Kipindi hiki kimeeleza kwa ubatini maana ya shairi, makundi mawili makuu ya shairi pamoja na sifa za shairi la arudhi. Mgogoro baina ya wanamapingiti na wanamapokeo imefafanuliwa kwa kina. Kaida za ushairi za Amri Kaluta Abedi (1954) pia zimefafanuliwa kwa mapana na marefu.
Негізгі бет Lesson 46: Ushairi: Arudhi na huru/Sifa za shairi ya Kimapokeo
Пікірлер: 1