Mheshimiwa rais tunakuomba utuokoe na kampuni ya mikopo ya mitandaoni kwa jina mkopo faster ukiomba mkopo unarundikiwa mikopo minne kwa wakati Moja na Kila wiki inatakiwa urudishe rejesho elfu 400000 Kila mkopo ukishindwa tu unatumiwa meseji kwamba umedukua pesa unawekwa kwenye matatizo tusaidie
Пікірлер: 1