Kama cmba watakatwa point 6 TFF nawo wafungiwe CAF au FIFA Kwa kumruhusu kucheza simba au wahukumiwe Kwa kupokea taarifa za uamisho wa kagoma kucheza simba
@hgmtz8997
8 күн бұрын
TFF Wafungiwe tufukungiwe tukose sifa za kucheza CAF CHAMPION NA FEDERESHEN
@suleimanmwenyemvua995
8 күн бұрын
Maofisa waliohusika ndiyo watafukuzwa kazi na simba waking'ang'ania watashusha daraja kosa ni simba kumsajili mchezaji wa Yanga Kwani Kagoma tayari ashasajiliwa😂😂😂
@issaalfani1030
8 күн бұрын
TFF kwenye hili wanahusika wapi TFF wanapelekewa tarifa mlizo malizana hukooo unawahusishaje TFF
@otmarykiowi4132
8 күн бұрын
@@suleimanmwenyemvua995Simba wamemtoa Kagoma Singida sio Yanga, na Singida wametoa barua ya kumruhusu kuondoka kwenda Simba. Kwa hiyo mtuhumiwa wa kwanza ni Singida, ilikuwaje wamuuze mchezaji mara mbili? Na kwa kuwa Simba ana release letter na lesseni kutoka TFF ndyo walipata uhalali wa kumtumia. Kosa la Simba ni lipi?
@EmmanuelRomanusMvange
8 күн бұрын
Wanyang'anywe TFF
@zainabsimbamtoro6790
7 күн бұрын
Usikebehi Watu Punguza Tumbu ufunge shati vizuri Nawee chizi hujiangalii Acha kujijununi
@lazarojassely4178
8 күн бұрын
TFF ni simba mara Nyingi hawawezi kuadhibu Simba ingekuwa Yanga mauza uza yote hayo ingepewa adhabu Nyingi sana
@rehemanzige3514
8 күн бұрын
Lini walipewa adhabu acha uongo
@MrishoMindu-zq7mz
8 күн бұрын
@@rehemanzige3514Watu wa mikoani hao wameshalima sasa wame pumzika chini ya miti ana Comment matap tap. Hana anacho kifaham chizi huyo.
@desolz3809
8 күн бұрын
😂😂😂 ila nyuma mwiko vilaza kweli kweli
@HussenMadimbwala
8 күн бұрын
Uko vizuri sana
@florentinigawday1094
8 күн бұрын
Uko vizuri mchambuzi wetu
@JosephJumbe-w6h
8 күн бұрын
Sheria ni msumeno hakuna sualla la huruma
@bennieoswald8140
8 күн бұрын
Miaka 15 yanga bingwa ukiona simba bingwa yanga haipo vizuri😂😂
@Omarimakuka
7 күн бұрын
Hajazuiwa popote
@muhidinally3753
7 күн бұрын
Tatizo Yanga mwaka huu hawajiamini. Maana kila wakiona Simba hii wanataka waitoe kwenye reli
@jaylosalphonce9659
7 күн бұрын
Ww akapimwe akili umekadwa mara 3 mfurulizo bado unajifaliji.
@tinashemachemedze2690
3 күн бұрын
Kwa kipi sasa??
@ndoanirahaonlinetv5031
8 күн бұрын
Hamna mchambuzi hapo .
@noorbazaar9063
8 күн бұрын
Umefika angalau darasa la saba?
@IddyyFumbwe
7 күн бұрын
WE KOLO ALYEKULOGA KESHAKUFA, KWA TIMU IPI MLIYONAYO, C ELSASII ALIWAOKOA NA KICHAPO CHA 5 AU 4, MWEZI WA KUMI C MBALI TUOMBE UZIMA.
@KhamisAlawi-n1k
5 күн бұрын
Kelele za mlango hazimnyimi usingizi mwenye nyumba, Simba ni mwenye nyumba, otopwinyo zao wao ni kelele tu na kiherehere🤣🤣🤣🤣
@MohammedJaizan-yf5yt
8 күн бұрын
Mwandishi unalazimisha Simba kuwa kwenye makosa. Na wewe pia ukitaka kuwa Bora lazma uwe na mipaka yako ya ushabik wako wa uto na fani yako
@IddyyFumbwe
7 күн бұрын
UNAJIZIMA DATA, KOLO KOSA MNALO KWA NINI WAMCHEZESHE MCHEZAJI SKIWA NA PINGAMIZI KWENYE KAMATI ILHALI SHAURI LAKE HALIJAISHA?
@mohamedikassimu7016
8 күн бұрын
Kaka ww ni mtu na Nusu Hakika nmejifunza mengi sana
@OlivaMHANDO
8 күн бұрын
Ila simba bwana bado mazuzu, ko kira muntu anajuwa kagoma kasaini mara mbili,, ila nyietu ndo hamjuwi, hamuoni kosa,kweri nyie mazwazwa , yani tuombe msada wa kutibu masikiyo yenu, mana hata wangeongea nini hamuwezi ku elewa wara kusikiliza hoja,.
@WakiliAbasi
8 күн бұрын
ilo shati vip
@jumannemsengi2195
8 күн бұрын
Ww unakaje avae gunia😂😂
@Kambi-c1w
8 күн бұрын
Kakwambia nani kama kagoma amezuliwa kucheza we usiwangope watu
@kmaniissa1617
8 күн бұрын
Jishikilie endelea kuropoka kwamba nani kishoka
@WestonMbuba-ff4jk
8 күн бұрын
Maelezo meeengi!
@sulemanmagesa2181
8 күн бұрын
Utopolo! Kila Mtu anatamaa ya Fedha.
@othumanally4529
8 күн бұрын
Nadhani unajidanganya Yanga wanachodai ni haki yake dhidi ya huyo kagoma maana alishachukua mzigo, so Yanga hawana haja kabisa na pointi za simba na wala huyo kagoma. Hivi kagoma pale yanga atacheza kweli ? Mwaka huu Yanga atakuwa bingwa take msitake.....we subiri tu uone.
@DenisSanga-bj5ud
8 күн бұрын
Mkalaboko unaukweli mchungu
@user-ri8wz1jr8g
8 күн бұрын
Mchambuzi shati dogo na fikira ndogo
@lotimwansule5017
8 күн бұрын
Mwakalobo hauna lolote ,kagoma ariruhusiwa na bodi ya Ligi ,kucheza pia realize letter nani alitoa mpaka akacheza Ligi ,hizo point 6 hazikatwi
@rajabumwarabu9092
8 күн бұрын
Nyuma mwiko walishajuwa kuwa msimu huu hawatoboi wameanza kucheza na TFF@mara wanyang'anye point mara wachezaji wazuiliwe
@sangareanthony2061
8 күн бұрын
vibudu fc mchezeshe wachezaji wenye migogoro ya usajili afu mseme kuna mtu anataka kuwapoka point...NYAMBIGIS.
@user-fd1kv7zm4s
8 күн бұрын
Ndio mnavyojidanganya subir mwisho wa msimu nitafut nikup mauwa yk
@kissanjulumi-vt3yl
8 күн бұрын
😮😮@@sangareanthony2061
@JumaHUssi
8 күн бұрын
wewe unajidanganya. wachezaji 4 wote wa makolo fc na wote ni wazawa. makolo mnaanza kutafuta pakutokea, na mwaka huu bado hampati ubingwa, nafasi yenu watatu.
@AbdallahShekhan-qx3kp
8 күн бұрын
Mnajipa moyo wakati Yanga wameshawgonga na mtaendelea kugongwa mpaka mseme poo Yanga level nyingine
@laninjeje8290
8 күн бұрын
Kagoma amecheza mechi moja tu, hizo point 6 zinatoka wapi??
@user-nz2rw7sj9i
8 күн бұрын
Endapo alikuwa katika kikosi Cha akiba mechi( benchi) hata kama hakuingia uwanjani ameshiriki Hivyo point 6 sita zinaondoka.
@laninjeje8290
8 күн бұрын
@@user-nz2rw7sj9i kwahiyo wewe ulimuona kwenye bench mechi zote mbili za ligi kuu??
@user-bb8de4bl5n
5 күн бұрын
Yanga huyu hala lolote moyo umejaa uchungu sio swala la kulikomalia jamaa mishipa imemsimama
@HABIBHASSAN-wf5mr
8 күн бұрын
KWA TFF HII SHERIA ZA MPIRA ZINAWEZA KUTUMIKA INAPOKUJA SUALA LINAIHUSU SIMBA ? KWA TFF HII YA KINA KARIA ?
@user-op7vm9mr3z
8 күн бұрын
Mchambuzi hovyo huyu maneno meeeeengi nje ya mada. Unadhani unazungumza na viraza hapa. Ungekuwa mwanafunzi wangu unesap hadi ukome
Пікірлер: 53