Mheshimiwa Mpina sheria imebadilika imekaa chin ya cheo kiongoz sio juu pole mheshimiwa mungu ni mwema kila wakat
@michaelshegwando9125
3 ай бұрын
Mungu aendelee kukupa nguvu na hekima... Hakika utasimamiwa na Mungu
@humphreymkony8915
3 ай бұрын
Wala usijieleze sana Mhe Mpina. Wenye akili wanajua kinachoendelea ktk ufisadi wizi kuhujumu kunakofanywa na viongozi wanaojiita wasomi.
@EmmanuelJailos-pe3du
3 ай бұрын
Mpina usichokijua bunge letu la Sasa ni la ccm! Na ccm ni chama kinachowachukia watu waadilifu ni chama kinachotetea ufisadi.Ukifichua maovu wewe ni adui wa chama na bunge sababu bunge Hilo lipo kwaajili ya kutetea uovu na kujitajilisha wao binafsi Hawa uchungu na maisha ya watanzani.
@Yussuf-b3b
3 ай бұрын
Ndio maana mimi huwa sianglii bunge letu la TANZANIA, KWASABABU HILO BUNGE KWASASA SIO BUNGE NI KIKAO CHA CHAMA CHA MAPINDUZI,, ,KILA KITU USEME NDIO NDIO HUKUSEMA NDIO WEWE NI MSALITI
@qonquererqanquerer1781
3 ай бұрын
Sahihi Kabisa.
@mchunguliechibwa198
3 ай бұрын
Ndio mjue nyie chawa,ccm hina wenyewe tena wanatoka familia bora sio nyie maskini tu,chawa..Well done comrade Mpina..safi sana kuwapa mahua yao Mh Samuel Sitta and Anna ...
@simonnaivasha6393
3 ай бұрын
Hongera Mpina ! Hata kanuni wazotunga wabunge wetu hawazijui hata spika, kumbe ndiyo maana mwanafun,I we fani ya😊 shule sheria shetia wafail😊ing wa mitihani waalimu eweinyewae
Tulishasema wakiwamaliza wapinzani watarudiana hivyo Mpina ni mwanzo wengine watafuata kutolewa sadaka au kafara
@damaswikoko2596
3 ай бұрын
Mpina uko vizuri sana
@minazsaid2470
3 ай бұрын
Mpina mungu akusimamie 👏👏
@nicholaskileka1160
3 ай бұрын
Mpina Mungu akutangulie karika kutekeleza majukumu yako. Mungu anawaona hao wenye nia ovu
@matiredms917
3 ай бұрын
Jamani tuache kila kitu kwa Mungu. Mungu mwenyewe anasema"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Maarifa yenyewe tayari yamewekwa kwenye Ibara ya Nane(8) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambacho kina toa Mamlaka yote ya Nchi kwa Wananchi na wala si kwa Rais. Sisi Wananchi tunashindwa kutumia madaraka haya lakini tumeshindwa na sasa tunamwachia Mungu. Watanzania tuwaige wenzetu wa Kenya. Tuchukue na kutekeleza Mamlaka yetu kikatiba kuwawajibisha Watawala na Bunge vyombo ambavyo haviwajibiki vilivyo.
@JosephIsanzu-g1r
3 ай бұрын
Mpina GOAT,take your 🎉🎉🎉
@omariSaliboko
3 ай бұрын
Mpina uko. Sahihi tuandamane
@BenjaminiEdward-zh7zt
3 ай бұрын
Kwa kitendo hiki cha kumnyanyasa Mpina CCM na Spika hawana nia njema na Watanzania tukutane Uchaguzi mkuu
@matiredms917
3 ай бұрын
Sawa kabisa ndugu umenena vema. Tawaamue kuwaondoa madarakani waliyopachikwa na Magufuli kinyume cha Katiba.
@TegemeaFutemakatifu
3 ай бұрын
@@matiredms917Mfumo huo tunaooooo??!!
@TegemeaFutemakatifu
3 ай бұрын
Mfumo wakufanikisha Hilo tunaooooo??!!
@meryshekoloa961
3 ай бұрын
Kikubwa.mungu akutunze vuta subra.mtangulize mungu tusikupoteze napia usichoke kuomba rehema
@walesbernard9115
3 ай бұрын
Mpina wewe ndiye mbunge pekee bungeni unayetetea wananchi. Muda utasema hao wabunge wa ikulu itafika muda mkatafute kura huko.
@albertvalentino130
3 ай бұрын
Mmmmh ! Pole brother --- " Mungu ni mwenye haki,atakutetea "
@petersongoma7183
3 ай бұрын
Kwa mtazamo wangu tumebaki na Mbunge mmoja tu wa wananchi katika Bunge la JMT anayefaa kuwa Mbunge katika Jimbo lolote Tanzania. Namwomba Mhe. Mpina asivunjike moyo wala kukata tamaa, Mungu yuko upande wake.
@mariaanthoniangowi9376
3 ай бұрын
Ndugu zangu mnashanaa nini? CCM uozo tu na hawana boa Wala Lego lá kubadilika. Ni Sisu tu kufanya maamuzi magumu ya kuchukua mundo na make e yao kutwanga nazi na kuzika tu,2025 na kufuta kumbukumbu ya CCM Tanganyika.
@MsanangoMwalabu-rx1oo
3 ай бұрын
Jamani kuweni makini haka kamchezo uchaguzi umekaribia tujifunze kws nyarandu na lowassa na sumayi
@lupefiascojr.1896
3 ай бұрын
Aiseeeee mpina kaonewaaaaaaaa Iko wazi
@asungwilemwaifungapenginei2385
3 ай бұрын
Mpina ni kweli ni mnyonge wa Tanzania. Ameongeza kwa uchungu mkubwa kwa kuzuia kutekeleza wajibu wake wa kikatiba. Hazungumzii uchungu wa kukosa posho
@MariaCassian-e2i
3 ай бұрын
Watanzania hatuna maamuzi wabunge wanao tetea wananchi kwa dhati wananyanyaswa namna hii 😂😂😂 watanza nia tuna heshimiana sana hebu tuendelee kuheshimiana tendeni haki vyeo ni dhamana tu❤❤❤❤
@elimelamerii2342
3 ай бұрын
KWANI TARATIBU ZA KUAPPEAL ZIKOJE??... KWA NINI ASIKATE RUFAA YA ADHABU ALIYOPEWA??
@matiredms917
3 ай бұрын
Ndugu yangu utakata rufaa kutoka mahakama ambayo iliyotoa ilikuwa inaongozwa na kima/ngedere na unategemea mahakama ya nyani ndiyo itakupa haki?
@MasoudMgassa
3 ай бұрын
Kwa hili wametukosea watanzania wote sio wewe tu kama sio Mimi peke yangu nikiangalia bunge basi fahamu nataka kuona unaongea nini kwani walio wengi wamebaki kutafuta kiki tu
@simonmanga7157
3 ай бұрын
Hadi hapa nimegundua kuwa:Tangu Tulia awe spika wa bunge Benger letu lomepoza mwelekeo,spika huyu ni wa hovyo kabisa!Wanambeya mmetuletea bomu bungeni!
@VolvoMwamakula-ci2we
2 ай бұрын
Hiyo ndo ccm bunge la chama kimoja. Pole sn mpina
@MonayLai
3 ай бұрын
Bora awawahi kabla wao hawajafanya lolote dhidi yake
@IssaIra-j9u
2 ай бұрын
Njoo chadema ubunge wako upo pale pale
@matiredms917
3 ай бұрын
Mpina USHINDI dhidi ya Majambazi hayo ni dhahiri kabisa 2025. Magufuli ambaye kwa ubabe mkubwa angewatetea alishakwenda mbele ya HAKI.
@michaelmwambije3603
3 ай бұрын
Tanzania hatuna bunge tangu mwenda zake alipo jiona Yuko juu ya mungu mpaka leo tuna vibaka na majambazi ndo yamekalia bunge wanachi tuamke
@mariamfaicalhassan2890
3 ай бұрын
Na huko chadema hamuoni aibu kusema hivyo mxiiiuuu
@AdamKaponda
3 ай бұрын
Hilo ni bunge la nani?nanikalichagua?bunge batili matendo yake lazima yawebatili SI vinginevyo,,wamejaa uchawa,mtupu,hao wote ni wasakadili Kwa warabu,
@abdalahgunda1319
3 ай бұрын
Mpina you ok according your explanation Rong doing acson tulia take action agest you and lmbarasing to acson tulia as the palament speaker into our palament house but ccm won't agree on all this low act into Tanzania constitution still they will crush you by full force fear of cicret of explanation from you mpina you need saport from Tanzania opposition religious leader free team organization of tanzanian backing you if they won't backing you you will be on hard time way we know ccm ruling part
@PhilipoMwita-wc1ku
3 ай бұрын
Siasa ningumu sana unahitaji uwe na moyo ujitoe kweli kweli TANU kilukua Chama Cha watu..baadae kikabidilishwa kikawa chama Cha ccm Hapa watu wachache ndio walikua na nguvu hasa mwenyekiti...Tangu mwaka 1964 Maslahi na maamuzi ya Tanzania yamekua yakiamuliwa na watu wachache
@ErastoMartin-u6d
2 ай бұрын
Mom
@ErastoMartin-u6d
2 ай бұрын
L
@JamalTemba
2 ай бұрын
mpina mungu akupe uzima kaka
@labancharles8453
3 ай бұрын
Hata itokeee nini MUNGU yu pamoja nawe Tanzania ni ya MUNGU ametupa usiogope sema ukweli maana msema kweli kipenz cha MUNGU
@abdalahgunda1319
3 ай бұрын
It show asheme to acson tulia on is low education doughty way mpina translation into Tanzania constuetion low act wich acson tulia use is lmbarasing under mpina low act translation Sasa watanzania ndio mchambue huyo mama uwanasheria wake alisoma wapi kwa nini ni speaker wa bunge lakini hizi hoja za mpina aibu tupu kwa speaker acson tulia ashrm to her lmbarasing her saif use act not me but is fellow ccmpina translate low act under Tanzania constitution
@mariaanthoniangowi9376
3 ай бұрын
Walikuwa wamejiandaa baba
@JoyceKabula-in1sh
3 ай бұрын
Si uachane nao kaka kwani ccm imekuzaa mpina I imekusomesha?achana na ccm mpina kwani kabula hujawmbunge ilikua juli huvai?mbona mpina uwezo wa kula milomitatu mpende akupendae mpina achana nao fanta mambo yako achana na ccm mipina waachie lichama lao
@Mosesndahani
3 ай бұрын
Yaani Binge la wananchi lilikuwa katika kipindi cha Samuel Sitta, na Anne makinda sasa vioja tupu
@mariaanthoniangowi9376
3 ай бұрын
Nfugu Mpina,jibu ni kwamba huomradi ni wa spika na hao watu wake. Kwahio umeganyaka nyoka mkia kaka yetu. Lakini Mungu yuko mbioni kutoa majibu . Na saa yake ndio sasa imewadia
@RamadhanAndrea-q6j
3 ай бұрын
Mpina oyee
@AizackKalenge-ro5rc
3 ай бұрын
Mh umegeuziwa kibao Kwa kuwa unasimamia haki na kweli,,Ulipinga uzwaji wa bandari,Utoroshwaji pesa za umma Kwa badhi ya mawaziri,Walikuwa wanakutafutia makosa ya kukutoa bungeni
@CharlesElias-zh5hz
3 ай бұрын
Jaman Mpina kumbe Kuna madudu hayo. Mzee ulilusha ndoano Nini? Mbona anakunyanyasa hivo Kuna nini? Funguka baba unawavua nguo Leo. Ila jiandae kuhama
@richardmakweta8875
3 ай бұрын
Sawa lakini nikuombe Sana Usije ukamkosea Mungu kwakutaka huruma ya hao walio kutenda isivyo haki mwache Mungu akupambanie wacha Mungu wanakuomea Sana ,kwani Ninani unayemsikia mwingine akipiga kelele kwaajili ya haki???
@simonchristian6319
3 ай бұрын
Dili ya sukari hiyo mpina,pole sana ,Sasa Kama mtu anaufanyia hivi mti mbichi,itakuaje kwa mti mkavu
@johnpeterson9333
3 ай бұрын
Another jpm ... Uzalendo unatakiwa ktk hii nchii tupo pamoja mpina big up
@gasperjohnson3388
3 ай бұрын
Bora utufungue mana kanuni za kibunge sisi hatuzijui😢dah umeonewa kweli
@PeterKazimoto
3 ай бұрын
Wananchi tunakuelewa sana.Tupo NYUMA yako.
@danielkanso
3 ай бұрын
Pole mheshimiwa shida ni kusema kweli kwa watu ambao hawahitaji ukweli na uwazi inaonekana unawakera kwa maswali na hoja zako keep it up
@tridabalira5992
3 ай бұрын
Too many mbuzi bungeni Ahsante Mh. Mpina fight on for the common Tanzania. Corruption inatuchosha.
Hii vita ni ngumu ila kunaanguko la mtu hapo mbeleni mwenye nguvu atashinda
@charlesmbaga6115
3 ай бұрын
Kinachokupponza nikiapo na sitaioa Siri xa BARAZA LA mawaziri Aluta cont
@odoieriasmonga6591
3 ай бұрын
hilo siyo bunge bali ni kikao cha wahuni mjanja ni wewe tu
@minazsaid2470
3 ай бұрын
Huyu ndio mwenye uchungu wa nchi yake ipo siku mtaelewa
@BatazalNdifwa-nk2hl
3 ай бұрын
Mimi mipnzani ila nakuunga mkono. Pambana mh. Ccm waonevu mno. Ok
@elimelamerii2342
3 ай бұрын
Hivi ni 26d na e au ni 29d&e??...mbona kuna kuchanganya hapo??
@edwiniedwin3347
3 ай бұрын
Tungepata wabunge km hawa watano , Bunge lingekuwa bungen.
@richardnganya2311
3 ай бұрын
Uchaguzi ujao ifanyike kwa vitendo. Inawezekana sana kama tutaamua
@kipeshafanuel3389
2 ай бұрын
Wewe ni mwanaume,umeshatueleza ukweli,hata wakikuzulumu. Hakika tumeshajua ukweli
@wegesawaryoba3316
3 ай бұрын
Mpina jeshi kubwa,sisi wananchi tunakuelewa.
@PhilipoMwita-wc1ku
3 ай бұрын
Mpina ukiwa kwenye Hilo gwanda kazi Yako sio yakitoto
@Stevenmwanisawa-dt5vb
3 ай бұрын
Mpina huna BAYA wanainchi tuko na wewe. Huyo bashe amekuwa mpiga maadili kama mwiguru. Taifa limeona
@NickTajir
3 ай бұрын
Utashinda wameaibika wao na waliochangia walipangwa na spika
@feliciankavishe6792
3 ай бұрын
Today huko ccm,wenimsema kweli
@CharlesElias-zh5hz
3 ай бұрын
Ndo maana kumbe walikuwa wameandaliwa kukandamiza
@komuhsengo9796
3 ай бұрын
Hivi haya yana ukweli au😮 maana inauma sana ss wananchi
@FaustineKingu-w8d
3 ай бұрын
Mh Mpina uko vizuri tunakuunga mkono uonevu huu uliotendewa ni unyama
@yonassngonye3759
3 ай бұрын
Kamati ya bajeti kumbe dili
@DanielMgeni-x1z
3 ай бұрын
Mpina ana fanya kazi kwa maslahi ya uma
@richardmakweta8875
3 ай бұрын
Wenzio hawakutaka uongelee mahali pawazi walitaka uwanong'oneze, watz wasije wakaelewa kinacho endelea pole ila Mungu muumba wa Mbingu nanchi hadhihakiwi.
@hajimnubi4581
3 ай бұрын
Rudisha hela za wenye viwanda vya sukari ....sisi tunachofurahi sukari inaendelea kujaa na Bei kushuka...wenye viwanda unaowatetea walimsumbua hata magufuli hadi akamuagiza waziri mkuu aandae utaratibu wa serikali yenyewe iagize sukari baada ya kubaini wafanyabiashara wenye viwanda vya sukari wanatengeneza uhaba wa sukari kwa kuficha sukari ile Bei ipande wauze kwa Bei ya juu
@PoulFred
3 ай бұрын
Wew ni chawa wa kijani achana na mpina huna hakir ya kubishana naye baki kuwa chawa ss wananchi tunamuelewa mpina
@mariaanthoniangowi9376
3 ай бұрын
@ hajimnubi acha upumbavu que weelewa, au Ww ni Migongo mwauo uozo?
@othmanyasin2838
3 ай бұрын
Mpina mwamba sana,mtu mmoja ni jengo zima
@ElieshPoul
3 ай бұрын
Elieshi poul: Hakika Mpina ndie aina ya wabunge tunawowahitaji kwani anatetea haki ya wananchi
@simonmanga7157
3 ай бұрын
Spika sufuri kabisa!
@yonassngonye3759
3 ай бұрын
Kipimo cha jazba!
@yonassngonye3759
3 ай бұрын
Tumehama kwenye Reli
@CharlesElias-zh5hz
3 ай бұрын
Hata bungen Kuna makund mzee
@JosephIbrahimu
3 ай бұрын
Mpina uko vizuri
@otswardowden6060
3 ай бұрын
Ngosha
@JosephIbrahimu
3 ай бұрын
Mpina uko vizuri
@williamfrancis8724
3 ай бұрын
Wanawake Hawana uwezo wakuongoza Nchi
@negelepeter2295
3 ай бұрын
Nakuelewa sana
@BenjaminiEdward-zh7zt
3 ай бұрын
Kuweni makini na mambo mnayofanyia watu Spika na CCM huyu mtu atawapunguzia heshima ya chama na uongozi na wengine hawatarudi 2025 ikiwezekana watanzania tumalizane na ccm mwakani.
@MariamKhamis-i3v
3 ай бұрын
Mpina👏👏👏
@fredrickmwakalinga6390
3 ай бұрын
Mpina nenda chadema hao wabunge na spika wote ni wachongo wa magu hakuna hta aliyechaguliwa na wananchi acha kupoteza muda kuwajibu wajinga wanajulikana japo wao hawajioni
@davidkawesa3594
3 ай бұрын
Mwenda zake alijuwa atapata nafuu angalijuwa angeweka katiba mpya jina lake lingeandikwa kwenye kumbukumbu Ssm muache hila Mungu yupo kazini
Пікірлер: 104