Nawakubali sana wanangu wa genge mnaliwasha vizuri Sana na misso Dickson Niko mbwen dar es salaam tanzania
@Lituli_jr.
9 ай бұрын
Huyu misso misondo ni balaa yupo smart kwenye sound na yupo smart kwenye interview jamaa hapa mambo mengi alafu anajibu short but clear
@user-dm9xs4cn5i
9 ай бұрын
Mi namshauli miso misondo akakutane na makabila kunakitu atakipata .
@hilarymark7583
9 ай бұрын
Mkuu Majizzo Miso Misondo Movement ni movement ya nchi nzima msijitoe ufahamu...ni kijiji kwa kijiji,mtaa kwa mtaa rural & urban. Niko na proposal mkononi hapa!
@ogingawagara8695
9 ай бұрын
Umenena kweli....
@emmanuelwafula1364
9 ай бұрын
Kazi nzuri mjomba shabiki mgeni kutoka taifa la Kenya.
@lebonmkerwa9262
6 ай бұрын
O0 mkali na mpata live niko 🇺🇸 🇺🇸 usa 🇺🇸 💖 ♥️ ❤️ 💕 much love
@donbeteofficial
9 ай бұрын
Wadhamini wa kipindi wamekuwa wengi nkashindwa kuangalia hadi mwisho nimechoka matangazo.
@user-jg2is2gv2l
9 ай бұрын
Miso misondo umepigaje apo oy umetisha mzee
@meggylumelezi9208
9 ай бұрын
0y eh nakukubali miaka 100 unagonga xana mwanangu unajua kuliko wengine wote
@user-wr4cm7zm9s
9 ай бұрын
Jamn mim ngosha ananikosha haii nakupenda❤😂 aimbee tena jamn
@elykizz
9 ай бұрын
Tunao mkubali miso misondo tujuane Kwa likes
@rajabally5101
9 ай бұрын
Sema nn uyu dogo anaongea kistaa sana anajiamini sana
@luganojohn2673
9 ай бұрын
Akili kubwa sn bwana kijana.. yuko vizuri
@user-fi8zl8qn2d
9 ай бұрын
Punguza hasira Dj Miso baba utatuhua
@everythingidoformybutterfly07
9 ай бұрын
😂hua
@mediroo
8 ай бұрын
Daah nakubali Sana kweli nakumbuka maneno yako broo
Dua kwako kijana mwenzetu mungu akupe zaidi yahapo
@MuhajirinaMufti-jl5ym
9 ай бұрын
Umepigajeee apooo
@RamadhaniallyAlly-ht6ey
9 ай бұрын
Dogo anajielewa sana hana majivuno
@michaelstanley9898
9 ай бұрын
We miso misondo umepigajee hapoo
@user-mq6xp9bd2x
9 ай бұрын
Hakukua na vibe coz makot hawapo
@saiditasher8362
9 ай бұрын
Mimi nimeipenda hii stahili mng akipenda ntawahalika niko inje ya inchi mng awabariki
@Wdtv898
9 ай бұрын
We misso missondo umepigaje apo😂😂😂
@ShahimuMasasi
9 ай бұрын
Mungu ndio Kila kitu
@officiallnobystar
9 ай бұрын
We Misso Misondo Umepigaje Apo🙌🙌
@mwandiletv9421
9 ай бұрын
Akuona mzee
@salumissa2266
9 ай бұрын
Kachukuliwa na boss wa efm majizo
@peninashungu6633
9 ай бұрын
Wachawi washakuleta mjini kukuaribia, wangekupenda wangekuwacha uko uko wakakuwekea maajabu yako uko uko Kwan mjin tu ndo Kunatakiwa watu wacheze mludishen ata kijijin wanataka shangwe zake
@faizaahamd2052
9 ай бұрын
TUNAKUPENDA SANA CONGRATULATIONS MISO MISONDO. UMEPIGAJE HAPO♥♥♥♥✌🎤🎤
@user-lm3iq2in7m
9 ай бұрын
❤❤❤❤ we miso misondo umepigaje hapooo
@MCNgakungaJunior
9 ай бұрын
Tunataka kibodi 😂😂😂.Dogo kashaenda mjini
@francissimime1402
9 ай бұрын
Miso misondo we ni hatari zaid ya sana
@salimaziz9858
9 ай бұрын
Amefanana na rapcha
@Ibrah287
9 ай бұрын
Nilivyomuona nikajua huenda mdogo ake Rapcha 😂😂
@FelixEmanuel-eu9fj
9 ай бұрын
Umepi gajepo🎉🎉
@wonanjijabongah1906
9 ай бұрын
Kipindi cha moto bt mnabebesha maswali! Mnauliza wakati hajamalza kujib mnauliza maswali mengine ikata story inabid anamalze kujb swal moja alaf liulizwe jingine
@user-qq1zi4qy6g
9 ай бұрын
Noma san
@YasiniMomboka
9 ай бұрын
Ayo makoti sio yenyewe mshaaribu
@HappyAdam-tf6ow
9 ай бұрын
Tukubaliane tunafunga mwaka na kufungua mwaka na umepipigaje hapooo
@RjdEfuNny
9 ай бұрын
Umepigaje apoo🎉🎉🎉
@davcodavid8651
9 ай бұрын
Wale jamaa zako wako wapi wale na nguo zao zile hao mbona wamekaa ki bongobongo sana
@kennedykaduma9104
9 ай бұрын
Na akijifanya kuwaacha wale jamaa sidhani kama atatoboa
@DanielChaula
9 ай бұрын
Nice sounds 🎉🎉🎉
@athumanfuko199
9 ай бұрын
WAZEE WA MAKOTI SIWAONI VIP
@hamisirashidi2895
9 ай бұрын
Misso misindo umepigaje hapo? One ❤❤ kijana wangu.
Пікірлер: 256