Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana<a href="#" class="seekto" data-time="846">14:6</a>, Warumi<a href="#" class="seekto" data-time="609">10:9</a>-10).
@Afsah90
Ай бұрын
Keep fooling yourself 😂😂
@binwasiumbanga9256
Ай бұрын
Mwakisi unapenda kusema dar young Africans, sio sawa ni Young Africans na sio Dar young Africans.
@user-nz5qx9jy7l
29 күн бұрын
Mi napenda Alikamwe angebaki yanga atufikishe ileee inchi ya shadi ya afrika
@laurian27
Ай бұрын
Mzee Magoma kuanzia sasa hatukutaki na hatukuhotaji katika taasisi yetu ya yanga mvurugaji mkubwa! Na kuanzia leo tunakufuta yanga mbwa ww mzee mibusha! Kanunue uchawi upya mshirikina usiejielewa! Yanga ni kubwa kuliko mtu yeyote! Nimetukana laana yako inijie mm nilieokolewa na Mungu! Jina lenyewe Baya ety MAGOMA KWENDRAAAAA
@chichasam9032
Ай бұрын
Yangaa wanaonewaaa sanaaa
@aku-vc09a11k
Ай бұрын
Nchi hii ina uhuru usio na mipaka, anatokea yeyote na madai yasiyoeleweka na watu wanapoteza muda kuelezea ujinga huu
@binwasiumbanga9256
Ай бұрын
Wanasheria wa Yanga kila siku wanafeli,sijawai kuwaona wakishinda kesi ni wakufukuzwa wote hawa
@slimmuhabesh2400
Ай бұрын
Kesi ya fei walishinda ila mama akaingilia kati
@mahunapaschal
Ай бұрын
Hivi huyu jamaa anajiamini nini kutaka kutuvulunga hivi wakati tuko vitani au mutu gani anahakili timamu kweli
@RajabudabogGobeka
Ай бұрын
Uyo no mwehu
@machanoyusuf8045
Ай бұрын
Ngoma umeishaa hiyooo
@machanoyusuf8045
Ай бұрын
Ngomaa umeishaa hiyoo
@josephjohn2114
Ай бұрын
Mbona hamkukata rufaa kupinga hukumu hii tangu mwaka jana 2023 na kufungua kesi ya jinai kuwashtaki kwa kughushi nyaraka. Mmekaa kimya hadi mambo yanaharibika.? Unasema hamkushirikishwa wakati mwenzenu Jabir Katundu hadi aliandika barua mahakamini kuwa hausiki nyie mlindwa vipi kujua. Yanga futeni idara ya sheria ni bure kabisa iko siku mtalia kwa mwendo huu wa idara ya sheria.
@laurian27
Ай бұрын
Kama ulikuwa unapata kula yako kupitia yanga mzee mashamba yameisha tupo Digital
@djumakonki1964
Ай бұрын
sasa ndiyo wakati umefika wa kukomesha wahuni katika vilabu vyetu vikubwa . waliohusika na uhuni huo uongozi wa Yanga lazima uwachukulie hatua za kisheria. hii yote ni hiyana baada kuona sasa hakuna ulaji kama ilivyokuwa huko nyuma.
Пікірлер: 22