Asante Yesu kwa ajili ya mchungaji Amieli na team nzima ya promover TV, hakika thawabu yenu Ni kubwa sana mbinguni
@georgekiwango2390
Жыл бұрын
Amen .mch. ubarikiwe Sana mtumishi wa MUNGU. Naomba ufundishe zaidi kuhusu makaburi MTUMISHI
@Bibishegloire
8 ай бұрын
Asante sana Mtumishi Kwa Neno Nzuri la Mungu.
@Bibishegloire
8 ай бұрын
Asante sana Mtumishi Kwa Neno nzuri la Mungu.
@its_keziah77
Жыл бұрын
Amen nabarikiwa sana, Kwa ujumbe huu,napiga hatua moja hadi Nyengine Kila siku. Be blessed
@fitinamarando
6 ай бұрын
PROMOVER TV wana wa Mungu mbarikiwe sana.
@JovithaCosta-is3ul
10 ай бұрын
Yesu atusaidie, tusimwache Yesu wapendwa
@EZRA-b1c
Жыл бұрын
Amen
@RahimaShujaa
Жыл бұрын
Amen mtumishi watufungua macho kweli Yesu ndio Bwana wa mabwana
@JaneKuyokwa-ng2qf
5 ай бұрын
Mungu akubaliki akukumbuke mtumishi wa mungu
@user-28Gerardineakimana
11 ай бұрын
Hakika Mchungaji Amieli Mungu akubariki Sana 🙏🙏🙏
@angelamugoywa4917
Жыл бұрын
amen tuko pampja katika jinala yesu abewasifa sana 🙏
@mpandawiliam5390
Жыл бұрын
Ameni Mungu akutunze.
@johnthuo-b8w
Жыл бұрын
tunabarikiwa sanaaaa from kenya
@japhetzachariah105
Жыл бұрын
UBARIKIWE SANA MTUMISHI AMEEEEN
@LatifaLatifa-g6g
Жыл бұрын
Tunabarikiwa mtandaoni mwambie katekela asitusahau wengin red tuko ujerumani asitusahauu jamani lakini tunabarikiwa sana kwa jina la yesu Kristo ameni
@DIGNAJASTIN-dl8yj
11 ай бұрын
Atuunganishe na ss tunaomfuatilia kwa njia ya mtandao
@margaretnekesa2019
11 ай бұрын
Amenaa
@vailetlemenya6576
11 ай бұрын
🔥🙏🙏🙏💪👍
@weremamasawa7834
2 ай бұрын
Kinachotokea mtu anapokufa ( ulivyoeleza) , ukihusianisha na kifo cha Yesu hadi kufufuka kwake. Mbona km kuna tofauti . Mhubiri 9:5, vp. Yohana 20:17 vp
@bonifasiemanueli21
Жыл бұрын
Masikio yangu hayachoki kumsikia huyu jamaa kila wakati
@eldkibeh
11 ай бұрын
Marekebisho kidogo 30:58 Mchungaji Amieli, neno Uislamu haimaanishi utakatifu bali 'Submission' kwa kimombo yani mtu aliyejisalimisha,tusirudie makosa hayo tena tafadhali. Asanti
@josephmuli8300
9 ай бұрын
Mchungaji katekela MUNGU akuongezee nehema
@rahabnkya8276
Жыл бұрын
Mchj Amaniel, nisaidie, wengi ktk makanisa ya kiroho, wanatajwa Mungu wa mwamposa, Mungu wa geordavie, Mungu wa gwajima nk hii inaakaje kibiblia, kwamba roho zao zimeunganishwa Yesu kuabudhiwa siyo.
@mwigarleysaid5406
Жыл бұрын
Acha unafiki Wewe nimesali kwa Gwajima sijasikia unachokisema mmekalilishwa mkiona mtu Ana Watu wengi Ni mbaya.
Пікірлер: 29