Naomba ujuze kuhusu Gari ndogo za mizigo , kama townace na aina zingine br asante
@greysonantony6431
3 жыл бұрын
Jamaaa unatudanganya kinoma
@alhaithamiy_
3 жыл бұрын
Kama unabisha ww kanunue uweke Mafuta uone kama utatoboa 😂🤣🤣 Jamaa noma sana
@verocakusa-px3yz
Жыл бұрын
hii unalipia sh ngapi kama kuanzio kisha unalipata baada ya mda gani?
@simonsanga7860
3 жыл бұрын
Toyota hilux
@CalvinKway-pq3fp
2 күн бұрын
Hata huelewek kichwa Cha habar hakiendan na unayosema
@bensonkanza9785
3 жыл бұрын
Aise we muongo sana acha kudanganya watu
@abuuhannansuleyman1066
2 жыл бұрын
Hujui bey bana
@noelwilliam344
3 ай бұрын
Jamaa muongo 5ml vits mpya hmna vits manual duuu mwoooongo sana
@way2way250
3 жыл бұрын
Ambia watu kuhusu aina nzuri za engine za Magari ambayo umeambia watu pia usisahau ukubwa wa engine ndio tunasema cc. Sio tu kudanganya paso mafuta 0.5 litre kwa 15 or 20 km....
@ernestmhina7399
3 жыл бұрын
nawakubali xan
@lydiafrank4713
2 жыл бұрын
Huyu jamaa nimuongo sana vits zipo manu
@RichadAnton
7 ай бұрын
Toyota crown
@samwelsengati1369
Жыл бұрын
Mzee nagoma hadi kufa maana haiwezekani gari ikiwa mpya kabisa ukaipata kwa 5ml
@StellaCharles-zk4kb
27 күн бұрын
Mbona minazo naziuza bei poa tu ukiwa na laki moja tu unapata gar kwangu namba e
@simonjoseph6937
3 жыл бұрын
Waogo
@geofreysamson6051
2 жыл бұрын
Naomba namba zenu
@joshuamwambene6041
3 жыл бұрын
Jamaa mwongo sana
@lucasaloycealoyce6790
2 жыл бұрын
Mm naitaji asi
@Sam4rellyKweka
7 ай бұрын
Namba sasa kaka
@YakoboMseti
11 ай бұрын
Toyota passo Bei kamili tufanye biashara
@redemtakaombwe2148
2 жыл бұрын
Mna patikana wapi
@amourmtungo623
3 жыл бұрын
Wewe ni comedian sio mfanya biashara 😂😂
@YakoboMseti
11 ай бұрын
ofisi zenu ziko wapi
@MaycoNgen
8 ай бұрын
Office zenu zinapatkana wp?
@nickylyanga2139
3 жыл бұрын
Mwongo bora
@StevenMwabwagilo-mz5db
11 ай бұрын
Toyota laum beigan
@EmilyoSanga
2 ай бұрын
Hiyo senta na hiyo pasco
@felistermushi3356
2 жыл бұрын
Naomba no yako tuongee inbox
@bakariwalle2196
2 жыл бұрын
Lumion
@hamzasaid9162
3 жыл бұрын
🏃🏃🏃🏃🏃
@StevenMwabwagilo-mz5db
11 ай бұрын
Nijibu na shida ya gar
@ahmedsultan8561
3 жыл бұрын
Yaan huyu kufeli hajaonewa, amesema gari za chini ya bei ya 10m halafu anataja 12ml.la pili ni kua hapo hakuna gari yyte inayotembea km30 kwa lita zaid ya passo tuu tena yenye cylinder 3
@rashidimahundu9391
2 жыл бұрын
We jamaa muongo,vitz hamna manual?
@loningoletayo8453
2 ай бұрын
Nakata Toyota Raum
@samwelsengati1369
Жыл бұрын
Ikiwa 0km haipungui 18ml
@micahmollel4463
10 күн бұрын
Zipo manual tena nyingi tu
@tanzanialive5834
3 жыл бұрын
Wow kweli hii?
@NajimaNichole-oz3zv
9 ай бұрын
Nataka toyota ist
@dianapharles6939
2 жыл бұрын
Nimependa magari yenu tuwasiliane Kwa Hilo gali la mil 4_5.
@christainc.5217
Жыл бұрын
Nisaidiye namba
@mwalimulucas3522
3 жыл бұрын
We jamaa muongo sana...
@hamadsaidihamadi8202
3 жыл бұрын
Vitz zipo manual mkuu
@yaziduchivalavala7047
3 жыл бұрын
Hajui huyo mi ninayo manual
@StevenMwabwagilo-mz5db
Жыл бұрын
Nahitaji gari ya milioni tano npo kigoma kama ipo tupeane mawasiliani
@fredlee960
3 жыл бұрын
Hizo bei za mil 5 - 10 ni sahihi tuanze mipango ya kununua ?
@saitotilebabu8316
3 ай бұрын
Au anatudanganya huyu
@hassannyaluke2702
3 жыл бұрын
Hujui hata kudanganya
@wardaheluwa734
3 жыл бұрын
Million 5 za Tanzania 🇹🇿 ununue gari duh jamani
@abuumansoural-amrik6317
3 жыл бұрын
ndio unanunua
@way2way250
3 жыл бұрын
Ni waongo kabisa vitz zpo manual gear usidanganye watu kama hujui zungumzia kuhusu body....
@hansboy1443
3 жыл бұрын
Huu mbna kama uongo. Unajua kuwa mafundi. Tupo umu tunakuangalia tyu
@mwitageseg6002
3 жыл бұрын
Nahitaj gar ya ml 5 nzur ,nipo mwanz kam ipo tuwasiliane
@imanikalyembe7814
2 жыл бұрын
Watu wanasema vitz ni mbovumbovu kuna ukweli
@salhinashabani7995
3 жыл бұрын
Brother.... Umetisha mno... Big up
@eleutermgeni1165
Жыл бұрын
Muongo hyooo usidanganyike
@khalfanibobewe4278
3 жыл бұрын
Hawa ndo,watu wanao ongea vitu wasivyo vijua
@gracengowi7172
3 жыл бұрын
Hujui wala hujawahi kununua gar.
@newgeneration9524
3 жыл бұрын
😂😂😂
@newgeneration9524
3 жыл бұрын
😂😂😂
@rahjah5882
3 жыл бұрын
Hizo gari sio mpya mtangazaji
@aminangwalima105
8 ай бұрын
Kumbe had million tano waweza kupata gari?
@saitotilebabu8316
3 ай бұрын
Yan Na mi ndo nashangaa
@benjaminjoseph1747
3 жыл бұрын
Tuletee gari za biashara na mabei
@JasinthaAlex
2 ай бұрын
😂😂😂 ml 5 ata na mimi ningekuwaga nishanunua😂😂😂😂😂😂😂 naona unakiwanda cha kutengeneza magar
@JumanneBoniphace-ny9zd
Жыл бұрын
Nahitaji gali ya kutembelea yabei nafuu
@fredlee960
3 жыл бұрын
Na vp kuhusu bei ya IST ndugu ?
@aminahaji9737
2 жыл бұрын
mimi nahitaji Sienta nitawapataje
@charlesjames8363
2 жыл бұрын
Car hell
@sammycharomwalili6728
3 жыл бұрын
Nitarudi Tanzania kununua gari
@joycemaimu7265
3 жыл бұрын
Acha uongo
@issasalum4832
3 жыл бұрын
Nice
@wilbardakarowilbardakaro4343
3 жыл бұрын
Iyo ya milioni tanu shoo rumu maeneo gani na kilakitu imelipiwa
@nwntz
3 жыл бұрын
Nani kakwambia vits haina manual...?
@johnsonmulimbi5781
3 жыл бұрын
Mimi nipo Congo nikitaka Ku nunuwa ita kuwaje
@johnsonmulimbi5781
3 жыл бұрын
Kwenye dollars inaweza kuwangapi nipo Congo mukitaja kwenye dollars mitahelewa vizuri
@heavenkiondo5558
3 жыл бұрын
Ni vema kama ungeweka namba za mawasiliano
@StevenMwabwagilo-mz5db
Жыл бұрын
Bei ya toyota passo
@JacksonMtumbo-wy4kl
Жыл бұрын
hiyo gar inauzwa shilingi ngapi
@mabulaelias7445
3 жыл бұрын
Toyota haryire
@YakoboMseti
11 ай бұрын
Ninaomba nijue Bei kamili ili tufanye biashara
@amosmwanga4027
3 жыл бұрын
Tafuta kazi ya kufanya kaka'
@alhajimohamed1909
Жыл бұрын
Kweri kaka
@litclass7178
3 жыл бұрын
We jamaa ni muongo sana, namiliki vitz manual na kuna raum manual. Nipe vts mpya ya milliln tano
@jackzdangote7451
3 жыл бұрын
Hajui alipo bugi kusema manual hakuna kabisa
@AmosBPeter
3 жыл бұрын
Anazingua kila aina ya gari ina manual na automatic yake
@abrahamsingano5372
11 ай бұрын
Taja namba yako ya simu. Watu wanaomba hu respond
@hashimnjaid9511
3 жыл бұрын
Vitz manual ipo bwana
@kennykennedy9868
3 жыл бұрын
Mwongo😂😂😂
@gongotv8132
3 жыл бұрын
Umeisahau terioskid yenye cc 650
@christopherkikoti1800
3 жыл бұрын
Vits manual zipo tena nyingi tu
@fransdembe4504
3 жыл бұрын
Hapa Tumepigwa na kitu kizito 😂
@saleheinnocent7636
3 жыл бұрын
😁
@tonyvany2121
3 жыл бұрын
mi nahitaji raum
@capteinchuimchafu7894
3 жыл бұрын
Tena asubuh tu
@vituskabula4770
3 жыл бұрын
😂😂😂
@saidkalolotatizoawajiyumia2317
3 жыл бұрын
Nimagumu
@iuem5792
3 жыл бұрын
Ndigu kwanini unadanganya watu!!Hio raumu,vits,passo za milion tano unanunua kwa mtu au yard😅Hio raumu inayokwenda km 26 kwa lita moja ilitengenezewa wapi,naona inazidi boda boda
@mangimeli5846
3 жыл бұрын
muongo mno
@abdulseleman3889
2 жыл бұрын
Kama nataka nifanyeje
@rahmanassoro1759
3 жыл бұрын
Wachane hao wasituvimbie mtaani
@moshijoramu2616
3 жыл бұрын
Napataje utaratibu pia nichague nayoitaka
@henrymatebe1492
3 жыл бұрын
Hahaha😂
@salomemmasi3236
3 жыл бұрын
Tunahitaji. Gari. Tuje. Wapi
@nilansaid2927
3 жыл бұрын
Upo wapi?
@BenLeeBl
3 жыл бұрын
hamna kitu..raum ufik zaidi ya 20km kwa 1l🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.......tafut kaz nyingine
@neemamaji21
3 жыл бұрын
Nani kakwambia vitz hakuna ya manual?
@ramadhanimtetu7246
3 жыл бұрын
Hawa ndio wapakwa Mafuta hawa
@davisonlema538
3 жыл бұрын
acha kudanganya watuu
@chrismwanakwetu1435
3 жыл бұрын
Nina mil 5 naweza kupataje cienta nimeielewa
@nassorhaji2637
3 жыл бұрын
Unatudanganya we mzee hakuna gari isiyokua ya manual
@franklinroosevelt8695
3 жыл бұрын
Chizi ww danganya wasiotumia gar
@ezequielmasesajr.3845
3 жыл бұрын
Oya vitz ipo manual
@omaressau3299
3 жыл бұрын
Hakuna
@linuslaurent4316
2 жыл бұрын
Poa
@edgarnandonde48
3 жыл бұрын
unaongea kama demu duuh😆😆😆
@jamalbahdela524
3 жыл бұрын
Brobox bei gani
@lucaschuchul8204
3 жыл бұрын
Fara huyu ajui gari anasema vits akuna manyu alafu Bei hzo anazo zitaja itakua ni ya mama yake
Пікірлер: 142