Kosa lenu ni kumuamsha wakati alikuwa kashalala mwenyewe
@computertech4499
23 сағат бұрын
Sasa analalaje subuleni kifua wazi
@mmassyferguson4959
Күн бұрын
Majina yanaumba unaitwa nanga na kweli ww ni mwisho bro unajua sana hongera sana kaka nanga ❤❤
@AgnessKalonda-t1v
Күн бұрын
😂😂😂😂 kweli kbs
@salumumawaya
Күн бұрын
em assume hiyo situation imekutokea kweli ungefanyaje🤣
@NassoroSAIDI-g8s
Күн бұрын
Pole sana dada huyo ndio nanga gubu kama lite duuu
@FlozBWaise-ue8nc
12 сағат бұрын
Hapo NANGA kweli umezingua
@fredrickmsomba4123
15 сағат бұрын
Mimi kwangu apa kwa dogo 😂😂😂
@Maaworldwide
Күн бұрын
Nakubali sana maelekezo ya mume
@libentiuschrisant
Күн бұрын
Jamaa anajuaaa🤣🤣🙌
@saumodzumbo9671
Күн бұрын
😂😂😂😂😂 nangaaa umeharibu 😂😂😂😂
@saidshabani7556
Күн бұрын
Sema nanga kwa kweli hapan
@ShabanJrjr
Күн бұрын
Bora ungemuacha andelee kulala
@SisoPotashiumz-c7n
Күн бұрын
Nanga kwako hapo😅unaongea sana kwa watu😂
@fadhilinankoli2894
Күн бұрын
Sema nanga daah jau sana yaan
@teamallyracing1780
14 сағат бұрын
Akaoe wa kwake mbona tunasumbuana
@allymwamba
Күн бұрын
Jamaa alina haya kabisa
@bexy.
Күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 mgonjwa una mdomo sana
@AllyBinOmar-q3z
10 сағат бұрын
Ucmuamuxhe tena uyo akilala
@TamuzaKale
Күн бұрын
Nanga anananga!
@swahilifoodtz6446
Күн бұрын
Sasa ume muamshia nini jamani
@Lian_H
Күн бұрын
Viazi vya roast utakula njiani. Uko kwa watu halafu unajifanya mjuaji. Yaani huyu mke ni mpole sana. Me nilishamfukuza kabla hata sijamaliza kuangalia.
@OmaryRamadan-m8v
Күн бұрын
😂😂kweli la hovyo🎉🎉🎉
@FrankSamson-r6s
Күн бұрын
Asa nanga kwako hapo😂😂😂😂??
@omarmazoka5063
Күн бұрын
Nanga kipaji kipo🎉🎉🎉😂😂😂
@JaffariKatuamba
Күн бұрын
Hahahaha nanga una ondokaaa
@eliasreuben8511
10 сағат бұрын
Ila babu kajuuuu!!
@samuelpolepoleruhegeza8139
Күн бұрын
Sasa kwa mdogo wako njo utakuja kuleta fujo 😂😂😂😂 Kama unaona unakwazika toka wende kwako Wew unatuaeibiya kabisa kwanza unaika kwa dogo lako kifuwa wazi 😂😂
Пікірлер: 44