Babu amekuja kama hakuna baya alilofanya kutoroka na mtoto
@taturajabukhalfani7953
3 ай бұрын
😂
@KAHINDITV
3 ай бұрын
😅😅😅😅😅
@dayadaniel4968
Ай бұрын
😂😂😂nimecheka kashajisahau kama alimtorosha mtt
@AngelMbaga
3 ай бұрын
Dada Gea napenda, anavyoongea kwa staha/ kwa kutulia. Yaan taratibu. Vipindi vingi yuko hivi. Maua yako hayo🎉🎉🎉🎉🎉
@anenragnesmunis8490
3 ай бұрын
Anafana na mama yake 😊
@halimamremi5375
3 ай бұрын
MM NILIONA SURA TANGU MWANZO NI WA KATI SURA KAFANANA NA MAMA YAKE JAMANI WANAUME WENGINE NI SHIIDAA TUU😂😢😅
@JackMalima
3 ай бұрын
Kama ningekua mm ningempiga na kiatu huyo baba
@eggysulle7988
3 ай бұрын
😂😂😂
@saidshaban8110
2 ай бұрын
Babu leo anapasha kiporo hii ndio mana hari ya wazazi hawagonbani 😅😅😅
@JackMalima
3 ай бұрын
Ila sisi wakerewe na wajita ndo zetu kuwatenganisha watoto na mama zo tunaongoza
@ansifridmkongoja3337
3 ай бұрын
Hongereni kwa kipindi kizur sema Mama yuko vizuri kwenye kutumia kipaza
@ukhtyrehemaabdy2830
3 ай бұрын
Nimelia
@leokamil6284
3 ай бұрын
Acheni kuweka huo mziki
@JamalKanani
Ай бұрын
Bibi kala kobisi kwa babu ata mie ningefanyq hivyo hivyo kamtorosha mtoto wangu
@RamadhaniYahaya-rj3bt
Ай бұрын
Nnatatizo kama ilo namtafuta mama angu mzazi simjui Ata Jina nasijawai kumuona picha tu ipo nyumbani lakini mama nupande wake wote siujui
@ruthmuja7792
3 ай бұрын
Bibi ana kinyongo 😂
@nancyg8664
3 ай бұрын
😂😂😂
@MagrethHaule-x3q
3 ай бұрын
Mwenyewe nisingemsalimia 😏
@MakoyePaul-ht3co
Ай бұрын
Anakinyongo lilikuwaga linampereka kochimbaji
@CristinLyanga
3 ай бұрын
Wa kwetu mama nimekupata' mwana wane' songela zigizigi.
@magrethmathayo2800
3 ай бұрын
mtu kashakwambia hawezi kumtambua hivyo mpaka alama unamlazimisha
@EMMANUELLUAMBANO
3 күн бұрын
mwenye contact za clouds
@halimaoman8726
3 ай бұрын
Bibi mmempotezea furaha yake yote baada ya kutokea katika kipindi kutokea bibi mudi yote imepotea
@eggysulle7988
3 ай бұрын
😂😂😂anawaza mbal
@yasintamsuya
3 ай бұрын
Hivi Hawa wazazi wanakuaga wap miaka 30 kweli alafu mama hasaaa jamani
@solomondanny-1507
3 ай бұрын
Mnyiramba mwenzetu unatuangushaaaaaa.
@SufuMaganga
3 ай бұрын
Nipo mozambiq nakipenda sana hiki kpindi kwa sababu Mimi ni muhanga nilipotezana na mama miaka 25 nikiona hua ninalia hongereni sana kwa kazi mzuri🎉🎉🎉❤❤❤❤
@samuelmuhindosivamwanza4988
3 ай бұрын
Mbarikiwe sana. Mnafanya kazi nzuri. Ila ikiwezekana ule mziki unasumbua. Kama ikiwezekana, usitishwe wakati watu wanaongea.
@fathimamct232
3 ай бұрын
Buie ni watangazaji hqlafu mnaharibu lugha Heahima Yako ndio.nn na mama Ako myumbani unamsalimia hivyo heahima Yako mama hujui mzazi wa mwezio ni mzazi wako piya Acheni manjonjo yenu bwana
@tuityeaster530
2 ай бұрын
Mimi pia ninamiaka 42 sijawahi muona baba
@kimanijohn9529
Ай бұрын
Ushindi ni kwa Bwana wetu
@MosesMulee
Ай бұрын
Damu nmusito kuliko maji
@NimaMbaraka
2 ай бұрын
Hongera Sana rozi kumpata mama yako
@MercyTracy-k2m
2 ай бұрын
Mbona alimwaja????
@mariyamsalalah8204
3 ай бұрын
Weee nalia bas tu
@sleeprelaxation8431
3 ай бұрын
Bibi bado ana maumivu
@asiansky9767
3 ай бұрын
Kweli
@AidathRweyongeza
3 ай бұрын
Kabisaa yaani Kama ni mm ntakalo mfanya huyo mbaba
@abdallahashajuma1281
2 ай бұрын
Si mchezo anauchungu babu kakosea kumtorosha mtoto
@RosemaryWampinda
Ай бұрын
Mama😭😭
@ناديهترتوب
3 ай бұрын
Nawaza ivi kuna mtu atamchukua mwanangu akiwa na miaka 2 namm namuangalia
@rehemakanyere4188
3 ай бұрын
Sijui yaaani basi tu
@Trizah-254-e
3 ай бұрын
Bibi hajafurahia huyu mzee😂😂😂😂
@OmaryKiduka
3 ай бұрын
😅😅 nimefrai mama ana Lia anaweka maik mdomon
@hyacintagugu7
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂mama Ni nomaaaa
@halimaoman8726
3 ай бұрын
Kipindi hiki cha laha leo huwa kinatowa machozi sana kwa jinsi watoto walivyotengana na wazazi wao wa kike na hii yote wanatusababishia awa waume tulizaa nao ndio wanatusababishia tusiwaone watto wetu
@Najatfahady
3 ай бұрын
Mungu azidi kuwakutanisha na wengine jamani😢
@marietacristovao1387
Ай бұрын
Mimi namtafuta lucy kimondo nyokabi tumeachana mwaka 2004,tafadhali
@ZuhuraBungi
2 ай бұрын
Namtafuta mwanangu mtoto wa marehem kaka yangu anaitwa hassan jumanne mwinyikondo mama yake akitokea mbagala
@UpendoLukas-s1u
2 ай бұрын
Habari, naomba mnisaidie kumpata baba yangu mzazi sijawahi kumwona tangu nizaliwe naomba msaada wa kumpata
@aziza9093
3 ай бұрын
Safuy san kwakipidi
@christaoman8890
3 ай бұрын
Kwa kweli hiki kipindi huwa kinanitoa machozi sana hongera sana mama kumpata mtt wako Rose mauwa yako❤❤❤
@sebonikegobi6244
2 ай бұрын
Hongera Sana radio clouds kea kazi kubwa mnayoiganya ya kukutanisha watu Mungu baba awabariki sana
@esthercharles-zq1lc
2 ай бұрын
Hata mm nisingekuwa na furaha na yeye kamtorosha mtoto akiwa mdogo sana
@annastaziarenatus8046
2 ай бұрын
Mimi naitwa a nastazia namtafuta baba yangu anaitwa piusi mlema tangu mwaka 19720
@georgedaniel4962
3 ай бұрын
Mama miyeyusho kinoma unalia unasogeza maik ili sauti isikike
@Aminahlamranl420-hw2ie
3 ай бұрын
😂😂😂
@MsAggie5
3 ай бұрын
Labda alifikiri ndo inavyotakiwa 😂
@MsAggie5
3 ай бұрын
Mama ana hasira ona anatazama pembeni hataki hata kumuangalia. Baba anashindwa hata kuomba msamaha?
@hyacintagugu7
3 ай бұрын
Yaani😂😂😂
@levinaernest4364
2 ай бұрын
@@MsAggie5 😄😄😄
@jordankikoti1045
2 ай бұрын
Kaz nzr sana Mungu awatie nguvu muendelee na moyo huo wa utendaji kaz
@Abdul-oc1ul
2 ай бұрын
Huyo amezaliwa 95 anpt miaka 32 vp
@SuzanFelix-mo8fq
3 ай бұрын
Daah dadangu angejalibu iki kipindi uwenda angemuona baba yake au mdogo wake imani😢
@GetrudeRashid-be8bs
3 ай бұрын
Mtu na mtt wake,cheki alivyomjua m wanae,,,mtu chake bwaaa🎉🎉🎉
@jaliamkubilasidi
3 ай бұрын
Ooooo jomoni hongeraaa sana mama rozi kwa kumpata mwana nani kama maaaamaaaa
@Allygibison
3 ай бұрын
Put the music off or down a bit as you guys telk
@Moscow924
3 ай бұрын
Jamani mi namtafuta wifiyangu anaitwa Hindu Husen Hajji waliachana na kakayangu na aliondoka na mtoto mdogo anaitwa Sada na alimwacha mtoto mmoja anaitwa selemani naomba kamayupo hai mwanae sele anamtafuta aje Tabora
@ellahjonas4881
3 ай бұрын
Acheni kuniliza jamani
@TeleziaSimbeye-fm3zw
3 ай бұрын
Ilikuwaje wakapotezana???
@MariamMwadasiro-l6v
2 ай бұрын
To be sincerely babu aliboa!!!
@abdulkhalim9475
3 ай бұрын
Bibi kamaindi kbsaaaa hahaha dah
@FaridaMngereza
2 ай бұрын
Iza iza iza
@MonaJuma-cp3jg
3 ай бұрын
Kimeniliza kweli hikikipindi😭😭😭
@ukhtyrehemaabdy2830
3 ай бұрын
Kampatia mtu chake jaman
@Yulia-p1l
3 ай бұрын
Ila babu
@RachelMalekela
3 ай бұрын
Ila inauma
@MargaretManyanda
3 ай бұрын
Acheni muziki
@hafsalucky1088
3 ай бұрын
❤❤❤
@KhadijamussaMachapat
3 ай бұрын
Hongera sana
@aminaabdalla9949
3 ай бұрын
katikati
@FloraMarinyo
3 ай бұрын
Geita inaonekana mnatabia zakuwapokonya wamama watoto
@mouldykomba1852
3 ай бұрын
Saana sio tabia nzur hao wababa wana tabia mbaya
@NadiaNadu-r3v
3 ай бұрын
❤❤❤❤🎉🎉
@AminaElisha-d6i
3 ай бұрын
Jamani nimesikia mma kaqoqa kiluqa nimemwelewa
@HOLINESSPIUSE-gv8ud
3 ай бұрын
Nakwambia udadisi Wa redioni NI kujitoa mno
@ReginaThomasLongwe-qf4qs
3 ай бұрын
Rose anafanana na mama yake
@hyacintagugu7
3 ай бұрын
Sana
@ruthmuja7792
3 ай бұрын
🎉
@ruthmuja7792
3 ай бұрын
❤
@Aminahlamranl420-hw2ie
3 ай бұрын
Bib amemkwepa babu jamaniii huruma
@MsAggie5
3 ай бұрын
Mie ningemtia ngumi 😂😂
@MaryCaroly-zl1ei
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@aziza9093
3 ай бұрын
❤❤❤
@GetrudaChagu
3 ай бұрын
Dada Kaka shkamoni mm ninamtafuta Dada yangu mariamu juma shabani yupo dare Salam naomba mnisaidie kutafuta mana tuliachana wadogo sana
Пікірлер: 135