Millard AYO fanya kutembea na raisi anapo enda uturushie habari mana hizi za TBC zinazingua sanaaa
@jonasbrother8846
5 жыл бұрын
Kama unampenda Raisi Magufulii weka like yako
@sylvesternzowa8458
5 жыл бұрын
Jamani tuacheni masihara, GEREZANI sio sehem salama...... Japokuwa hatujui kesho yetu, tumwombe sana Mungu wetu atuepushie kikombe hiko kwa wale ambao hatujaonja huko.
@bobushivo6182
5 жыл бұрын
Yani kaka acha tyuu maisha haya akuna sehemu yanye usalama bora njee kuliko ndan maan dah
@angelmacha6510
3 жыл бұрын
Inatia uchungu xn huy rais cy binadam ni malaika sijawai ona binadam kama huyu
@bangilisamuel6626
3 жыл бұрын
Duuuuuh!
@evajohn7001
5 жыл бұрын
Ni heri ninyi maokutwa na hatia na kujisahihisha mbele za mungu kuliko sisi tunaojiona tuko sahihi mbele za mungu na jamii lakini hapa ndipo pa kujifunzia .mungu tusamehe na ulirehemu taifa letu.
@reggansifael9827
5 жыл бұрын
siwezi kuamini kama kiongozi anaweza fanya hivi 🙏🙏🙏🙏🙏 mungu akutangulie sana aya maisha ni yaaa ajabu no one know tomorrow
@judithiwakaroyo8694
5 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Raisi wetu ila uyo Askari aloambiwa amekusanya cm simuamini na kweli ana kiburi mno ukweli ukimuacha apo anaweza akawazuru ao wafungwa
@upendonzei9475
5 жыл бұрын
Mungu akubaliki laisi wetu
@m.amanitv8534
5 жыл бұрын
JUDITHI WA KAROYO Mimi natamani Rais angeondoka nae tu
@edwingwesso129
5 жыл бұрын
Tulio muhurumia Alie tumikia mika40
@robartalembe9909
5 жыл бұрын
Askari kaongea vzr sana katetea kotekote jaman ningeliomba yule babu aachiwe jaman kakaa jela miaka 40 na anasema anaishi na wenzake vzr tu jaman
@aminaibrahim8106
5 жыл бұрын
Maskini...wamwache huru ,mbaka kashindwa kuongea kwa machungu , kama una machungu kama yangu ngonga like
@korogwetanga810
5 жыл бұрын
MashaAllah sijapata kuona Raisi wa wanyonge kama huyu Allah Azidi kukuongoza baba wa wengi mtetezi wa wawanyonge
@siasatanzania1193
5 жыл бұрын
Mariamu Saidi wewe ndio mnyonge fala ww
@aminafesali5817
5 жыл бұрын
Nikweli kabsa si wingine walio pita
@angelalphonce2962
5 жыл бұрын
Kama umetoa machozi like yako hapa
@georgerwebangira1129
5 жыл бұрын
TBC mitambo yenu mbona unazingua kukatakata
@annaallex3996
5 жыл бұрын
Inauma sana
@rahmaally6014
5 жыл бұрын
Kweli wanaokwenda jela sio wote wanahatia
@mwanaidmohamed3880
5 жыл бұрын
Nimelia kwel inaumiza
@nadhifajuma6485
5 жыл бұрын
Angel Alphonce !!!
@christinewomanoffaith5479
5 жыл бұрын
Wale waombaji,jamani Tunatakiwa kuomba sn ili Mungu aingilie kati hawa wafungwa waliosingiziwa watoke gerezani! Roho imeniuma sn,yaani mtu unamsigizia mwenzio kesi ili ww upate nn!
@mohammedabdallah6390
5 жыл бұрын
Mungu akubariki mheshimiwa Rais wewe ni Rais wa wanyonge ubarikiwe
@abdalahfarida2074
5 жыл бұрын
Wafugwa wengine wamefugwa kwa makosa ya kisiasa yaliyosababishwa na Magufuli. Leo anataka tumuone ni mwema sana kwa sababu uchaguzi unakaribia. Rais wa wanyonge anaeteka watu, anaepiga watu, anaeua watu. Tutajua kuwa ni wa wanyonge 2020.
@ramadhanaldawiyya8659
5 жыл бұрын
Hongera RAIS wetu mpendwa#ramadhan aldawiyya#
@pinahoscar6735
5 жыл бұрын
@ABDALAH FARIDA umeona ehee anafanya haya kwa kuwa anaona uchaguz unakaribia fyuuu zake
@iddimkandalasi543
3 жыл бұрын
Rais wetu wasaidie wazee hao warud nyumbani
@elizabethmabula101
5 жыл бұрын
Choose magufuli.
@gitu4me
5 жыл бұрын
Karikenya nyamboge mfungwa wa mwika 30 napenda kumsikia kweli anaongea kwa uchungu Huyu ni mtu wa msoma
@irenesese6968
5 жыл бұрын
mh Saut jaman inakera mitambo mibovu
@judithmichael5155
5 жыл бұрын
Kwa kweli kalikenye anaogopa kuchomwa sindano ya sumu mpaka analia mweeeee
@gitu4me
5 жыл бұрын
@@judithmichael5155 haha 😂 Anaongea kweli
@denismugendi1034
5 жыл бұрын
John maguli ,Raihisi mwenye roho ya utu kweli , amna mwingine kama huyu katika Africa nzima.
@hafidhhemed1514
3 жыл бұрын
Asee umeongea kinyume chake
@amandusmark3060
5 жыл бұрын
Kuna Askari Kaongea Mambo ya Msingi sana Apo kwa Faida ya Wengi.,
@winniepeter2908
5 жыл бұрын
Nimempenda hajabagua kawaongelea wafungwa pia wamejiongelea wao na nchi kwa ujumla
@hobokelamwakajuja4174
5 жыл бұрын
Sana
@robartalembe9909
5 жыл бұрын
Kabisa kaongea vzr sana
@najmajamali7529
5 жыл бұрын
Dah kweli mweshimiwa una rooho zury kuwa kuwakumbuka hao mung akutangulie milele ameen
@chupeewatta
5 жыл бұрын
Watching in Czech Republic.. Tanzania you got a good president..am proud of him.am a Kenyan... @uhuru Kenyatta I hope you watching this..
@johnvictory4420
5 жыл бұрын
chupeewatta oooh am in Prague
@chupeewatta
5 жыл бұрын
@@johnvictory4420 watta Watts @fb
@kassimkassim5013
5 жыл бұрын
hongera muheshimiwa rais kwa kuwa saidia wafungwa wa butimba mungu akubarikisaana minakupenda saana muheshimiwa
@promisjohnson3382
5 жыл бұрын
Tunae rais jamani Mungu amtie nguvu nikazingumu hii, Du!
@jacksonzakayo7276
5 жыл бұрын
Mungu mbariki raisi wetu mpendwa mlinde umtunze umtegemeze kwa uweza wako aaamen.
@samhansie3964
5 жыл бұрын
Mungu akubaliki baba magufuli wewe ni baba wawanyonge💪💪💪
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
Baba nachoweza kusema Mwenyenzi Mungu Baba azidi kukupa afya njema
@husseinvuai783
5 жыл бұрын
I love Jesus
@waukweelinikkon6555
5 жыл бұрын
Roho inaniuma mimi kuona Watu wamedhulumiwa maisha yao daaah,Yaani wako magerezani lkn hawana hatia mweeh,Rais wetu ubarikiwe Hata Kwa kuwakumbuka hao wafungwa
@mpondaahamida2146
5 жыл бұрын
Mjengo wa magogoni awamu hii umepata mtu sahihi kwann watanzania tusiamuwe akabaki tu mzee Magu. Hata kufanya uchaguzi naona nikuaribu fedha tu.
@gadiabdallah2033
3 жыл бұрын
Iwe kama Museveni siyo
@rehemashafi4809
5 жыл бұрын
Dah raisi wetu unapomoyo wakipekee sana hongera sana muheshimiwa
@emmansabu9300
5 жыл бұрын
God bless you Mr. President
@rahmaally6014
5 жыл бұрын
Ameeeeeen
@munguaibarikitanzanianawat9254
5 жыл бұрын
Mueshimiwa mimi napenda sana kazi yako mashallaha mungu akujaliya afya na mawakni ushinde
@faizislam2378
5 жыл бұрын
Kama unamkubali huyo albino gonga like.huyu ondoka nae
@sylvesternzowa8458
5 жыл бұрын
............atanidhuru mkuuu, atanichoma sindano ya sumu.
@mwanaidmohamed3880
5 жыл бұрын
Nimelia kweli inaumiza
@faizislam2378
5 жыл бұрын
@@mwanaidmohamed3880 yaa kwelii.wafungwa wanaumia sana
@pendomariki6562
5 жыл бұрын
Tbc mnafeli wapi ndo television ya taifa hii kweli ina virus hii
@cadabra7402
5 жыл бұрын
Pendo Mariki hahahhahhhah ina virus
@mimaakenirram1405
5 жыл бұрын
Amen lnshallha mungu akulinde akupe afya njema rais wetu me sijawai kukuchukia ata sikumoja nakupenda rais wangu hira huyo police anaonekana kibuli usimuache apo eti anamshukuru kamuhinuwa
@ndabarinzesamuel9333
5 жыл бұрын
Mungu akuzidishie baraka mheshimiwa raisi wa Tanzania, DR CONGO Itapata magufuli lini? Si Mungu akutume kutawala CONGO..?
@mariammichael9773
5 жыл бұрын
Aiseeeee, kwa mwendo huu wanyonge wote lazima tutapa haki yetu..
@ibnually7428
5 жыл бұрын
Wajidanganya
@rehemashafi4809
5 жыл бұрын
Jmn tz kuna uonevu san aiseeh wakubwa wanakula pesa wanaenda jela wasiokua na hatiA jmn dah poleni sana 😭😭
@upendowakwelinaamani1060
5 жыл бұрын
Kazi nzuri unafanya mh' prezida japo tumewaskia wafungwa ndio wangine wanabambikiw kesi ni kweli kabisa lakin ningeomba na huyo askari aliingia km mwl na ss ana bachelor anataka kwenda masters uchukue maelezo yake kwan yana umuhimu sana kwa hiyo idara ya magereza inasahaulika sana vitendea kaz hawana.
@dr.sarahbusongo
5 жыл бұрын
Hakuna watu wanaomba Kama wafungwaa gerezani... Watu wanaokokagaa ukweli.... Mungu akusaidia baba Yetu... Viva JPM
@zeramakas8917
5 жыл бұрын
Nakupenda sana rais wangu Magufuli mtetezi wa wanyonge endelea na moyo huohuo rais wetu
@sussansussi218
5 жыл бұрын
I sarute you president mangufuri mungu akupe maisha marefu kwa kutemberea wanyonge nimetoka kenya
@nataemsuya
5 жыл бұрын
Tanzania kuna dhulma nyingi sana.Mijitu inaroho mbaya kuliko sura zao.Watu wengi wamedhulumiwa ,wako jela kimakosa.Ukiwa mnyonge huna pesa Africa sio mahali pakuishi.Askari wajeur, madaktar ni shiiida...Namuomba mungu awaalaani wote wanaodhulumu wanyonge(watoto, wanawake, vikongwe,wafungwa).
@kacheali4777
5 жыл бұрын
Kweli dada had nimelia ,kenya pia mambo n haya..mungu awatete wanyonge
@suleimanzomokela2404
5 жыл бұрын
Aamin
@iddimkandalasi543
3 жыл бұрын
Huyo askari anafaa kwa kazi ila huyo bid aliowanyang 'anya simu atolewe kaz tena afungwe maana mwizi
@safyal9547
5 жыл бұрын
Sijawai kuona rais kama ancle magu ni rais mwenye uluma sana kama unamkubal magu gonga like
@ayubuandrew7288
5 жыл бұрын
tbc wanazingua wanakata Kata Sauti Maksudi Kama unakubaliana .na Mimi weka like hawatak Tuujue ukwel
@christophermbunda2172
5 жыл бұрын
TBC mnakwama wapi jamani mbona video sauti inakwama sana?
@samuelamos9463
5 жыл бұрын
Hata video yenyewe haionekani
@user-dg8qe9rf9h
5 жыл бұрын
Hahaha mi nilijua simu yangu mbovu
@salumanadsalumanad5900
5 жыл бұрын
kesi za mauwaji kila mfungwa kauwa apo panatisha magufuri umakini unaitajika
MUNGU akusaidie RAIS wangu nakupenda Sana nakuombea... Sana. ulindwe. BABA kweli TZ MUNGU katukumbuka...
@aminamfaume4244
5 жыл бұрын
Ama kweli nimejikuta nalia ...kwel dunia inamapinduzi
@abdullahiwarsame6620
5 жыл бұрын
Tanzania never vote for anyone other than magufuli.... the best african president.... long live africa
@deborahdeborah8198
5 жыл бұрын
Jamani huyo albino kanitoa machozi msaidie huyo jamaa raisi wetu
@pinahoscar6735
5 жыл бұрын
Aiseee mpaka nimelia yan kumbe sisi tupo tunaenjoy maisha kuna wenzetu wanateseka jamani😭😭😭😧
@apiahkimweri3611
5 жыл бұрын
Wasaidie hao wafungw magufuli president
@elizabethjapan2691
5 жыл бұрын
Miguu haifanyi kazi, ila vitu vingine vinafanya kazi,,,magufuli oyeeeeee
@emmanuelnjelekela6299
5 жыл бұрын
huyo afande kazungumza kwa niaba ya jesh magereza anafaa sana !!! Ila hii ya mahakama na Askari kubambikia watu kes Ni mbaya sana!!!
@vincentsikalo6255
3 жыл бұрын
Kaa unataza 2020 gonga like
@evajohn7001
5 жыл бұрын
maisha marefu kwako raisi wangu mungu wangu akuzidishie.
@jonasbrother8846
5 жыл бұрын
Nakupenda Raisi wangu..
@ramadbanihamis1055
3 жыл бұрын
Emwenyezi mungu mwingi wa rehema mwenye kurehem nakuomba Mimi mjawako kwaulimi wangu mwenyewe bilaya kulazimisha nakuomba wasaidie nduguzetu watanzania wenzetu wasio na makosa walio ingia gerezani kwa matakwa ya watu wenye nguvu ya kifedha wapunguziwe vifungo vyao ikiwezekana waachiliwe kabisa ya Allah says sisi sote nawafungwa watarajiwa na tunakuomba Kwa moyo mmoja
@tirasteras106
5 жыл бұрын
Mungu akujalie afya njema na maisha malefu@@ Na wafugwa kwa mahabusu mungu awajalie afya njema ,,na mungu atawatetea Amen.
@aishaelias3867
5 жыл бұрын
Jamani wacha nicheke albino jasiri sana 😂😂😂😂”ondoka nae “😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔
@ericklaiton2763
5 жыл бұрын
Wahaya bana unaambiwa toa kero za jumla we unaanza kujisifu kuwa had akna gwajima wanakufaham duuu
@jasminekonga6042
5 жыл бұрын
Erick Laiton hahahahaaaaaa
@elyasam1462
5 жыл бұрын
Erick Laiton nakuambia no noma
@linahgoodluck4202
5 жыл бұрын
Ahahahahahahahahaha kumbe yule alikuw muhaya duh
@princesssalmahtz4531
5 жыл бұрын
Huyu albino anatia huruma😭😭😭
@chalababy1317
5 жыл бұрын
Hakuna raisi km magufuli...........magufuli oyeeeeeeeeee
@gilbartwilliam6930
5 жыл бұрын
wangapi wamesikia askari akisema raisi amekuja kumuinua 😂 😂 😂
@linetgreen1861
3 жыл бұрын
Haaaaa nimesikia hata magufuli kashanga kamwambia kuwa Anakiburi sana haaa jameni
@tamarsolomon1412
5 жыл бұрын
Ni jambo zuri sana alilolifanya raisi kwa kuwakumbuka wafungwa pia. Ila hii video daaah!!, sijui shida ipo TBC au kwa Millard Ayo.
@linahgoodluck4202
5 жыл бұрын
Mungu asnte kwa Yule pastor Alie omba ili msilizwe natumain rais atafanyia kazi maombi yenu polen san mungu ni mwema mtatoka mtakuwa huru.
@sarahsarita8345
5 жыл бұрын
Mungu mlinde rais huyu wawanyonge kwani umekua mtetezi sana. tunakuombea kila iitwapo leo haya unayoyafanya hapa duniani utayakuta mbinguni.
@linahgoodluck4202
5 жыл бұрын
sarah sarita ameeeen
@mamageorge469
5 жыл бұрын
najikuta machoZi yananitoka kumbe walio gerezani wengine hawana hatia
@zennakailo8106
5 жыл бұрын
Kiukwel inauma Sana 😭😭 Daaaaa ila #Magufuri mtetezi wa wanyonge 🙏🙏🙏👏
@zuleyvendor6577
5 жыл бұрын
TBC ndio TV ya taifa lol.... Mbona mnatia aibu what's happen 😵
@husseinmikulu6291
5 жыл бұрын
Nampongeza Mhe. RAISI kwa tukio hilo, ni vigumu kugundua kila jambo kwa kuletewa taarifa, taarifa nzuri ni ile ambayo unayoipokea mwenyew.
@ramadhanimpapalika7131
5 жыл бұрын
KAMA DARASANI??? Baba Mzee Magu madarasani tuna kazi mzee hiyo ni zaidi ya hapo afu pata picha ni Kila siku kwa mwaka.... Tukumbuke mheshimiwa mwalimu mwenzetu
Kwa haya Mungu akubariki mheshimiwa Raisi, kuna wafungwa wananyanyasika mno.
@saumuabdi5954
5 жыл бұрын
Mtetezi wawanyonge hongera baba magufuli hakuna mfano kama wewe
@iddimkandalasi543
3 жыл бұрын
Asiyumbe aongee ukweli asimpende msomari
@deborahdeborah8198
5 жыл бұрын
Jamani mbona kila mtu anasema kasingiziwa raisi wetu wasaidie hawa watu
@lauramichael1698
5 жыл бұрын
Uyu baba wa miaka 40 jela amenifanya nilie
@sarahhalfani4472
5 жыл бұрын
Hata usilie, yeye kwann amuue mke wake, tena nyumban kwake
@rossellabint3682
5 жыл бұрын
Mm nachekaa ata hajui kujieleza acha aozee jela,, jela amenenepa kichwa😆😆
@agnessjoshua7042
5 жыл бұрын
@@sarahhalfani4472 dada makosa wote tunafanya lakini hukum yake huyo sio ya mchezo yaani miaka Arobaini hata mimi sujafika lakin mzee yeye yupo jera tu. Naamn ameshahifunza na hawezi kufanya mauaji tena hivyo angepata neema hata yakumalizia miaka yake uraini lakin basi
@mackjr5291
5 жыл бұрын
kazi nzuri sana mkuu, unafanya vizuri sana
@manyotaskipper5765
5 жыл бұрын
Mwambien Mbowe 2020 hana nafasi MAGUFULI WE ARE STILL NEED TO RULE OUR COUNTRY
@mpondaahamida2146
5 жыл бұрын
Hii ni tamu kuliko duh mbowe tupa jalalani.
@adenihalisi4218
5 жыл бұрын
Huyu askari wa magereza wa pili alipoongea ana sauti kama ya kikwete
@maulidmnukwa3171
5 жыл бұрын
Umetisha mwanangu
@abdulhafidhuqassim2481
3 жыл бұрын
Tbc inazingua
@superwomen6506
5 жыл бұрын
Huruma kwa huyo mzee aliyekaa 40 Mungu amtete
@sophiakolimba9217
5 жыл бұрын
Super Women nimeumia mno Mungu amtoe nimelia sana
@samwelkinunui5123
5 жыл бұрын
Mweshimiwa kiukweli wewe ni kama nabiii namuomba mungu akutagulie na akupe uwapesi wa kazi jitahidi kufika mpaka kijijini nako kunamatatizo mengi nako wanahitaji msaada wako
@joyjilien5432
4 жыл бұрын
Yaani roho imeniuma sana,nimelia hadi nimechoka mungu amsaidie atoke humo jela jamaniiii maghufuli muonee huruma mzee hawezi kuongea tena mmmmmm
@ayunramadhan3104
5 жыл бұрын
C kila aliopo gerezan ni mkosaji bali husingiziwa
@gracetiampati2170
4 жыл бұрын
Millard Ayo heri agelikua ndie mwenye TV ya kuchukua habari za Rais. Millard Ayo TV Ni hoyee👍👍👍👍
@Amani715
5 жыл бұрын
TBC you need to work on your streaming, it’s ver very poor😡
@ilovejesus9303
5 жыл бұрын
Yaani vitu vya taifa jmn aibu. Sijui kwa nini wasibadilike
@magrethrimoy7855
5 жыл бұрын
Ndelly Jonas yaaaaniii boring
@beatricekamengekamenge5543
5 жыл бұрын
Wameniboa kweli hawa tbc
@amiriramadhan7753
5 жыл бұрын
Na hii ni radio ya taifa iko namna hii daah sopoa kabisa
@kassimrajabu7805
5 жыл бұрын
True say kwakweli
@jojoekiza5400
5 жыл бұрын
Kweli Tanzania muna Rais mzuri sana gereza zingine za majirani wameozea ndani.
@felisterjameskulumba8127
5 жыл бұрын
Mungu awe pamoja nawe siku zote za utumishi wako Mh.Rais Magufuli
@emmanuelema2299
5 жыл бұрын
Mungu mwema
@mpesmail1834
2 жыл бұрын
JPM was the most unique president and peoples peoples leader #1 in the world. No one can get close to him. RIP my dear.
@abdallmussir3849
5 жыл бұрын
yaan TBC mnaboa sana bora musiweke kitu
@elizabethmwenyaofficial
3 жыл бұрын
Mimi ni mkongo lakini naliya sana ju ya hawa ndugu zetu 😭😭😭 yeye ni baba wa wanyonge 🙏
@paulsaul8219
5 жыл бұрын
kiukweli inauma sana Tanzania yetu ni ubabaishaji tu pongezi kwa raisi wa wanyonge
@manjalejuniorofficial4296
5 жыл бұрын
KWA MARA YA KWANZA KUSIKIA RAISI AMEKWENDA KUMHOJI MFUNGWA MAGUFULI NI JEMBE
@nessa4899
5 жыл бұрын
😭😭😭😭😭Mungu mwenye huruma wasaidie watu wako wanao onewa, eeh Yesu.😭😭😭😭
@rukhaiyharoun2117
5 жыл бұрын
Saiwiii
@saidikambimbaya6739
5 жыл бұрын
uende na kwa wanawake nao wana meng tu yanayowasibu.
@agnesmkanga5009
5 жыл бұрын
Huko tena!!ni balaa
@munnawwaryaqoob3414
5 жыл бұрын
Haya yote nimaisha ipo siku yatapita,nimeukumbuka huu wimbo wallah poleni sana wafungwa
@agnesmkanga5009
5 жыл бұрын
Jmn,hawa watu wakikaa ndani humo wanapoteza ht uwezo wa kujieleza maskini,wasaidiwe tu,mtu anasema yeye amepewa kesi ya kujamiiana
@rosembwambo3026
5 жыл бұрын
Hahahahhahah Mungu awasaidie jamani
@rosembwambo3026
5 жыл бұрын
Mungu awasaidie
@abbasbakary3491
2 жыл бұрын
Miss you maguful
@munaroza1994
5 жыл бұрын
Allah mpe maisha marefu RAIS wetu jamani
@ashritaabdallah6474
5 жыл бұрын
Mhe na mashekh wetu
@samsonmajebele4976
5 жыл бұрын
Good presider hongera
@josephchala4483
5 жыл бұрын
TBC nimewapa like ya dole kichwa chini mjipange rais wa wanyonge tupo pa moja Na wewe mungu azidi kukukumbusha Yote ukapate kugusa kila sector
@emmanuelmollel3008
5 жыл бұрын
president is a chief in confort..pw xna ankooo
@wahidawahida6675
5 жыл бұрын
Magereza inakosa gari ya wagonjwa dahhj viongozi mpo tu mpaka baba magufuri apite dahhh pole rais kwa ugumu unaoupitia
@benjaminchilemba5950
5 жыл бұрын
President Magufuri daima nitakuombea wwe nimtetezi wa wanyonge, 🙏
Пікірлер: 537