Huyu msechu ana ngoma zote za vifo vya Maraisi Tanzania mmoja mmoja akifa ngoma inachiwa😅😅
@MashaMbwana
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@nassorali4061
6 ай бұрын
Uwa ashaziweka anabandika Jina tu
@bongatv25
6 ай бұрын
Ila watu😂
@maryamadam5622
6 ай бұрын
Mmungu mrehemu mzee wetu na umpe malazi mema peponi. Wema wako utabaki milele. Pole kwa wanafamilia wote. Innaalillaahi wa Innaa Ilaihi Rajiuuna
@mwinyiswalehe9564
6 ай бұрын
NAKUMBUKA VILE UMEKUJA NA MSAFARA WAKO SHINYANGA KUPATA DUA KWA BABA YANGU,ULINIKUTA NIMEZALIWA NI NA MIAKA SABA ,UKANIPA JINA LAKO MPAKA SHULE UKANIBADILISHA , UNCLE ALLY HAJI MWINYI,NAMI LEO NIMEUBEBA UTAMBULISHO WAKO.....Kwelii ninalii😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢,uliniaambia unatamani Niwe kama wewee...nenda salamaa ,nitakuenzi kwakuwa mzalendo halisi kwa nchi yangu😢😢😢😢😢😢😢
@Lulualshagri
6 ай бұрын
😢😢😢😢😢allah akusameh ulipoteleza baba etu kiongozi wetu mahiri mpambanaji shupavu tangulia baba nasi tuko nyuma yako
@Monikakosimastobias
6 ай бұрын
kutunga nyimbo syo kaz ngum ukishapata ujumbe RIP mwinyi.
@ramadhanvyombo5145
6 ай бұрын
Uyu jamaa inawezekana ata mama kashamtungia nyimbo anangoja muda tu wakurelease
@diyembarak5506
6 ай бұрын
😂😂😂
@dopnap4855
6 ай бұрын
😂😂😂
@lilchampion1960
6 ай бұрын
😂😂😂
@TomasMponzi
6 ай бұрын
Jaman tuache ushamba kwani kutunga nyimbo inachukua mda gan??kwawewe ambaye siyo fani yako ndyo unaona siyo swala rahisi,,R I p mzee wetu nenda nasi tunyuma yako
@ZakayoReuben-ow9tz
6 ай бұрын
Hapo sasa kitu fani yake hawa wandhan kutunga wimbo ni kazi ngumu kama kutafyta thaman ya x kwenye logarthim kwa msechu utnzi wa wimbo ni kama junywa maji tu
@wahisiatv2871
6 ай бұрын
Je ukitangulia kabla ya nyimbo zingine za viongozi ambazo ziko kabatini unategea kuzitoa😂😂😂
Kaka Msechu nyimbo ina ujumbe mzito tumuenzi Mhe Hayati Mwinyi.
@MUHSINSALUM-cc4tg
6 ай бұрын
Allahumma ighfir lahu. Aamiiin
@JelleKipala
6 ай бұрын
Yaani pita msechu kutunga wimbo Sawa na kunywa maji tu
@mussahoza
6 ай бұрын
peta msechu ukutee ushatunga nyimbo za viongoz wote... wasubr wafee tu uachiee ngoma moja mojaa
@libetztanzania-kiswahilina2845
6 ай бұрын
HUYU BWANA AJENGEWE SANAMU , PETER PETER MSECHU 🎉 WEWE NI GENIOUS UKO IN AND ON TIME OF EVENTS
@HAYABOYTV1
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@LovelyAstronaut-lh3nk
6 ай бұрын
Huyu jamaa hii nyimbo kaitunga zmn tu alikuwa anasubir afe tu aitoe
@titongassa1620
6 ай бұрын
Amkeni amkeni kashaachia tayari🤣🤣
@Inezamethodebrighton
6 ай бұрын
Huu Jama Ana album yote😂😂😂 ni kugeuza tu majinq
@user-wu4ys1qs5o
6 ай бұрын
Nzuri sana ila haiwezi fikia umetuacha imara ya magu
@user-cj5lo6pw2r
6 ай бұрын
Huyu jamaa ana album😀😀😀
@Manyohu.tv1
5 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ruthdavie1175
6 ай бұрын
Ila Msechu wewe ulijua baba wa watu anakufa ukatunga wimbo 😢
@LothiMolleli-rl4yh
6 ай бұрын
Msechu we ni hatari baba huu wimbo umetunga saa ngapi
@user-or2wp7ss6j
6 ай бұрын
MTU nakazi yake
@FatimaRiami
6 ай бұрын
Katanga zamani ilipotoka taarifa ndio na yy katoa
@abbaskishangu1876
6 ай бұрын
Ww brother ujengewe sanam. Keep it rise,unajua mkubwa
@user-wm2hs3uw9s
6 ай бұрын
Jamni talifa imetoka saa kumi na mmoja sasa anashindwaje kutunaga nyimbo
@Thadei_kameta5458
2 ай бұрын
Ukidanji tyu ngoma chapu inaachiwa ila Petro😅😅😅
@MikaMavanza
6 ай бұрын
Ndioo tumuulizeee hapa huyuuu jamaaa ametunga hii nyimboo saaangapii
@tegemeantenga102
6 ай бұрын
Kwani kutunga wimbo Nako kunahitaji wiki au mwezi?...Kwa msanii aliekomaa ni suala masaa tu
@anganilebukuku4378
6 ай бұрын
Jamaaa anastudioo nyumbani kwake piaaa mziki nimaishaa soo kinacho fanyika nikwamba anakua n melodi nyingi kichwani biti ikipigwa tu anaangalia story inahusu nini anashuka full stairi pale inakua imeisha nikitendo cha dakika 30 ty inakua imekaa poaa
@stevenchawala5316
6 ай бұрын
We msechu hiii nyimbo umetunga saa ngp?
@ntibashimadicksonmathiasna2915
6 ай бұрын
Taarifa anakuwa nazo 😂😮
@anodearsulusi7536
6 ай бұрын
Anakuwaga na nyimbo za maombolezo mmoja akikata tu anaongeza jina anaachia😂
@KhadraMohamed-vy8sl
6 ай бұрын
😅😅😅😅
@Jeff_Tz
6 ай бұрын
Ndio hapo hata na mm namshangaa...
@rashidisaidi8535
6 ай бұрын
Swali gani hilo ww ha ha ha
@jacksonmwalindu8786
6 ай бұрын
😂😂😂😂 mkimuangaliaa vzri usikute tyri an chorus za kiongoz anayefuataa
@munalove450
6 ай бұрын
Poleni familia ya mwinyi kwa msiba wa baba etu sisi tulimpenda lkn allah amempenda zaid😢😢😢😢
@mtanzaniamwenzangu181
6 ай бұрын
Asante kwa kuwafariji wa fiwa wa nchi yetu, hongera kwa kazi nzuri mziki ni tiba🎉🎉🎉
@daynecleonard5906
6 ай бұрын
Pumzika kwa aman baba yangu 😢
@Ibrahim-ne3in
6 ай бұрын
Yan Msechu na mrisho mpoto yanasubiliaga misiba tu
@ebeni_mitimingi
6 ай бұрын
Jamaa ni kama wauza majeneza 😅 wako standby 😅
@ombeninyemba6428
6 ай бұрын
Hazina ya taifa hanang, lowassa na hassani
@emanuelwilliam8834
6 ай бұрын
Pumzika kwa amani baba raisi wetu all hassani mwinyi
@kihanda2554
6 ай бұрын
Bonge la Ngoma. Biti mpk Melod. Hata Clup hili linacjezeka🎉🎉🎉
@valentinesyekeye6846
6 ай бұрын
We mzee una bank ya viongozi wote na nyimbo zao maana huchelewi😅😅
@momylaviel
6 ай бұрын
Msechu ni kiboko apumzike kwa amani
@marikwilliam9886
6 ай бұрын
Msechu apumzike kwenda wapi 🙈
@mcrwego1322
6 ай бұрын
Msechu ur always the best
@jeremiahmtui6822
6 ай бұрын
Asante sana Msechu Mungu akubariki sana
@ZaylinahNindae
6 ай бұрын
Ongera msechu upo vizur
@perucebuhomaosward8512
6 ай бұрын
Genius Msechu👏👏👏
@jaydon3361
6 ай бұрын
We jamaa Kwan viongoz wakitaka kufa wanakutarifu
@mwacyjovin9672
6 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@MasaweKiyage
6 ай бұрын
Congratulations msechu
@sylikiussebastian
6 ай бұрын
Pumzka kwa amani pole kwa watazania viogozi chukua mfano wa mwinyi
@MUHSINSALUM-cc4tg
6 ай бұрын
Alf muwe mnatuambia tarehe ya kweli ya kifo cha mtu. Sasa taarifa ya kifo tayari na wimbo. Jmn
@bushbabytz
6 ай бұрын
huyu naona ana mpango wakuchukua nafasi ya kapteni John Komba😂😂 ...sio kwa uchuro huu ....kila kifo yuko ka bundi wa kwanza kulia kwa nyimbo😂😂
@sporahdaniel4970
6 ай бұрын
😂 we msechu wewe umetunga wimbo saa ngap duuu!!
@MengiMhelela-b3m
6 ай бұрын
Safi sanaa msechuu❤
@jescajames9844
6 ай бұрын
Msechu hauboi🫡🫡🫡
@lyrics_forum
6 ай бұрын
Ulivyo Mnene Sijui hii Nyimbo Umeandaa saa ngapi😂.
@gigoyrn4394
6 ай бұрын
😊😊😊 huyu jamaa ana nyimbo za watanzania wote
@dochoonlinetv
6 ай бұрын
Aisee tanzaniaa imepotezaaa
@abdulymaeda2697
6 ай бұрын
Unatunga sangp
@ASHARICHAMBILE
6 ай бұрын
Msechu kibokoo 😭😭😭
@ThisIsBett
6 ай бұрын
Buriani, mzee!
@gigoyrn4394
6 ай бұрын
Huyu jamaa ana daftri la nyimbo za kifo anasubiri tu mtu afe aweke jina
@tegemeantenga102
6 ай бұрын
😂😂😂😂
@Boniphaceshayo5
6 ай бұрын
😂😂😂itakua
@samwelmeela8384
6 ай бұрын
Oya sio poa
@JacksonJohn.
6 ай бұрын
nyimbo.mbona inachangmsha 😢alafu ww msechu upo kitengo cha misiba
@sagy1239
6 ай бұрын
Pumzika kwa Amani Jembe uliyoyafanya ni upendo tosha kwa nchi yako, tutaonana baadae,
@Berenaldo77
6 ай бұрын
Love song❤
@Davidiboys
6 ай бұрын
lala salama mzee wetu
@haiju1110
6 ай бұрын
😂😂m nimekuja kusoma comment tuuh🙌🙌🙌🙌🙌😂
@ElishaSolomoni-kc4zk
6 ай бұрын
R.i.p mzee wa ruksa.
@andrewvoiceofficial8721
6 ай бұрын
Pumzika kwa amani ally hassan mwinyi
@HalimaRamadhani-o4l
6 ай бұрын
Innalillah
@tanzaniamycountry9308
6 ай бұрын
Me nazan tumkamate atueleze Huwa anatunga saa ngap hiz nyimbo usjekuta anachuriaga watu kabla hawajafa, Sio ajabu nyimbo yangu tayar anayo
@tegemeantenga102
6 ай бұрын
Kwa msanii aliekomaa ni suala la masaa tu,Wala tusifike mbali
@izamutv666
6 ай бұрын
Msechu we ni atali je na yakwako ipo kwenye kabati au ujaitunga bado
@hezronjoseph405
6 ай бұрын
Hakuna pengo lisilo zibika,,kaptain john komba ,huyu hapa😂😂😂😂😂😂
@yunyun799
6 ай бұрын
😂😂😂jamani
@hezronjoseph405
6 ай бұрын
@@yunyun799 🤣🤣🤣🤣
@Gregoire-2006
6 ай бұрын
Nimekuja uku baada ya kuhona video kutoka kwa uswege kule nikahamuwq nije kuhakikisha😅
@lilchampion1960
6 ай бұрын
Bia mm😂😂😂
@barakajames6740
6 ай бұрын
Ila huyu jamaa😅 umeshatoa wimbo dah
@Officialjidaa-sn9cs
6 ай бұрын
Rest in paradise
@istudiohimo2113
6 ай бұрын
Huwa mwamba ana siri nyingi za vifo vya watu. Tukikaa nae vizur atakuwa anatupa siri za waliotangulia mapema?
@isayambetwa6564
6 ай бұрын
Duuuuuuuuh!
@jonathanmlinda2580
6 ай бұрын
20 on trending 🙏
@Matatasaid
6 ай бұрын
Afute iyo zerro apo nyuma
@dr.swagztv3559
6 ай бұрын
R.I.P Al Hassan
@noahchepe8036
6 ай бұрын
😂😂ndio maana Jana watu wamesema msechu ana lists kibao za kuimbia marehem
@RosemaryLema
6 ай бұрын
Msechu n komba wa sasa uko chapu au unakuwa nazo tayari nn😢
@Jirhley
6 ай бұрын
Ipo siku huyu Peter Msechu atatunga nyimbo ya kiongozi alafu ajikute yeye ndo kavuta kabla ya mlengwa .make hizi nyimbo ni dhahiri kwamba anawatungia wangali hai
@AmedeusFrank
6 ай бұрын
R.I.P,APUMZIKE KWA AMANI
@titodaniely9713
6 ай бұрын
𝙈𝙨𝙚𝙘𝙝𝙪 𝙣𝙤𝙢𝙖 𝙨𝙖𝙣𝙖
@GabrielSky64
6 ай бұрын
Umeenda studio au ulikua nayo tu ndani
@yohanamorisi9027
6 ай бұрын
Naona huyu ana nyimbo za misiba to hana zingine ndyomana anakuaga wakwanza kuimba
@RickyVan-fw4ry
6 ай бұрын
Ila mshechu misiba tukuachie wewe tu sasa
@RamadanPaul
6 ай бұрын
daah maisha ni mafupi
@aminatanzanya7475
6 ай бұрын
🤣🤣🤣 Khaa. Msechu inaonesha ana nyimbo za viongz wote
@nassorali4061
6 ай бұрын
Ashaziweka uwa anabandika Jina tu😂😂
@unbreakableteam8225
6 ай бұрын
Iyo nyimbo akatafute sehemu tu ya kuiperfom
@Mwelimazozo-ol3lp2lw4e
6 ай бұрын
😭😭😭
@jonnygabriel9648
6 ай бұрын
Sasa hv nani anakufa msechu
@24seventv99
6 ай бұрын
Naiskia saut ya lavalava kwa background
@beyondmediatz1607
6 ай бұрын
We ni fundi kaka
@beautyibrahim8428
6 ай бұрын
msechu kiboko kah enewei tukuite tu komba saiz
@philipothomas6279
6 ай бұрын
R.I.P
@rashidisaidi8535
6 ай бұрын
Ww msechu na ww lini tutakutungia nyimbo ?? Ukifa😂😂😂
Пікірлер: 184