Lipumba umesema miaka 4 au 9 ya mama Samia😢😢😢kumbe unatuhakikishia wewe ni nusu ccm😢😢una uhakika gani kuwa atachaguliwa kuendelea????
@okaozzy
4 ай бұрын
Tunaposikiliza mambo ya msingi ndio mnafanya sauti ziingiliane 😢
@richdsr3517
4 ай бұрын
HONGERA ASKOFU UMEONGEA UKWELI MTUPU. Japo wamekuwekea muingiliano wa sauti ili usieleweke vema
@MrnicasMsigala-jk3ci
4 ай бұрын
CCM WANATUCHEZEA SANA....WANAWASIKILIZA THEN KESHO WANARUDI KULE KULE
@mfwimiekayuki8692
4 ай бұрын
Ubarikiwe BABA Bagonza.Kichwa kikubwa.
@namsifubwana2152
4 ай бұрын
MUNGU AKUJALIE SANA ASKOFU BAGONZA. TATIZO NI KWAMBA HAO ULIOWAASA HAWANA UTASHI TENA. WANAFIKIRI KWA KUTUMIA MTUTU WA BUNDUKI NA PESA. WANA HAMU YA KUPATA MISUKULE WENGI, MAKAFARA WENGI NA WATUMWA WENGI. TUNAWATOAJE KWENYE MKWAMO HUO MAANA HIYO NDO DINI YAO WANAYOIABUDU😢😢😢😢
@allyshaban406
4 ай бұрын
Lipumba,anasumbuliwa na Jina lake.kwani Jina huumba.
@tzonespices9734
4 ай бұрын
Bagonza hongera wewe ni mtu wa mungu umeongea mambo mengi yanayowahusu wananchi wa Tanzania.
@christinenyagiro6662
4 ай бұрын
Watu wengine wasijione ni muhimu kuliko citizens wengine katika Inchi hii. Kwa mfano wanasiasa mnajifanya Inchi hii ni yenu tu hasa CCM. Sisi wote ilimpendeza Mungu kutuweka katika Inchi hii hakuna aliye na umuhimu kuliko sisi wengine TUPO NA WANAINCHI!
@adelinelyaruu3036
4 ай бұрын
Yaani tukiamua tutaweza kuijenga hii nchi kwa umoja na kuyaona maendeleo ya uhakika. Tanzania ni nchi nzuri sana iliyojaliwa maliasili nyingi
@albertkamala6843
4 ай бұрын
Akili ya kawaida ni kuzingatia busara na ushauri aliowahi kutoa Mwlm. Nyerere kuhusu hali ya demokrasia..kuondoka ktk mfumo wa chama kimoja nk! Mfumo unruhusu kupiga kura lkn si kuchagua! Mfumo umetengeneza mashaka ya kudumu
@allyshaban406
4 ай бұрын
Kuna watu Tena wakaa V.I.P hawata muelewa.
@tzonespices9734
4 ай бұрын
Mjadala mzuri.
@KhalidAlly-je8ky
4 ай бұрын
Hakika mze lipumba
@aliyageorge6794
4 ай бұрын
Mzee lipumba sielewi huwa anawaambia nini wafuasi wake...😂
@harsoshelezi4658
4 ай бұрын
LIPUMBA, asili ya demokrasia ni uongo. Hivyo haiwezi kuwa ya kweli hata uipake rangi. Angalia hao wanao toa alama za demokrasia wapoje. Kwa ufupi kila mkiwa na alama nyingi za demokrasia ina maanisha mmepanda kwa ushenzi na uharibifu wa kiutu. Demokrasia ni udikteta ila unaofanywa na kikundi cha watu fulani kiitwacho chama.
@aliyageorge6794
4 ай бұрын
Mzee Lipumba ni mnafiki wa dunia...😂
@StevenMtambo
4 ай бұрын
Ubarikiewe asikofu bagoza ,,,lipumba unafiki ni mbaya sana uigage wenzio kuwa mkweri ni akiba,,,,,, sikiliza nondo za wenzio,,walio soma
Mbona husemi kuhusu bandari zetu kuuzwa na wamasai kufukuzwa,acha propaganda Prof Lipumba watanzania wanakutegemea uwatendee haki. Ongea kuhusu bandari na wamasai,mbuga zetu za wanyama,misitu kupewa waarabu na waislamu ambapo hayo mambo waliyopewa toka Tanzania bure hayapo kwao
@NazzirMutatina
4 ай бұрын
Kumbe hoja ni waarabu waislamu kwa vile sio wakristo? Wacha upumbavu jadili hoja umegibikwa na udini! Achana na uislamu!
Пікірлер: 24