Paster u told me to serve God and I'll see mighty things..I receive in Jesus name
@user-si5wk9gq1e
Mungu naomba uniponye hii shida ya kwenye moyo, na unipe afya ngema, aliye nirushia hii ugonjwa ikamrudiye mwenyewe, in Jesus name 🙏 🙏 🙏 🙏
@BerylAnyangoOdour
Nashukuru mwenyezi mungu amenifanyia majabu amenirudishia babake mtoto wangu Elvis odinga namsukuru kabisa mungu azidi kunilinda kwenye hii madhabau 🙏🙏🙏🙏🔥🔥🙏🙏🙏
@annetmwikali
14 күн бұрын
Amen . Pastor nimekufungulia ukasema Chochote mtu anauza kipate kibali nikaamini nimeuza kwa kazi mia Tisa instantly.
@AgnasM
Niko na Imani kupitia hii ibaada family yangu itakombolewa magonjwa yataisha watoto masomoni wata improve nakuanza Kupita vichwa ngumu zioshe na niinuliwe zaidi amen pastor wewe ni shujaa wa yesu
@JoyceGunda
Napokea upako huu Kwa jina la Yesu amen
@JoyceGunda
Napokea maneno haya yanayotamkwa na Mtumishi wa Mungu pastor Ezekiel Odero yawe hai kwenye maisha yangu
@osilojackson-oj8dk
I love the way you exercise the power of God may God abundantly exalt you above all human under the earth
@Macksonyuleyule-gp1zv
Niko na imani hii Ibada mngu mungu anitendee maajabu
@ClarisKedron
Amen pastor mungu akubariki xan Dady nko Saudi Arabia ila nabarikiwa na maombe Yako Dady na mahubiri❤❤
@user-hj6qh4xt7j
Napokea pesa zangu kwa jina l yesu leo hii madeni yangu yaingie kweny simu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@ChristineNgei-xe5pc
Mungu naomba unipee nyota yangu ,maadui wangu ukawanyamazishe naomba mbaraka
@bettynyakurumindrea3715
17 сағат бұрын
Amen I receive my blessings n of my family
@kennedynyamokiri2474
Praying for restoration, spiritual revelation and healing in Jesus name. amen 😊
@ConstantSikuku
Lydiah , pastor naomba financial blessings, utajiri, nyumba nzuri, gari, roho ya kukataliwa, talaka, kudharauliwa kazini, uponyaji kwa fa.milia yangu, vunja roho ya mauti kwetu
@asnathasiago335
Napokea huduma in JESUS mighty name Hallelujah Ameen na utajiri In JESUS mighty name
@GideonishujaaKupakiwachawi
Ibada zuri Sana pasitoty ezekery mungu akupe miaka mingi Sana
@Hellen-ul6gw
I bless
@user-hj6qh4xt7j
Napokea pesa yangu kuanzia leo hii kwa jina la yesu 🙏🏽🙏🏽
@user-je5mt8lx1c
Amina nimepokea na iwekwangu kama nabii ezekiel alivyo tabili katika jina la yesu
Пікірлер: 341