Acha uhuni ndugu yangu kumbe hata kupa bado kiukwer chama hawezi mfikia azzk Wala pacome SEMA Hujui mpira
@HijiraHussein
9 күн бұрын
chamaaaaaaaaa mbna liko wazi mazeee
@SumiziBalungula
9 күн бұрын
Pakome aziz hawana mpinzani
@JumafMakwega
7 күн бұрын
Acha poro za ajabu chama ni mchezaj mzuri lakini usiwashushe daraja wachezaji wengi kila mchezaji ana ubora wake huyo chama ana madhaifu mengi hakabi timu ikiwa haina mpira kwahiyo pacome azzk hata maxnzingeli bado wazuri kiliko chama wanajituma wanashambulia na kukaba chama mvivu kukaba sio mbora kuwazidi hao
@malitozzy3538
9 күн бұрын
Ww jamaa mshamba sanaa unaongea utumbo wako fala ww
@FiliMsambwa
8 күн бұрын
Anaumwa huyojama sisi kama yanga azizi ndokilakitu pale yangandomana analopwa mshahala mkubwa zaidi kuliko chama
@JumafMakwega
7 күн бұрын
Huyu jamaa anajipotezea viwers anaongea bila kuweka akiba ya maneno anaweza huyo chama asipafomu vizur kuwashinda hao aliowakuta kwahiyo usiongee sana
@kimarobeatus
9 күн бұрын
wee jamaa me nakukataaa
@SumiziBalungula
9 күн бұрын
Mahaba yamepunguza weledi wako.
@msafirisalum8436
9 күн бұрын
Azizi ki ni habari nyingine mjinga wewe
@kimarobeatus
9 күн бұрын
Ata kama weee ni yanga bado sija ona point uliyo ongea chama ana goli ngap zakumfikia aziz mwaka huu
@errydeo8865
9 күн бұрын
Kwani CHAMA alikua kuzungukwa na wakina na pale Simba?
Пікірлер: 12