Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu alipozungumza na waandishi wa Habari hii leo tarehe 25 Septemba 2024, kwenye Makao Makuu ya Chama hiko Mikocheni Jijini Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo Lissu amesema kuwa, moja ya mtu anayepaswa kuchunguzwa kuhusu tukio la kushambuliwa kwake kwa risasi Dodoma ni aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Негізгі бет LISSU, MAKONDA HAPATOSHI/SASA KUFIKISHANA MAHAKAMANI/NI KUHUSU SHAMBULIO LA RISASI
Пікірлер: 42