May Allah abundantly bless you and equally reward you my beloved brothers!!!
@ayshazambia6509
Жыл бұрын
Mashaallah allah awajalie kila la kheri na awapushe na shali za watu wabaya mashekhe wetu amiin amiin👏👏👏
@salminasalim5630
3 жыл бұрын
Mashaallah Tabarak Allah Sheikh Allah azidi kuwasimamia na kuwapa Afya njema rizki na mwisho mwema In Shaa Allah
@bellbell9294
3 жыл бұрын
Shukraan Sana masheikh wetu Allah a walipe kher kwa upendo mnaouonyesha kwetu ndugu zenu ktk imman Allah awajaalie jannah firdaus ya daraja ya juu kabisa Aamiin Nas sote twamuomba Allah atujaalie mwisho mwema Aamiin
@mariamissa4029
3 жыл бұрын
Mashaallah allah awalipe kheri nyingi mashekhe wetu,hata mm nasumbuliwa na tumbo
@nooor1120
3 жыл бұрын
Maa shaa Allah Allah awape nguvu muzidi kutusaidia. Tumefaham mnahadithia vzr lkn msitupige pesa nyingi kwani si mnajuwa maisha magumu duniani kote hata huko wa ulaya na wahuko uarabuni wanalalamika pesa nyingi mnachukua wanalipa kwa vile wana matatizo ila hizo pesa hamjui wanapata vipi mashaka tu kuweni na huruma toshekeni na kidogo muone Allah atawaruzuku vikubwa mpk mtashangaa kwa idhini yake.
@issazanzibarbarakaallah.1572
3 жыл бұрын
Hakika
@mozasaid3869
3 жыл бұрын
Ni kweli!
@vathumathuma2186
3 жыл бұрын
@@issazanzibarbarakaallah.1572AMINA ALLAH HUMMAH AMIN
@eddietaxidriverzanzibar4395
Жыл бұрын
Hakikah
@saharasheekh5073
3 жыл бұрын
Amin yarab 🤲 🙏 hayo ya kuongea pekeyangu kutembea masafa marefu na kulia ovyo kitu kidogo kinanikera nakuwa na hasira nyingi na muda wate nikopekeyangu sitaki simu wala mtukuongea neo wala sina mapenzi na wangu wala mumewangu wala familia yangu plz 😭😭😭😭😭
@HassanKibindo-ti1nu
6 ай бұрын
Mashallah jazzakallah kheir masheik.Allah akulipen malipo kamili naomba iyo aya inapatikana sura gan no ngp
@umishee4109
2 жыл бұрын
Mashaallah .mimi nilifanyiwa vitimbi na mwenzangu kazini hadi nikaachishwa kazi. Hii tokea mwaka2018 bado sijapata kazi ya kudumu.nikipata kazi sidumu kabisa hata sijui ni kitu gani
@mamuskamery45
3 жыл бұрын
Shukran jazillan Allah awajeze kila la heri masheikh wetu
@hajivuaihaji9731
2 жыл бұрын
Mada nzuri sana na imeeleweka. Sheikh Mardhia tatizo mimi sina bahati ya kukutana nawe Ili unitibu. Kila nikija HUPATIKANI. NAmUOMBA Allah siku MOJA anikutanishe nawe na unitibu. Haji Vuai Haji.
@evelynengilah523
Жыл бұрын
Mimi hulala kabisa na nywele pia zinaliwa hazikui nisaidieni sheikh mardhia
@evelynengilah523
Жыл бұрын
Nimekulia saudia kwanzia usichana wangu ,pesa nimepata ila adi sasa sijafanikiwa nikupanda na kushuka tu.
@evelynengilah523
Жыл бұрын
Maisha yangu kweli ni vitimbi mara naitwa mwanaume mara niko kwa maji nisaidieni sheikh
@halimaomari3415
3 жыл бұрын
MashaaAllah mola awape umri na uzima inshaaAllah,mashekhe wetu yarab
@niazaoally2471
3 жыл бұрын
Asanteni saana masheikh zetu Allah awalipe kila la kheri
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
Dhukran sana Allah awazizdishie ilim mashallah
@BalkissMuhammed
9 ай бұрын
Bismillah maashallah Qur'an ❤
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
Naam shekh 💯
@4242R-i9i
3 жыл бұрын
Mashallah mashallah Allah barik daima amiin
@mename6020
3 жыл бұрын
Ameen Allahuma Ameen
@mename6020
3 жыл бұрын
She Maridwiya umeongea ukweli kabisa... Allah akupe umri mrefu na afya njema.. Uzidi kuwatibu wenye mitihan..
@nooor1120
3 жыл бұрын
Sheikh sio She Shukran jazakillahu kheir
@mename6020
3 жыл бұрын
@@nooor1120 Ameen Allahuma Ameen.. shukran kwa ukumbusho...
@laizakisiak5153
Жыл бұрын
Mashall mashall awalipe kila la heri AllahmaAmin
@salamahilal7867
Жыл бұрын
Asalaam alaykum warahmatullah wabarakatu naomba tel sheikh Salim
@Shakila0000
3 ай бұрын
Zakallah kher shukran sana
@aminahamisi2837
2 жыл бұрын
Rajai hajawahi tuangusha wakondoa , we love you mungu akuweke na kuongeza vema na mashekhe wote
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
Shukran sasa ya somwa kwenye maji au niko kenya
@omarsultan7195
3 жыл бұрын
Ahsante shkhe Rajai kwa aya
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
Allah awalipe kila la kheri tukutane ktka peoo ferdaus inshallah
@mename6020
3 жыл бұрын
Allah awalipe kheri vipenz wa Allah...
@AsiaAbdalla-jx8rj
Жыл бұрын
Alhamdulillah mashallah
@ashahassan2120
2 жыл бұрын
Mungu alindende nama hasidi
@jamilashabani8580
2 жыл бұрын
Allah Akuhifadhii Daimaaaa
@Mariampandu
3 жыл бұрын
Mashllah Allah ajalie tukutane maana nna tatizo kwa family yngu
@zaitunimsuya9546
3 жыл бұрын
Mashaallah.Allah atilie nuru kazi yenu. Inshaallah.
@twaine40
Жыл бұрын
As salaam alaykum warahmatullahi wabarakatuh ikhwaan fiyllah, Mimi nimetibiwa sana zaidi ya miaka 23 napata tu nafuu narudi palepale matesoni
@zubedatatu7852
3 жыл бұрын
Shukran Jazaqallah kher Mashekh wetu
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Mungu asiwauwe ilaawaongoze kwenye kheri amin
@mename6020
3 жыл бұрын
MashaAllah tabarakallah...
@mayaaljabry2794
3 жыл бұрын
ما شاء الله تبارك الرحمن الله أكبر الله أكبر الله أكبر 🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸🌸الله يحفظكم من كل سوء اللهم امين يا رب العالمين
@ramlabakari7750
3 жыл бұрын
بارك الله فيكم جميعا
@mename6020
3 жыл бұрын
Yaan mamayangu katibiwa miaka nane ajatibika... Tusaidien vipenz vya Allah..
@nooor1120
3 жыл бұрын
Labda mpelekeni kwenye kituo chao Aman lkn muombe mumuone sheikh mwenyewe
Me Name@ Mie ndugu yangu 1 miaka 9 hajatibika afadhali hao ndugu zangu wengine 2 wao hupata hujambo na maradhi hukaa yakarudi tena
@mename6020
3 жыл бұрын
@@zenaal-baalawy3262 nduguyang Dada kwani upo wapi uwapeleke au uwaone ma shekhe wetu akina Maridhiya..
@zenaal-baalawy3262
3 жыл бұрын
@@mename6020 Ah! Huyo 1 aliwahi kwenda kwa hao kusema kweli huyo mmoja mambo ya ugonjwa iliondoka kabla kwenda kwake yeye but tatizo jengine ndio linatokana na hayohayo matatizo ya hasad tu ndio halijaondoka bado na ndio hayo alosema huyo mtu mmoja hapo kwenye comment kuwa pia watu wasiwatoleshe pesa nyingi maana mtu mpaka tiba inashinda
@mename6020
3 жыл бұрын
She Rajai MashaAllah...
@jumayahya2661
3 жыл бұрын
Uyu sheikh Rajai jmn ni mzanzibari au
@mename6020
3 жыл бұрын
@@jumayahya2661 ni mrangi wa kondoa
@jumayahya2661
3 жыл бұрын
Bc mie nilizan yupo nchi za nje ety mana humuona nawatu wengi wamemzungumka
@abedkarume9088
3 жыл бұрын
Hapo kwa madeni ... subhanallah
@mwanamwana344
3 жыл бұрын
Inshallah Allah awape nguvu na akulindeni na kila Shari
@minahadi2190
3 жыл бұрын
MashaAllah barakAllahu fiyk
@abdularuffin9308
3 жыл бұрын
Jazzakum kheri mashekhe zetu allah awahifaďhï
@abedkarume9088
3 жыл бұрын
Mashallah tabarakallahu la haula walakuwata ila billahi
@farhiyaally8412
3 жыл бұрын
Masha Allah
@خديجهبورندي
2 жыл бұрын
Asalaam aleykum warahmatullah wabarakatuh shukran ma sheikh wetu ila numba hazionekani
@anitacizaa413
3 жыл бұрын
ManshaAllah Allah awalipe kheri fidunia wali akhera kwa mada nzuri yenye mafunzo makubwa. 🙏🙏🙏🤲🤲🤲
@zuhurasimkoko4386
Жыл бұрын
Nimesikiliza mada yenu Kwa kweli Mimi ni mmoja wapo katika hayo mliyoeleza hivyo nikitaka kufika kwenu nawapata wapi? Mimi nipo Dar es salaam
@zainabmusa2006
3 жыл бұрын
Mashallah
@mwajumasadick4791
3 жыл бұрын
Jazakharau 🙏🏽
@saumusanjiama6991
Жыл бұрын
مشا ء الله
@allymbwana1264
3 жыл бұрын
Nahitaji huduma ,nitawapataje,mashaallah
@zainabdjuma73
2 жыл бұрын
Baba tunateswa hivyio hivyio tuokoweni Allah awalipe kheyr na Fanaka
@mussakhatibhassan6430
3 жыл бұрын
Maashallah
@buhitexmohamed4785
2 жыл бұрын
Asalam aleikum ni natoka kennya shida nimfungiwa hedhi yangu tafadhali
@hawate8933
2 жыл бұрын
Aslam alyekum sijaona namba za simu naomba uzitaje tafadhali
@jeaninevumilia5917
4 ай бұрын
Pesa hazitokeye karibu
@nasirshekhi6070
3 жыл бұрын
Jazzakka Allahu khyern 🤲❣️🌹❣️
@sindimwohidja9519
3 жыл бұрын
s👍👍👍👍👍💟💟💟💟💟👏👏Allah. Akulipeni pepo
@nasirshekhi6070
3 жыл бұрын
@@sindimwohidja9519 ya rabb Aameen 🤲
@azizaaziza7996
2 жыл бұрын
Assalaam allaykum warahmatullah wabarakatu dj na omba namba za huyo sheikhe anae aguandoto tafadhali
@alhamdulillah5796
3 жыл бұрын
Dawa ya mtu anaetibiwa hatibiki mtibuni bure. Mana wengi wanasikitika gharama kubwa hawaziezi wanakopa, wanasema uongo, wanaiba ilimradi walete watibiwe, je watatibika?
@laizakisiak5153
Жыл бұрын
Madhav mashall
@salmawage7259
3 жыл бұрын
Aslkm mimi naumwa miaka 15 na maliza tiba siponi Shekh utanisaidiaje
@marcntwari4012
3 жыл бұрын
Yesu Christo nimuzima anatibu .ukimuamini na damuyake uchawi awugushiki.
@salimmoha7962
3 жыл бұрын
Asante na ubarikiwe kwa kusikiliza endelda hivyo mwisho utaelewa tu.
@omarkombo6514
3 жыл бұрын
Asalam alaikum, Mimi naitwa Kariim Omar, mkewangu anaumwa nimeshafanya dawa sana lakini bado
@yunuskhalfan3534
3 жыл бұрын
Shukran mashekh
@jumayahya2661
3 жыл бұрын
Uyo yesu kristo ndio nani?
@jumayahya2661
3 жыл бұрын
Kwani ww unaemuamini ndio huumwi naona munaombewa makanisani.
@ashuranurudin3239
3 жыл бұрын
Asalamu alykum warhama tullah wabarakatuh mbona no zanu haipiti hatuzioni naombeni no zenu
@albaamaragencies3803
3 жыл бұрын
A Alekhum mimi moja wapo
@mamuskamery45
3 жыл бұрын
Tueleze ipo kwa sura gani hiyo ayah sheikh ayoub rajai
@salimmoha7962
3 жыл бұрын
Surat anbiyaai
@TheTruth10071
3 жыл бұрын
suratul ghaafir aya ya 44
@abdularuffin9308
3 жыл бұрын
Maaashaalaah
@ramayasly4584
3 жыл бұрын
Asalaam alwykum sheikh zangu
@رياالتوبي-ش3ط
3 жыл бұрын
Asalamu alaykum je nikiitaji kutibia unapatika wapi
@albaamaragencies3803
3 жыл бұрын
Mm naomba kama munakuja mombasa nataka kuwaona
@evelynengilah523
Жыл бұрын
Mimi warabu wamenitupia segheri ya kukojoa kwani mtu akinywa maji mengi Nishida.
@amanoffewwords8714
3 жыл бұрын
51:30
@saumabubakaly9129
2 жыл бұрын
Asalm mualkm shehe mimi pia nina matatizo
@harounsuleiman5231
3 жыл бұрын
Mashekh nauliza izo pete mvp au ndo makarama
@ashahassan2120
2 жыл бұрын
Nikweli she wengine tunabahati sana ilampkalehi hataolewa kwavingo
@buhitexmohamed4785
Жыл бұрын
Naam ndoa watoto unilenga haswa
@aishazaid6625
Жыл бұрын
Jamani hio aya ipo sura gani na ni aya ya ngapi
@rehemamasoud3687
3 жыл бұрын
Tangazo refu sana mb za mawazo
@buhitexmohamed4785
2 жыл бұрын
Niko kenya wanangu wa 2 hawatembei na hawakuzaliwa hivo
@aishaarusha894
3 жыл бұрын
Rajai 😂😂
@pacifiquemukanya1009
3 жыл бұрын
Iyo niuragani
@vathumathuma2186
3 жыл бұрын
Hio dua shekhe mtu asoma mda gani,
@monatbkr4475
3 жыл бұрын
Mashallah mungu awapandishe daraja ya júu.
@mustafaalloo81
3 жыл бұрын
hirizi
@aminahussein2743
3 жыл бұрын
Sura Ghafir 40 : aya 44 Fasatath kuruuna maakuulu-lakum waofawwidhu amree ila Allah iinna Allaha baseerun bil iibad Tafsir: Basi mtayakumbuka ninayo kuambieni. Nami namkabidhi Mwenyezi Mungu mambo yangu. Hakika Mwenyezi Mungu anawaona waja wake. English: And you will remember what I [now] say to you, and I entrust my affair to Allah. Indeed, Allah is Seeing of [His] servants."
@jumayahya2661
3 жыл бұрын
Amina Husein: soma mara 100 au 113 za idadi ya ahlulbadri.
@africanqueen2506
3 жыл бұрын
@@jumayahya2661 313
@saidaabduhlla7798
3 жыл бұрын
Hi aya iko kwenye sura gani
@Abdy2747
3 жыл бұрын
Suratul Al ghafir 40- 44
@issazanzibarbarakaallah.1572
3 жыл бұрын
Good
@mename6020
3 жыл бұрын
@@Abdy2747 ninaomba uniandikie kipenz cha Allah hiyo Aya... Ili niiandike na mimi... Niifanyie kazi yaan twaumizwa Sana na wachawi...
@Abdy2747
3 жыл бұрын
@@mename6020 shukran, niandike kiarabu ama kiswahili
Пікірлер: 131