Asante sana mtumishi umenisaidia Kwa upande wa kuweka nadhiri barikiwa sana Mungu akufunulie ufunuo uzidi kunena nasi katika jina la yesu christo
@PacificNzohabonimana
Жыл бұрын
Nakubali Pastor
@mariumpeter6147
3 жыл бұрын
Mch. D. Mgogo nakuelewa sana baba yangu kipenzi. Unanipa raha sana
@marianfilibert1464
2 жыл бұрын
Asantee mchungaji kwa neno limeningusa kiukweli ndo maana naona mabadiliko .
@pili-be4kn
Жыл бұрын
Amen,neno la baraka limenibariki sana
@deomagaya5882
3 жыл бұрын
Asante mtumishi
@eliamanshillah7365
3 жыл бұрын
Mungu azidi kukutia Nguvu Mtumishi wa Mungu
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
Ninamshukuru Mungu sana KUFUATA mafundisho yako . Yananibariki ni ya ukweli unaeleza mambo ya msingi kabisaaaaa. Kweli kuna makabila yanakum buka sana nyumbani walikozaliwa hasa WACHAGA, WAMEJENGA MIJINI NA MASHAMBANI MIJENGO YA KUELEWEKA, NYUMBA NI CHOO ,MAJI NA UMEME PIA. KWANI KUSOMA SI KUELIMIKA,.WACHA WIVU, UCHAWI, NANUONGO . CHARITY STARTS FROM HOMES.
@mbekwamughenya9556
3 жыл бұрын
Amen mchungaji ! Kuhusu Mahouse girl hapo umepatia kabisa Mungu Akubariki
@leahgabriel6507
3 жыл бұрын
Ahsante mtumishi, nabarikiwa Sana.
@saramruma1456
2 жыл бұрын
Amen
@balagizijules830
3 жыл бұрын
Asante Sana muchungaji.kwa mafundisho haya yana tusaidiya saaana mungu aku funulie zaidi.ameeeeeeeen
@agnesshayo6101
3 жыл бұрын
Asante sana kwa mafundisho yako mungu akulinde nakuelewa sana.
@fatumaaybu8648
3 жыл бұрын
Amen mchungaji nimebalikiwa na somo lako umenifungua kwakweli kwa upande wa nazili
@riokziah5056
3 жыл бұрын
Napenda sermon yako zaidi ,endelea kutubariki na neno
@rostalameck6640
3 жыл бұрын
Mungu nisaidie
@yoramtango2470
3 жыл бұрын
Mungu akubark Sana, 🙋🙋🙋🙋🙋.
@ceciliamasawe7566
3 жыл бұрын
Barikiwa baba neno la uzima
@johannes4127
3 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana sana sana sana
@johnkolya4228
3 жыл бұрын
Mchungaji nabarikiwa sana nikiwa Kenya bungoma county
@neemamaganga9774
3 жыл бұрын
A man of God be blessed
@francissospeter1000
3 жыл бұрын
Napenda huu ujumbe mchungaji
@hildaeliapenda3938
3 жыл бұрын
Kilimanjaro oyeeeee barikiwa mtumishi
@oswiitvonline6514
3 жыл бұрын
Jamani karibu Moshi Mchungaji
@jacklineocharo8616
3 жыл бұрын
kawaida swafi Baba barikiwa sana 🙏🙏
@marthamoraa9073
2 жыл бұрын
Wataama kabisa
@rosekawala5182
3 жыл бұрын
Very good message from the Bible thank you pastor Mgogo
@annenjonjo8358
3 жыл бұрын
AMEN 🙏 true gospel.
@romanmallya4089
3 жыл бұрын
Amina baba sema tupone!;!!!!
@emanuelsiara3937
3 жыл бұрын
Ameen
@pendofanuel6933
3 жыл бұрын
Pastor Mungu azidi kukupa maono napona
@oscarngimbudzi2241
2 жыл бұрын
Dawa Yao ita police kamata weka ndani🙏🙏
@dianasengasi8427
3 жыл бұрын
Mchungaji Sasa ni namna gani tunaondoa hiyo nadhiri endapo htunakua tumeshindwa kutimiza?
@siboniobubinga4523
3 жыл бұрын
Ameen
@damarymanyasi4229
3 жыл бұрын
Amen 🙏🙏
@happinessmwenda2773
3 жыл бұрын
MCH UMESAHAU KAGERA MIJENGO YA KUELEWEKA MIGOMBANI.
@samsonmagesa3959
3 жыл бұрын
Makabila Mengine Yanasumbuliwa na Ubinafsi, na Uchawi Ukijenga Kijijini Wanakuua mfano Wasukuma na Wajita!
@rebecasanya8910
3 жыл бұрын
ni kweli sio kwamba hatupendi kujenga nyumba zuri kijijini ila ukijenga tu unarogwa😔😔
@janethpallangyo2633
3 жыл бұрын
😊
@zerogamer8931
3 жыл бұрын
Wape dose 😂 amen
@happinessmwenda2773
3 жыл бұрын
YAANI MCH UNA MANENO KWELI KWELI YENYE UKWELI NDANI YAKE.
@agnethapaul7501
3 жыл бұрын
Hahahaaa uwiii nimecheka hapo wa ukoo wa sadaka
@annamariasilas8510
3 жыл бұрын
Sema tupone ! Ni kweli kabisa
@reginaedward4645
3 жыл бұрын
Hakuna kuchezea taasis
@linnetmbotto7212
3 жыл бұрын
Bwana abariki mifupa yako L🤣L Mungu atusaidie jamani.
Пікірлер: 51