Munamuhukum Dr sule et kwa sababu ana majini wakati nyienyie kuna yenu amuwezi kuyasema kwa sauti wenyewe mnayajua ,,kila mtu anabeba mzigo wake ww mwenyewe ujui unaenda wap alafu et unasema sure wa motoni kwani we ndo mungu???,,uelewa aupo aisee pambana na nafsi yako acha kusema ya yatu jiulize ww kwanza kabla ujamuhukum mtu🤗🤗
@samxx411
3 ай бұрын
Kwa vile mie ni muislam, nna wasiwasi wewe sijui kama muislam...kwasababu Sule hajahukumiwa, sie waislam tumeitwa umma bora kwasababu tunaamrishana mema na kukatazana mabaya...sule amekosea ndio waislamu lazima atarekebishwa, hapa mimi nampenda sule lkn haimaanishi akikosea asirekebishwe..
@nchimbuke7261
3 ай бұрын
Sule Alijisema Mwenyewe😂😂😂
@ChamberedRecoil
3 ай бұрын
Ati hujui unaenda wapi??? Wewe si muislamu... Soma Quran 19:71-73 waislamu lazima waingie motoni wote hata yule mwupe kama pamba... Mbaka Allah aridhike ndio kisha atawaokoa anaye wapenda na hao ndio wale wachache wengi wa waislamu watabakia mule motoni milele... Yesu naya Johanna 3:16-18 amewaakikishia yoyote sio wakristo tu amwaminie ata pata uzima wa milele ... KAMA UJA SOMA UKO PEKEE YAKO
@elishamwaifugemwaifuge9720
3 ай бұрын
Sijawahi kusikia popote! Kwa mkristo wa kwel yeyote, et anatetea majini, Pepo wachafu. Ninyi si mnajitangaza kuwa Mna majini!
@samxx411
3 ай бұрын
@@elishamwaifugemwaifuge9720 wewe hujui wakristo wanafuga majini, hao mafreemason wanatumia majini, hebu fuatilia mafreemason wengi hasa celebrities wengi ndio hutumia.
@zachariamichael8871
3 ай бұрын
WAISLAMU ACHENI UTANI HAKUNA MUISLAMH DUNIANI ANAWEZA KUPINGA KIFO CHA YESU ABADAN TOKENI HUKO KWA MAFUNDISHO YA UONGO
@Perfect-migomigo
3 ай бұрын
Aiseeh....🙌❤️nakuwa mkristo kuanzia sasa
@elishamwaifugemwaifuge9720
3 ай бұрын
Karibu sana kwenye Ukristo
@user-wb5pj9yi9y
3 ай бұрын
Dah jiande na majibu ya kumjibu mungu siku ya kiama mana ukiristo ni jina tuh sio dini.
@user-wb5pj9yi9y
3 ай бұрын
Mungu akulinde san tuh.
@Zuwenamachela
3 ай бұрын
Wewe ni nikafiri tu tangu mwanzo nani aweza acha uislam
@Zuwenamachela
3 ай бұрын
Ukafiri ni kitu mbaya Sana
@HamisiOSIAS
2 ай бұрын
Asanteni sana kwa walim wapande zote mbili.mi nilichofaidi kwenye midahalo hii ni kwamba yesu yu hai na yuko mbinguni ,Muhamadi alikufa yuko kaburini sasa mimi natakiwa kumfwata alie hai ambaye anashuhudiwa na vitabu(coran na biblia)kwamba atarudi naye ni yesu kristo.
@richardreuben3222
3 ай бұрын
Ndacha I salute u brother. Unatisha.
@HAMIS-ci2vt
3 ай бұрын
kikubwa kuitafuta elimu ya haki maana baada ya umauti kila mtu atafarijika na kuhudhunika mwenyewe ko tujitahid kusikiliza pande zote na kuzijengea fikra za kina kisha tufate utakayo ona sahihi . tujitahidi sana ndugu zangu .
@bustedislam3578
3 ай бұрын
Waislamu hawana haya yoyote inayosema Yesu hakufa. Wanasema hawakumuuwa. Lakini hayati Nyerere hawakumuuwa, Moi hawakumuuwa, Mobutu hawakumuuwa. Hiyo haimaanishe hawakufa... Mada imewashinda kabisa. Hata majini ya Sule hayamsaidie. Labda angelinyonga hilo pete...
@Zuwenamachela
3 ай бұрын
Ebrania 5:7 mbali na Quran bibilia yenyewe inakataa
@bustedislam3578
3 ай бұрын
@@Zuwenamachela Mt 26:39-46 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe. Sasa, Mungu alisikia maombi ya Yesu? Kikombe alipewa anywe? Yn 18:11 Basi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga alani mwake; je! Kikombe alichonipa Baba, mimi nisikinywee?
@StevenPeter-sg7zo
3 ай бұрын
Waislamu ndvyo walivyo wakishindwa kwa hoja wanakataa had quran yao., Wamepewa andiko 3:55 Mungu amesema atamuua Yesu .,atamfufua na atamnyanyua kwake lakini bado wanajifanya hawaelewi wanakazania hawakumuua
@bustedislam3578
3 ай бұрын
@@StevenPeter-sg7zo Hiyo inaitwa Taquia. Inaruhusiwa kutumia uongo kwa kutetea uislamu. Hiyo ni SUNA
@StevenPeter-sg7zo
3 ай бұрын
@@bustedislam3578 Dah hii ni hatari kweli yan wanatumia uongo kuitetea dini alafu wanasema wanafata zile amri kumi za Mungu za agano la kale ikiwa "Usiseme uongo pia ipo. Na Yesu anasema ibilisi ndyo baba wa uongo.
@dieudonnebigirimana8083
3 ай бұрын
Simama imara Sheikh wetu Dr al hadji sulle❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@AjiaMohamed-rt5pb
3 ай бұрын
Shekhe au jini
@halimazubeir
3 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pbwewe ndio mkuu wa ao majini
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule kashindwa kabisa
@ElijaMwasi
3 ай бұрын
Asaaaawntee saaanaaa sheikh wetu Sule Allah akujaalie yote yalo mema
@user-jf3db7kq6p
3 ай бұрын
sheikh mungu akulindi na mahasad
@eliasmajambomwinyihaji1335
3 ай бұрын
Kwenye huu mdahalo nataka kuuliza hili swali na majibu yake siyapati ,swali Hilo lipo inje ya mada hii ,kwanini mitume (prophet )wote waliletwa kwa njia ya uarabu ? Ama watu Hawa warabu walikua wanafanya mabaya mengi kukithiri,walikua waovu Sana ?,sielewi kabisa viongozi au mwenye elimu ya juu anijuze kwanini wao na huku Africa Bado.
@rahmasuleiman8688
3 ай бұрын
Dr Sule wewe ni shujaa jana umeshinda kwa hoja na leo tunatarajia utashinda kwa hoja inshaallah Allah yupo pamoja nawe Allah atakusimamia
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule kashindwa
@Agoodservant
3 ай бұрын
Yesu asifiwe
@AllyMuawiyahMuawiya
3 ай бұрын
CHA AJABU MADA YA JANA WALING'ANG'ANA YESU MUNGU..MADA YA LEO ETI MUNGU HUYO KAFA MSALABANI NI MAAJABU SANA AKILI MUNGU KAWAPA JITAFAKARINI SANA
@elishamwaifugemwaifuge9720
3 ай бұрын
Wow!! Namshukuru Mungu wa Mbinguni Kwa kuona Waislam wanazidi kumtukuza Yesu kristo. 😊😊
@samxx411
3 ай бұрын
Hahaha wewe kweli huna unachokijuwa, unajifanya unamjuwa yesu kuliko waislam?? Nyie wakristo mnamjuwaje yesu, hebu nitajie jina la mama yake mariam (mary) alomzaa yesu
@elishamwaifugemwaifuge9720
3 ай бұрын
@@samxx411 Mr.@samxx411. Hiv unajielewa kwel ww? au unadhan sisi waktisto ni watu wa kubishana. No!! Huwez kusema unamjua Yesu ambaye humtumikii, ww unamjua Yesu Kwa kumsoma! Wengine tunamjua Kwa kumsoma, kumtumikia na kumwabudu maana yupo ndan yetu. Huwez kuniuliza bib yake Yesu et ni Nan! Wakat Sina shida na bib ya Yesu. Mim Nina haja na Yesu mwenyewe.
@elishamwaifugemwaifuge9720
3 ай бұрын
@@samxx411 Kuwa mpole usibwajebabwaje tu, Njoo ubatizwe uwekwe huru, sio kuteseka na tabu za milele.
@elishamwaifugemwaifuge9720
3 ай бұрын
@@samxx411 Ukitaka kumjua nitafute nkupe Family tree yote ya Yesu. Usinisumbue tu. Au niseme tu! Alikuwa anaitwa Anna,, sasa usije ukanisumbua Tena kuhusu baba yake, ngoja nikwambia na yeye, alikuwa anaitwa Joakim.
@samxx411
3 ай бұрын
@@elishamwaifugemwaifuge9720 huna andika Anna limetoka wapi?? Hamsomi maandiko mnarusha tu maneno kutoka kichwani mweni ikisha mnajifanya mnamjuwa yesu wakati mtihani mdogo umefeli
@AshaAshim-gy6jm
3 ай бұрын
Mwenyez mung akulinde xhekh wetu, wafundixhe watakuelewa
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule kashindwa waziwazi
@nomar3708
3 ай бұрын
Hawa wakristo wa Africa vichwa vigumu hawaelewi. Wenzao wazungu washaacha zamani hiyo dini
@SamsonHumbe
3 ай бұрын
Duuuhh safi sana pst F Ndacha
@SubiraMussa-wy1ul
3 ай бұрын
Acheni sule atangaze dini ya Alla msikejeli ikiwa anajini ikiwamganga yote anajua.mungu na ndio mwenye hukumuzake
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule kashindwa waziwazi bila kupapasa
@Zuwenamachela
3 ай бұрын
We kafiri huna akili yesu hata siku ya hukum haijui atakuwaje hakim 24:36 mathayo
@albashakluninshaah3727
3 ай бұрын
Ndacha hana uwezo wa kujieleza. Shida tupu. Kubali kusilimu ingia katika dini ya uislaam
@HONJEB
3 ай бұрын
Kwani we unaushahidi gani kua YESU haakufa
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule kashindwa waziwazi yeye mwenyewe kamaliza mada
@JamesMoses-jd1yq
3 ай бұрын
mbona usikubali kumkubali mwana wa mungu uwachana za mashelk waongo
@HONJEB
3 ай бұрын
Aisee ndacha ni 🐐 🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐🐐on 🔥🔥🔥🔥🔥
@IgnacioAndrew-rj8pd
3 ай бұрын
Woooooooooooooote du kazi ipo
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule ameshidwa waziwazi
@jamesmusonda1914
3 ай бұрын
Waislam hawana hoja yotote bali ni ubishi ubushi tu bila majibu
@user-ek7bx6sk6f
3 ай бұрын
ALLAH AKBAR hata introduction inayoanza inaeleweka kuwa hali iko wapi hoja nzito kbs ambyo wakristo hawafikii hata kidogo
@hamadsalum1791
3 ай бұрын
Ndacha Acha kuichafua Quran kwa makusudi ili kufurahisha watu
@jjtm164
3 ай бұрын
Amekuuliza jibu tuone toa Aya yesu haakufa
@halimazubeir
3 ай бұрын
Takbirrr huyu ndo doctor sule😊Allah akueke miaka mingi
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule ameshindwa bhana
@BarakaZabron-py2fz
3 ай бұрын
Hoja za ndacha siku ya kiyama zitawahukumni. Ikiwa Dr anashindwa hoja na standard seven dropper kuna nani sasa wa kuutete uislamu?
@claverirambona6068
3 ай бұрын
Waislam wana shida ghani
@DININIKRISTO
3 ай бұрын
ANDIKO YESU HAKUFA LITOKE SIO HAWAKUMUUA WALOKUWA WANADAI KUMUUA HAWAKUMUUA MUNGU NDO KAMUUA
@faridfrefre35
3 ай бұрын
Alikufa kwa ugonjwa gani
@OmaryMsuya-km3cj
3 ай бұрын
Ndacha si alisema jana yesu ndiye huyo mungu Leo vipi anamtenganisha yesu na mungu mala yesu mtoto wa mungu nachanganyikiwa kwakweli
@jjtm164
3 ай бұрын
Ntakufisha Allah akamwambia
@Zuwenamachela
3 ай бұрын
Ndacha acha uongo wa kuunganisha maneno aya ipi et yesu alikufa siku 3
@Zuwenamachela
3 ай бұрын
Mada imeisha maana wanasema yesu ni mungu kisha huyo huyo yesu kafa msalabani hiv mungu aweza kuwamwanaumNdacha chemsha umechemsha
@petermatabwa2133
3 ай бұрын
Kwani ni doctor wa nini?
@Kujason12
3 ай бұрын
Samia Dr wa nini
@richardnganya2311
3 ай бұрын
@@Kujason12swali NI Kwa Sule. Huyo Samia kaingiaje ? Hii ndio inaitwa NJE YA JAMBO !!
@JanethAnton-fx1mk
2 ай бұрын
Waislamu tatizo mnasikiliza kwa kuwa tayali kupinga sio kujifunza kwani maneno hayo si yanasomwa kwa vitabu au anatunga acheni ushabiki bahna fungukeni macho
@DishaniDisha-zm2gm
3 ай бұрын
Kazinzuri sana
@ismailsoud3634
3 ай бұрын
Yesu hakufa, wewe unaye se ma alikufa UMELIWA.
@hamadsalum1791
3 ай бұрын
Laaana ya taurati ndio ipi
@AdamuMkimbu-x1q
3 ай бұрын
❤❤❤
@alexandertembea5940
3 ай бұрын
Wengi ni weslaam hum. mmejaa kweri. Mbona inajulikana mnajifanya amjui.
@callennyabonyi5580
3 ай бұрын
Waislamu wana changamoto ya kuelewa
@aishahazary4097
3 ай бұрын
Hakika umeutendea haki uislam.Umemchemsha Ndacha vya kutosha.Umeuziba mdomo wake kimyaaa
ndacha kachochora sana yaani anawapeleka wenzie mbele anawarudisha nyuma , ngoja apigwe spana asilim huyu
@Ochiengochieng-qc8dw
3 ай бұрын
Kashinda kwa hoja gani?
@Saidfadhil-o3o
3 ай бұрын
Mungu anakufa jamani
@shukuruiddi82
3 ай бұрын
ukijiuliza kwa akili za kawaida tu mungu amekufa wenyewe tulikuwa tunajifanyia dhambi na ibada halafu kesho hizi siku tatu si tutamkatalia mungu kuwa ulikufa halafu unatusingizia hizo kesi na tulivyo wanadam zile siku tatu mungu kakata mbn moton huendi hiyo ligue yake
@HONJEB
3 ай бұрын
Ndacha anawazweza mashekhe wote
@fezabeauty
3 ай бұрын
We slam mnahamini sana kimwili kuliko kiroho jamn😂😂😂😂
@AbubakarAlly-th6op
3 ай бұрын
Huyu sure ni mbaya zaidi kuliko kafiri kwasababu kafiri tushamjua hatusumbui ila sure anajifanya anatetea uislamu kisha anawalingania waislamu wamshirikishe Allah, na kuwapandikizia itikadi waislamu waabudu majini nakuamini pete kwamba ndio itatoa baraka enyi waislamu wenzangu jiepusheni na huyu mtu
@halimazubeir
3 ай бұрын
Wewe nae unaongea nini hujui ulitendalo sikiliza mada ayo mengine apa sio pahala pake
@johnngenga1320
3 ай бұрын
karibu ukristo
@claverirambona6068
3 ай бұрын
Mimi sija skia yesu hakufa
@omarsaid673
3 ай бұрын
Ndacha bora asilimu ataweza kuwa mzuri maana yeye hodari tatizo kasimamia kuti sio nguzo akikamata nguzo atakuwa na nguzu
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule ameshindwa waziwazi bila kupapasa
@JamesMoses-jd1yq
3 ай бұрын
Kawaroga Nani waislam 😢
@user-ie7yt9db6f
3 ай бұрын
Alafu ndacha huna jipya kabisa yni sikuelewi unachokitetea kitugani hpo soma quran na uache kuipotosha na maandiko ya bibilia bora usilimu uwe ndugu katika iman acha kufundisha watu uongo kila siku
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule ameshindwa waziwazi bila kupapasa
@user-ie7yt9db6f
3 ай бұрын
@@richardchimba3800 chenye kimeshindwa Dr sule sija kiona huwezi kuchafua qoran na bibilia hata ww wasubiri kuunga mkono hoja za ndacha yn Kwa kweli shetani anawapamba mpk kuisoma bibilia na kuielewa mnashindwa ndacha ndio awasomee upuzi
@mudrikramadhani32
3 ай бұрын
Dr sule akili kubwa sana
@hamadsalum1791
3 ай бұрын
Halafu haiingii akilini eti Mungu ambaye ndiye mwenye madaraka ya kila kitu eti amuuwe mwanawe ili awasamehe nyinyi
@user-ek7bx6sk6f
3 ай бұрын
Jamani wakristo hawana hata hoja mwanzo ilikuwa yesu kafa akafufuka hapo unawambiya watu kiyama cha mauti sio tena kifo hapo iko je ? ALLAH AKBAR jamani karibuni ktk Uislamu Ni Free hujatoa hatujasikiya and iko kutoka ndani ya Biblia
@jeanninemunezero6469
3 ай бұрын
Roho mtakatifu anafanya kazi hiyi mithaharo nishaidi Tosha wenye kusikiya watasikia wenye hawapendi kusikiya shauli yawo bira unafiki aushabiki hapa ukweri unapatikana Kati ya sule na ndacha kuna ukweri we kuwa makini 😮😮😮😮
@clarencepeterbugi2862
3 ай бұрын
Mie nnavyowajuwa Waislam huwa makusudi hawataki kuelewa
@mohamedcade2421
3 ай бұрын
This is just a business.it is 2 persons agreed to do business using KZitem channel.
@BarakaZabron-py2fz
3 ай бұрын
After your imam loosing woefully the debate now you are down talking it. Shame on you
@jjtm164
3 ай бұрын
Huwezi jibu hoja kama nikuubiri uslamu mbona ukamwita ndacha
@user-jf3db7kq6p
3 ай бұрын
sheikh wewe ukona elmu kuliko wengi so endelea kuubiri laaillaha illa Allah
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Wakati shekhe kashindwa bhana hajibu hoja😂
@barakaharony4396
3 ай бұрын
Mhahahhaha waislamu kweli hoja hawana jaman
@hamadsalum1791
3 ай бұрын
Acha janja zako
@user-hi8le2vb7z
3 ай бұрын
ila ndacha😊
@faridfrefre35
3 ай бұрын
Eti mungu anakufa
@AidanoSilvestreSabiniSabini
3 ай бұрын
Ndacha, ta falar a verdade que esta escrito na biblia,
@user-fy4op1sw2f
3 ай бұрын
Sasa huu ni mdahalo au ni ushabiki tu
@kelvinmurithi7255
3 ай бұрын
Doctor wewe ata utetee uongo mwisho wa siku kitaeleweka
@EmmaMtusi
3 ай бұрын
Dah ila ndacha ni master
@aliraalira8536
3 ай бұрын
Hana umaster wowote
@hamadsalum1791
3 ай бұрын
Aya inakusudia vyengine wewe unaipeleka vyengine
@albashakluninshaah3727
3 ай бұрын
Wakristo amkeni jamani. Usife ukiwa kafiri.
@richardchimba3800
3 ай бұрын
Sule ameshindwa waziwazi na Quran inasema Yesu amekufa
@JamesMoses-jd1yq
3 ай бұрын
mkiwacha kuwa watumwa wa Muhammad Kisa waarabu ntakubaliana nanyi
Qur an haijasema kuwa hakufa bali ilifafanua madai yao ndio maana ikaanzia walipoishia wao.tuwasikilize hawa walim(ndacha na sule)kisha tutafakar kielimu sio kiushabiki.
@jjtm164
3 ай бұрын
Hata sule kasema hakuja kujibu hoja Bali kuhubiri uislamu ina maana hawexi na ameshindwa
@princematumbo
3 ай бұрын
Acha upumbavu wewe mjaluo pastor, Musa anatokea wapi, pumbavu umeambiwa Muhammad na Yesu, msenge wewe
@JamesMoses-jd1yq
3 ай бұрын
Waislam hipo mtujua kuwa Muhammad was false prophet
@HAMIS-ci2vt
3 ай бұрын
@@JamesMoses-jd1yqmkiweza kudhibitisha hilo itapendeza sana tutaritad kuwa wakristo kwanin tusifate haki ikidhihiri ikiwa kila mtu anahitaj kuwa salama baada ya umauti .
@HAMIS-ci2vt
3 ай бұрын
kikubwa kuitafuta elimu ya haki maana baada ya umauti kila mtu atafarijika na kuhudhunika mwenyewe ko tujitahid kusikiliza pande zote na kuzijengea fikra za kina kisha tufate utakayo ona sahihi kwa manufaa ya nafsi zetu wenyewe.
Пікірлер: 139