Ninawapata kutokea Dubai. Karibuni kwetu kagera tupige mchemsho wa ndizi samaki.au mchemsho wa ndizi nyama (soup) kila asubuhi kabla ya kwenda kazini tunapiga supu safi unaingia kazini upo smart.. wahaya oyeeee. Mstahiki hongera kwa majibu safi kabisa siku moja tutakutembelea mbeya ishaallah.
Пікірлер: 4