Mh. Raisi hongera sana kwa kazi na maelekezo mazuri. Hasa hili la vyombo vya usalama kua na mifumo yao ya ununuzi kwa kua majeshi yanatakiwa kusimamia mambo yao wenyewe hata pale wanapotakiwa kufanya mambo kwa siri kiusalama itakua rahisi.
@meryshekoloa961
Жыл бұрын
Mama unapotenda jema unahaki ya kupongezwa hongera sana mama ❤❤❤
@benolduka
Жыл бұрын
Hivi hakuna summary ya kuaddress protocol?
@johnkiganga6014
Жыл бұрын
Hii nimeipenda kama askar mstaaf.
@SaidAlly-uh4qw
Жыл бұрын
Piga kazi mama tunakuamini sana watanzania
@ezekielmirambo8704
Жыл бұрын
Kikokotoo kweli hapo mhe rais umesema vema, kinahitaji ufumbuzi mzuri zaidi kuliko ilivyo sasa!
@zephanialuangwaeliatosha9723
Жыл бұрын
kaz iendelee
@romastasenterprises4447
Жыл бұрын
Ikikupendeza Mama madeni ya wazabuni ya vyombo vya usalama tena mengine ya nyuma sana uyatupie macho
@freemanzanzibar-tk6cu
Жыл бұрын
Where is bibi na bwana please?? Only question ❓
@doktamathew
Жыл бұрын
Nembo ya raisi ni tofauti na nembo ya taifa
@shinipapaya846
Жыл бұрын
@@doktamathewacha uongo wewe washaambiwa na watoa mikopo waitoe na ndio hivyo tena 😂😂
Пікірлер: 13