Mungu ni mwema kesho jitahid ukabadilishe maisha Yako na taswira ya nchi hii
@kabangoamini8431
Сағат бұрын
Pole sana sativa mungu bado anakupenda
@matiredms917
2 сағат бұрын
Edison Mungu ni mwema na mwaminifu. Ndiye aliyekuokoa ktk mikono ya Watawala waovu kutaka kuitoa roho yako ili uweze kutoa ushahidi wa uhakika kuwa Serikali inahusika moja kwa moja na utekaji na mauani wa raia wake wenye misimamo tofauti. Ushahidi wako unasimama kwa sababu siyo wa kusikia bali unahusika moja kwa moja. Mungu ataendelea kukulinda dhidi ya mipango miovu ya huu utawala haramu.
@christinenyagiro6662
Сағат бұрын
Pole mwanangu. Mungu amekupenda na kukuongezea against your enemies. God will change your situation to prosperous that your enemies will one day under your in the name of Jesus Christ.
@MwajumaMsimuwilliam
49 минут бұрын
Pole sana kijana, lakini kumbuka una Mungu. Usije ukasahau kumshukuru huyo Mungu Aliyekuokoa na umauti.mshike sana yeye ni Mungu Asieshindwa.
@roseyohana3500
Сағат бұрын
Hadi.huruma pole sana baba
@leokamil6284
28 минут бұрын
Kwa masikitiko makobwa kwa wahusika kweli mmezaliwa mna wazazi mnawatoto ndugu jamaa na marafiki. Je mnaweza kufanya haya kumuhukumu mtu kiasi hicho ambavyo hamuwezi kufanya kwa familia zenu?.Mna Mungu kweli mnasali ,muhisika mwanamke unawatoto kweli?ujumla mna utu ?.Muogopeni kesho yenu kuliko leo kwani maisha hubadilika na kazi huisha inasikitisha sana. Tuombe Mungu atusamehe na tuombe toba
@OmanIbri-hj8ss
Сағат бұрын
Sema kizembe sana umechukuliwa
@MwajumaMsimuwilliam
34 минут бұрын
Hiyo ndiyo amani yenyewe ya nchi yetu
@anosiata8242
48 минут бұрын
Pole sana kijana.
@MwajumaMsimuwilliam
22 минут бұрын
Tukilalamika tunaambiwa ni watu mliozoea taabu, hamuwezi kuishi bila hiyo.
@kahamasub-branch
2 сағат бұрын
Hii inatuonesha wazi kabisa wakati huyo mkurugenzi aligoma kumsaidia. Kuwa kiongozi sio ndugu yako wala baba yako
@RabihuHussein
20 минут бұрын
Vipi Kurjuani haikuzaa matunda au?
@jahhloveyou4462
Сағат бұрын
Kawataja hao washa kamatwa?
@Mjeda-q1m
2 сағат бұрын
Yule mwanamziki professa j aliimba tunaubili amani huku tumeficha mapanga hivi angetajwa raia wa kawaida au mtu wa upinzani kwamba ndiye aliyemteka sativa ingekuwaje??? Angelukiwa kwa nguvu zote waandishi wa habari wangeitwa lakini kwa kuwa wametajwa wao imekuwa funika kombe mwana halamu apite
Пікірлер: 18