Still listening to this in 2023❣️❣️❣️ mob love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@aminaalli2287
3 жыл бұрын
Kama unaamini nyota ya hassan imewaka gonga like nyingi hapa....wakati wake umefika sio uongo almasi hiyo mashaallah kila mja ana wakati wake wa kupata riziki yake
@bamzy2033
3 жыл бұрын
waah ooh my goshh diamond this talent not a joke , make a plan for young man kama unamkubali huyu boy nipe like hapo.
@josephmfyuji1517
3 жыл бұрын
God bless
@abasialimussa5372
3 жыл бұрын
Hii kweli almasi mchangani kwa kuwa imeingia mjini tusubiri wadau waisafishe👏👏👏👏
@suleshm4627
3 жыл бұрын
Kipaji unacho bro, unaweza 🇧🇭🇹🇿🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@geroldmwinuka6411
3 жыл бұрын
kama ume play zaidi ya mara moja gongo like twende sawa
@DjEricTheBaddest
3 жыл бұрын
Have Listened For This Like 1000 times.... 2021 From Kenya 🇰🇪
@flownmagnifico5188
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anatudanganya Sana , unaweza sema Muzik ni rahis, so talented 📣📣📣
@neemapatrick1395
3 жыл бұрын
Kabs yani
@ikhakaiikha361
3 жыл бұрын
Nendaa na wew studioooo
@risperladee5718
3 жыл бұрын
This bruuuu gat talent not a joke.. Diamond do something for this fellow 🤔🤔🤔🤔🇰🇪🇰🇪
@hassanmapenzi6188
3 жыл бұрын
Mnisaidie kubonyeza picha iliyo kushoto na kusbribe kwa channel yangu ya hassan mapenzi kwa mengi mazuri
@mw3850
3 жыл бұрын
@@hassanmapenzi6188 kipaji unacho kaka....nakutakia kila la heri
@hassanmapenzi6188
3 жыл бұрын
@@mw3850 asante nitaweka bidii hili niwe kwa mikono salama mniombee hili nifike mbali zaidi na niwaletee mambo mazuri makubwa
@chrispinchrisant1540
3 жыл бұрын
@@hassanmapenzi6188 wee ni balaa.ni hatari sanaa
@saida.muhsin2187
3 жыл бұрын
@@hassanmapenzi6188 nimekubali na ninakukubali sana
@ibrahimsaidychawage4534
3 жыл бұрын
wcb ndy anafaa hassan mapenz wngap mpo kwa ajili ya hassan mapenz
@gloryjulius1108
3 жыл бұрын
Tupooo
@roi2553
3 жыл бұрын
Imeisha iyooo
@fadhilisinkala5116
3 жыл бұрын
Tupo sasa msanii ndo Huyo hakuna MTU anamuweza uyu na motoooooooooo
@rosejames9428
3 жыл бұрын
☝️
@adventynyambalafu9717
3 жыл бұрын
Uyu jama niatali sana
@osmanmohammedosman5493
3 жыл бұрын
Anajua sana huyu mwamba🇨🇩🇨🇩imeisha iyooo
@mtokambali2320
3 жыл бұрын
Narudia tena “Huyu kijana akae kwanza kwenye Band. Huko Ndio future yake ilipo” solo kwa sasa hapana
@raphaelmramba4573
3 жыл бұрын
Wangapi walio kaa kwenye Band wakatoboa Wote wanalia njaa kazi yao kurogana alafu ww unamuombea akakae uko kweli jaman
@gladysngamimakau7099
3 жыл бұрын
Solo ako sawa coz song inatolewa na wakatiwake interview mob siku moja anaweza sana ata stage peke yake yuko poa chezea vocals juu chinina aangani 1love from kenya
@davisjumb458
3 жыл бұрын
Anajua sana aisee
@user-xi1pi4zr3b
3 жыл бұрын
Kama umeona hassan mapenz ana kipaji kikubwa gonga like hp
@salmaluhombero8466
3 жыл бұрын
Ni balaaa hilo hili omg mpaka mwili umenisisimka ni kwenye damu hiki kipaji ahhhhhh omg sijawahi ona one in million
@zubedaseif2950
3 жыл бұрын
Tatizo hajui kutunga
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
@@zubedaseif2950 hilo sio tatizo kuna wasanii kibao wanaandikiwa na ni wakubwa sanaa
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Anajua uyu jamaa
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
@@user-un3df1sl2h kabsa
@theresiajohn8407
3 жыл бұрын
Yn nimeludialudia mara 💯 huyu mjinga anajua 😍
@stellakigomba7648
3 жыл бұрын
😊🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@danielanganile7457
3 жыл бұрын
Hatari kabisa huyu ni shida
@danielanganile7457
3 жыл бұрын
Hiki kipaji sio Cha kuacha
@mwanzogalasian8799
3 жыл бұрын
Nakubali
@risperladee5718
3 жыл бұрын
❤️🔥🔥🔥👌👌👌👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌.. Mapenzi hayana commando.
@agathaanyango2366
3 жыл бұрын
Ako sawa bsa 👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯🔥🔥💯💯💯💯💯💯🇰🇪
@stevenmasato5787
3 жыл бұрын
jamaaa huyu ni fireeeeee anatisha sanaaaa, ni balaaa mjini huyu duh!!!
@ivonafrans1245
3 жыл бұрын
Jamn kaka unatabasam hadi raha mungu akufikishe pale alikopanga yey...... Sauti yako jmn daaaaaah mashallah Wasaf tumekuswitch na kukusafisha ukiloga utajua kaka mola akulinde Umefanana na davido sanaaa kaka
@tangaboymedia3124
3 жыл бұрын
Talent Never Get Faked - He Got Real Talent Big Up Kaka @ HassanMapenziOfficial 🧡🧡🧡
@alexkyando3622
3 жыл бұрын
diamond platinum please push this talent of Hassan to the next level
@mahmoudaziz4717
3 жыл бұрын
Big gara b. Big up Hassan mapenzi we mkal mwanangu. Unajua sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄😄😄🤙🤙🤙🤙.
@happinessmartini8567
3 жыл бұрын
Sijajutia mb zangu kabisa kijana anaweza mno
@elnabilbentaleb7008
3 жыл бұрын
Jamaa Hana Makuu Hajifanyi anajua jua Vitu He is So Real keep up Bro 🔥✌
@ibrahke2859
2 жыл бұрын
Eeih this keeps on remembering me my late dad who loved this man hassan mapenzi
@sulleymagelanga4354
3 жыл бұрын
Duuh huyu jamaa htr!! Wakat namsikiliza yaan nilisahau kama kuna wasanii wengine Tz
@user-un3df1sl2h
3 жыл бұрын
Umeonae mimi mwenyewe nijisahau
@athumanibakari7998
3 жыл бұрын
Ni kweli
@mtitagirloriginal6890
3 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣🤣kwa kweli
@KhadijaKhadija-uc2uw
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@bettykavisa7640
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Ako chonjo😆😝
@bilalbizimana980
3 жыл бұрын
He is so talented, all the best Hassan Mapenzi
@gracekaniki789
3 жыл бұрын
Yaani anaimba kwa hisia sana big up Hassan
@joelasu2082
3 жыл бұрын
Yuko vizr sana
@elishakihaga6120
3 жыл бұрын
Amaizing so much
@kimsamson6149
3 жыл бұрын
daah jamaa ni firee motooo likes kwake Allah akufungulie njia
@officialmrtop1018
3 жыл бұрын
Aje huku WCB hao kina Ommy Dimpoz hawana lolote
@alexanderraphael5537
3 жыл бұрын
Daaah! We jamaaa ni 🔥🔥 even i can not explain
@clementlupatu1642
3 жыл бұрын
Kaka kwa mara nyingine nakuambia nyie mna kipaji sana natamani hapo mungekuwa wote waone munavyo kinukisha
@cr9builder792
3 жыл бұрын
Huyu Jamaa Ana Unyama Ndan yake Respect 🔥🔥🔥
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
C muuza mitumba lazima awe mnyamwezi😆😆
@mikemrosso5679
3 жыл бұрын
@@sharonchristian3711 true
@aymanabushiri516
3 жыл бұрын
Yaani mchozi umenitoka kwa furaha huyu kijana anaimba jamani
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
😭😭💓💓
@callmangumbo1552
3 жыл бұрын
Kabisa aseee mi nimejifil ngekuwa mm aseee ,jamaa abarikiwe
@aminathaabubakarmasoud565
3 жыл бұрын
Yupo vizuri mashaallaah
@stellakigomba7648
3 жыл бұрын
Furahaa imezidi ninalia!!! Cm ww mungu akubariki sanaaa
@jafarisaidisaidy8708
3 жыл бұрын
Dogo anaweza sanatu
@gabrielkilonzo5702
3 жыл бұрын
We call this Mugithi in Kenya. This dude is fiiiiiiiiiine, BUT he should capitalize on this space, get a good band , perform other musicians songs live with his touch, mash up ile, He will be fireee.
@afri-ka1956
3 жыл бұрын
My friend that ain't Mugithi.
@jobwanjala9176
3 жыл бұрын
Unajiaibisha😂😂😂
@immanueljohn2672
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 Mtanzania na mkenya mkisii wapi na wapii ?? Ila wakenya hapana hahaaaaaa
@michaeldaudi2853
3 жыл бұрын
Haha mugithi.umetisha bro
@cadeelaamila4763
Жыл бұрын
I blame your pink shirt
@priscamaina4176
3 жыл бұрын
Huyo jama sauti anyo, uuuu love from Kenya,
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
Wangapi tumerudia kipande anachoimba
@boniphanicechass958
3 жыл бұрын
Anafaa San bro
@stonebwoe7621
3 жыл бұрын
Uuu ndo tunasemaga utashaaa uyu jamaa mtasha yaani mtaaramu
@abrahamwanaswa1631
3 жыл бұрын
Much love from +254 , the guy is talented
@emmanueljanuary8112
3 жыл бұрын
Brother god bles you mi unanifuraisha unarivaa sana jina lako m unanifuraisha unajua sana kuishi na watu
@vunjabeisports8379
3 жыл бұрын
Jamaa anasisimua sana, anajua mpaka yeye mwenyewe ajui kama anajua, he is so lit!
Si mnisaidie kusubscribe kwa channel yangu kuna mambo mengi mazuri inakuja
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
Kizazi snaa
@gullaalex6590
3 жыл бұрын
Anafanana n Davido na anakipaji mm n shabiki wak
@aminanamoyo83
3 жыл бұрын
Mwenye kukopi wimbo ameimba vizuri kuliko mwenye wimbo waoo that's Talanta 🤝👍👌🏿
@julianayesayamwailolo8240
3 жыл бұрын
Mwenye nyimbo ni nani Amina
@aminanamoyo83
3 жыл бұрын
@@julianayesayamwailolo8240 angalia vizuri mpendwa interview then atagundua kwanini nimeongea hivyo.❤
@risperladee5718
3 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Whaaaaaaaaaaaat whaaaaaaat.. Kununua CD you make me mis my ex like crazzzzzyyy!
@deodatusnchimbi7633
3 жыл бұрын
mtaftieni kipindi MC GARA B apoooooo mnyamwezi saanaaaa vokooo ina kaa sana kweny mc
@elshaarawymuhabesh316
3 жыл бұрын
Umeona ee
@johnsilima1629
3 жыл бұрын
Kabsa
@dullahmudy2464
3 жыл бұрын
Wakwanza leo naombeni likes zenu😍
@tangaboymedia3124
3 жыл бұрын
Live No Sound Effects But He Kill go Murder da Game .........
@douglasslawrence7992
3 жыл бұрын
Huyu lazima atakuwa ameimba sana kaswida wakati wa udogo.....i guess, he is so good
@mosakaraideniiraidenii7651
3 жыл бұрын
No kweli uyu mwangu tumeimba nae sana kwasida
@ongidijuniour2348
3 жыл бұрын
DUH NAMKUBALI SANA HUYU DOGO SANTI GERA B KULETA TALENT,NIPO KENYA MI PRODUCER NAPENDA KUFANYA KAZI NA HUYU DOGO
@maryludovick2538
3 жыл бұрын
Jaman talent kubwa hii 💥💥 unajua mpk unaboaaa 😂😂😂😂😂😂
@callmerex_5494
3 жыл бұрын
Kama umeangalia More than Once_👊
@harunmwatele6457
3 жыл бұрын
Njoo Kenya brother,uko juu.🔥🔥🔥🔥hii almasi mchangani.big up Sana 🤜
@Presenterodiplatform
Жыл бұрын
watching all the way from kenya..............
@badmanno.1650
3 жыл бұрын
Anajua bro... Anajua sana zaidi ya sana ... Hio sauti live bila instruments... One in a million voice...
@stellacosmacy4785
2 жыл бұрын
Hongeraa upo pw
@rahultv6173
3 жыл бұрын
Garab anafaa kuwa mtangazaji wasafi please fanya mpango
@bakaribashiru7680
3 жыл бұрын
Hamis bss cha mtoto yan broo Mungu azid kukubarki sana big up
@messaabbas8346
3 жыл бұрын
The guy he’s so awesome wallah,,he have something for really 😍😍😍big up broo,,,am enjoying,,,oooh god ☺️☺️☺️,,moo love ❤️ one love ❤️from 🇰🇪👏🏻
@ntawundabawillyfullpowerwi481
3 жыл бұрын
Hummm uyo jamaa siyo mtu wakawaida amenipeleka mbali sana kwa style yake anastahili saaaana kuitwa Msanii 🤔🤔🤔🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭 suisse
@aishamnyeke1163
3 жыл бұрын
Kakupeleka mbali wapi apo 😂
@nasrakapama3670
3 жыл бұрын
@@aishamnyeke1163 😂😂😂Nasijuwi atarudije huko alikopelekwa
@nassebmaenjela4433
3 жыл бұрын
M Alipangalo mungu aliwezi kupanguliwa na mtu yeyote kaza dogo
@husnnytahir9539
3 жыл бұрын
Hello, Simba!! This is a real talent.
@judithgeorge1756
3 жыл бұрын
Jamani kaka angu mungu akuinue kiukweli unajua sana sauti yako nzuri sana mungu akuinue kiukweli jamani nakuombea
@heriholder1625
3 жыл бұрын
Jamaa anajua lakini inabidi awe chini ya wcb kwa kipindi cha miaka 4 ndio tumsaini wasafi maana hatutaki kukurupuka wasafi.
@officialmrtop1018
3 жыл бұрын
Hilo linajulikana lakini pia inatokana na uwezo umri wa mtu mwenyewe pia
@eddyevarist2593
3 жыл бұрын
sio lazima akae miaka4 ukiona mtu kawekwa muda mrefu ujue uwezo wake bado wanataka wajihakikishe zaid ila uyu anahitajika kuingia studio moja kwa moja
@watakaniitaje1215
3 жыл бұрын
@@eddyevarist2593 hapana ujue wcb chuo pale kwanzA afundishwe kujicontrol alafu na nidhamu
@ammiebowden7354
3 жыл бұрын
Utamsaini wewe na nani?😂😂😂
@negaboy497
3 жыл бұрын
@heri holder unajiona mondi mzee
@abdallamohamedabdalla5260
3 жыл бұрын
Kenya Tushapitisha, Kazi Kwako SIMBA 🦁🦁🦁
@doreenmkingi3117
3 жыл бұрын
This what we call talent... Big up hassan mwenye mapenzi ake
@irenewilbard2513
3 жыл бұрын
This guy jmni🔥🔥🔥🔥🔥🔥.. He got me smiling tuu Kila saa yani😊😊😘😘... unajua sanaaaa, mungu akubariki😍😍😍😍😘😘😘😘❤️❤️❤️
@rosedaud8376
3 жыл бұрын
He made ma heart bust nice voice and talented🙌 ni fire
@arthurchengo5470
3 жыл бұрын
This is live and it's so melodious no sound effects. He is so good
@rajabukwaju7795
Жыл бұрын
rajabj ukwaju
@sirabahendayussufu2862
3 жыл бұрын
Sijawahi comment today na comment kwa huyu dude
@sarahbuthu7785
3 жыл бұрын
Daaaah unaweza Sana Yani adi unabowa gudiiii hasani mapenzi upo njema sans
@veronicambeti3877
2 жыл бұрын
Ameweza kabisa soo blessed and all the best...
@nyotamy3678
3 жыл бұрын
Hawa jamaa wa ivi wenye vipaji wako wengi sana.. ni ivo tu umetokea kumuona mchizi.. Nafikiri Kama tunataka vitu vzr hasa media.. ni vema ziibue vipaji Kama hivi mikoani huku..
@maujanjatv24h41
3 жыл бұрын
Nyota My3 kila mtu anainuka kwa wakati wake
@immanueljohn2672
3 жыл бұрын
Kweli brother kila kitu na wakati wake,ila pili tunaitji mtu wakutushika mkono ili tufike sehem fulani .
@hassankasigwa477
3 жыл бұрын
Huyuu jamaa ni Jini sio mtu 100%🔥🔥🔥
@fatimaharoon8218
3 жыл бұрын
Kweli hdi raha
@goegymchugaji2629
3 жыл бұрын
Jini mkata verse
@ommybrain9607
3 жыл бұрын
huyu jamaaa dah anafanya uone mziki ni mrahisi sana
@yohanandalahwa983
3 жыл бұрын
kwanza jamaa ana enjoy sana kuimba hatumii nguvu,hatumii nguvu mziki kwake ni kitu automatic
@sharonchristian3711
3 жыл бұрын
😆💓💓
@jonathanimdegela1005
3 жыл бұрын
Hahahaha
@ommybrain9607
3 жыл бұрын
@@sharonchristian3711 sana
@deogratiusmlengu5246
3 жыл бұрын
Sawa bhana 2ache utan kaka anajuwaaaa
@ezekielraymond8749
3 жыл бұрын
This is the real and huge talent 🔥
@khadijaomari9344
3 жыл бұрын
hasani katinga wasafi mungu amuongoze
@kamberejuma3413
3 жыл бұрын
Www
@mansourrukaka3061
3 жыл бұрын
dah jamaa ni fundi jaman yan mpaka unakosa cha kusema🔥🔥🔥💯
@bensonkiragu
2 жыл бұрын
I just watched a 7-second video on TikTok. The clip I had to search for this interview. Definitely worth checking out.
@sonymiles4489
3 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua mpaka anakeraaaaa kama Simbaaaaaa. Namuobea kheri aweze kutusua
@juliusjaliwa9887
3 жыл бұрын
Daaaaaa kusema mwimbaji njo sasa hapo nahapo aija oshwa ndani yaviombo kabisa, yaani naona Chistiabela wapili huyu. Na kwahushauri wangu kwa Record label kama vile wasafi kipaji kama hichi kilikuwa kinakosekana pale yaani nilikua najiuliza kila siku hata nilikua na comment but isn't answer for that but finally naona kwambali kama inaanza kuja vile please Diamond try this guy and utapata something from him, wish you all the best Mr Hassan
@Officalnaph
3 жыл бұрын
DIAMOND TAFADHALI SANA MCHUKUE HUYU KIJANA TAFADHALI SANA MCHUKUE HUYU KIJANA, NAKUOMBA TAFADHALI
@martinjoelr277
3 жыл бұрын
Anaweza sana yuko vizuri sana
@sponcersaita2599
3 жыл бұрын
Kwery dingi
@mirajimwango5763
3 жыл бұрын
Je anaweza kutunga,
@halimambwego3520
3 жыл бұрын
Akifanya vizuri baadae ananangwa diamond kwa jasho na nguvu zake...hashindwi kubutua hii kombolela ili aokoe wengine tatz watz wanyambaji.na kuanza kumshindania
@glorynzota4660
3 жыл бұрын
Ampeleke wap
@djsililaog1820
3 жыл бұрын
Dah ujamaa anajua had anakera nlikutana nae na msanii wangu mmoja alitufunka hatari
@innocentelphas438
3 жыл бұрын
Afu kama vile anafanana na davido ..sura!!!
@ethersamson5312
3 жыл бұрын
Kumbe umeonaeeee
@juliethmwakanyamale9155
3 жыл бұрын
Nimona pia nkabalance shobo hahahh
@andekijanawawatu2067
3 жыл бұрын
Kama umemkubali hassan mpenzi gonga like ndugu zangu twende sawa
@judithgeorge1756
3 жыл бұрын
This is amazing sana kaka safi congratulations
@kamalissabig2429
3 жыл бұрын
We jamaa unikome we msenge unajua kinoma yan yan hauna mpinzani upo juu walah Jah bless Niger
@amissahassan495
3 жыл бұрын
Yani unamkubali mpaka unamuwa towa tusi Dhuuu😂😂😂😂🙌🙌
@najmagudeh203
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@hassanmapenzi6188
3 жыл бұрын
Mnisaidie basi Ku subscribe kwa Chanel yangu kuna mengi yanakuja
Sio na Zuchu.. maana maadhi yake ni kama ya CHECHE hv
@boniphacemashauri3318
3 жыл бұрын
Na wewe kumbe unaona kama mimi ndg yangu jama yuko vzr
@kezadawoodmrisho13
3 жыл бұрын
Yes his a real deal nimependa his voice
@joviangeofrey7212
3 жыл бұрын
ili lijamaa linaimbia misifa aisee. limekuja kuua vipaji uchwara duh!
@evodykalala509
3 жыл бұрын
Zaidi ya kipaji
@johnsonmwakio8792
Жыл бұрын
Nipo Kenya msa kongowea uku mambo kuntu kabisa ...mimi mchungaji ila kwa mambo kama hya ya talent mi hupenda sana ...sasa kwangu mimi nampa mia kwa mia Hassan huyu kaweza vibaya sana yani mnyama huyu....Platinums usichelewe mwanangu.....ivo yani.
@minskbelarus7255
3 жыл бұрын
Huyu jamaa nisingependa kumuona KAKASIRIKA itakua maumivu. Go get it BROTHER
@emmanuelmachibya2034
3 жыл бұрын
Diamond platinumz please do something to help this guy, a very talented guy !!! 👏👏👏👏👏👏👏
@michaelmnkai1741
3 жыл бұрын
Wazo langu asibadilishe styles chakufanya atunge nyimbo za Aina hiyo hiyo sema Aimbe mpya asifanye cover bali atunge mpya ili zuku iendelee isife ss wazee wagambe ndo ngoma zetu
@fatimahaji396
3 жыл бұрын
Anaimba kama ataki ametulia uyu ndio msani sio unaimba mpaka povu linatoka Muigeni Hassani kiboko yenu
@sharinv8864
3 жыл бұрын
Gai this young boy knows hw to sing jameni yuko na kipawa anaimba exactly the thing ukweli kabisa mapenzi hayani macho. Msimuche
@modestaedward9485
3 жыл бұрын
Aiseee hassan mapenz unaweza Sana respect ukiwezeshwa unaweza tena sana
@freemansmedia4978
3 жыл бұрын
Real talent here..Give him the support he needs
@obestone1188
3 жыл бұрын
Jamaa anajua. Utamu wa music unaufeel kabisa .dahh hich kipaji
@oscarchia4596
3 жыл бұрын
🤛
@derickdmaliganya4441
3 жыл бұрын
yaaaan anakipaj cha hali yajuuuuuuu sanaaaaaaaa hata mungu mwenyew anajua
@hadijamwanana2471
3 жыл бұрын
Dah we nizaidi yamsanii kama mpishi bac jiko unalitendea haki vitu vitamu vyote vinatokea kitaa hebu tupe Radha kaka🤸🤸💕💕💕💕
Пікірлер: 1,1 М.