Mzee wa upako, mungu akuongezee nguvu, viongozi naomba wakusikilize ushauri wako ni wakujenga.
@paull8659
12 күн бұрын
CDM imeshafanya mazungumzo mengi bila mafanikio, sasa ni nguvu ya umma.
@Mjeda-q1m
12 күн бұрын
Eleza sababu za msingi serikari ni muhimu kuitii lakini swala la kisiasa serikari isilalie upande mmoja ccm ilishehelekea zanzibar haikuwa shida ACT ilishehelekea haikuwa shida iweje chadema ishehelekee pawe na shida???sababu ccm haitaki chadema ionekane inaungwa mkono na watanzania wengi
@herbertbathlomeo4650
11 күн бұрын
Exactly
@ezekielmirambo8704
12 күн бұрын
Mzee wa upako tangu nimekusikiliza kwa leo nimekuelewa vizuri sana!
@saadune
12 күн бұрын
Nonsense
@PULKERIAIZIDORY
12 күн бұрын
Mzee wa upako tunakushukuru lakini serikari yetu haiwezi kusikiriza watu wake sababu wako juu ya sheria kuwaumiza wananchi
@HolloJuma
12 күн бұрын
Kuhusu utekaji kwasababu yakukosoa unaongea ukweli kabisa selekali hajitambui chukua mauwa yako🎉🎉
@Mjeda-q1m
12 күн бұрын
Mzee wa upako umeongea kwa akili kubwa lakini umeeleweka kwa wenye akili kubwa
@AKWILINEKAWISHE
12 күн бұрын
GOOD!
@ErnestiSulle-w9k
12 күн бұрын
Mzee nyoosha maelezo, unayumbayumba nini?
@kidubwashaone6092
12 күн бұрын
CCM haiwezi kuacha mamboz kuiba kura
@ANDREWMATHIASANDREW
12 күн бұрын
Hakuna kuaminiana hapo.
@evelina9621
12 күн бұрын
Naona.tamisemi.mnada.upo.maneno.tu.yasiona
@HUSSEINMOHAMMEDKISELE
12 күн бұрын
Mzee wa mpaka una welevu na hekima kubwa sana huna upendeleo unasema ukweli unavyoonekana. Safi sana nimependa hekima zako hazina upendeleo.
CCM. KUTEKA WATU WANAZANI NDIO DAWA KUMBE WANAWATIA USUGU NA HII NDIYO INAWALIBIA KABISA HILA NAWAPA USHAULI WA BULE CCM SASAIV WATU WANAULEWA KUHUSU DEMOKKASIA TANZANIA
@eliassumila8173
12 күн бұрын
Hizi ni pumba kwelikweli...
@NickmbeckNkinda-z3g
12 күн бұрын
Wewe Mzee akili yako ????
@KishaKisha-ux4ul
12 күн бұрын
Sio mapinduzi huo ni uonevu.
@CharlesMgassa
12 күн бұрын
Godoi
@onessytiganga4722
12 күн бұрын
Nilijua una hoja kumbe chawa??!!
@NardhisMhagama-sy3eq
12 күн бұрын
Warioba butiku msuya Salim msekwa man'gura
@GraceWilliam-d1w
12 күн бұрын
Akili ndogo sana aisee
@NardhisMhagama-sy3eq
12 күн бұрын
Huna akili Kuna kuaminiana? Mwehu wewe embu chadema isimamie uchaguzi au act tamisemi wakae pembeni harafu tuone
@levidavid1156
12 күн бұрын
Chadema hawajajipanga kuchukua nchi
@madenge731
12 күн бұрын
Hili nalo ni lilevi tu, nalijua vizuri sana kwa hiyo hapo kashaweka k.vant au konyagi kichwani. 😅😅😅😅😅
@ZakayoReuben-ow9tz
12 күн бұрын
Konyagi na maoni yake vinahusiana vep akili yako ipo kama ya mandenge na mpira
@jovankishamba9424
12 күн бұрын
Umetumwa? Una lako jambo nakwambia!!!!!
@mutalemwajohanes-kx9dj
12 күн бұрын
Hekima yako ni ndogo saana
@NardhisMhagama-sy3eq
12 күн бұрын
Wewe muuza sabuni. Unamfananisha yesu na ccm
@ramadhanmahongole9293
12 күн бұрын
Huyu mzee sijawai muelewa
@levidavid1156
12 күн бұрын
Ukija kumwelewa. Utakuwa umefunguliwa akili
@ramadhanmahongole9293
12 күн бұрын
@@levidavid1156 siwezi kuwa na akili timamu nikimsikiliza huyu mzee wanao msikilizaga wote hawana akili timamu
@ramadhanmahongole9293
12 күн бұрын
@@levidavid1156 ooo Levi David mzarendo kabisa? 😂😂😂 samahani bwana, sikujua kama ni wewe kaka,.. nakukubali sana
Пікірлер: 42