Inshaallah naomba MUNGU nipate mke anipende nami nimpende kisha usiku tukae wote kitandani tuisikilize hii nyimbo ili tuzidi kupendana zaidi inshaallah
@zengeummu9575
6 ай бұрын
Inshaaa Allah Allah atakujalia mwenye khery na weye
@ahmedougedo5326
6 ай бұрын
@@zengeummu9575 amiin
@mwajabushomari3872
3 ай бұрын
In Sha Allah
@SadouxMsafiri
3 ай бұрын
Masha Allah
@AbdullatifKandwa
3 ай бұрын
Amin inshallah
@mesaidisuleimaninyemia6333
Жыл бұрын
Jamani hii nyimbo itaniacha nitafute mume niolewe
@MohammedAli-yc2ek
10 ай бұрын
😂😂😂
@abdulhamidkificho5768
4 жыл бұрын
Macho kitizama nadhar ya shan,huwa nna hema mapigo ya ndan Mwili watetema nafungwa lisan,hushindwa kusema yalofuwadin Yaa Rabbi salama Mola niahumi niahuni
@saumuabdulazizi8118
3 жыл бұрын
Hatareee
@abdulhamidkificho5768
3 жыл бұрын
@@saumuabdulazizi8118 Tam tam za mwambao
@salmaalimusa547
3 жыл бұрын
Raha duniani huba la Mohammed wangu 😍😍😍😍😍
@halimakindamba4883
3 жыл бұрын
Limeniathirii Huna Lakee jamaniii Mashallah Sabah Manenoo Perfect kabisaaa I am Soo in love jamanii
@saadsiham677
Ай бұрын
Ma sha Allah nyimbo mzuri msma etu sabah salum.mungu akueke❤❤❤
@salimseif
6 ай бұрын
MashaAllah sabah salum utaniua kwa maneno yako matam dadaangu ❤
@azlambarouk9039
4 жыл бұрын
Raha duniani huba la fulani la fulani aaaa jamani hii nyimbo nzur hongera 😍😍😍
@B_C_Bellah
5 ай бұрын
Huu wimbo itanifanya nitafute ndoa kilazimaaaaa
@user-gu1lg2zr8s
Ай бұрын
Hakuna ndoa ya lazima vinginevyo hautapa hio raha wafikiria utapata.. Take your sweet time to get the right one ndio utaona raha
@nassirsafari2338
3 жыл бұрын
Sauti mashallah +254 tunakupenda sana...
@saraahs6884
3 жыл бұрын
Kesho tukiwa hai nauzima takua mapema tuskize hzo nyimbooo usiku mwemaa ndugu zanguu kaka zangu dada zangu good night 😴😴😴😴🙏
@kumenyaasheri2007
Ай бұрын
dada
@suhaybabeid3115
4 жыл бұрын
Cjaona mwengin zaidi yako sabah salum your taraab is so cute😍😍
@issamusa4658
6 жыл бұрын
Sabah dadang umetesa vya kutosha .rejea kwa Allah sasa
@hawaisabella5354
5 жыл бұрын
Love u Sabah....😍
@selaboy
4 жыл бұрын
Love you Muchacho
@lukmamy6655
4 жыл бұрын
Wewe usharudi kwa Allah??
@lailahasan2200
4 жыл бұрын
Kabisa, umenena, Allah ATUONGOZE hakika na atupe mwisho mwema Inshaallah
@amneothman2301
3 жыл бұрын
@@lailahasan2200 Amiin
@hassankitwango487
4 күн бұрын
Daah that was so feeling💯
@aminamohamed7002
4 жыл бұрын
Dah! Raha sana nyimbo zako zinahamasa
@abdulrashidi9110
5 жыл бұрын
maashaallah #always old is gold
@abdulhamidkificho5768
4 жыл бұрын
Moyoni wa khashiin,na katika langu hili langu hili Raha duniani huba la Fulani la fulaniii,kwa raha duniani huba la Fulani la Fulani
@khamismohamed1378
2 жыл бұрын
MashaAllah ngoma haishi tuamu
@user-gu1lg2zr8s
Ай бұрын
Jamaniiiiii asante tulio zama kwenye ili dimbwi la huba na wanaotupenda tujuane. Mapenzi ni matam tu ikiwa utampenda anae kupenda.... Hakika raha kupendwa ❤❤
Limeniathiri huba la Fulani, Sauti hariri nyororo hewan Kashindwa kanar sauti laini,hamu imekithiri haina mwishoni Siwez subir! Siwez subir sina afueni afueniiihh
@issamashurinyo9609
3 жыл бұрын
Nawe mkar dah
@abdulhamidkificho5768
3 жыл бұрын
@@issamashurinyo9609 Kawaida mbona!! Haahaahaaa!!
@ranqueen4483
4 жыл бұрын
Mashallaah mashallaah
@hassankirumbi5353
5 ай бұрын
Masha allah masha allah
@bintykigan7014
6 жыл бұрын
Nice mashaa Allah
@mahabubusaidi1105
5 жыл бұрын
Daah hapa nimekamatwa ka hii tarab achatu
@user-vz9te8ox8e
5 ай бұрын
Umenikumbusha long time habibty
@saraahs6884
3 жыл бұрын
Majina ya sabaah ha aww wajali kusemaa ukwl🤣🤣🤣🤣🙏👍👌💞❤❤❤❤💗
@SalmaJuma-tr3dd
3 ай бұрын
Wawo
@nahidsaid6050
3 жыл бұрын
Yani haya maneno ni mazima sisi wengine tumetoka znz mpaka tupo UK kwa kuaathiriwa yani machozi mpaka basi kwa sababu ukiathiriwa na huba la fulani huwa unataka usimuone kila ukimuona huwa kama napata fedheha
Пікірлер: 93