Kijana mdogo na handsome anamtumikia Mungu safi sana nawapenda sana vijana wa hivi inawezekana sema wengi ni wajiendekeza tu
@maryjustajovini5736
2 жыл бұрын
Ubarkiwe Allen Mungu azidi kkutumia Kama apendavyo
@sayunikasimiri509
2 жыл бұрын
Amina mwanangu, kwa ulivyo mnyenyekevu lazima BWANA YESU akutokee, tumepokea ujumbe na tulia Sana kwa Toba KUU.
@julieluziga1095
2 жыл бұрын
Glory to God! Mungu wa mbinguni azidi kukupa maono mtumishi wa Mungu
@francoisemashimango8177
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kabisa mtumishi wa Mungu
@noellanduwimana51
2 жыл бұрын
Amen ...Mutumishi ubarikiwe sana ukweli kabsa yesu akombowe wakina Mama wote sikiyeni wenye masikio asante kija kwa kazi ngumu ya Bwana Hallelua.......ubarikiwe sana
@germanoburushi
2 жыл бұрын
Ameen, ahsante sana Mungu wetu mwema Kwa kuzidi kutufunulia haya kupitia Kwa watumishi wako na Mtumishi wako Allen Tusaidie tuliishi neno lako Mbarikiwe Sana Shuhuda za kweli Kwa hii program Mungu awainue zaidi na zaidi
@PastorJoshua_Njombe
2 жыл бұрын
Huyu kijana ni Mtumishi sahihi wa Mungu msikilizeni
@solangemukuna4997
2 жыл бұрын
Nina ishi Canada, namufamia youtube channel ya Lashun Pace, nashukuru Mungu kusikiya abari izi njema.
@lilianmajana5032
2 жыл бұрын
Mungu atusaidie wanawake tukamshinde shetani tuka muone mungu amen 🙏
@edakiputa1108
2 жыл бұрын
Asante, Mungu wangu nisaidie kutii sauti yako.
@rhodalissu6953
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtoto mzuri wa Yesu, hizi mambo za mapambo hazifundishwi makanisani tusaidie tafadhali Ili kila kanisa lijue ili mtu aamue mwenyewe kubadilika ama kukataa
@perrywanjiru2754
2 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu....na Mungu azidi kukulinda na kukupa nguvu 🙏
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana kwa kutufindisha kwa upendo mkuu kwetu
@RebecaMaloda-xx2qm
10 ай бұрын
Yesu ni mzur Asante Yesu kwa kukitumia ss ntaanza upya
@tulibumimsomb4911
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@tabithaibrahim8493
2 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki kwa ushuhuda huu tumepona.
@melesianageorge2012
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi, kwa ujumbe
@carocaro510
2 жыл бұрын
May God bless you
@marymbodzembodze2707
2 жыл бұрын
Amen nilikua namuangalia kwa video zake Mungu akubaki sana kwa ujumbe huu
@angeliquemwamini4791
2 жыл бұрын
Hakika Mungu anatupenda sana wamama
@godsfavour1603
2 жыл бұрын
Amen and amen!!
@mariamyinga2141
2 жыл бұрын
Asante kwa kutuletea jina la Bwana libarikiwe
@rachaelmulinge4101
2 жыл бұрын
Ahsante sana
@blessedlovedandfavoured4129
2 жыл бұрын
I know the lady l use to follow her in KZitem
@elizalaya7887
2 жыл бұрын
Peniel Eternal ni channel moja. Nzuri sana Inayoinua watu kiroho
@maryeer6392
Жыл бұрын
Amina amina mchungaji nakubaliana na huyo ujumbe, Mungu akufunulie mengi utuletee, ilaah mm nimeviacha vyote ilah pepo la ujinzi haliniachi, niombee 🇰🇪🇰🇪😭😭🙏.
@elizalaya7887
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@happynesskimt6249
2 жыл бұрын
Amina Amina,
@denismathayo5577
2 жыл бұрын
ameni na thanks
@carenhilary8067
Жыл бұрын
Bwana Yesu nikumbuke
@lovenesswalter6650
2 жыл бұрын
Blessed brother
@lovenesswalter6650
2 жыл бұрын
Barikiwa sana
@malengamsombwa3115
Жыл бұрын
Mungu adhidi kukufunulia tena kijana
@lydiamichael5509
2 жыл бұрын
Amen and Amen
@edinakibani8725
2 жыл бұрын
Asante sana Mungu ni mwema
@julianawanjala6495
2 жыл бұрын
Amina
@josephrashidy-nl5hb
Жыл бұрын
Amen mtumishi. Lakini nataka pia kujua kama ni lazima kufunga kilemba mda wote
@shuhudazakweli3406
Жыл бұрын
Hapana niwakati wa ibada
@josephrashidy-nl5hb
Жыл бұрын
@@shuhudazakweli3406 amen
@Neemakilimba
Жыл бұрын
@@shuhudazakweli3406Ni wakati wote Lazima ujistiri sio tu wakt wa ibada ,Sasa hapo unamwekea Mungu mipaka
@fridafrancis1960
5 ай бұрын
@@shuhudazakweli3406mbona nimesikia Kuna mtu amesema Hadi mda wa kulala tufunge vitambaa?tunapokuwa Kila Mahalia tufunge vitambaa?
@135larry
2 жыл бұрын
amen
@cicada8397
2 жыл бұрын
Tight ya nguo za ndani za kike ni aina ya suruali fupi. Imekaaje hapo?
@failaprince9250
Жыл бұрын
MUNGU azidi kutupa nguvu yakushinda Ila zashetzni
@rhodalissu6953
Жыл бұрын
Nina shida na ww mtumishi wa Mungu Allen Mzirai nina maswali ya kukuuliza Ili nakupataje ?
@doricemrema2177
2 жыл бұрын
Umenena vema
@dethamziwandamziwanda5063
2 жыл бұрын
BWANA Yesu apewe sifa mtumishi wa Mungu, samahani naomba unisaidie jambo hili.Kazi ninayofanya uniform zetu ni suruali.Mimi nifanyeje?
@naysay3256
2 жыл бұрын
Sis ask the manager if you can sow same Color in skirts pls thank you
@gililwise
2 жыл бұрын
Yapo mengi tu ambayo yatakufanya usiingie mbinguni hasa unafiki,masengenyo,wivu, husuda,uchoyo,kutamani,roho mbaya.mi naamini kuwa tunaokolewa kwa neema tu.mtu asije akajisifu.Mungu atusaidie ili atufunulie yatupasayo kutenda.
@esthernyagah2792
2 жыл бұрын
Deut 22:5 says that a man should not wear what pertaineth to a woman and a woman should not wear what pertaineth to a man. The emphasis on this video is for those women who wear trousers. My question is......what about those men in Scotland who wear skirts called kilts? No.2, does it mean that all Indians will go to hell coz their attire is normally a trouser and a dress/top? No.3, which scripture in the Bible indicates that all trousers belong to men? In fact I think when the bible was being inspired by God, there were no trousers. Mchunganji, please clarify these.
@naysay3256
2 жыл бұрын
Deuteronomy 22:5-12 A woman must not wear men’s clothing, nor a man wear women’s clothing, for the LORD your God detests anyone who does this. Yes if any Indian woman wears trousers they will go to hell lord Jesus is a God of principles his law is his law. Remember when you die the accuser of brethren who is satan will come and tell God you cannot save her because she did things against your word and since our God is a truthful God he will have to give you up because you didn’t follow his word.And for the Scotland men they are not suppose to Wear women clothing like wise women not wear men clothing REMEMBER that all theses clothing were made on the earth sometimes by the devils agents.
@nasrahgdjuma930
8 ай бұрын
Bible and when the technology got better pants were invented for men only. So since it was invented for men that’s how men has taken it to be defined as masculine garment .
@nasrahgdjuma930
8 ай бұрын
but kilts are men clothes just like robes were men clothes for centuries. When the Bible was written people didn’t have pants back then.but what made pants as men clothes was how they used to grind their robes between their legs when you read in the the Old Testament you will find that in. But as technology got better men stop grinding their ropes instead pants were invented and it was only meant for men not women and that’s how God has mark that as a male’s cloth and not women.
@ivanf.lekule5618
Жыл бұрын
Huyo mbona kuna baadhi ya video zake kajipamba kama kuvaa hereni na mawigi na kuweka blichi wakati umesema mapambo dhambi
@victorianchimbi8640
6 ай бұрын
Unaulizia huyo mwimbaji aliyekufa anayemuongelea?
@reginaruta3249
2 жыл бұрын
Namshukuru Mungu maana apendi tupotee bari tufike kwake. Nauliza mtumishi na je kuvaa Pete ya uchumba Naya ndoa nayo haitakiwi?
@shuhudazakweli3406
2 жыл бұрын
Ndio
@zackariamtunguja9435
2 жыл бұрын
Ila yeye kavaa suti ili apendeze wakati kuna maskini hawajui watakula nini.....
@rhodalissu6953
Жыл бұрын
Nimeguswa na shuhuda hizi kubwa na sijawahi kufundishwa kanisani
@ashurakodd1589
Жыл бұрын
Hata nguo tunazovaa nyingi zibatengenezwa kuzimu so che. The bangili hTasaa hata vyakula vya kubumba
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Yaani tuache ubishibinguni hakitaingia chochote kinyonge mmmmh kukataa kutii maneno ya MUNGU Ni unyonge mmmmh tunalilia malangi lipustiki wifi hereni na mecap na mengineo YOTE hayatatusaidia jehanamu kunatisha
@justinianrubandwa7957
2 жыл бұрын
Hivi wakati biblia inaandikwa suruali zilishaanza kuvaliwa? Maana maandishi yanatuonyesha enzi za YESU vazi lilikuwa kanzu kwa wote wanaume na wanawake, tofauti ilikuwa mashono. Tusaidie ufafanuzi ilikuwaje suruali likawa vazi la wanaume.
@nasrahgdjuma930
8 ай бұрын
Lakini kilts ni nguo za wanaume kama nguo za wanaume kwa karne nyingi. Wakati Biblia inaandikwa watu hawakuwa na suruali enzi hizo.lakini kilichofanya suruali kama nguo za wanaume ni jinsi walivyokuwa wakisaga nguo zao katikati ya miguu yao ukisoma katika Agano la Kale utagundua kuwa. bora wanaume waache kusaga kamba badala yake suruali ilibuniwa na ilikusudiwa wanaume tu sio wanawake na ndivyo Mungu alivyoweka alama hiyo kuwa ni nguo ya mwanaume na sio wanawake.
@cicada8397
2 жыл бұрын
Vipi kuhusu kuvaa mkanda(belts) Kwa wanaume(hata wanawake).??na miwani?
@jacklinejeremiah4473
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@elizamsemwa3161
2 жыл бұрын
Unanifurahisha na maswali yako...lingine nimelikuta hapo juu la kuhusu taiti😃😀😀😀😀😀ila hili imenibidi nikoment😄😃😀
@emmylema5911
2 жыл бұрын
Asante kwa ku share
@joyceanthony7383
2 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Watumishi?! Kwahiyo nywele tunyoe au tumantain hizi hizi natural , au tusisuke kabisa?!
@shuhudazakweli3406
2 жыл бұрын
unawez kunyoa ama kuziacha ivo ivo cha msingi usisuke kama neno linavyosema
@cicada8397
2 жыл бұрын
Mwanamke kunyoa anaaibisha kichwa chake according to biblia.sifa ya mwanamke ni nywele ndefu.. Zitunze Hizo natural tu
@beatricemortensen8533
2 жыл бұрын
Naomba mtufundishe kuwatanbua manabii wa UONGO .
@geitandelwa299
2 жыл бұрын
Mapambo YOTE Ni ya shetani tuache kujichanganya rohoni na mwilini
@prospernaiman2154
2 жыл бұрын
Ukivaa suruali ndani ya Dela bado unakuwa umevaa suruali
@shuhudazakweli3406
2 жыл бұрын
ndio, usivae kabisa
@mercycharlesmsiagi1756
2 жыл бұрын
@@shuhudazakweli3406 kuna izi taiti vupi za kike tun valiaga ndani ni kama nguo y ndani ni vupi je nazo izo ni suruali ni fafanulie apo
@sayunikasimiri509
2 жыл бұрын
Nikivalia ndani ya Dera suruali no dhambi
@jessemach4459
2 жыл бұрын
Eee ni dhambi,ata kulala na trouser .usiivae kamwe.
@everlinekemunto267
2 жыл бұрын
@@jessemach4459 sasa na sisi tupo kazi na uniform ni suruali haki tufanyeje
@jessemach4459
2 жыл бұрын
@@everlinekemunto267 jieleze huko kazini....ata kama ni police hakuna mwanamke na suruali ataingia mbingu.hii njia ni very narrow. Personaly imebidi niwache kazi nifanye ingine
@vumiliawambula1716
2 жыл бұрын
Amen mtumishi barikiwa ,Sasa kwa sisi tulio fasi kwenye wanaruusu suruwali kazini Tufanyeje vipodozi niraisi kuacha Mungu atusaidie waruusu kuanza kuvaa vazi lolote Amen
@jessemach4459
2 жыл бұрын
@@vumiliawambula1716 omba Mungu akuonyeshe vile utajinasua kwa iyo kazi.omba kazi ingine,iko amini Mungu atakupa.
@mercycharlesmsiagi1756
2 жыл бұрын
Mtumishi naomba un jibu ili lina n tatiza kun izi taiti tuna valiaga ndani n vupi uwa tun vaa lbda na gauni au sketi je izi pia MUNGU apendi
@vivianadiang2501
2 жыл бұрын
Bwana asifiwe dada hizo tight ndani ziko tu kama surauali, basi usivae hizo Ava kamisi ya ndani tu. Chochote inakaa kama suruali unavaa ndani ama inje ni makosa usivae, mimi niliacha yote na ninaisha ujerumani kuna baridi sana lakini tuvaa tu soksi na kamisi basi kwa Mungu apendi hizo vitu. Ubarikiwe unapotii sana
@56manya
2 жыл бұрын
Es ist echt gar nicht einfach. Ich habe alle meine Hosen weg geschmissen weil Gott mich das mir langsam zeigte. Ich hatte die gleiche Frage auch was ziehe ich an wenn der Winter kommt? Danke für deine Antwort. Hat mir sehr geholfen. Ich kaufe mir jetzt sehr lange Socken/Strümpfe. God bless you sis.♥️
@rhodalissu6953
Жыл бұрын
Nina maswali kuhusu somo muhimu ulofundisha, sasa ntakupataje mtumishi wa Mungu? kuna vitu nahitaji kujifunza zaidi kuhusu wanawake na mapambo
@jesikaodigu5184
2 жыл бұрын
Biblia pia yasema kwamba vitabu vitafunguliwa. Hiyo siku ndio kila binadamu ataweza kujua ameangukia upande upi . Mbona uchukue kazi ya Yesu atakaye shuka na utukufu na kusema watakao kuwa wanaenda kuzimuni na watakao kwenda mbinguni? Hukumu itatolewa naye. Sio mtu mwingine
@christinaemmanuels
2 жыл бұрын
Hajatoa hukumu kasema alichoona
@jesikaodigu5184
2 жыл бұрын
Tafadhali uache kuwapoteza watu. Kwenye Biblia mzima hakuna mahali imesema kwamba tukifa, tunaenda mbinguni au kuzimuni. Wathesalonike wa kwanza fungu la kumi na tano hadi kumi na saba. 1 Thessalonians 4:15-17 yasema vizuri kwamba yesu atakaposhuka, atashuka na kutakuwa na kelele ya parapanda. Walio kufa wataamshwa. Kama wafu watakuwa washapanda mbinguni au kuzimuni, watafufuka wakiwa wapi? Je? Biblia inatudanganya ikiwa inasema dhahiri kwamba wafu wore watafufuka Toka mavumbini? Tutumie maandiko jamani. Sio story.
@nurumwita9034
2 жыл бұрын
Usiseme waliokufa wataamshwa hapana waliokufa katika Kristo ndio watakaofufuliwa pia mbingu ipo na kuzimu ipo we unasoma Biblia gani wewe
@edomkyamba6633
2 жыл бұрын
Ujui neno la mungu jifunze kusikiliza sio kupinga
@jesikaodigu5184
2 жыл бұрын
@@nurumwita9034 Ni mbinguni gani watu wanaenda wakifa? Wakienda basi Yesu atawaamsha nani akija. Na mbona waingie mbele ya wengine? Acts 2:29-34 inasema wazi kwamba hata kaburi lake Saudi liko hapa na hajaenda mbinguni. Anangojea parapanda ya mwisho. Je? Uko na fungu la kupinga ninachosema?
@jesikaodigu5184
2 жыл бұрын
@@edomkyamba6633 Siwezi sikiza kama yanapotosha. Tafadhali nionyeshe fungu kwa Biblia inayosema tukifa,tunaenda mbinguni au kuzimuni. Biblia yasema hayo yote yatafanyika wakati parapanda Italia, Yesu atashuka na kutenga kondoo na mbuzi.
@zackariamtunguja9435
2 жыл бұрын
Kuna watu wamekaririshwa maneno badala yakusoma maandiko hivyo hutawaweza.....
Пікірлер: 99