This's why Bongo music is on another level, the lyrics always have a true and touching story and this is just one of the best productions by WCB. CEO DP is currently the best in the world, nurturing talent and bringing great teamwork and making money too. Tudd Thomas naye hatubwagi naminyambuliko....Lava lava kama alivyosema, nangoja kuona kipaji
@zubeydahseif129
7 жыл бұрын
Jamani me binafsi kuanzia leo ni team lava lava amna kiba amna nani lava lava nimekukubali sijawah kubal msanii yoyote bongo zaid ya diamond sasa leo umemngoa kiti kaa baba mablessing nakupa utafanikiwa sana sana in shah allah na mwezi huu mtukufu.
@tanzanianchef8647
7 жыл бұрын
zubeydah seif hahahaha
@silvanusokumu8256
7 жыл бұрын
I hope this boy makes it. He seems like a good person and I Love the song... Kwa kweli waafrika tunastahili tuzidi kuungana na kuinuana.. mimi nliupenda sana wimbo wake
@agsags4209
3 жыл бұрын
Anae msikiliza lava lava ! Your voice kills my brother love 💖💖 from Lubumbashi DRC
@safiyasafiya1522
6 жыл бұрын
Asante lavalava hira kaka pole hii nyimbo aijamuacha mtyu salama kwakweli
@victordeekenya3539
Жыл бұрын
Wow,.. Lavalava kweli anakipaji. The way he is coming up with a song is amazing 🔥 🔥 👏
@rosenamilia4140
7 жыл бұрын
Very toacheble song. Big up.👍 Lava Lava from WCB.
@usherfaheem545
7 жыл бұрын
huu wimbo huacheni tu, yakikufika utaelewaa tu manaake ukiongea sna utaonekana mnafki Mara ooh team WCB
@official_msororo_liker_tz3793
7 жыл бұрын
nice song kwel wcb kuna waimbaji 👏👏👏 i appricate to u all salute👮👆👆👆
@shaonaomary5398
7 жыл бұрын
kweli nyimbo nizuri sana Kama himeingia kwenye moyo wamwezako lazima uliye usimwabiye mwezako anayeliya nipumbavu siyokila mtu ana yeliya kunasabab zakufanya my aliye labda na yeye ameshawahi kupitia so unampa pole siyokumtusi ♥♥♥ I love music very good
@edmondjr17
7 жыл бұрын
huyu mtangazaji kalia na sheria kabisa hata na Mimi nyimbo imenifika kbs big up lavalava
@halimambwego8287
7 жыл бұрын
Ujue nyimbo kama nyimbo hutokana na mazingira tunayoishi... Mmakonde kanikumbusha mbali huyu mie nimependa nyimbo za mond kitambo sana.... Utasikia eti huyu naye nyimbo zinaujumbe gani.... Mie huwajibu tu ukijua kupenda au nn maana ya kupenda na ukatendwa nyimbo za diamond utazijua tuu zina ujumbe upi wa kuliza au kubembeleza... Sasa huyu Dogo naye anatambaa mule mule... Pole sana mmakonde utakuwa umeguswa kiaina ila yote maisha... Hongera sana Dogo kwa kutoa hisia ya mtu kutumia kuimba.... Mashairi yamesimama na sauti kinanda.... Continue....
@ucjvvjcjjvih9934
2 жыл бұрын
Am tz Whow listening 2022 lava lava ❤big bro UMEMLIZA mmakonde😅😅 BORA TUACHANE 😭😭😭💯
@officialbennyflavour4006
7 жыл бұрын
Big up sana Lava Lava hii hata mimi nimelia kwa 7bu umeimba uhalisia wa life linavyo songa @iamlavalava big up bro
@boscow9380
6 жыл бұрын
dogo unatisha sauti niyilele kwenye wimbo ,nilipo achana nademu wangu nilizmia kusikia huu wimbo,nilipomtumia hii wimbo ilimubidi anywe sumu ili mungu ngamjalia uzima. lava endelea kufanya kazi na wcb ili uwe nawatu wenye wanajuwa kufanya kazi.
@anniallygodfrey9345
6 жыл бұрын
Kweli??
@annahockson1427
6 жыл бұрын
kazi nzur, nimeupenda huu mwimbo, kupitia uyo mtangaji anaelia. nimeuckiliza kwa umakini. nimeelewa kwann amelia
@ss-pl6yo
6 жыл бұрын
Lalva lava wamuliza mwenzako jamani nyimbo Kali Sana hasakama umetendwa walia
@essiedavid9760
7 жыл бұрын
jamaniiii hicho kilio it's like a drama lol,,mapenzi yanauma dah😂😂😂
@hudamohamhed4897
3 жыл бұрын
Nani anawatch 2020.. lava lava akiwa wcb. Lavalava tunakupenda sana. Saaaannaaaaa... you are doing well
@paulomizingo1971
7 жыл бұрын
Kwakweli huwa sina tabia ya kutoa comments kwenye interview kama hizi lakini kwa huyu msani,imenilazimu tu niandike. Lavalava hongera sana, nimeikubali kazi yako yaani hadi nimeona kwamba ulivyoimba hapa ni bora zaidi kuliko kwenye video yako licha ya ukweli kwamba kwenye video huwa tayari kuna mixing ishafanyika tayari.
@pendoamini9073
7 жыл бұрын
big up sana lavalava penda sana wewe yani hiyo sauti tu mi hoi allah akujalie ufike Mbali ila sio usisahau kumshiririkisha mungu kwenye Kazi Zako lshallah.
@mathewkusulakusula2537
7 жыл бұрын
love feelings will not totally be perished simply bcoz love is flower DAT grow wthn a person to someone .,.. daaaa choz mzee bb hataree
@shununamtoni9145
6 жыл бұрын
Great song kwa kweli inagusa kila MTU wa umri wowote big up DOGO
@mariamsaidi896
7 жыл бұрын
wooow mashallah uko powa bro yangu yani ajab
@bitesigirwentambi9001
4 жыл бұрын
?
@nassirmohamed8666
6 жыл бұрын
Daah...kwakwel ndugu yangu Lavalava wew ni mwalimu wa wasanii yaan hii nyimbo na nyimbo zako zote aisee ni za hali ya juu na wewe una kipaji na unajua ndivyo ulivyo. unachokifanya kipo moyoni mwako pia una discipline sana maana nmekuangalia sana you tube katika interview zako na majibu yako ndio haswaaaa yanayotakiwa hutukwazi pia. hii ni comment yangu ya kwanza tangia nmezaliwa hapa you tube. Mungu akujaalie Lavalava.
@assesorjoeofficial9704
7 жыл бұрын
lavalava kwangu nambari moja toka kenya 254hongera
@ashazaharan1750
6 жыл бұрын
pole saana kaka mungu atakusaidi lnsha allah yataisha tuu
@tricenaftaly3153
6 жыл бұрын
Ujumbe huu upo ktk Hanoi hongera sana lavalava mungu akupeitaji LA moyo wako
@jemedary6271
6 жыл бұрын
kwa mtu asiyejua hisia za kweli ni vgumu sana kumuelewa huyu Mmakonde, lakin iunderstand him, yupo real
@basharimilar5297
6 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Dah pole mtangazaji najua yamekukuta pole
@karanjakariuki9934
5 жыл бұрын
Hii ngoma inaweza sana
@claudineangel2283
6 жыл бұрын
woow very very nice song big up saana lavalava
@mercydoreenachieng5719
7 жыл бұрын
woie hahahaaaaa pole mtangazaji .....mpendapenda uko vizuri kabisa
@maryshancy8035
7 жыл бұрын
Dah😭I'm in tears tooo..! That nigga made me to....! All in all be blessed
@rahmaabdulrahmaabdul1781
7 жыл бұрын
naipenda sana hii nyimbo mdundo maneno iko poa sanaa keep it's up bro
Пікірлер: 697