi
Күн бұрын
Usiombe kama huna hela usije ukawa homeless marekani ila hapo kweny kujaza form ni bure viza garama na nichache hilo lipo wazi msimu huu kuelekea kombe la Dunia.
@ChoroTesla
10 сағат бұрын
Kua homeless matakwa yako tu hata bongo ukiwa unataka kua homeless unaweza kua
@Manga-o8s
Күн бұрын
wakenya wako aggressive kivyao. wanaelewa jinsi ya kutafuta information sana
@jacksonmathias796
Күн бұрын
Kwasisi dalasa la Saba tunaweza kuomba na kuruhusiwa kweda
@ahmedalfan8075
Күн бұрын
Waweza kwenda kikubwa uwe work experience ya miaka 2 Yaani uwe na ujuzi kuanzia miaka 2
@sylvesterfrancis6826
16 сағат бұрын
Je ukitaka kufanya maombi lazima uwe na pasi ya kusafiria?
@FistonBalagizi
Күн бұрын
Kama mtu anatumiya passport una weza kuoba
@finaburton122
13 сағат бұрын
Ukiwa unaomba green card sio lazima uwe na passport ila unatakiwa uwe na kitambulisho cha nida
Пікірлер: 49