Tanzania 🇹🇿, ahiitaji waongeaji wazuri bali watendaji wazuri. Miaka 60+ ya uhuru bado tuwe na watendaji waongo ktk ya wasomi wote hawa. Mimi namuelewa sana mdogo wangu Mpina. Akili makini hailali BIG UP.
@VicentMjema
3 ай бұрын
Huyu mwamba watu wa jimbo lake naomba uchaguzi ujao mumchague tena msifanye makosa
@margarethsolomon9823
3 ай бұрын
Hata pesa nafasi ya kugombea na chama chake CCM, wanamsubiri tu
@babukije268
3 ай бұрын
Kwani huyu jamaa ni chamagani anastahili heshima ni mzalendo wakweli nakuombeni wananchi wa jimbo lake mpigieni kura kwa asilimia mia
@charlesmandela6173
3 ай бұрын
P@@margarethsolomon9823
@billgussy6099
3 ай бұрын
Spika na wabunge wote wa ccm ni majipu ...yaaan walikua wana mshangilia Bashe na Spika alikua anamtetea kwa nguvu zote
@RoseMmbaga-y4g
3 ай бұрын
Na hiyo ni wizara moja tu, vipi nyingine??
@HenryCastuli-jz3cx
3 ай бұрын
Tena cy majipu ya kawaida ni jipu la kwapa
@Master-ww7ur
3 ай бұрын
tena spika ndo jipu kabisaaa, ana PhD ya Sheria alafu hajui tofauti ya mkataba na makubaliano, hajui trab na trat😂😂😂
@margarethsolomon9823
3 ай бұрын
@@Master-ww7urAnajua, anamlinda mkubwa wake
@malamlaaj9852
3 ай бұрын
Walaji!! Walaji haooo! Wapigwe kwa sababu ya ulafi na ufisadi. Walitengeneza uhaba yeye na wenzake!! Bashe Msomali mgumu kama damu ya kisomari... Alisema wazi Mkuu WA majeshi kwamba nchi imevamiwa na watumishi wasio raia na uchungu na nchi. Mpina Kamua jipu . Kamua baba kwa uchungu WA kweli .
@AnthonyMgembe
3 ай бұрын
Mpina hongela Kwa kazi nzuri najua wapo wengine wanaumizwa nahayo nakupa kazi nyingine fuatilia mtu aliepewa tenda ya kuingiza sulphur nchini
@blandinamwarabu5025
3 ай бұрын
Hatuhitaji malumbano sisi tunahitaji maendeleo
@gabrielsaelie8091
3 ай бұрын
Maendeleo hayatakuwo bila uadilifu wa viongozi wetu.@@blandinamwarabu5025
@victoriamefya6287
3 ай бұрын
Mungu akulinde nchi hii ukiwa mkweli ni changamoto Mungu akutetee mheshimiwa Mpina
@deogratiasrutabana2387
3 ай бұрын
Nashukuru sana Mungu Taifa letu sasa lipo rasmi katika utawala wa Biblia ndio maana hata Mtumishi wetu mkuu wa Mungu Rais Samia Suluhu Hassan amesema dhamila itoke ndani ya Moyo ikimaanisha wanaoongozwa na Roho hawapo chini ya Sheria. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Rais wetu kwa kupokea wokovu na kumkubari Yesu Kristo kuwa Bwana mwokozi wa maisha yako. Mungu akupe maisha marefu in Jesus Christ Name.
@BoayHotay
3 ай бұрын
Ukweli ni kama Moto wa kupima dhahabu,,,,, kweli ni Moto na wewe ni Dhahabu endelea kuwa imara
@josephlyahbo
3 ай бұрын
Anastahili PhD ya heshima
@oscarkayuni9086
3 ай бұрын
Kama itampendeza Mhesh Rais amweke mbunge huyu kuwa waziri wa kilimo na na makonda waziri wa fedha nakuambia Tz itanyooka kama rula na wevi watakoma
@babanatalis8401
3 ай бұрын
Hakuna waziri hapo yeye abakie mbunge
@daudimaembe3360
3 ай бұрын
Asimpe uwaziri,amwache awakosoe hivyo hivyo.
@gasparyephraimmwakatuma9542
3 ай бұрын
Mpina kwetu maana yake Yatima na naona unapigana peke yako kama Yatima, Mungu akulinde.
@blandinamwarabu5025
3 ай бұрын
Wataungana na Makonda na Waziri wa Ardhi Slaha
@judicalosika7642
3 ай бұрын
@@blandinamwarabu5025Vijana Hawa watainyoosha TANZANIA HAWA WANA NIA YA DHATI
@camilomassao8971
3 ай бұрын
Wanaoshiba visivyo haki hawawezi kumuunga mkono. Laiti wabunge wangekuwa wanafuatilia na kuhoji mambo kama mpina, wangegeshimiana. Mpina hana kosa na Mungu ataweka wazi yote siku ikifika.
@magesadani9058
3 ай бұрын
I appreciate you so much hon. Luhaga Mpina
@PhilipoMwita-wc1ku
3 ай бұрын
Mungu akubalikiki sana
@jakobongwara3038
3 ай бұрын
Aaaaaa inamaana hawatu kwanini?wanajua majizi
@davidmwatonoka1973
3 ай бұрын
Mungu ingilia kati kuiokoa nchi yetu ,wale wote wanaohujumu nchi wafilisiwe kabisa , Yesu tenda jambo jipya waibishwe wafedheheshwa wasiwe mbele Wala nyuma , mlinde mpina Kwa uwezo wako Amina
@kepharichard4183
3 ай бұрын
Magufuli njooo uone Serikali uliyoiachaa, Mafisadi wamerudi tenaaa😢😢😢😢😢😢😢
@africayetutv329
3 ай бұрын
Jamani Tanzania Tanzania , Mpina Mungu akupe ulinzi na akubariki Hakika tutamkumbuka Jpm
@worldherotv
3 ай бұрын
Yaan unambariki kwa sababu anatetea viwanda vilivyofanya kusudi ili sukari ipande bei?
@florencemeza6540
3 ай бұрын
@@worldherotvwe zwazwa saaana unafikiri vikifungwa watu watafanya wapi kazi? Kwa vile babako mwinyi eeehh
@hantiayman3994
3 ай бұрын
@@florencemeza6540vikifungwa kwa nini, yaani ww ni mtu wa ajabu sana. hakuna aliyesema vifungwe lkn hakuna atakayekubali bei kupandishwa kiholela kwa kigezo cha kufunga viwanda, lazima kuwe na udhibiti. Mpina anatumika na matajiri, mabepari na manyung'unya ndio hutufanyia haya yote na kusababisha kupanda kwa gharama za maisha hasa kwa watu wa chini. yaani udhibiti kwa wezi ni muhimu sana kufanywa. haikubaliki kubisa
@KomboHamisi
3 ай бұрын
Hivi kwani ni mpina yupi wakati wa awamu si ndio yule alikuwa akipima samaki kwa rula na kutaifisha ngombe za wananchi?
@judicalosika7642
2 ай бұрын
@@KomboHamisialikuwa kazini
@zaym7769
3 ай бұрын
Namkubali sana huyu mbunge. Wasukuma mko vizuri sana
@worldherotv
3 ай бұрын
Kwamba ulifurahi sukari kupanda bei kwa sababu viwanda vilifanya ubwanyenye
@florencemeza6540
3 ай бұрын
@worldutawagundua tu wapigaji kwa kutetea upupu herotv
@janethpallangyo3855
3 ай бұрын
❤❤❤
@freduallughano2301
3 ай бұрын
Ni kwa sababu uswahili si jadi yao chunguza makabila ambayo hajaathiriwa na uswahili watu wao wakoje.
@judicalosika7642
2 ай бұрын
Cancer!!!
@jayson.chanel.9870
3 ай бұрын
YAANI ASILIMIA 90 YA COMENT ZILIZOKO HUM NIMEGUNDUA KWAMBA WATANZANIA HAWANA FURAHA NA VIONGOZI WETU😢
@lidariot
3 ай бұрын
Kwani hata we huoni tunapigwa ama
@judicalosika7642
3 ай бұрын
@@lidariothakika
@judicalosika7642
3 ай бұрын
Sisi ni nguruwe!! Tunalishwa kila kitu!!! Watu wanajilimbikizia fedha Mali, Kuna KIFO.
@arthurmwabulambo1201
3 ай бұрын
Mambo mazito hayo. Tutashuhudia hatima ya hili jambo. Kuna huyu, Makonda, Silaa (Ardhi), Polepole, nk. Kumbe kuna wazalendo nchi hii. Mungu ibariki Tz kwa ajili ya vijana na vizazi vijavyo.
@ErnestTarimo
2 ай бұрын
A very excellent work done by the Mheshimiwa to enlighten us with detailed evidence on the evil games being played by the most unexpected leaders. Anxiously waiting for the actions to follow. Hongera sana Mheshimiwa.
@prosperjohn2047
3 ай бұрын
Mpina kaka yangu, Mungu akubariki sana, na kukulinda, maana mtu kama wewe, hawakutaki, MUNGU akulinde sana na kukulinda 😢😢😢
@godfreyernest268
3 ай бұрын
Bashe hafai
@STEVENMWASALEMBA-dk8yb
3 ай бұрын
Jesh la mtu mmoja bigup brooo
@alexandermakanta9468
3 ай бұрын
Taarifa Yenye Utafiti na Ushahidi wa Kutosha...Kwako Mh.Speaker.Tunaomba Ifanyiwe Kazi
@hamidabarraball3162
3 ай бұрын
Wewe ni mwambaji wa Tanzania aluta continua mpina, , wanaogopa kukupata uwaziri ,
@ahmedmakame1687
3 ай бұрын
Kupambana na wahuni kazi sana Mungu akulinde wasikupoteze kama mwenda zake JPM
@mariamfaicalhassan2890
3 ай бұрын
Umeongea vizuri sana hapo pa mwendazake
@christinewomanoffaith5479
3 ай бұрын
Nimejikuta nakumbuka Deo filikunjombe
@jumaabdalla3374
3 ай бұрын
Asilimia kubwa ya wabunge kazi yao ni kupongeza na kupiga madex tu hawapo kwa ajili ya watanzania Mwenyezi Mungu akulinde mpina ww ni miongoni mwa mbegu chache alizoziacha hayati JPM
@gaagwasaugustino2584
3 ай бұрын
Hawataweza kumwangamiza Mpina kwa uwezo wa Mungu, Amina
@gaagwasaugustino2584
3 ай бұрын
@@jumaabdalla3374Amina,huyu ni zao Bora Sana la JPM, asante Mpina, Mungu akulinde na urudi Bungeni tena 2025.
@ephraimmakaranga1795
3 ай бұрын
Wananchi tunataka wabunge kama hawa MH mpina Mungu akubariki sana Kwa kusema kweli
@DeusMbalamwezi-h7t
3 ай бұрын
Ukiwa mkweri unafamya kazi ya mungu na mungu ana tumia kinywa chako kufikisha ujumbe❤
@yahyahamadi9259
3 ай бұрын
Mm nashukuru sana koiongoz wangu kwa uzalendo wako wa kazi na ukweli kwa maufaa ya watanzania ningependa nakuomba serekali iangalie pya uchafu uliopo ngaz za wilaya na mitaa nimkubwa mnoo mpaka wananchi wanakasirikia chama na serekali kwa ujumla viongoz wamekua waongoo sana kiongoz wangu tufikishie hilo tafadhali shukrani
@daudimaembe3360
3 ай бұрын
Naona awamu hii si ya kuchukua hatua zozote dhidi ya viongozi wa juu na hasa mawaziri.Angalia report zote za CAG zimechukuliwa hatua gani
@JeremiahMwakanyamale
3 ай бұрын
Humo bungeni masomi yemejaa yanashangilia tu,ujinga huo unapoendelea,,,hongera sana mbunge mwenyeuchungu na nchi yetu.
@MwetaMashambo-q2x
3 ай бұрын
Yaan huyu ni magufuli piwa namkubali sana hy mm ni mpinzani lkn huyu namkubali sana viongozi ndio wanalitafu nna hili taifa letu mpaka linaisha tatzo hapa ni huu mfumo walio uweka na hawataki katiba mpya
@AnthonyMgembe
3 ай бұрын
Mpina nenda upinzani kisha gombea uraisi tutakupa kula zetu kisha tuwashughulikie Hawa watu
@samochristopherroche9953
3 ай бұрын
Tusubir kwanza wasiporudisha jina lake afu kije kiume
@hajjiomary2383
3 ай бұрын
Sio kweli awezi kupata uraisi ngumu iyo wanaweza nchi zengine sio Tanzania .ccm inatawala mpk yesu aje .the rest is history
@mmsfuzzsba3816
3 ай бұрын
MUNGU ANA WATU WENGI NA MPINA AMEWEKWA NA MUNGU
@IsayaSosolo-nx8zk
3 ай бұрын
Wewe upo kwa Nani!?
@johnmlangi6890
3 ай бұрын
Asante sana Mhe. Mpina, kwa kutujuza yaliyojificha juu ya vibali vya Sukari! Hapa ndio tunajua ukweli juu ya Kauli ya Mkubwa eti " Kila mfanya Kazi ale kwa Urefu wa Kamba yake😅? Wizi mtupu, Sijui km atawajibishwa maana Wabunge wote ni wa nyumba moja!
@abdallahkamangu8725
3 ай бұрын
Kaka Mpina unapiga spana mbayaaa. Watu kama ninyi humo mjengoni tunawahitaji sana. Kama nchi tungekuwa mbali sana tukiws na watu 10 tu wa namna hiyo Bungeni.
@AugustinaNestory
3 ай бұрын
Hongera Mpina ndio viongozi tunaowataka
@MAGIDACHIMIJA
3 ай бұрын
Ndio mana tunadaiwa trillion 91😂😂
@saidiathuman-og6bc
3 ай бұрын
Wasukuma mko vizuri saana kwenye uongozi,,,saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaf❤❤❤❤❤
@kingmichael1234
3 ай бұрын
Sana sana kabisa
@geofkabo7843
3 ай бұрын
Wasukuma wanadam ya israel
@HadaikaNgabona
3 ай бұрын
Umewakalia vibaya sana aseee.
@martinakyoo148
3 ай бұрын
Mpina ni Jembe katika nchi hii na ni mjasiri kwelikweli . Mwisho nampongeza Mh Spika kutoa fursa hii ya Mh Mpina kufukua uozo huu. Spika asingelikuwa makini na mtaka haki ktk kusimamia mjadala huu angeminya siku hiyo hiyo bungeni na haya yote tusingeyasikia. Big up Spika wetu wa bunge
@stephenkisandu5803
3 ай бұрын
kwa mambo haya yote, uongo na uthibitisho wake wote, MH bashe akijibu, basi anawajibu pia wa kujiuzuru nafasi yake. HII NI SUPER EVIDENCE, sijui atachomkaje. BIG UP MH. MPINA
@loycep7785
3 ай бұрын
Mungu akubariki sana kaka Mpina msema kweli ni mpenzi wa Mungu Viongozi wanafoji tu kwa uongo wanafaidi wao jasho la watanzania kodi yao hao ni wa kutumbuliwa tu ili wamrudie Mungu na kutubu
@jojujjokyussa4699
3 ай бұрын
Mpina hongera sana.
@kiliantereba6502
3 ай бұрын
Mpina uko vizuri sana
@AndrewWamahe
2 ай бұрын
Uko vizuri maana vielelezo (ushahidi unao )
@Alute-son2003
3 ай бұрын
Congrats Mpina ....afu kuna waongeaji wa uongo wanapongezwa hadharani
@PauloSheppy
3 ай бұрын
Naomba sana Mpina afuatilie na kwenye mchele maana kuna mchele umetoka nje ya inchi umepeleka kushuka kwa mchele wa hapa inchini hasa mchele Africa na Taifa letu huko ni kuua bei za mchele wdtu
@MariaCassian-e2i
2 ай бұрын
Tunataka viongozi wawe kama Mpina Mungu akulinde Kaka
@MonicaMbossa
3 ай бұрын
Kwanini mnaotoka kanda hiyo huwa mnajua mambo mengi sana ya mhimu nchi hii na mnajiamini sana
@martinmkoma-zl1iv
3 ай бұрын
Viva mpina
@abdallahally842
3 ай бұрын
Waziri wafedha kasamehe msamaha wa kodi wa wastani wa bilion 500 duh ndomana wananyodo na dharau na kufadhili matimu ya mpira natamani magufuli angekuepo hakika wangekua washatumbuliwa kwa ufisadi mkubwa ewe mungu mpe macho raisi samia aone hawa wanavo mlamba kisogo kumsifia sana kua machawa kumbe majizi wanamharibia nchi
@sosmakanya4901
3 ай бұрын
Hakuna wizi mkubwa wa namna hiyo Rais asijue na kama hajui basi aonyeshe kwa vitendo kwa kuwajibisha na Kurdish Kodi la serikali cc wananchi tumbane Rais hiyo pesa ya serikali kodi letu lirudishwe.
@nestor384
3 ай бұрын
Mbunge kama huyu wangekuwa 50 tu nchi hii isingechezewa aki amama! Hakuna mpumbavu hata mmoja angeuza bandari zetu, hakuna mtu angegawa gawa na kuuza misitu yetu, Wamasai wasingefukuzwa katika ardhi yao ya asili.. Nchi yetu iko hatarini! Mbunge bora kuliko wote kwa sasa Mbunge smart and intelligent kama huyu Mungu mlinde na muepushe na kila lililobaya huyu mbunge wa taifa, ame-sacrify maisha, akili na muda wake kulitumikia taifa.
@judicalosika7642
3 ай бұрын
Yaani wapo WENGI WENGI MNO!! Wewe Unafikiri Maprofesa waliopo huko hawayafahamu haya!! Ni waoga wanawaogopa hao.
@AthanaseKiyoja
3 ай бұрын
Hongera mpina,sema.wameanza kukuhujumu kwa kukuletea wafiraji mkoani kwako.Ccm mwaka huu mnalo.
@saidmabanga388
3 ай бұрын
Mamaeeee
@juliusmlula1658
3 ай бұрын
Huyo msomali na mnyiramba wawajibiswe kabisa kutokana uwongo wao huuu Mpina Mungu akulinde
@dassustephen731
3 ай бұрын
Tuwafanye kama ANC Africa kusini,naona wapo Kwa ajili ya kuhujumu nchi na siyo kuongoza nchi.Nonsense
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
Waacheni wanyiramba ni muda wao,saivi wana barabara za lami kila kona
@barakaabel482
3 ай бұрын
Luhaga Mpina uko vizuri
@FilbertKalembe-fy4oq
3 ай бұрын
Huko ndo kuupiga mwingi sasa siyo uongo uongo eti wanaupiga mwigi kweli nimeamini uongo kotena ukweli kisoda
@ReginaJoseph-cm3cx
3 ай бұрын
Mungu akulinde baba
@hezronimwesigwa1271
3 ай бұрын
Mungu tu ndo atalitetea hili taifa kwa kuwakatilia mbali
@JovenaryNduka
3 ай бұрын
Jamani mungu akulinde kama mh Samia anakusikia kweli wewe uwe askari wake wa mwavuli akupe nafasi nyeti sana wewe ni mtafiti na mwelewa sana wewe mbunge namba Moja wakati wengine wanasema ni mwanamageuzi Wala sio huyu ndie tunamtaka sana
@clemencemarcelli3365
3 ай бұрын
Hivi mnatufikiriaje?
@dassustephen731
3 ай бұрын
Yaani nchi hii kama hatuna uongozi.Mambo ya hivyo kabisa no kuhujumu nchi hii
@nasaelmanya1850
3 ай бұрын
Safi sana mpina!! Hongera Kwa kuwaumbua hawa mafisadi wa rasimali zetu
@sleymanshaffih-vj5pq
3 ай бұрын
Huu mchuano wa @mpina na @bashe mpaka mtu ang'olewe meno ndo utafikia tamati maana sio kwa mnyukano huo.
@olipaabongo6307
3 ай бұрын
Mungu akulinde Mh. Mpina. Ukweli wezi niwengi huko.
@FideryGoodluck-gf3ec
3 ай бұрын
Fidery nikiwa rusumo ngala muhaga ukovizuri mungu akulinde umeacha mambo ya kubebana nahuyo mwenzake wanawaza kugombea uraisi 2025
@AnthonyMgembe
3 ай бұрын
Huyo Bashe aliwanunulia mabwana shamba na mabibi shamba pikipiki aina ya boxer inaingia akilini boxer ni pikipiki za mjinihazifai Kwa barabara za vijijini na msambazaji wa boxer ni mo
@patrickmwakyusa9964
3 ай бұрын
Baada ya taarifa hii, watu wanaoitakia mema nchi wamejua kwa nn chama cha CCM Mkoa wa Simiu hawamtaki na wana njama za kumfukuza uanachama. Kwa taarifa hii ninashauri: 1. Mh. Bashe na mhe Mwigulu wajitathimini ,wajiuzulu. Wasipojiuzulu Mh. Rais atengue uteuzi wao 2. Viongozi wote walihusika na kadhia hii washitakiwe kwa uhujumu uchumi. 3. Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Simiu na katibu wa ccm mkoa Simiu nao wajitathimini 4. Kadhia hii inarhibitia ushauri uliotolewa na mkuu wa majeshi kuwa si vema watu wenye uraia wa mashaka kupewa madaraka nyeti katika nchi
@Nyanda506
3 ай бұрын
Safi sana kaka mpina ..Wabane hao majizi mpaka yakimbie😊😊😂🎉
@AnthonyMgembe
3 ай бұрын
Haya anayozungumza mpina ni kweli maghala ya mo yamefulika sukali wanatelemsha usiku na mchana ingekuwa kipindi Cha magufuli wote wangewekwa ndani
@kingmichael1234
3 ай бұрын
Mzalendo wa kweli Mpina.. Serikali ikuangalie wewe ni hadhina ya taifa
@JJ-fb9jp
3 ай бұрын
😂😂😂eti imuangalie wakati hapo ashakuwa adui
@Kanyawela
3 ай бұрын
Uyu ni mbunge wa wananchi kwaiyo tunapewa mrejesho toka kwa mbunge wa wananchi lakini nahofia chama chake kitaanza hoo hauko sawa kana kwamba aende kutekeleza ya chama badala ya wananchi
@JacobMbosalee
3 ай бұрын
Haya Bashe waziri ajibu ukweli huo.
@emanuelsinyinza
3 ай бұрын
Rais hawezi kumpa nafasi yoyote.unadhani rais hajuwi.mpina ana Anapataje vielelezo. Usalama wa taifa wasiwe nahizo nyalaka kumpatia rais.
@froma3732
3 ай бұрын
Ok Sukari ilikuwepo lkn wananchi walikuwa hawapati kwa hivo Waziri alikuwa ameiweka nyumbani kwake
@ThomasErro
3 ай бұрын
mpina Mungu akulinde maana ukweli unaua, nakuombea kwa Mungu awe nawe daima
@augustinepaschalmrema8858
3 ай бұрын
Maendeleo ya kweli katika nchi hii na kwingineko duniani upotoshaji au ubabaishaji wa makusudi ni mwiko kabisa.
@MiriamAziz-z5t
3 ай бұрын
VIVA MH. MPINA....WATANZANIA TUNAKUELEWA...U MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
@shamtaus6721
3 ай бұрын
Gombea urais wa Tanganyika.
@rabomunde3550
2 ай бұрын
Ulaji wa Sangara na Sato unasababisha uelewa mkubwa sana kuliko pweza na ngisi Hongera kanda ya ziwa Viktoria
@judy830-b5v
3 ай бұрын
Mungu nakulilia wewe😭😭😭😭🙏🙏🙏
@iddykapembe6817
3 ай бұрын
Asante sana Mpina,, Mungu azidi kukulinda, unatufungua macho watanzania, Mpendwa mama yetu Samia piga chini huyo Bashe na washirika wake wasikutie doa katika utawala wako ambao tunaukubali, chonde chonde mama , tekeleza mapema
Watu wanaiba kama hakuna serikali. Watu wanateseka, bunge limetekwa. Wananchi wanaotetea Mali za wanatanzania wanaambiwa wabebe Mizigo yawo watóke bungeni, utafikiri bunge ni la watu binafsi. Uwongo juu ya 😂. Wabunge wote wakianza kutowa hoja zawo wanamushukuru Mwenyezi Mungu, huku hawatetei haki. Ni Mungu kisha Rais Samia. Wenye akiri zetu tunajuwa wanampa Rais sifa za uwongo. Wanaosema ukweli na watetezi wa haki wanafukuzwa bungeni. Haki iko wapi?
@deogratiasrutabana2387
3 ай бұрын
Bashe aliwai sema Roho mtakatifu hawezi kumpatia mtu kazi wakati sisi wengine tunaamini pasipo na Roho mwanadamu hawezi chochote. NIkagundua kunashida kubwa sana kwa huyu bwana lakini atathibitika tu. Biblia inasema dhambi kubwa isiyo na msamaa ni kumdhiaki Roho Mtakatifu. Mungu atusaidie.
@JacobMbosalee
3 ай бұрын
Mpina MUNGU akusaidie
@horizondpq4133
3 ай бұрын
Unapiga kazn mpina mpk kazi inapigika🤝💯
@emmanueliman7408
3 ай бұрын
Mungu akulinde,huku ni kujilipua mh,umeamua kuweka mambo hayo wazi na watanzania wote tumejua tulikosa sukari kwa mbinu ya Bashe apige zake.ni hatari
@ahz6907
3 ай бұрын
Huyu sasa ndio rais sio makonda...hell no.
@oscarmisiru9725
3 ай бұрын
Hivi URAIS huwa unatolewa km zawadi!!?
@othmanali5362
3 ай бұрын
Duuu....hatari kweli kwa hayo .
@DavidJosia
3 ай бұрын
WEWE UNAYEMPINGA MPINA UNAMGAO ACHA USHAMBA MPINA CHAPA KAZI MZEEE
@malamlaaj9852
3 ай бұрын
Waooo. Mpina!!!!
@daudimaembe3360
3 ай бұрын
Na amefanya vizuri sana ndugu Mpina kuueleza uma wa watanzania juu ya ushahidi aliouwasilisha kwa speaker.La sivyo tusingelijua kinachoendelea juu ya jambo hilo,maana speaker asingeweka wazi.
@billyg.w.m2640
3 ай бұрын
Hasante nduguyangu zidi kuwakamata 🙏🙏🔥🔥💪🤘
@RajabuMdaki
3 ай бұрын
Ni busara kumsikiliza mteja mmoja mlalamikaji kuliko kuwasikiliza wateja 100 wa ndiyo Mzee kwa kuwa mchango wa mteja mlalamikaji una tija katika uboreshaji huduma na kustawi kunkotakikana. Kongole kwako Mh. Mpina, R. kwangu Mimi wewe ni MTANZANIA na mzalendo halisi. Kazi iendelee!
@abdallahkihanza482
3 ай бұрын
Hongera sana kujitoa muhanga Kwa mafisadi
@arthurmwabulambo1201
3 ай бұрын
Kuna liukuta kama la jela linajengwa kuzunguka shamba lote la Kilimo Uyole Mbeya, km nyingi tu, kwa gharama kubwa sana. Ni ushauri gani huu anaopewa waziri wetu?
@judicalosika7642
3 ай бұрын
Watanzania Tinaumizwa sana MUNGU wakumbushe hao viongozi kuwa KUNA KUFA.
@JaphetMwijalubi
2 ай бұрын
DUUUUU NDUGU MPITA, WAPELEKE MAHAKAMANI NDIYO ,PILI NIMESHANGA WABUNGE WALIYO TOA OJA SIKU YA KUSIMAMISWA ,
@hawagondwe2056
3 ай бұрын
Cjui mh Rais ataiona hii sms @Samia suluhu Hasani bashe ni waziri jeuri mno na haisaidii serikali
@DandasiKundi
3 ай бұрын
Napenda sana wabunge wenye hoja mwenyezi akulinde mbunge
@upendoeliya9329
3 ай бұрын
Mhe Mpina Wabunge wasioipenda Tanzania (wachumia tumbo) wamekutengenezea Zengwe usiingie bungeni kwa muda fulani. Pia kuwa makini wasikumalize.
Пікірлер: 602