Kwana watu humu mtajifunza kitu mungu huwa anamlipa mtu kulingana na alicho kifanya manaona kama wana wakera ila mtu anazungumuza kitu ambacho hata wewe kingekutokea usinge simama kama yeye ila mungu ana makusudi na wewe akupe uzima siku zote bado tunakupenda❤
@UmmyBeauty
5 сағат бұрын
Damu ya mtu aimwagiki bure lazima tu majibu yatoke
@DavisEnglishTv
4 сағат бұрын
Tuache kutumia tgo..Hatupo salama
@babazungu3180
3 сағат бұрын
Laini zote z cm hiyo ni stage ya mwisho kujuwa uko maeneo gan
@BarakaSimon-xy9mp
2 сағат бұрын
Simama jemedari wa vita... Mpaka pumzi ya mwisho... Taifa zima hajawahi tokea mtyu very intelligently kama Wewe. 1-genius 2-Brave 3-fighter 4- The Personality Wewe unaeleweka na watu wenye upeo mkubwa wa akili... Hata kwa ambao hatujihusishi na siasa. Watunze vyema wanao maana DNA yako inahitajika... Wewe zaidi ya mwalimu,,, umekuwa shule kwa vijana tunaohitaji maarifa zaidi... Hakuna mwanadamu mkamilifu... Ila ku sucrifies maisha yako kwa watu wa Nchi yako... Mungu wa rehema ni mwingiiii kusamehe... Mungu akulinde...
@ifonlyiknew619
3 сағат бұрын
Comment Nyingi Humu wanao comment wengi ni Mbumbumbu Mnooo kweli Tanzagiza
@HusseinSaguti-sj9nh
20 минут бұрын
Ww ni zaid ya chizi
@LindaMbilinyi-n3n
4 сағат бұрын
Ogopa sana mtu anayejifanya mlokole nyuma yke asilimia kubwa kuna meng,makonda sasa hv anajifanya mtakatifu na mwenye huruma sanaa lkn mkikumbuka alikuwa mshenz sana mbabe wa ovyoo ushuhuda tu wa hili inshu ya clouds kipindi kile mbk wakapishana na marehemu ruge😢😢😢😢mama samia ungejifunza mwenzio leo analiwa na funza,hii dunia wote tutapita tu,madaraka yasiwalevye😢😢😢😢
@CharlesMbise-hc2sz
4 сағат бұрын
Exactly 💯
@lordsm.k-db3wy
4 сағат бұрын
Mmmh mbona umefka mbali sana Dada, Alikufanya nini JPM
@lulumatawalo7805
3 сағат бұрын
Kama unadhani ni rahisi,na wewe jifanye mlokole! Huu ni mkakati,why now??
@ahmedalbalooshi8518
3 сағат бұрын
Tukio la "clouds" linatoa sura ya mtu alivyo madarakani
@SylvesterMakenzie
3 сағат бұрын
Hata wew fuza watakula Kuma la mama yako mkundu wew hiv nyie wabongo kila maovu yanayofanyika nchi hii lawama zote kwa rais hii hapana magufuri alikuwa mzalendo sana kwangu nasema hii hapana
@saumuabdallah198
5 сағат бұрын
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..📌📌📌 anachoongea lissu hakuna asiekijua au kukielewa!!! 👌
@ppcvk-f8x
3 сағат бұрын
Naye tundu lissu huyo anapigania tumbo lake, msidanganyike, anatumiwa na wazungu wanyonyaji kuleta vurugu nchini
@ppcvk-f8x
3 сағат бұрын
Usimtetee
@jumamustapha8254
3 сағат бұрын
@@ppcvk-f8xkweli kabisa.
@TeddyDickson-w5p
2 сағат бұрын
Ndugai alisema hajui alipo
@FrankChacha-y3d
2 сағат бұрын
Duuh leo hii millard ayo nae anapost interview ya lissu 😂 kweli mambo yanabadilika
@storytownTv
4 сағат бұрын
Sema kufufua kwa Magufuli unakwama😢 Deal na hawa wazima bannah ,Magufuli alikuwa katil kwenu ila alikua mtu safi kwa watanzania wanyonge acha kumsema ovyo utapoteza vibe la wananchi tuanze kuona chedema mnayenu wala sio kuwapambambania watanzania
@JenipherUsumba
2 сағат бұрын
Kwani alipogwa kipindi Cha huyu mama mpaka asimseme magu
@ibrahimallyweunaijuahiyoco8608
2 сағат бұрын
wewe chizi kweli kwaiyo alivopigwa risasi sawa
@ElvisMulenga-j5w
Сағат бұрын
Wewe upigwe na mwengine udili unaona ni sawa wewe kama humsapoti ni wewe tu na akili zako mbovu
@ElvisMulenga-j5w
Сағат бұрын
Wewe unadandia mtumbwi wa vibwengo na haupo sawa
@chusseboywcb2808
53 минут бұрын
🙏🙏🙏🙏madini sanaaaa
@edgarjoseph5573
3 сағат бұрын
Hii Tanzania Ina vijana wa hovyo sana haijawahi kutokea, Yaani maovu YOTE haya yanayotokea na ushahidi wanao ila kama hawaoni, inasikitisha sana.... Comment zao zakipumbavu kabisa
@josephmusagasa
4 сағат бұрын
Ki msingi inaumiza sana. Lakini unakuta wapo watu baadhi Wana comment mambo ya hovyo. Nadhani watu wa jinsi hiyo wana roho zipendazo damu. Pepo hizo mwende mkaombewe muwe huru na wenye huruma
@promisetenson7258
3 сағат бұрын
Mungu alishatujibu katika hilo Mungu hajaribiwi yuko wp sasa mbwa yule ishi tundu
@abubakarysaid2772
2 сағат бұрын
Hata mimi, wewe nahuyo unaemwambia aishii wote tutakufa
@yohananyamaruri9105
3 сағат бұрын
Please, DEREVA WAKO YUKO WAPI? MBONA HAJAONEKA HADI LEO NA NDIYE ALIKUWA FIRST KUHOJIWA
@edwinalexander1170
3 сағат бұрын
Alishawahi kuulizwa mbona kama miaka 3 iliyopita? Akasema dereva alipata kazi Belgium na akaamua kuhamia huko huko na familia yake.
@BarakaSimon-xy9mp
3 сағат бұрын
Dereva atakuwepo mahali penye ulazina kuwepo
@abdulrazack9577
3 сағат бұрын
Mfungulie kesi mkuu
@stevenmilton2504
4 сағат бұрын
Damu ya mtu haimwagiki bure
@عمرانالحجري
3 сағат бұрын
Bongo kikubwa uzima🙄
@KekeRose-yj6re
3 сағат бұрын
Ila miladi naomba nikufollow umeacha uchawa saiv. Unapost habar zote❤
@jumarajab5316
4 сағат бұрын
yaan mlalamikaji unataka uitwe kulalamika polisi
@MatildeBjelland
Сағат бұрын
😂😂maajabu hayo, na ni mwanasheria eti
@johannesssamsonambogo4125
Сағат бұрын
Uyu ni mwanasheria, Wewe ni mvuta bangi huwezi kuelewa mambo ya kisheria, Wewe unaweza kujua bangi nzuri na mbaya tu ayo mengine huwezi jua
@Kabi_47
13 минут бұрын
Unajua hapa hatuongelei mambo ya kesi za kitoto 🥷🥷
@MusaMkembela-ex6ev
4 сағат бұрын
Mungu sio Athuman waliokuchimbia kabuli wamezikwa wenyewe alale mahala pema utafanya yote mabaya mwisho wa siku unakufa bila kupingwa
@EriyaRichard
4 сағат бұрын
Paul MAKONDA ni mwamba Sana ❤❤❤
@jumamustapha8254
3 сағат бұрын
Pamoja mkubwa❤❤❤
@ThomasMmary-r7w
5 сағат бұрын
MUNGU atusaidie amani 😢idumu 🇹🇿🌹
@eaglecrown1101
4 сағат бұрын
Makonda oyeeeeeeeeee🎉 Hata mumpake matope Bado atang'ara tuuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Nani anampaka matope? Hapo anaposema nishakaa napafaham
@jihalethegreat8807
3 сағат бұрын
Tukiachana na siasa hii nchi imejaa MAJAMBAZI na yapo kwenye nafasi Serikalini na MAUAJI MAKUBWA hii TANZANIA inaendeshwa kigaidi huku wakizidi kupuliza na kung'ata😢
@musamusa6213
4 сағат бұрын
Kwa makonda tunampenda sanaaa tena sana
@antidiusegbert5562
3 сағат бұрын
Wewe na nani?
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Kwahiyo tufanyeje? Jisemee nafasi yako
@josephpeter8511
2 сағат бұрын
na wewe@@antidiusegbert5562
@rajabukipara3008
Сағат бұрын
Na MAMAAKO 😂@@antidiusegbert5562
@SomweMateso
Сағат бұрын
Unamupandaje muuaji fala ww makonda na sabaha wananuka damu zawatu
@ImaChaki
5 сағат бұрын
Mmh
@amankayinga3475
3 сағат бұрын
Wewe hukua na walinzi wako? Mbona siku zote unakuwa na walinzi, lakini risasi kama risasi ikupitie unakufa mungu alikuokoa eti
@EdwardBalloho
3 сағат бұрын
tanzania bhan 😅😅
@saudamwinyipembe5749
4 сағат бұрын
Sasa hata ukipewa nchi utashughulika na wanaichi au utalipa kwanza kisasi acha hasira unaye mlaumu kashahukumiwa na mungu samehe songa mbele wewe ni kiogozi gani asiye sahau na na kusamehe mbona unatutia mashaka
@AngelMazola
4 сағат бұрын
Yaaani miakaa sasa analaumu tu khaaa!!
@shabanponera2895
3 сағат бұрын
Ulishawahi kupigwa hata na jiwe wewe? Unasahau vipi na ushakuwa kilema
@saudamwinyipembe5749
2 сағат бұрын
Dunia haina haki haki nimungu
@TeddyDickson-w5p
2 сағат бұрын
Ulipigwa kofi tu ukashindwa kusamehe
@rajabukipara3008
Сағат бұрын
Yaan Huy Bora Angefirwa Kama Akina ROMA😂@@AngelMazola
@JacksonJoseph-h9r
3 сағат бұрын
Pole sana
@jumamustapha8254
3 сағат бұрын
Mtu mbaya sana wewe, umawatuma watu wako wakushambulie kwa risasi za mpira kutafuta huruma ya wana chadema na wasiofahamu kazi ya risasi wanaodnganyika. Waelewa tunakuangalia tu kwa ujinga wako
@FurahaMwandoje
3 сағат бұрын
Utakuwa sio binadam kawaida wewe.Au inezekana unaishi kwa njia ya ujambazi.Ila kama kuna ndugu yako hata mmoja aliwahi kuvamiwa usingethubutu kusema hayo maneno.
@FurahaMwandoje
3 сағат бұрын
Yaani mtu amekuwa mlemavu wewe unasema risasi za plastic!.Usiombe yakupate,ulemavu muda wowote hata wewe kama uliumbwa na Mungu ni dakika yeyote hata kwa ajali.Wala usijione mjanja kama unapumua. Ipo siku utayakumbuka haya ndugu.
@promisetenson7258
3 сағат бұрын
Mbwa ww huna lolote una laana pamoja na kizazi chako
@promisetenson7258
3 сағат бұрын
Unathubutu kusema alituma watu wake wamshambulie laana itakuandama mpaka mwisho wa dahari
@PrinceHendry-hp8vv
3 сағат бұрын
Hivi kumbe kuna watu wenye ubongo km matako utatumaje mtu akuumize hivi?
@KekeRose-yj6re
3 сағат бұрын
Rest in hell mwendazake
@ramadhanizola1157
3 сағат бұрын
Idiamin akfa mm siwez😂😂😂😂
@RosemaryGulenga
2 сағат бұрын
😅😅😅😂
@RosemaryGulenga
2 сағат бұрын
😂😂😂😂
@RosemaryGulenga
2 сағат бұрын
😂😂😂
@vinenswilliam3534
3 сағат бұрын
Magufuli MUNGU akuweke na Malaika zake Mbinguni, Makonda MUNGU akulinde. Sijui kwa nini dunia kizuri inakiita kibaya na kibaya inakiita kizuri.
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Acha ujinga ww Muwe mbavaa viatu vya watu ambao wamepitia shida km hizi Ipo siku yakiwakuta mtaongea laugha tofauti
@vinenswilliam3534
2 сағат бұрын
@@christinewomanoffaith5479 umeweka picha ya Prophet T.B Joshua na unaongea haya... huruma sana, unajua Tanzania kiroho wewe? Ama unaongozwa na mwili tuu
@vinenswilliam3534
2 сағат бұрын
@@christinewomanoffaith5479 hiyo siku yatakutokea na kukukuta wewe sii mimi
@KesuYeile
4 сағат бұрын
Nyie munao msapoti makonda,hamko salama hata kidogo,na mda si mrefu makonda mungu atamuibua Kwa matendo yake hawajai kuwa mtu mwema hata siku Moja,
@LindaMbilinyi-n3n
4 сағат бұрын
Nakubal asilimia mia,,anajificha tu lkn mshenz mnooo
@athanasmasmami5389
4 сағат бұрын
Nakuunga mkono kaka.)))makonda ni muuwaji sana anajificha tu kwenye kivuli cha utu wema ila ukweli ni mafia balah yan ni moja ya viongozi wanaotumia madaraka yao kuumiza watu
@jumamustapha8254
3 сағат бұрын
Wewe ndiyo mshenzi
@tanzcanmediatv4473
3 сағат бұрын
Sasa kwanini.msipeleke kesi mahakamani hapo ni kuuwa ushahidi wataharibu mifumo ulitakiwa ku mute
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Mahakama ipi? We mgeni hapa Tz ?
@roudhamahmoud763
4 сағат бұрын
Hizi hadisi si zishasimuliwa jamani au ndo maandamano yamerudisha nyuma mambo?
@ChoroTesla
4 сағат бұрын
Alikua akijibu maswali
@abuumuhammad7133
4 сағат бұрын
Leo Mama Samia amewaacha huru na mfanye.Siasa zakistaarabu bado mnaona mbaya mumerudi Nchini mwenu bado hamuoni bado mnamnanga na kumsingizia vitu vyauongo kweli baadhi yetu Watanzania tunaujinga wa hali ya juu sana
@LindaMbilinyi-n3n
4 сағат бұрын
Kwa hyo ndo wasiseme waliyowah kufanyiwa??kenge ww angefanyiwa baba Ako ungesema hvyo??
@MusaMkembela-ex6ev
4 сағат бұрын
Kwahiyo ww unajuaje kama muongo
@abuumuhammad7133
4 сағат бұрын
@@LindaMbilinyi-n3n haaa haaa ninachofurahi baadhi yenu wenye mungu watatu mnateseka na Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri anaefanya mpk aje amalize muda wake mtakuwa mshateseka sana
@BarakaSimon-xy9mp
3 сағат бұрын
Lisu hajawahi sema uongo on camera
@SHERANasibu
2 сағат бұрын
Ww jinga kwel kawaacha huru vp kwann yy ndo anatoa uhuru ili kama shoga aw na ww ulienda kwa pddy
@ppcvk-f8x
3 сағат бұрын
Tundu lissu anajifanya kupigania haki za wengine wakati yeye mwenyewe ni wakala wa wazungu wanyonyaji, huyu akiwa rais naye atakuwa mpigaji tu, anapambania tumbo lake na sio watu.
@Muhammedually
4 сағат бұрын
Mbona Trump alalamiki,Tuachie makonda wetu ulikuwa wapi cku zote
@AngelMazola
4 сағат бұрын
Kabisa yani
@MusaMkembela-ex6ev
4 сағат бұрын
Iv ww unaakili kweli!!
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Huna akili ww Ukishaguswa ndo urudi hapa kuongea ujinga Utafananish Marekani na tz?
@omarylukindo5306
54 минут бұрын
Halalamiki ww unaishi USA?
@DicksonMagesa-r7h
4 сағат бұрын
Chadema kila siku mnalalamika tu jamani vipi mlego wenu ni upi
@yokoi-u3g
3 сағат бұрын
Kma mpka leo ujui basi endelea kulala tu ndgu yangu.
@MsevenSaudisaidi
2 сағат бұрын
Wanalalamika vipi mtu anasema ukweri kashambiriwa na risasi je ungepigwa wewe risasi ukikaa kmya kuwa na roho ya binadam unakuwana loho ya mnyama
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Analalamika kivipi? Anachoongea hukifahanu au unajitoa ufahamu?. Yaani watu wajinga km ww mpk yaikute familia Yako au wanaokuhusu ndo utajifanya unoangea
@rajabukipara3008
Сағат бұрын
@MsevenSaudisNa Angefirwa Kama ROMA JE😂aidi
@rajabukipara3008
Сағат бұрын
Na Angefirwa Kama ROMA Je Angekumbusha kumbsha😂
@AmaniKizinga-ew9mk
3 сағат бұрын
Wewe una moyo gani na KANISANI unaenda kila siku kufanya Nini,,hata walikufanyia SAMEHE,, NENO la MUNGU linasema SAMEHE saba mara sabini,,,sasa unamtuhumu MTU alishakufa..wewe tungeneza MAISHA yako vizuri na MUNGU ili hata ukifa uende sehemu SAHIHI...hakuna faida hapo..mtafute MUNGU sana.
@leokamil6284
2 сағат бұрын
Upigwe risasi alafu usamehe
@leokamil6284
2 сағат бұрын
Au mkuki kwa nguruwe
@msellegodlisten8715
Минут бұрын
😮
@Mimi.Official
4 сағат бұрын
Kabla mwenye tigo hajasema yote atupiwa nyie subirini
@sayeedmsct4255
3 сағат бұрын
😅😅😂etii ndiohaya maneno ya maendeleo 😂kwahy kunawatu wamekuelewa
@priscamrekoni3451
3 сағат бұрын
😅😅😅😅😅😅🙈
@sayeedmsct4255
3 сағат бұрын
@@priscamrekoni3451 😅🤣SIASA bhn
@fxmeddy9567
3 сағат бұрын
Huyu nae ni wale wale wanaojikomba kwa wazungu. Tunahitaji viongozi wazalendo wa nchi yao
@BarakaSimon-xy9mp
3 сағат бұрын
Si mbaya kujikomba kwa watu wanaokujali kipindi unapokabiri magumu
@saidibalagwila8496
3 сағат бұрын
Wew msenge kama waseng wengine nenda Kwa mabwana zako
@josephchaba6007
5 сағат бұрын
Tulishachoka na hadithi zako
@jimmydizonga1335
5 сағат бұрын
Hivi ata utu kidogo tu huna, muogope Mungu, ujiuliz aliye jifanya mwamba ss hv ni marehemu na aliye pigwa risas yupo hai
@aidankakulu398
5 сағат бұрын
Kasikilize za baba yako kwani nani kakwambia usikilize hii habari mbwa wewe
@saumuabdallah198
5 сағат бұрын
angeuliwa na babako afu ndo useme uo upuuzi wako
@hatibumohamedi3471
5 сағат бұрын
Ndio wewe nn mhusika
@robertphilip385
4 сағат бұрын
Pumbavu kabisa mbwa wewe
@Trendingnewstubes
2 сағат бұрын
Kwa hiyo Task force ya Tanzania wanapigaga risasi 16,kwa target moja?, wadukuzi wa tz ndio wako hivyo kweli
@bakaringalembula4858
8 минут бұрын
crown Media maana halisi ya utoaji wa habari
@ChrisantJohn-d3l
2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂 huyu ndio anataka kiwa raisi wa Tz duuuh na mimi nitagombea
@SAMAMBIRE
2 сағат бұрын
Acha shobo kijana, shukuru kuwa mzima
@SomweMateso
Сағат бұрын
Fala ww hayajakukuta
@Wastara001
Сағат бұрын
Stop fooling people. Maandamano yamebuma sasa wazua mashambulizi.
Sasa ushapona Tunamshukuru Mungu Endelea na siasa za hoja,lete sera Tuuzie sera hzi press za aina hii hazina tija ktk kuitoa ccm madarakan We Still Wait For UPINZAN fulan hivi wa kuing'oa CCM.
@NshimirimanaSeleman-u5y
Сағат бұрын
Kibaraka mkubwa wa Manyang'au utakufa umechoka
@nazaelemmanuel3496
Сағат бұрын
Nyie mnae kejel siku likiwatokea nyie mtajua uchungu wake
@georgewilliam6001
Сағат бұрын
Mmeamiw Kwa Magu sasa..... Watu wasahau ya wiki iliyopita
@MsevenSaudisaidi
2 сағат бұрын
Makonda mungu anakuona tunakuamini kumbe muaji daaa unajificha kwa mwamposa kumbe muaji
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Wanao comment wengi ni zero brain Hakuna asiyekijua anachoongea lissu Ila Mungu yupo
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
2 сағат бұрын
Mti wenye matunda ndio unapigwa mawe makonda sio level yako, makonda ni next level
@charlesayubu6449
56 минут бұрын
Hauwagi na jambo lingine lakuzungumza??? Yani siyasa ya chadema imesimamiya kwenye ushambulio wa Lisu?? Kama vile alikuja kuwa mlinzi wa duniya. Kama hangekuwa alishambuliwa mngenkuwa mnasema nini??
@abedysteven4930
11 минут бұрын
Bado uwe makin mana mama amesema kuwa amewaita mrud nchin mjenge nchi lakn mama akasema nmeanza kuota mikia,!!! Xo be careful!!!
@florencemeza6540
Сағат бұрын
Yameamua kumpaka matope makonda sheeeenzi zako unadhamini wazungu kuliko wa Tz pumbaaavu mchumia tumbo mkome kabisa magufuli
@adamlubawa1281
2 сағат бұрын
Mbona wakati wa mwenda zake hukuthubutu hata siku moja Lete habari nyingine tumekuchoka Yaaaaani tumekuchoka sasa
@lawskuli9876
47 минут бұрын
Lissu, you are a good story teller andaa movie moja hivi maana upo vizuri kwa stori
@EmmanuelChrispin-bo5xh
57 минут бұрын
Lisukwa magufuli kaushaa kabisaa huyo ni mwamba
@HamisLeo
16 минут бұрын
Mungu ni mungu tu. Hakika mungu husmama na wenye haki
@ericfelician7996
2 сағат бұрын
Tuache ushabiki ,jamaa hakutendewa haki
@juliusdonard933
2 сағат бұрын
Marekqn ss hawatuusi , bora ongea lakn achana na mashoga
@rehemakimungu6494
Сағат бұрын
Sasa We ongEa unavyotaka ila makonda usimtaaje mtaje achana naye huyo ni kiongozi shupavu hufanani naye hata kwa daawa
@shabanimtunu887
Сағат бұрын
Makonda ndio nani au yule aliyevamia clouds midea
@RogatoSanga-o1j
2 сағат бұрын
Tatizo sio Mzee Magu,ni upande wa ulokua unawasaidia kesi za mikataba,dhid ya serikali.unakuaje mzalendo haraf uwasaidie wanaolididimiza taifa lako??naipenda Tanzania
@AdamLameck-x5n
2 сағат бұрын
Hauna jipya mzee marekani kwa p didy nenda wewe ukachezee mafuta kwani unasemaje
@MnyamaSeyo
Сағат бұрын
Mungu yuko na wewe najua kila kitu kitakuwa hadharani
@sonnyr1899
Сағат бұрын
Tundu hapo ndio uwa unafeli we unamnkankaniya mtu ambae kesha fariki na hawezi kujitetea. Sioni kama ni sahihi
@renatusjeremiah
Сағат бұрын
Chacha wangwe aliuliwa na nani twambie kama ww ni mkamilifu na mkweli
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
2 сағат бұрын
dereva wako mmemficha wapi na chadema wenzio yeye ndio shahidi wa kwanza
@ayububrantaya6624
Сағат бұрын
Daah alafu kujifanya mlokole wanasiasa noma na nusu
@Danielmzungu-b4m
2 сағат бұрын
Mungu wasadie viogos wa cdem
@christinewomanoffaith5479
2 сағат бұрын
Mpk milard umepost ,aisee kweli mabadiriko
@bushirially2077
2 сағат бұрын
Huna hoja kila siku unaoongelea hikohiko
@wazirimwanazuoni5567
2 сағат бұрын
Unarudiarudia story. Kama huna mada ya kuzungumza ni bora ukakaa kimya
@emmanueljackxon9759
2 сағат бұрын
Ongea maada nyingn we kila sku risas tafta maada nyngne au hauna sera mpya?
@UYELAMEDIA
2 сағат бұрын
Kwa mara ya kwanza millard kapost
@loserian-mj1gj
Сағат бұрын
Mnatuchanganya wakuu juu ya.makonda tumakwishaambiwa ATI kafungiwa safari za kwenda ng'ambo kwa 7bu alithibiti ushoga tz Leo Tena mnatuambia alihusika kwako 🎉huenda makonda hajahucka na hilo
@omarylukindo5306
56 минут бұрын
Hana ubavu wa kuthibit ushoga, ushoga ulikuepo Toka enzi za miaka ya nyuma na utakuepo Hadi mwisho wa dunia ili watu wakaingie Moton
@loserian-mj1gj
52 минут бұрын
@@omarylukindo5306 mi cpingi Ila tuna kosa msimamo
@FredrickMatiku-xf2uk
Минут бұрын
Duniani hapa tunapita kweliiii kuna watu wanafikiiiiii sanaaaaa watakufa vibaya sana watakufa midomo wazi makonda anajifanya anasali sana mtu wa mungu kwa baba mwamposa mtume anasali sana adi makamasi na machozi kumbe mtu mubaya sana anaweza kuua mtu kusimamia mauajiiii sababu ya maslahi tu cheo na pesa eeeh kweli viongozi ni matumbo yao tu
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
2 сағат бұрын
Paul makonda alizuiliwa kuingia marekani na waziri wa mambo ya nje wa wakati huo wa marekani bwama Pompeo sababu kuu ni kuzuia shughuri za mashoga dar es Salaam na ndoa za jinsi moja acha uchizi lisu
@Bilioneabichwa331
2 сағат бұрын
Pole sana mheshimiwa anti pasi
@hemedjackson2261
Сағат бұрын
Hata wajinga nao wanazeeka😂😂
@MrutaJusto
Сағат бұрын
Tuache bana hina cha kutuambia
@JoshuaMwanilwa
Сағат бұрын
Kwel kabisa duu
@joebinarysignals
2 сағат бұрын
Tundulisu nakuonaga msomi kumbe hamna lolote, magufuli hawezi kuongea kauli kama hyo na kujaribu kukuua, ila usichokijua waliofanya hilo shambulio ni watu wa kikwete ambapo, walifanya hvyo ili kumpa kesi magufuli. Sababu kikwete alikua ndo adui mkubwa sana wa magufuli na aliwabana sana kwenye mipigo yao, na ndiomaana hata magufuli wakamuuwa tu ili nchi iendelee kuwa chini ya kikwete
Пікірлер: 216