Hafidhi umekosa aadabu Angali Allah anakufezehesha na unajifezehesha. Nibora watukanwe wazazi wako kuliko kufezeheshwa Subhanallah
@tiba_duwa_ushauri
7 ай бұрын
Wewe unae sema haya Inawezekana una matatizo eti Bora wasemwe wazaz wake Kuliko yeye ina maana kuwa yeye ni Bora Kuliko wazaz wake??? Emu acha Laaana
@NassorRashid-g9y
5 ай бұрын
Sheikh Hafidh mimi naskiliza sana kaswida zako lkn hapa nikiskiliza maongezi kwa kweli umekosea sana licha ya kuwa kaswida ipo ktk mfumo wako maana nishaisikiliza sana.
@habibally5032
3 ай бұрын
Hafidh fundiiiiiiiii
@fakimali4108
7 ай бұрын
Ww abdul hamid unashindana bingwa huyu humuwezi ata kwa karibu tafuta size yako
@aboubakar2212
6 ай бұрын
Hafidh hawez kuiba
@OmarJuma-o4g
6 ай бұрын
sh hafidh hp umekosea wew yy nd alokuita ht km umetung ww
@OmaryHamisi-ug5lq
6 ай бұрын
Kwani huyo ninani mbona anataka kiki
@KhamisiYasini
3 ай бұрын
Mtu maarufu huwezi kumshirikisha Bali anakusaidia tu mana kumshirikisha uweze kumlipa anavyo taka na wewe kumlipa huwezi anakusaidia tu.
Пікірлер: 12