Tumewakopesha Lakin sio mulisema zanzibar sio nchi leo imekua nchi
@user-fx6zr6ij5y
Ай бұрын
Kweli kabisa tumefanywa mazezeta tumekuwa machawa kila sehemu
@gracemairusya2950
Ай бұрын
Hapa mbowe na list mmenena yaaani akili ni kuntwi
@mlyamalitv1789
Ай бұрын
U-Tanganyika umerudi.
@KangaMaluguru
Ай бұрын
Kwa points hizi,Mbowe kura yangu CHADEMA 2025.
@michaelmabula7444
Ай бұрын
CCM isilazimishe tuchague Mzanzibari Hapo hatutaki kabisa
@user-hk2oz2eg4j
Ай бұрын
Allah ujaalie huu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika uvunjike. Maana unaanza sintofaham za kibaguzi.
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
CCM nayo wameifanya masultani wa kufanya watumwa. Badala ya kufaidi uhuru wa Tanganyika tunakuwa watumwa Inchini kwetu.
@user-qo8uj1ym4m
Ай бұрын
Watanganyika mumechelewa kweli😂cc tunataka hata kesho asubuhi saa1huu muungano usiwepo kabisa mwisho chumbe kama mnayaweza vunjeni bas cc tumechoka Zanzibar oyeee Tanganyika bay bay😂
@GeoffreySumbwe-cq6kk
Ай бұрын
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Ila mimi sitaki umtaje Magufuli ktk mambo hayo. Vinginevyo tungekelikuwa na magu haya yote hayakuwepo
@augustinonkundambale8107
26 күн бұрын
Chimbeni mpaka kieleweke wajumbe Wetu na Mungu waongize makamanda
@feliciankavishe6792
Ай бұрын
Sema baba,mkinyamaza tumekwisha....
@johnboscomasumbuko1073
Ай бұрын
Haha michongo ming sana inapelekwa kimyakimya cc tupo busy n akina dai na king
@ndimimaskati3641
Ай бұрын
WAZANZIBARI hawautaki huu MUUNGANO, WATANGANYIKA ndio wanaulazimisha ukizungumeia jambo lolote la Muungano unaitwa mhaini, mashehe wa Zanzibar walifungwa miaka minane jela na Kikwete kwa kuzungumzia mambo ya Muungano.
@SundaySteven-bz4yq
Ай бұрын
Ndio mana Kila kukicha michangi na hatuna maendeleo Kodi za watanganyikika zinaendesha inchi nyingine
@petroyohana1126
Ай бұрын
Well said mheshimiwa Mbowe
@ZuenaSharifu
6 күн бұрын
Mungu akujalie upate urais uuuvunje mungano kwasababu sisi wenyewe hukuzanzibar hatutaki uwo mungano wenu tushawachokaaaaa
@zephreinsuleimanpriciselyu5223
Ай бұрын
Sisi Raisi wetu mwenye huruma na Wananchi wake John p magufuli Alifariki Haya mauzauza sijui yalitoka wapi Leo hii tunauziwa bandari zetu na Wananchi kufukuzwa kwenye makazi Yao ,
@victorcephas3618
Ай бұрын
Zanzibar bidhaa bei nafuu watumishi wameongezewa mishahara kusafisha Figo bure ila huku bara dah #KunaLaKutafakari
@Wamoyothenumberone
Ай бұрын
Umeenda haaswaa
@talents7934
Ай бұрын
Jamani eee mkono wa kulia ukigoma tujaribuni na wakushoto jamani Naona CCM wamelemewaaa😢😢😢😢😢
@GeoffreySumbwe-cq6kk
Ай бұрын
Very true. Let us not be cheated. The truth shall set us free
@user-oy2gp3nq4j
Ай бұрын
Inauma kwa kweli
@user-yg9rk5wv1q
Ай бұрын
Wakosawa tunataka serikali tatu
@jeanmusamba8448
Ай бұрын
sio tatu zanzibar iachwe tumechoka sana watanganyika hatujitambui kabisa
@ahmedalbalooshi8518
Ай бұрын
Muungano huu sio wa wananchi wa pande mbili bali ni wa viongozi wenye maslahu yao
@user-dk8ln5jb6s
Ай бұрын
Kazi iendeleee mama samia oyeeee❤
@user-sn3py9yz8j
Ай бұрын
we ujitambui
@KhaliluRahman-rc4te
Ай бұрын
Dah!!! Uyo demuuu tuu katoka zanzibar sijui ingekuwaje tungewaleteya mwanamme mama kaza butiuiii ALAFU KAZI IENDELEEEEEEEW😂😂😂😂😂
@fatmasaid1021
Ай бұрын
Aluta continue 👍👍💪💪💪
@user-xm6yw2rp2k
20 күн бұрын
Kiukweli inauma sana😂😂
@EagerBirthdayCake-zh8xb
Ай бұрын
Kushindwa bwaan... Ndio shida zetu hizo... Ayaa after kumkana Mzanzibar... Sura zenu kama Vijusi..(Viboboro). Njooni na hilo Uchaguzi huu... Mtatukoma Wabongo.
@jacksonlumuliko8721
Ай бұрын
Lissu Mungu akutie nguvu wewe ndiye❤️❤️wa Nchi unaye sema ukweli🙏
@ZuenaSharifu
6 күн бұрын
Wazanzibar wenyewe hawanashida ya mungano eti na maalim seif alitaka serikali 3 mukamuona mjinga munataka mututawale sasa zamu yetu 😅
@talibsaid8096
16 күн бұрын
Hamna mpya kazi kelele tu
@user-zk9ox3di4b
Ай бұрын
asanteni sana Chadema mbowe na LiSU waaambieni wakome tuwafyagie mbali watoto wetu awapewi kazi Samia kazi yake ni kuajiri wazanzibari wake uku Tanganyika wakiumia na. Kuwanyanganya mashamba yao tuwakomeshe mafisadi kinana Samia kikwete waache watanganyika wakae kwa amani wenu ni simba sauti ya wanyonge
@pavillioncry5241
Ай бұрын
Na bado
@victorrobert7797
22 күн бұрын
Hatuhitaji Zanzibar,wametufanya Mazezeta ,hayo yote yameletwa na CCM
@camilomassao8971
Ай бұрын
CCM wanapuuza hoja za CHADEMA lakini kiukweli: CHADEMA WANA HOJA ZA MSINGI
@hamidmussa838
Ай бұрын
Makwaapa yanatoka majasho.
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Kweli kabisa kabisa wao CCM wanafaida wanayoipata inawanya kuwawezesha kuiba kura na pili wanafaida ya kuandaa raisi kwa ajili ya Zanzibar.
@christinenyagiro6662
6 күн бұрын
Kama wazanzibar hautaki muungano mkamuchukuwe mama yenu Samia
@ustawiwetu
Ай бұрын
Ila mama msimtukane, yeye hakuwa na ndoto kabisa ya kuwa raisi. Uraisi umemwangukia tu bil hata kujipanga. Tumwache mama wa kizimkazi
@kaaakwakutuliaa5179
Ай бұрын
huyu kenge nae anakoseaaa piga vita ccm sio samia samia anamiaka 10 ya kutawala ccm ikonpale pale
@ndimimaskati3641
Ай бұрын
Tunataka serikali ya wananchi, iliochaguliwa na wananchi.
@frankremishoy5778
Ай бұрын
Lissu unatosha.
@ndimimaskati3641
Ай бұрын
Nchi haifuati Sheria kila mtu amekuwa omba omba kwa viongozi wa serikali.
@marandoruzali1946
Ай бұрын
Hii nimeielewa sana Lissu
@abdirizaksheikh9699
29 күн бұрын
Kutegana mwisho vita .
@christinenyagiro6662
6 күн бұрын
Sisi ni watanganyika. Ninyi maccm endelea kuwa watanzania. Lakini wanainchi wanaojitambua ni watanganyika.
@mbukumagiubukumagu406
Ай бұрын
Zanzibar ni nchi sio mkoa mbowe? Kwa hivyo Tuna haki ya kuwa na wabunge wengi
@LoiteyoAmakoMako
Ай бұрын
Ssi Tanganyika hatuna haki lakini mzanzibari ana haki popote
@hafidhhemed1514
Ай бұрын
Mimi ni Mzanzibar lakini nataman iwepo serikali ya Tanganyika, ili na sisi wazanzibar tuwe huru na nchi yetu ya Zanzibar
@christinangondi4212
Ай бұрын
Sure sure, ni kweli kabisaaaaaa
@EmanuelMamasita
Ай бұрын
Wee ni mkenya kwani 🎉❤
@cosmaswilliam3805
Ай бұрын
Jamani leta katiba mpya samia ili tatizo liishe.maana yatasemwa mengi na ccm mbeleni watachanganyikiwa.
@user-bi6tx4hs6h
Ай бұрын
Ndio maama mungu anakulinda Tanganyika tuna taka haki.
@tungarazalucas1478
Ай бұрын
Uh kweli usemwe
@kaaakwakutuliaa5179
Ай бұрын
ivi kuna watu walimpigia kura tundu lisu
@mawanzachihoma6959
Ай бұрын
Mwinyi alimpa Bharesa maghala ya NMC na kuuza viwanda vyetu.
@user-dz2lv6en3z
Ай бұрын
Kwanini tunatawaliwa na mzanzibar? tumefanywa kuwa machawa kwanini? watanganyika tuamke
@user-bi6tx4hs6h
Ай бұрын
Hapo umetumia hakili kubwa Sana ✔️✔️✔️✔️
@AmosRugaimukamu
Ай бұрын
Samia hatumtaki
@PeterJohn-sg4oe
Ай бұрын
Swala la Ngorongoro lilikuwa ni la makubaliano, makubaliano hayo wamasai wamekiuka hivyo lazima wapunguzwe, hawawezi kuondolewa wote ili kutunza upekee wa Ngorongoro
@ndimimaskati3641
Ай бұрын
Rais uamuzi wowote anaufanya anapewa uamuzi na washauri wake na mawaziri wake.
Mmtanzania gani Leo umwambie hakuna mungaano Hamna takwimu Wliozaliwa ndani ya mundane no zaidi ya MILIONI 6 Wale wazee wa miaka ya mapindduzi na kizazi Chao wako 700. Nyinyi sio viongozi ni njaa zinawasumbua Waiting wa ruzuku Kelele zenu ni ruzuku Kupewa nhe Msahau Nyinyyi mazezeta Watanzanil wana hisia kali.
@muhammednassor3569
Ай бұрын
Huyu mama wa watu mnamshika mbona magufuli mliufyata
@user-mk6my3gb4s
Ай бұрын
LEO IMEKUA ZANZIBAR MNASEMA NCHI WALA BADOO HALBADIRII IYO TUTAWAONGOZA MTAKE MUSITAKE
@hajihassan5433
Ай бұрын
Muungano tuuvunjeni tu ikiwa kizazi cha sasa HATUUTAKI. Mbona husemi Rais wa Tanzania anaweza kuchaguliwa bila ya kura hata moja kutoka Zanzibar.
@user-tu2ne7so3b
Ай бұрын
Wanataka Tanganyika yao
@Issa-xz4ue
28 күн бұрын
Ni kweli kabisa Muungano una changamoto nyingi. Lkn wenye haki ya kuzingungumzia kadhia hizo ni mwanasiasa tu. Asiyekuwa mwanasiasa akithubutu kunyanyua mdomo tu, ......... Lkn wengi wa wanasiasa huzungumzia matatizo ya kisiasa, kijamii na kiuchumi ili tu kupata uungwaji mkono na watu waingie madarakani. Ni hamu ya uongozi tu, hamna lolote .........
@hajjseif5737
Ай бұрын
tukiangalia vzr tokea 1964 mpk zanzibar ndio ilioathirika sn na muungano hio iitwayo tanzanzia kiukweli ni tanganyika yenye mipaka mipya ikijumuisha zanzibar,serikali ya zanzibar ni danganya toto haina meno na hayo yoote yamefanywa na watawala wa tanganyika sio zanzibar hvyo lawama zote jibebesheni wnyw,isitoshe watu wa znz miaka mng wamekuwa wakiupinga muungano huu ulivyo watawala wenu walipinga na kuwanyamazisha kwa staili tofauti,kumbukeni mashehe wa uamsho kilichowakuta.mbowe na lisu kazi yenu nzr sn chocheeni ubaguzi ili watanganyika na wazanzibari mazwazwa waamke na kudai chao,tatizo kubwa ni ccm tuikatae ccm ili tuamue mashirikiano ya haki au tubaki majirani wema.hongera lissu hongera mbowe,zanzibar kwanza shengesha badae tanganyika oyeeeeeeeeee
@sharifhamad6495
Ай бұрын
Mbowe na Tundu Lisu mumeshindwa na siasa, sasa mnakuja na uchochezi. Lisu ni mwanasheria, lakini anashindwa kuelewa kuelewa kuwa wazanzibar na watanganyika wote ni Watanzania.
@samwelipima3795
Ай бұрын
Mnatuchanganya kipindi Cha JPM hamkuwa na watanganyika leo Tena wacha rasilimali zetu ziende zenji
@RubenOlemangi
Ай бұрын
Zanzibar ibaki na sisi Tanganyika tubaki
@dullahkalanjedullahkalanje1422
Ай бұрын
upo sahihi sana mwamba ujinga sana uhu
@muhammednassor3569
Ай бұрын
Kama ni nchi mbona hawapati haki zao
@mbukumagiubukumagu406
Ай бұрын
Zanzibar hakuna ardhi imeja tunaomba watanganyika waturejeshe mikoa ya pwani iwe chini ya himaya zanzibar
Hoja za Chadema ni nzuri, ila zingekuwa na mantiki zaidi kama wangeziweka pale wale wapigania demokrasia wa zanzibar walipokuwa wanapiga kelele suala la muungano. Wanatakiwa wawatafute wale wakereketwa wa muungano kutoka zenji ili waunde timu kamili. Hakuna mtu mwenye uchungu na masuala ya muungano kushinda wale Wazanzibari walivuja jasho na damu
@ChristerKoku
Ай бұрын
Tukumbuke kila jambo/kitu,kinawakati wake,kama muungano una kasoro zirekebishwe.
@dullahkalanjedullahkalanje1422
Ай бұрын
mbwa tu awawezi kukuelewa ila mpo sahihi sana
@user-cr6tm5jz8x
Ай бұрын
Leo ndoo nimejua chadema ni wabaguzi na niwachonganisha
@miraabdul7470
Ай бұрын
Chadema is finished Zanzibar ina watu million na nusu hivi Lakini laki tatu au nne kati yao ni watu kutoka bara
@nitumesokoni3164
Ай бұрын
Zanzibar yote ni ya watu wa bara. Hao wengine walivamia tu kutoka Oman
@OmerSuley-gl7go
Ай бұрын
@@nitumesokoni3164Bara la Afrika sio Tanganyika 😂 sisi ni Wazanzibari sio Watanganyika
@iddihassan2677
Ай бұрын
Tena mkae mkijuwa 2030 tunamleta mzanzibar mwengine imewachoma we
@Wamoyothenumberone
Ай бұрын
Hapo baba umefumbua macho
@paulojohn9608
Ай бұрын
inchi hii kesi nyingi niya ardhi ukitaka kujua fwatilia mkuu wa mkoa anavyo hangaika kusuluhisha namuombea makonda Mungu amulinde ningetamani awe rais waichi hii
@user-mk6my3gb4s
Ай бұрын
KUTESA KWA ZAMU ZAMU YETU WALAUROJOOO MAMA ONGOZAA SISI WAZANZIBARI TUNAKUUNGA MKONO MAMA AWO MATAPELII TU
@joshuaswai8203
Ай бұрын
Tanganyika imekuwa Kama mwanamke akiolewa anapoteza jina la baba yake na ukoo wake mume yeye anabaki na jina lake kamili kama zanz8bar imebaki kamili katiba wimbo 2a
@christinenyagiro6662
Ай бұрын
Bunge wote ni wachawa wa Samia
@dulatizo2970
Ай бұрын
Mungano miaka 10 hadi Leo miaka 60 acheni ubaguzi vichogo
@yassirelrasady1802
Ай бұрын
Jamani kifo ni siri ya Mungu anajua nani atakufa lini ila Kwa mfano Tundu lissu angeshinda uchaguzi 2020 halafu Mungu akamchukua akiwa kwenye madaraka je nani angeongoza nchi? Bila shaka ni mgombea mwenza ambaye ni Salum mwalimu je Salum ni nani? Mtanganyika au mzanzibar?
Kwani raisi wa zanzibar si ni mtanganyika mbona huongei na anayoyafanya huku zanziba wee unayajua
@feliciankavishe6792
Ай бұрын
Sisiem mmkwisha
@Wamoyothenumberone
Ай бұрын
Ccm wanaiba kura
@gelardanyasi919
Ай бұрын
Kamanda lisu waambieni ukweli waujue juu ya muungano
@ramadhanmahongole9293
Ай бұрын
Chadema wako sahihi juu ya muungano ila ccm ni wanafki wana maslahi binafsi na muungano ndomana ccm wanaung'ang'ania
@Wamoyothenumberone
Ай бұрын
Tanzania haujawahi pgana vita kwahiyo kuitoa ccm madarakan kazi ipooo
@user-hf9kp7ys2h
Ай бұрын
Jamani wachangiaki wa CCM msiongee yu kiuchawa ebu ioeneni hiyo hoja inauojengwa muichangie kwa maslahi mapana ya Tanganyika na Zanzibar kwa upande wake engalieni hayo manunguniko ya Wazanzibari na Watanganyika mtafakari kwa busara na tupendekeze suluhisho . Mbowe Lisu na Zecha wanatufungus macho
Пікірлер: 253