🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Watu weusi wengi akili zimedumaa hatujui kujibu hoja.Nchi za Ulaya na Magharibi wangemuelewa sana Mpina.Tunaitaji viongozi kama Traore wa Burkinafaso 🇧🇫
@BossiLaizer
2 ай бұрын
Tunakuelewa jembe
@BossiLaizer
2 ай бұрын
Kuna gharama kubwa ya kusema ukweli
@GodfreyMwamaso
2 ай бұрын
Ndugu yangu uko sahihi na unaongea ukweli lakini ujue unapambana na watu wenye nguvu kimamlaka wameshika makali siku zote ukitetea maslahi ya nchi ujue unapalia mkaa be careful
@tibbsminja2575
2 ай бұрын
LIVE gani hii hapa? Acheni uchawa! Hii Habari ni ya siku kitambo! Kwani hamna Habari za kutueleza!!
@NixonJohnson-r4m
2 ай бұрын
Mpya isikilize
@brownmasai774
2 ай бұрын
TLS mko wapi? 41:51 This Ministry should be sued for endangering our life by feeding us with, possibly, poisonous food. Tangu lini Dubai ikazalisha sukari!? Cuba, YES
@brownmasai774
2 ай бұрын
Huyu alionewa sana
@benedictgamuya8855
2 ай бұрын
Hon. Mpina.... you must speak the language that your ccm - mps and got will understand. Mmeshaongea sana kila siku mko mlemle. Tired of dis nonsense
@domisianlaurian2687
2 ай бұрын
Mpina na we acha kutufanya sisi Ni mazuzwa. Mnaleta Kiki zetu baada ya kuona li CCM lenu linayumba. Huku makonda. Huku mpina. Huku kinana. Acheni hizo bana. Ss siyo wajinga aisee
Пікірлер: 14