Yaani juzi umeniumiza sana yaani wew ni mtu wa ku kaa kwenye media na kusema kwamba unajutia kuwa mpiga pucha wa Diamond?? Aisee dunia hii ndio maana kuna watu wamekata kabisa kuwasaidia watu daah
@AbubakariHaji
10 ай бұрын
Pamoja broo tuko pamoja na wew
@lugembe1057
10 ай бұрын
nzuri
@NjeYaBox
10 ай бұрын
kama unavozifata hisia zako na kuumia ndivyo ambavyo pia hata yeye kafata hisia zake na kutamka hivo, so wewe tazama hili video halafu shea@@MrTop-wj7no
@NjeYaBox
10 ай бұрын
sanaaa @@lugembe1057
@africandragonsmedia
10 ай бұрын
sawaaaa kijanaaaa
@shabiluathumani3699
10 ай бұрын
Wao ndugu yangu ume unajuaa umeonesha loloboy
@kahacla
10 ай бұрын
kazi nzuri kaka lukashi sema nahitaji support Yako kimziki kaka angu
@ManahDesignee
10 ай бұрын
Umakin Umezingatiwa 🔥🔥🔥🙌🙌🙌
@agreykabume8979
10 ай бұрын
Video mbaya mbaya mbaya sana sana
@SagafMohammedabud
4 ай бұрын
Usiwaze bro
@claudepaluku1842
10 ай бұрын
Good job classic song❤❤❤🙏🙏🔥🔥🔥
@zonemediatz
10 ай бұрын
Kwwa Utamu ganiii😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@lugembe1057
10 ай бұрын
@MzimuniHome
10 ай бұрын
Hili tambalaa noma bwana😂😂😂
@MzimuniHome
10 ай бұрын
kidogo nipitwe
@fazzyplatnumz9843
10 ай бұрын
Hii imeendaaaaa
@NjeYaBox
10 ай бұрын
Nilichokipenda sana sana kwenye hii video ni huo ubunifu wa hapo mwanzoni jmaa alivyosimama juu ya maji na alichopatia ni kuwa ameweka hicho kipande mwanzoni kabisa kukufanya wewe mtazamaji uchanganyikiwe😀😀😀 mi nawaambiaga wanangu huyu dogo huwa ni mchawi, hamuelewi haya sasa kaingilia kwenye muziki sasa hivi anashuti mavideo makubwa kuwazidi wanamuziki wenyewewe. hongera sana kaka huu ujio mkubwa mno. dairekta pia katisha sanaaaaaaaaaaaa
@MzimuniHome
10 ай бұрын
Ubunifu mkubwaa sana🎉
@sudason8467
10 ай бұрын
Kaka unajua
@racheldangwa38
10 ай бұрын
💉💉💉💉💉💉💉💊💊💊💊☄️☄️🚀🚀🚀🚀🌟🌟🔥🔥🔥🔥🌋🌋🌋🪄⭐️💛umetisha sana nyimbo nzuli kanyaga twende
Пікірлер: 185