Kama umemuelewa mwijaku kwamba anajuwa kutongoza gonga like
@oyay2821
4 жыл бұрын
Mwijaku amependa tako tuu. Umesahau number7 mkabaji
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂😂
@omarymbalala6224
4 жыл бұрын
Mwijaku jembe😀😀
@oxyrio1224
4 жыл бұрын
Mwijaku hahah ndo maana diamond kasema zuchu kaa mbali na mwijaku Hahaha nmekubali
@samwelsengati1369
4 жыл бұрын
Nyumba inaanza na msingi ikitoka msingi inafuata foundation. Waliomuelewa gonga like twend sawa km umeisikia hiyo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salimramadhani5237
4 жыл бұрын
Msingi halafu Foundation kudadadeki
@liyanakarzan182
4 жыл бұрын
Mbona msingi na fondishen vyote ni sawa
@allykita2444
4 жыл бұрын
ukiwa muongeaji sana ndio inakuwa hivyo hajui hata kama amechapia
@ninahmbonea6248
4 жыл бұрын
@@allykita2444 kavulugwa na mzigo wa Snura 😂😂😂
@gordiansoko9113
4 жыл бұрын
Ajali ya ulimi na mdomo hiyoo
@aminajuma8098
4 жыл бұрын
Bro mwijaku😆you ever make my day.
@chunanachu2529
4 жыл бұрын
Nani kaona snura anatamani ndoa kwa mwijaku..... Like apa
@mariamabdallah5224
4 жыл бұрын
😂
@christianmaganga8413
4 жыл бұрын
Anatamani ndoa kwel😁😁
@abubakarzamir6276
4 жыл бұрын
SNURA DADA ANGU UMEELEKEA KUWA MTU MWEMA MASHAALAH MUNGU AKUONGOZE UMRUDIE ILE UKAIPATE PEPO YAKE
@yl_sports_af1994
4 жыл бұрын
Huyu snura ni mdada ambae hana msimamo kama kuna aliemuelewa kma hana msimamo eka like
@jovintosssi3287
4 жыл бұрын
Ww unayo acha ushamba
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
@@jovintosssi3287 hahaaaaa
@ingabirefabrice3418
4 жыл бұрын
TANGU DUNIA IMEUMBWA SIJAONA MTU ANAETONGOZA KUMZIDI BROTHER MWIJAKU DAAAAHHHH
@albahsans
4 күн бұрын
Hahahaha nikweli hii nimashine halafu majibu yahapo kwa papo
@qudratv9169
4 жыл бұрын
Hhhh daah mwikaju wee n nomaa, unapiga sound kinomaaa😄😄
@zuhuraegale3306
3 жыл бұрын
sinura unapendeza sana kuwa mcha mungu dada yangu basi mlejee mola wako kbs usiludi kwenye hizo nyimbo mashaalllah umesema unapenda wislamu wako basi uonyeshe vitendo hakika unamoyo wa uslamu.riziki yako ta halari nibora zaidi
@issambassa9986
4 жыл бұрын
Yaan mm nikiona interview ya mwijaku niko radhi nikope ninunue MB 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂😂
@myseramatamu7409
4 жыл бұрын
Hahaha kamimi vile
@catherinekiwipa7551
3 жыл бұрын
kabisaa an
@eliasjillanga3158
2 жыл бұрын
Haisee dingi tupo sawaaaa
@rayanaabdallah9834
4 жыл бұрын
Jaman nani kaona mwijaku kakimbia issue ya Menina? Likes plz😁
@barakakaduma8803
4 жыл бұрын
Rayana Abdallah Kasepa chap ana akili uyu jamaaa 😁😁😂😂
@dennismrutu7824
2 жыл бұрын
😂😂😂
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
MashaAllah Snura kumbe wapendeza unapo jistiri ila Mwijaku Fanya bidii uengeze mke,mpe maneno matamu ubebe mzigo huo..all the way from 25flow🇰🇪 🤣😂😂
@aminasalumu4189
2 күн бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah mwijaku inshaallah iwe heri kwenu😊
@bonnysureolkokolaboy4342
4 жыл бұрын
Huyu ninja ni nohma kama anatongoza mbele ya kamera, chumban c ataua huyu
@innocentvalentinb52
4 жыл бұрын
Respect profeser mwijako 👍👍👍 wemukali sana
@khadijasalum2302
4 жыл бұрын
Mwinjaku haswa interviews zake nnainjoy big up bro and ayo tv
@hilalhazil8727
4 жыл бұрын
Huyu bwege anamwaga mistari na snura anaanza kuelewa somo
@davidcurtis8556
4 жыл бұрын
Hahahaaaaa amejaaliwa ulimi.
@tousihhhh6765
4 жыл бұрын
mshenz huy muongo san tapeli
@abdulswammadnaseebhon2057
4 жыл бұрын
Hahaha
@happygw6930
4 жыл бұрын
😃😃😃 ndio weakness ya wanawake ulimi wa maneno yaani hapo sanura tayari kampenda mwajaku 100% aminia yaani kichwani mwake anawaza yule mchumba atamwachaje akubari ombi hahana sanura kubari tu ila jiandae huyu atabariki
@tatoohmood3867
2 жыл бұрын
@@tousihhhh6765 😂😂😂😂😂😂
@naimanimo4925
4 жыл бұрын
😅😅😍 sometimes I don't like you sometimes your the best Tata maruchuri following from Ug
@zennakailo8106
4 жыл бұрын
Mwijaku 🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani anamasomo ndo maaana fulani anampenda maana syo kwa maneno yake khaaaaaa
@RamazaniMulongeca
4 жыл бұрын
Zenna Kailo Kumbe unajua... akuna nyumba isiyoanza na msingi... 👏🙌
Nimejifunza salute to #Mwijaku_#Snura_#Millard_Ayo Interview Imeweza!
@ephraimrichard6701
4 жыл бұрын
Snura kama kaingia kwenye 18 mwijaku hatari😂😂😂😂😂😂
@hassankange1305
3 жыл бұрын
Chezea mwijaku wew ukijua maana sales man
@mucomwizaruqaiyah4064
4 жыл бұрын
Ma sha Allah iwe kheri 💕💕💕
@manbonge3015
4 жыл бұрын
Snura kama ume ingia box hahaha
@mozasaid3869
4 жыл бұрын
Dah! Snura umemuuliza swali zuri sana Mwijaku,!
@imanmohamed7632
2 жыл бұрын
MashaAllah TabarakkahAllah beautiful
@ysgtge8114
3 жыл бұрын
Rura nakupenda allah akupe mume bora amiin 😘😘❤
@ruthwatson1366
4 жыл бұрын
Mwijaku,,,,, sijui uko serious sijui mzaha. Mwijakuuuuuuuuu.........
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Hata cimwelew
@teddygabriel5662
4 жыл бұрын
Hata cimwelew
@hassanovajunior6972
4 жыл бұрын
Nilikuwa Nawazaga sana huyu Mwijaku anapataje watoto wakali asa leo ndio nimejuwa Mjuba ana Mistari Yakutoa nyoka Pangoni unataka mwanamke jasiri sana kuruka Mistari ya Bro Mwijaku👏👏😂😂😂😂😂
@ibrahtibah
4 жыл бұрын
Nomaaa
@adamkamaze9888
Жыл бұрын
Oh lo Lo
@josephlorri431
Күн бұрын
Anatumia vibaya mistari ya Qur'an.. kucheza na hisia za wanawake
Mungu Kuzidishie maisha mwijaku unanifuraishaga sana
@allytasi7291
4 жыл бұрын
Mwijako kama uko siliasi Allah akuongezee kaka
@fatumashaban7931
4 жыл бұрын
Mnajua pepo ni ndoa tu lakini mambo mabaya mnayoyafanya hamyaoni suna kuoa kumuomba mungu aah,mtuachie uchuro si tunamuomba Mungu atuondolee mabalaa yanayotufata hamyaoni mnatuletea uhuni wenu
@evancelyimo6764
4 жыл бұрын
Ashaliwa na baharia tayari!
@yusuphmohamed7329
4 жыл бұрын
Snurah kaa utafakari ukikubali ukubali kuingia kwenye ndoa kwaajili ya allah na sio vinginevyo"" mashaallah snurah kinywa chako tu ukikiongoza hivyo naamini utakuwa mke na cheo cha (mke wa mtu) utakitumia vzr
@AhmedSalah-ri3es
4 жыл бұрын
Hahahah asante sana mwijaku nimekuelewa
@africa7479
4 жыл бұрын
Mwijaku muogope mungu watu wanaokufa mashahid ni saba, vit vya kupigania dini ya Allah, kufa majini,kuangukiwa na ngema au ukuta,kufa kwa moto,kwa maradhi kam kipindupindu,wakati wa kujifungua,Na Allah ndo mjuzi zaidi.kwahyo mwijaku acha kuongeza mambo ya dini au kufanya mzaha au kuongea vitu usivyokua na elimu navyo kaka Allah akuongoze
@sharifaramadhani9072
4 жыл бұрын
Mwijaku a najua Sana kujielezea wallah snura stara ni nzuri umependeza
@zaytunhijja6771
4 жыл бұрын
Hahaaaa huna ujualo bora uyo mwinjaku
@hamudseif
4 жыл бұрын
Wanafanya mzaha ktk dini, Allah atuoneshe haqi
@bakarimngazija6672
4 жыл бұрын
Kutokgoza ni mbinu nawewe dada kama kweli maneno yako ni ya kweli basi stahanili Mungu atakupa alie bora katika maisha yako lakini kumbuka maisha ya ndowa ni safari ndefu.
@abdinooraliow1281
4 жыл бұрын
Allah Awajaalie muoane,In sha Allah
@ibrahimwerejuma4816
4 жыл бұрын
Kwa kweli mwijaku ni mwa Africa kamili nimemukubali kwa asilimia mia 💯
@farouqkatana7216
4 жыл бұрын
Mwijaku hatari mistari 🔥🔥🔥🏃♂️🏃♂️🤣🤣
@ruthwatson1366
4 жыл бұрын
Hii ndio sababu nasema tukiweke kiswahili chetu jameni. Kaka kasema msingi lakini akaona atuchanganye kidogo na lugha ya kizungu kaongezea FOUNDATION. Hapo ndio nikaona ako mchizi kiasi juu zote hizi ni kitu kimoja lakini mkitupiwa kizungu kidogo,,,,, mnamuona msomi. N'gooooooooo!!
@mohammed.alghurabaa9266
4 жыл бұрын
HAPO KWA KUFA SHAHID NI UWONGO MTUPU...LETA AYA AU HADITH
@faridadondo2103
2 жыл бұрын
Hongera snura siku hiz umebadilik saan maa shaa Allah umekuwa mwanamk wastar japo sio saan
@mtuwamungusethoskar8212
2 жыл бұрын
Snura ufafa nizi wako juu ya mtu mwenye hofu ya Mungu nimeupendasana.nimekupenda bure
@thierryt7689
4 жыл бұрын
Mashaallah Sanura umetisha Kwenye hii interview hongera...jamaa aleta story za foundation Na msingi😂😂😂😂
@tonythadei9608
4 жыл бұрын
Sanura na nani bri
@julianajacksoni4275
4 жыл бұрын
Mwijaku ana sound 😂😂😂😂
@jumakassim8718
2 жыл бұрын
Sanaaa tu
@Filmz639
4 жыл бұрын
Eti mke wangu akasema namtaka Snura😀😀😀😀😀😀😀
@bablematz1309
4 жыл бұрын
😄😄😄
@chachabeauty9780
4 жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀
@mahmoudmohamed344
4 жыл бұрын
I like it Wallahi.....Mwijaku uko juu kwisha ashaingiana....Ustadh upo wapi??
@edsonemmanuel8804
3 жыл бұрын
Duuuuh mwijaku hatar san 😍
@alantonio855
4 жыл бұрын
Mwijaku ni mzima saaaana
@mussaallyi647
Жыл бұрын
Umependeza nahilo vazi maashaalaah mungu akuzidishie ishaallah
@mnipammnipa6411
2 жыл бұрын
Mwijaku nakukubali sana bro😀😀😀
@saumsiraji9870
4 жыл бұрын
Mashaallah Snura kajifuniki vzr anamwonekano wa kiislam. Sasa yule mkeo mbona hajistiri na unasema unamlingania mambo ya ndini haa. Mvishe mkeo vazi la kiislam na uwedelee kumlingania ajue Wislamu ni nini.
@luvisa2472
4 жыл бұрын
Yule mke wake ni mkristo Kabadili tuu kwa tamaa ya maisha tuu
@anthonyjoseph4979
4 жыл бұрын
Snurah olewa tyuu na Mwijaku.. Acha Zako Wewe
@halimams2127
4 жыл бұрын
oaa mwijaku mungu.atafunguaa
@jumakassim8718
2 жыл бұрын
Mashaallah snura atakubali awe mkeo mwijaku
@tumakassim6286
4 жыл бұрын
Kweli Snura kapendeza,mashallah
@faizasaleh9783
4 жыл бұрын
huyu. mwanamume. hodari. sana. allha. akutimizie.
@allahakujazekheriwowww5694
4 жыл бұрын
Mwijaku na kukubali mashallah
@bittybitty2712
4 жыл бұрын
Snura saeziako wijaku kheri inshaa Allah
@mrsb.j283
4 жыл бұрын
Snura ni kama unanisemea mimi, hilo swali nataka sana kumuuliza huyo, mke wake apita akizunguka uchi
@jamilamanariyojamila1487
3 жыл бұрын
Mbavuzang 😍😍
@jumakuziwa8180
2 жыл бұрын
Huyo udevu shekhe mwijaku! Ndo unaofanya ujiamini sana kwenye kutongoza.
@galusikiliani6228
3 жыл бұрын
Nilichogundua mwijaku ana convince power
@mrsochu-hv7bm
4 жыл бұрын
Wallah mwijaku yupo sirias na snura anamtaka kwel jaman Msione masiara
@KMLotin
4 жыл бұрын
Ilikuaje hii lakini 🤣🤣🤣
@assumanimutabi8744
4 жыл бұрын
Mwijaku my friend
@maisarasid8670
2 жыл бұрын
Hapo mwijaku amepatikana na maswali hongera sana mama nsura
@omarisimba8864
4 жыл бұрын
Hahahahah braza mwijaku ni nyoooko wallahy...tayar kazi ameshamaliza hapoo😁😁
@joyanambuya3695
4 жыл бұрын
Mwijaku.ww umetisha😀😀😀😀
@user-xi1pi4zr3b
4 жыл бұрын
Hapo Snura kashakubal kitambo Maneno yamemuingia kwel ya mwijaku na ashamsahau yule kijana..Ila mwijaku fundi
@jessymalembeka6181
4 жыл бұрын
Hahahah walai mwijaku mwehu 😀😀😀😀😀
@user-fz4nb5th3y
Күн бұрын
Asalam Alaikum. Achana na media.
@khalidmwamwasi9415
4 жыл бұрын
Nakubali Mwijaku dini unayo pia tunajifunza
@user-ck3vv3go9t
Күн бұрын
Snura Dada angu kama kweli umerud kwa Allah bas kaaa mbali na vyombo vya habar yan media usikubali kuhojiwa hojiwa usikubali
@sabatoelia312
4 жыл бұрын
Mwangu mtafute season ya muendelezo mimi nahitaj kujua hadi mwisho...🏃♂️🏃♂️mtuletee huku mikoan.. huyu mwamba alinikera kipindi kile ila katika hili la mistari mwamba anavoko🚶♂️🚶♂️🚶♂️
@sheby9486
4 жыл бұрын
Dah wanaomuelewa mwijaku gonga like twenzetu
@tonythadei9608
4 жыл бұрын
Namkubari sana mwijaku kinoma
@mwarishmodsalum555
4 жыл бұрын
Snura umenifurahisha Sana bazazi mkubwa hana lolote mbabaifu anadhalilisha wanawake tu huyo wahovyo
@jumajay8496
4 жыл бұрын
Leo mwijaku amenimaliza snura kaingia ndani ya box kwa maneno matamu nimekubali.
@samiaismailmsabah8509
2 жыл бұрын
Allah awatimizie malengoyenu na niayenu
@festoaidan8955
4 жыл бұрын
Huyu fala Dem haruki aiseee 😂😂😂
@OmanCom-ky8tn
2 жыл бұрын
Mashaalah mwijaku
@halimaamini232
4 жыл бұрын
Mmhhh mwijaku weeeeeh.......namm namashaka km mtangazaji
@mohafadhili4464
Жыл бұрын
Snura katongozwa way oyooooo mwijaku chukua tano👊👊👊
@salimmwadachi2979
2 жыл бұрын
Hongela bwana kakamwijaku
@faradaykanylugha9271
4 жыл бұрын
Mwijaku we nomaaa!!!!!!!🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@hamadshein8272
4 жыл бұрын
MENINA AIRTIME.
@hamispeter9043
4 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@KUTOKA-ep2fk
4 жыл бұрын
Msingi ni kiswahili msingi kwa kinge ni Foundation!
@lestermtweve5990
4 жыл бұрын
Lina sound kixenge
@suleimankaafimuhammad8909
4 жыл бұрын
😃😃🤪🤪😃😃😃😃😃😃😃 i like this guy mwijaku sana 😂😂😂😂😂
@joerosay
4 жыл бұрын
mwijaku wewe pepo huwezi kuiona coz ww ni mzinzi sana nashangaa watu wanachekelea hiki unachokifanya hapa...we ni mpumbavu sana
Пікірлер: 566