Hongera kwa yanga. Masanja wa mwasonge mwanza sanja boy
@AyubuDaudi-yt1gx
2 ай бұрын
Simba wasiendelee kumfuatilia chama nyota wengi wamepita mfano Emmanueli okwi Mgosi Odhiambo ko asitutishe huyo chama
@KekishaFrancis
2 ай бұрын
Unanogesha pindi mwaya❤ 1
@AthumaniMmbwambo
2 ай бұрын
VP usajoli simba
@Juma-r6z
2 ай бұрын
Yani mashabiki wayang povu lanini tuacheni na Simba yetu
@mohamedshomary4941
Ай бұрын
Wakuu naomba kujua lukaku na chelsea wana mkataba wa miaka mingapi? Maana huy jamaa mkataba wake haujawah kuisha.🙌
@strikerforce4949
2 ай бұрын
Huyu jamaa mtangazaji Rwambano upeo unatia mashaka. Mada zake nyingi zimekaa kiunafiki na kichochezi. Mfatilieni
@DannyKilemile
2 ай бұрын
Simba nilikuwa na wapenda hawa machupa,ulimboka,victa Costa,odhiambo,mgosi,kaseja wote wamepita chama na wewe nilikupenda lakini pita na wewe
@IbraimOmary-qx8xd
2 ай бұрын
Naitwa ibrahimu diblo kutoka Kilimanjaro nilikua nauliza kwenye mkataba wa feitoto kina kipengele chochote ikitokea ameuzwa kwenda kilabu ingine kwamba yanga wapewe bonas yao..??
@godfreychikandamwali3263
2 ай бұрын
Simba ina sajili sawa lkn mbona beki chemalon alisema shida ipo ktk uwongozi sasa kuh ilo kina fanyika nn ?
Пікірлер: 13