Kweli kbc tutulie tule mtori nyama zikochini wallah
@otsamamusic2139
18 күн бұрын
Ad mjipate 😂😂
@NeemaMushi-wj1zn
6 күн бұрын
Ubaya ubwela❤❤
@EdgarZawadi-dz4fn
18 күн бұрын
💫💫
@user-oz7qj7vs2k
18 күн бұрын
Mwalimu na wachezaji endeleeni kujinoa kweli kweli maipunguze kazi na msijiamini sana mkadharau timu yeyote ili muwe Bora sana zingatia mazoezi.
@soniimedia2440
18 күн бұрын
Simba bingwaa
@ibrah1989
18 күн бұрын
🎉🎉🎉❤hii Simba 🔥🔥
@user-wv1ls4oh4l
18 күн бұрын
Yanga wasipo mloga ahoua nimchezaji mzuli saaaaaaaaaaana leo na kesho
@kevymwinuka7849
19 күн бұрын
Ubaya ubwela
@samwelingasa1638
19 күн бұрын
Kagoma aanze huyu mashaka ni mzuri nilishasema
@dreezyboe3564
19 күн бұрын
Nmependa sana hizi move za goli la Mukwala...BALUA ni bonge la AM 🙌
@user-oz7qj7vs2k
18 күн бұрын
Na viongozi msijisahau kuitibia timu kwa shetani yupo kazini muda wote na wachezaji jitibieni mkichanganya mnakuwa zaidi
@MasungaMaduhu-e6p
17 күн бұрын
Simba nguv moj
@عبدوالخمري-خ2م
18 күн бұрын
بأذن الله تعالى اهلي طرابلس بي يتاهل ع حسابكم
@MasikaSaid
19 күн бұрын
Uy ahoa cjui ana mipir mizr sana yani huo mpira akiupug km kip hyk mkn doh ankul nying sn wallah
@salmaurembo7629
17 күн бұрын
Yaah dogo freecick zke zote alzopiga yy ni ubora wa goalkeeper ndo umemnyima goal nyingi
@ALEXLOTAN
19 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@OfficialElishamaMulokozi
17 күн бұрын
Ushindi ya Simba Bingwa..
@barakangomba
18 күн бұрын
ee baba Simba waooo
@user-fz3yz8fm9h
18 күн бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉
@zalinaseif4430
18 күн бұрын
Kweli ubaya ubwela ❤❤❤❤❤❤❤
@JILBERTDaniford
19 күн бұрын
NIULIZIEN SIRI YA EDWINI CHAZ BARUA NA JEAN CHAAZ AHOUA
@user-bf3mm5wu1s
15 күн бұрын
Mnyama simbaaa 😅😢❤
@BenjaminJames-t5n
19 күн бұрын
Mhhh awamu hiii siongei meng
@salmaurembo7629
17 күн бұрын
SIMBA TUNAWAPIGAJI WAZURI SANA WA FREECICK BALUA NA AHOUA
@renatusblandes1131
19 күн бұрын
Mkwala anatakiwa kuwa mwepesi hasiwe mzito maana ana Ka uzito flani
@malengaWetuTv2699
18 күн бұрын
❤❤❤
@kolosii4351
18 күн бұрын
Simba imeshajiaminisha tayari. Nbc na kombe la shirikisho bingwa.
@BenjaminiRevocatus
18 күн бұрын
Anaesema simba inanunua magori kwan wao hawana ela
@patrickymkoma3558
19 күн бұрын
Tuzidi kuwaamini wachezaji wetu.
@RobertAmosi
18 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@dicksoncyprian9511
19 күн бұрын
Goli la pili ni pira biriani,ndo goli la kisimba simba
@MayasaKidogobas
15 күн бұрын
Imewaka
@Fredrick-jk7el
19 күн бұрын
😢🎉Ubaya ubwelaa hatari TU
@MansuliSelemani
18 күн бұрын
Unyama
@WamburaThomas-i1b
18 күн бұрын
Nakubal
@luluray2115
18 күн бұрын
Simba bingwa
@subethchuwa3989
19 күн бұрын
❤
@user-gw5lb9ju5m
17 күн бұрын
ALHMDHULILLAH
@stn4873
17 күн бұрын
Ila huyu kibu duuh hamna kitu😂😂😂
@AllyJames-dc4td
16 күн бұрын
Unyaa
@khalidsoud235
19 күн бұрын
Mpelekeni Mukwala kwa Denzel Trainer akanolewe fitness
@vumiliamgendi148
18 күн бұрын
Jamani jamani huyu Fondo ipo siku atatuletea shida apunguze kujiamini kupitiliza ebu viongozi jaribuni kumkanya asituletee ujinga tuna maumivu sana,kwa hiyo msimu huu hatumtaki ujinga wowote ufanyike
@Josephkachwele
15 күн бұрын
Sakho nataman aludi humu
@anithawidambe7543
18 күн бұрын
AHOUA UMAFANYA VZR KUTOA PASI C UMEONA TUMEPATA MAGOLI MENGI?WACHEZAJI USILAZIMISHE KUFUNGA KM UWEZEKANO HAUPO. MPE MWENZIO AFUNGE ANAYEKUWA NANAFASI. NDY MTAPATA MAGOLI MENGI LENGO TIMU ISHINDE HANGERENI SANA SIMBA
@JoshuaLeonard-lo3cs
18 күн бұрын
Simba yamoto inakuja
@JohnMtatiro-kx4jw
19 күн бұрын
Simba gari limewaka 😂😂😂
@user-ne6bp7lo3q
19 күн бұрын
🦁🦁🦁🦁🦁
@SarahCharls
18 күн бұрын
Simba ya kidunia 😅😅😅😅ubaya ubwelaa
@Gospelactorstv
19 күн бұрын
Haha bhana
@dswaytz6145
18 күн бұрын
Aiseee kwan iii camera mlinunu bei gan chama langu mbona naona vzur kuliko zile za azamembe ❤💜⚪
@cosmasthomas9164
18 күн бұрын
Stamina kwa mukwala inaanza kupungua.
@richardmichael7523
18 күн бұрын
Aidha Mnyama ni mkali sana au Fountain Gate ni wabovu sana. Yote ya Yote, pongezi kwa mnyama. Tunatazamia mengi
@yasini6027
18 күн бұрын
Dan
@user-nj9vx7bi8e
18 күн бұрын
Kama unasema mwanaume haja anza ligi siwewe mke wa wake ukaombe wakuruhusu ili ukute una cheza we we.
@EdwinAdAstra
19 күн бұрын
Wanasimba tuanze kunywa dawa za kisukari sasa maana sio kwa utamu huu
@sophiamtuta6121
Күн бұрын
Unaipenda Simba kama mimi?????
@rawhiyasultan5778
18 күн бұрын
magori yote nimatamu simagori tu nimisumali ilioenda shule simba oyee nguvu moja,
@user-qc6ii7tn1x
19 күн бұрын
Ubaya ubwela simba nguvu moja❤❤❤❤❤❤❤
@eddiebilly3475
18 күн бұрын
Jaman wachez muwe hta mna staili ya kushangilia
@athumanipigo9295
18 күн бұрын
Usiwe unachelew sana kuweka bana
@user-oz7qj7vs2k
18 күн бұрын
Konfdens uloipata mukwAlala endelea nayo usiogope paka wala dudu wote tu wa Simba pigeni mpila
@Bandugu-b5p
18 күн бұрын
Watu wa digital fanyeni hizi highlights ziwe Zina wekwa muda mfupi baada ya mechi kuisha Ili kuongeza mapato humu you tube pia subscribers, Sasa mnaweka baada ya masaa sita huku Azam Tv wameshaweka muda mrefu maana yake Nini? Ebu kuweni chapu jamani
@anithawidambe7543
18 күн бұрын
WACHEZAJI ASANTENI SANA. HAPO NI MWENDO BILA KURUDI NYUMA. PASI PEANENI UKIONA UWEZEKANO WAKUFUNGA WEWE HAUPOMPE MWENZIO AKIWA NA NAFASI ILI KUIPATIA TIMU USHINDI NA MAGOLI MENGI
@SirdamNjema
18 күн бұрын
Ubaya kwel umelud
@Mhabeshi.Madayi
19 күн бұрын
Kwa magoli haya ya kizembe ingekuwa yanga makoro mapovu yangewatoka ooh hilo tawi lenu ooh gsm wanatoa bahasha mapovu yangekuwa mengiii lakini kwao sasa kama wamebeba kombe la nbc wamesahau yoote na wamesahau mwanaume hajaanza ligi😂😂
@revocatusmalimi4525
19 күн бұрын
Wewe tulia dawa ikuingie na bado utapona tu ugonjwa wako wa kutoelewa
@1599k6g
18 күн бұрын
Tuliza chura ww acha kuwanga😅
@Michael-f9c7o
18 күн бұрын
Magoli ya kizembe waip wew achawivu ndiyo gari limewaka hivyo
Пікірлер: 80